Madrasatul Aly-Badawy Masange kondoa swalatu Alannab na mlango wa kwanza 2017

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น •

  • @OmanOman-wm5mv
    @OmanOman-wm5mv 5 ปีที่แล้ว +12

    jamn warangi tujuane ...gonga like hapa chini

  • @ramadhanimam6323
    @ramadhanimam6323 5 ปีที่แล้ว +3

    tuseme yote lkn msomaji mlango wakwanza nishida yaani big up kwake saut anayo namwalim nampongeza yaani mashaallah mashaallah

  • @mohamedjuma3748
    @mohamedjuma3748 4 ปีที่แล้ว +5

    Pamoja Sana Niko handeni Tanga warangi tuko vizur kutwalii Quran

  • @YhujfjuFgfj
    @YhujfjuFgfj 5 ปีที่แล้ว +15

    I LOVE YOU KONDOA PENDA SANA KWETU

  • @charlesnabiswa6843
    @charlesnabiswa6843 6 ปีที่แล้ว +6

    Mashaalaah mungu akuongoze shekhe Sungu popote pale ulipo

  • @adnanisally5550
    @adnanisally5550 5 ปีที่แล้ว +3

    mungu awa lipe kheri kwa kukaa kumkumbuka mtukufu mtume s a w
    اللهم صل على محمد وآل محمد
    iko vizuri sana tu
    mulungu ava linde voosi inshaallah

  • @hamastien5439
    @hamastien5439 5 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akujaz kilalagher shekh sungu uendelee kuitangaz din yetu barakallah fiq kondoa moja hiyo warang mko vizur asee mashaallah najivunia kuw muislam nidin yenye maadil mema nandodin yakweel

  • @zainabally1681
    @zainabally1681 4 ปีที่แล้ว +1

    Masange kwetu ,tunakuombea Dua shekhe ramadhan sungu Mungu akujaalie afya njema na uhai mrefu kk yng

  • @jamilaiddy3478
    @jamilaiddy3478 4 ปีที่แล้ว +6

    2019 Kondoa tupo vizur

  • @asiahabib9607
    @asiahabib9607 6 ปีที่แล้ว +5

    Maa shaa Allah chezea nyumbani

  • @mremmrem6754
    @mremmrem6754 6 ปีที่แล้ว +8

    Mashalla mashaĺla alla ibariki kondoa yetu

  • @aisha1332
    @aisha1332 7 ปีที่แล้ว +4

    mashaallah home masange kwa shekhe sungu nimepamisi san

  • @YhujfjuFgfj
    @YhujfjuFgfj 5 ปีที่แล้ว +8

    Achen kubeza watu hahaha kondoa is one gonga duf ipasavyo

  • @jamilakhalifa2692
    @jamilakhalifa2692 7 ปีที่แล้ว +9

    jamani mwakummbushire kwaliha jamani reki vii✌✌

  • @malususiri20amalnikotayar33
    @malususiri20amalnikotayar33 5 ปีที่แล้ว +3

    Nimekumbuka mbali sana

  • @al-bsaidykhalef6897
    @al-bsaidykhalef6897 5 ปีที่แล้ว +2

    Watoto wa kirangi mupo vizuri kama watoto wa kindonesia nawapenda sana

  • @marickmgasa9540
    @marickmgasa9540 7 ปีที่แล้ว +6

    Allah atujaalie kondoa yetu. kayi mpaka raha

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 3 หลายเดือนก่อน

    Mash Allah kondoa hatuna baya tume timia 😘😘🤲

  • @habibuzuberi8256
    @habibuzuberi8256 7 ปีที่แล้ว +10

    jaman kondoa mashaallah m/ mungu azidi kuwapa nguvu

    • @husseinahmed5216
      @husseinahmed5216 5 ปีที่แล้ว

      Waombee nguvu za kutoka na kuacha katika hiyo bid'aa, usiwaombee nguvu ya kuimarisha Bid'aa

    • @busnaoman9981
      @busnaoman9981 4 ปีที่แล้ว

      @@husseinahmed5216 mh kumswalia mtume nibidaa umesom wap

    • @husseinahmed5216
      @husseinahmed5216 4 ปีที่แล้ว

      @@busnaoman9981 hapo wanaimba yimbo hakuna kumsalia mtume, mtume anasaliwa kwa ngoma??

  • @hujaj
    @hujaj 5 ปีที่แล้ว +1

    mashaallah, Allah ikuze madrasa ya aly-badawi

  • @husnasalumu6829
    @husnasalumu6829 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah mungu awaongoze ktk mema

  • @lelaallububa5739
    @lelaallububa5739 6 ปีที่แล้ว +3

    Shekh sung allh akuadalie makazi mem kesho akhera

    • @ziadaalute6836
      @ziadaalute6836 5 ปีที่แล้ว

      Lela Al Lububa Amiina nyingi kwa Shekhe Sungu

  • @hashimumoshi7179
    @hashimumoshi7179 6 ปีที่แล้ว +3

    Hongereni Dada endeleeni kumsifu Mtume saw. Msivunjwe nguvu na Mawahabi wanapinga kusifiwa mtume Eti bidaa kasomeni acheni ushabiki wakijinga

    • @habibunassor7161
      @habibunassor7161 5 ปีที่แล้ว

      SHEHE. NYUNDO.

    • @husseinahmed5216
      @husseinahmed5216 5 ปีที่แล้ว

      Kumsifu mtume Kwa ngoma!! Bid'aa hii, we ndie urudi kusoma sio kufata upepo

  • @latifakhamis2983
    @latifakhamis2983 4 ปีที่แล้ว +2

    mashallah swala ya mtume nzuru

  • @yaziduiddi481
    @yaziduiddi481 6 ปีที่แล้ว +4

    Asallam alaykum warahamatullah wabarakatu nawauliza mnao pinga maulid mtu akisema Allah maswali wassalim ghabarik ghalih anapata dhambi au

    • @marymabubakary1561
      @marymabubakary1561 5 ปีที่แล้ว

      kumsifu mtume wetu kipenzi chetu ni bid'aa acheni hizo toeni ufafanuzi mtujuze mmamuma tupo wengi

    • @msafiriduwiya7765
      @msafiriduwiya7765 5 ปีที่แล้ว

      MUISLAM kupiga ngoma ndo kwenye shida kumswalia mtume Muhammad saw tunajua NI agizo la KILA MUISLAM

  • @yassiniabbassi6674
    @yassiniabbassi6674 5 ปีที่แล้ว +1

    Maashaallah dufu za laiv na saut zake

  • @saharahaliki4703
    @saharahaliki4703 7 ปีที่แล้ว +6

    mashaallah jaman kondoa mito nimepamiss

  • @hawahuseni3772
    @hawahuseni3772 4 ปีที่แล้ว

    Ustadhi wet mola amlinde na maadui wabaya

  • @aleezaaleeza720
    @aleezaaleeza720 6 ปีที่แล้ว +3

    Nimepamic sana yani,from Dubai

  • @mwasitsaid7644
    @mwasitsaid7644 6 ปีที่แล้ว +3

    mashaa Allah allah azidi kuwaongoza

  • @safinasafina9835
    @safinasafina9835 4 ปีที่แล้ว +1

    I love kondoa kwetu

  • @hadijamsala2537
    @hadijamsala2537 5 ปีที่แล้ว +2

    Masha Allah baarakallah fyikum

  • @naifatally8034
    @naifatally8034 6 ปีที่แล้ว +8

    mashaallh kondoa yetu sote

  • @munguaibarikitanzanianawat9254
    @munguaibarikitanzanianawat9254 5 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah mis u masange kwetu

  • @aalh1030
    @aalh1030 3 ปีที่แล้ว

    MashaAllah kondoa tupo juu

  • @lavieestbelle3263
    @lavieestbelle3263 5 ปีที่แล้ว +2

    Haka valangi va boha sana jamani.....haha rekamasari ya ajab vika like hapa

    • @queen-yx8uo
      @queen-yx8uo 4 ปีที่แล้ว

      Umwanyiree🤣🤣

  • @abdushabani3718
    @abdushabani3718 5 ปีที่แล้ว +2

    raha sana ndugu yangu

  • @rahmayahya6284
    @rahmayahya6284 6 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah Kondoa yetu sote

  • @official_marshmallow8394
    @official_marshmallow8394 4 ปีที่แล้ว +1

    Assalam aleikum sheikh m pia ningependa kujiunga na madrassa hii ila niko Kenya

  • @abuutheymiin5498
    @abuutheymiin5498 7 ปีที่แล้ว +4

    Bidaa zote ni mbaya japokuwa watu wataziona kuwa ni nzuri.

    • @habibumwinjuma3881
      @habibumwinjuma3881 5 ปีที่แล้ว

      Abu utheymiin elimu yakoni.ndogo.kama.hujui BM mailidi

  • @aishaomari1881
    @aishaomari1881 6 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah umu wetu

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah kwetu kondoa

  • @hawahuseni3772
    @hawahuseni3772 4 ปีที่แล้ว

    Jamani nimeipenda Sana mm mama Aisha obiro nipo zenji

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 5 ปีที่แล้ว +2

    maashaalla Allan

  • @saadachara943
    @saadachara943 6 ปีที่แล้ว +3

    mashaaaallah

  • @nadhifajuma6485
    @nadhifajuma6485 5 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah kondoa yetu

  • @ashurayusuph7482
    @ashurayusuph7482 2 ปีที่แล้ว

    Masha Allah kondoa

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 ปีที่แล้ว +2

    Kondoa mashaallah msiwabeze kwani wanafundishwa na mashekhe

  • @jidamadakwi7260
    @jidamadakwi7260 6 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah

  • @kamoteismailkamote1674
    @kamoteismailkamote1674 7 ปีที่แล้ว +7

    Asallaam alykum warahmatullah wabarakatuh. Huu siyo uchamungu huu ni uzushi bidaa. Fuateni quraan na sunnah. Mnapoteza muda wenu kwa kuhifadhi kaswida. Na msisahau sauti ya mwamamke ni uchiii. Nimesema haya kwa kuwatakieni kheir. Zindukeni.

    • @أمفوزانالسلفيهفوزان
      @أمفوزانالسلفيهفوزان 6 ปีที่แล้ว

      Waalaikum Salam warahmatullah wabarakatuh
      Upo sahihi Akhy umefikisha

    • @maryamabdallah8591
      @maryamabdallah8591 6 ปีที่แล้ว

      Kweli mja

    • @uledimtumwa3045
      @uledimtumwa3045 6 ปีที่แล้ว

      Tatizo wasomi wa dini mmekaa mijini kutoa fatwa, njooni vijijini muanzishe Madrasa.

    • @nurdinchelsea3297
      @nurdinchelsea3297 6 ปีที่แล้ว +2

      Kamote Ismail Kamote ...hii dini akhui haiend kwa fikra na akili zamtu...Bali kwa kur'an na sunna..hebu wape ushahd wahayo uyasemayo ili nawao wapate faida...sio kukurupuka tu nakutoa fyatua.. Mana kuna fatua na fyatua..sasa yako fyatua mana haina ushahd..mungu pekee ndio ajuae kama wanapoteza au la

    • @hashimumoshi7179
      @hashimumoshi7179 6 ปีที่แล้ว

      Kimechozuliwa hapo nikitugani?

  • @abuutheymiin5498
    @abuutheymiin5498 7 ปีที่แล้ว +5

    Hakuna uchamungu kwenye uzushi kwani uzushi ni kinyume cha Sunnah, Allah awaongoze hao watu wa kuondoa kwani hawajui wanachokifanya huku wakitarajia malipo mama.

    • @khameesjumbe1242
      @khameesjumbe1242 6 ปีที่แล้ว

      Abu utheymiin usiongee na wewe kitu ambacho hukijui hayo maneno umefundishwa na shekhe gan

    • @husseinahmed5216
      @husseinahmed5216 5 ปีที่แล้ว

      Bid'aa hii, mwenyezi mungu atuongoze sote in shaa Allah

    • @khadijasaidi1332
      @khadijasaidi1332 5 ปีที่แล้ว

      embu waislamu tusijitie ujuaji wamekosea sema ki aya za quran rekebisha sio kujitia ujuaji jamn

    • @husseinahmed5216
      @husseinahmed5216 5 ปีที่แล้ว

      @@khadijasaidi1332 mwenye kujua ndie hukujulisha hivyo" sasa mjuaji asikujuze tena!! Utajuzwa na wasiojua iwe balaa zaidi. Hivyo wacha ujuzwe na wajuaji

    • @husseinahmed5216
      @husseinahmed5216 5 ปีที่แล้ว

      @@khameesjumbe1242 sio maneno ya shekhe hayo" Bali ni Aya za Quran na Hadith juu ya hayo wayafanyayo hao watu wa bid'aa

  • @radhiambwana8787
    @radhiambwana8787 4 ปีที่แล้ว

    Mabinti wazr mashaa Allah

  • @ummuhudhaifashani6959
    @ummuhudhaifashani6959 6 ปีที่แล้ว +2

    Hayo mmeyapata wapi?

  • @saoudasalumu8036
    @saoudasalumu8036 2 ปีที่แล้ว

    Ashallah Alhamdulillah

  • @khadijahassan4162
    @khadijahassan4162 6 ปีที่แล้ว +1

    mpaka raha

  • @Maginatv
    @Maginatv 5 ปีที่แล้ว +1

    Raha sana vandu vane

  • @dr.jjmwaka2596
    @dr.jjmwaka2596 4 หลายเดือนก่อน

    Mashaallha

  • @yusuphtwaha8386
    @yusuphtwaha8386 5 ปีที่แล้ว +1

    Masshaaaaaaalah

  • @sarahmvungi7047
    @sarahmvungi7047 7 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah.

  • @aishaomari1881
    @aishaomari1881 6 ปีที่แล้ว +1

    Mlango WA kwanza

  • @mudymrangi575
    @mudymrangi575 7 ปีที่แล้ว +4

    kondoa maka ndogo

  • @bintalhwamer5291
    @bintalhwamer5291 6 ปีที่แล้ว +2

    MashaAllah jadhaka Allah kheli

  • @YS-qo6en
    @YS-qo6en 7 ปีที่แล้ว +5

    Napenda hivyo lakn mafunzo ya mtume hayako hivyo

    • @allyhassan6491
      @allyhassan6491 5 ปีที่แล้ว

      Mashaallaah

    • @ziadaalute6836
      @ziadaalute6836 5 ปีที่แล้ว

      Y S ,Yakojee mmezidi kupingana waislam ,kilakikifaywa na mwenzio kibaya ,sio hivyo,hajui ndomana hatuendelea

    • @seifjuma3471
      @seifjuma3471 4 ปีที่แล้ว

      Ukijua kukosoa jua na kuelekeza 😏

  • @saidseleman6004
    @saidseleman6004 5 ปีที่แล้ว +1

    Nakodoa macho Kwa uzuri muliojaliwa jamaniiiiiiiii sipati hata Hugo wa pembeni

  • @mamaimrantimajuma8083
    @mamaimrantimajuma8083 7 ปีที่แล้ว +2

    mashaa,Allah

    • @kassimudaudi3517
      @kassimudaudi3517 7 ปีที่แล้ว

      we reka vi mwanawito.dini yiswi yaboha matuku

  • @bakariyusufu2014
    @bakariyusufu2014 5 ปีที่แล้ว +1

    Kwawanawake sio uzushi zipo dalili kibao uzushi ni kwa wanaume hakuna mwanaume aliepiga dufu wakati wa mtume

  • @Nasma2006
    @Nasma2006 9 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @zuberiselemanimansey7230
    @zuberiselemanimansey7230 7 ปีที่แล้ว +8

    Molaa nijaliee nipate mkee mchamungu kama hawa

    • @amirmwinyi9006
      @amirmwinyi9006 7 ปีที่แล้ว

      Zuberi Selemani Mansey
      kuna watu hufanya vitu pasi na wahusika kujua kua wataekea youtube na kama wangejua wasingeweza kuenusha nikab zao

    • @jumannesadiki768
      @jumannesadiki768 6 ปีที่แล้ว

      Shekhe Zuberi ndg yangu ktk imani uchamubgu unaonekana ktk matendo ya kiimani, hii ni moja ya hatua kuangalia uchamungu kuna mambo mengi zaidi kuchunguza Ili kupata mke hslisi

    • @wazirihongo3761
      @wazirihongo3761 6 ปีที่แล้ว

      Zuberi Selemani Mansey pole dad

    • @fauziakassim323
      @fauziakassim323 6 ปีที่แล้ว +1

      Mungu akupe mke kama hawa wanaotoa sauti zao hadharani haifai awaongoze kwa kufata Quran inshallah

    • @rahmahassan9868
      @rahmahassan9868 6 ปีที่แล้ว

      Usjl ishaallah

  • @shuwehaharunaomariikwena233
    @shuwehaharunaomariikwena233 7 ปีที่แล้ว +6

    warangi wenzangu kwa maulidi wao ubwabwa hufidh Qur'an zama za maulid zishapita

    • @buibui7990
      @buibui7990 6 ปีที่แล้ว

      huomziki.mmeamua.kuingia.stodio.mola.wetu.mlez.apushe.kizazi.kijacho.kisifute.nyayo.hizo.nakibaya.zaidi.mmzianika.nyuso.zenu.

    • @aishaomari1881
      @aishaomari1881 6 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa tungehifadhishwa Quran sasa tupo mbalisana Hata kidunia

    • @hasanalihasani3236
      @hasanalihasani3236 5 ปีที่แล้ว

      Tumebaki na madufu na kuwaanika mabinti mitandaoni nakuona hii ndo dini Allah awaongoze

    • @madinakheri487
      @madinakheri487 4 ปีที่แล้ว

      Kwanini mnapenda kutanguliza maneno makali? Kwanini usimlinganie mwenzako wa maneno yakueleweka kuliko mnavyofanya hivi? Hata uislam umetuamrisha hivyo naomba tueleweshane kwa maneno mazuri ili ueleleweke sio kutengeneza chuki, Allah atuongoze kwenye kheir inshaallah

    • @nyatya199
      @nyatya199 4 ปีที่แล้ว

      Hapo pamehifadhiwa kaswida mpaka basi ila Quran hmana hapo

  • @ZumairaHasani
    @ZumairaHasani ปีที่แล้ว

    Najivunia cana kuwa mrangi nawapena cana hatuna baya kwenye nebo lamungu

    • @ZumairaHasani
      @ZumairaHasani ปีที่แล้ว

      ❤❤❤❤pamoja cn mung u atuzidishie zaid nazaid ktk kumujua mung

  • @shaaallyi7100
    @shaaallyi7100 6 ปีที่แล้ว +1

    jaman nyumbn

  • @aleezaaleeza720
    @aleezaaleeza720 6 ปีที่แล้ว +3

    Ww unaesema ni bidaa acha usiangalie wala usisikilize,tumuachie allah ndoanayejua nani anakosea naayepatia

    • @كلثوميوسف-ث2ل
      @كلثوميوسف-ث2ل 5 ปีที่แล้ว

      Kwani ubaya hapo uko wapi na wamejistiri kwanza wanawake ndo waloruhusiwa kupiga dufu

  • @hamastien5439
    @hamastien5439 5 ปีที่แล้ว +1

    Jaman kaswid sio bidaa bn mbon mtume wet aliimbiw nasis tunamfuat mutume bwan acha uzush bwan ayisee mwakumbushir kwalih san ayii nibor wimbe kaswid kuliko mzik au bak jol vanduu van nokweri ayi

  • @khadijazuberi8553
    @khadijazuberi8553 6 ปีที่แล้ว +3

    naomba whatsap 0743539032

  • @RekhaRekha-es8br
    @RekhaRekha-es8br 5 ปีที่แล้ว +1

    Lakini nani Ana haribu dini👎

  • @uledimtumwa3045
    @uledimtumwa3045 6 ปีที่แล้ว +2

    Bora hawa kuliko waimba bongofleva.

  • @abuutheymiin5498
    @abuutheymiin5498 7 ปีที่แล้ว +4

    Malipo mema hayapatinkani isipokuwa kwa kufata Sunnah.

    • @omarmwarizo9678
      @omarmwarizo9678 7 ปีที่แล้ว

      acha husda wewe hovyoooo

    • @sarahmvungi7047
      @sarahmvungi7047 7 ปีที่แล้ว

      Wew kama ni muhabi nyamaza. Kama hupendi maulid vumilia. Wew fuga neve, kata suruali. Answari sugu nyie

    • @mahijakapingu395
      @mahijakapingu395 6 ปีที่แล้ว

      Maulidi cyo bidaa

    • @abdallahhemed3527
      @abdallahhemed3527 6 ปีที่แล้ว

      Hii Haifai mwanamke kutoa sauti

    • @hamastien5439
      @hamastien5439 5 ปีที่แล้ว

      @@abdallahhemed3527 kama haifai mwanamk kutoa saut tutasomaje kruan sasa

  • @rahmam3564
    @rahmam3564 7 ปีที่แล้ว +1

    MMH.

  • @yassiniabbassi6674
    @yassiniabbassi6674 5 ปีที่แล้ว +1

    Nasemaje kinachosomwa pale ni maneno ya Allah na ndio furaha yetu kutaja jina la mola wetu na mtume kwa furaha kwahyo Allahu yaalam bidaa au sio bidaa

  • @wazirihongo3761
    @wazirihongo3761 6 ปีที่แล้ว +1

    upunz 2

    • @saidisaudiathumani6910
      @saidisaudiathumani6910 6 ปีที่แล้ว

      asanteni mausitadhati wakirangi

    • @المهلهلالحراصي
      @المهلهلالحراصي 5 ปีที่แล้ว

      Cyo upuuzi sema kondoa ilikuwa enzi hizo na cyo sasa kondoa wameiharb kizazi hiki japo hata mm ni mtu wa huko kondoa massange

    • @twarqmaridadi2343
      @twarqmaridadi2343 3 ปีที่แล้ว

      Mpuuzi mama ako ambaye hamjui hata baba ako..

  • @saumuhamadi6886
    @saumuhamadi6886 6 ปีที่แล้ว +4

    Maashaallah

  • @lelaallububa5739
    @lelaallububa5739 5 ปีที่แล้ว +1

    Mashaalh masange

  • @suleimanabdull9069
    @suleimanabdull9069 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @SabrinaRamadhan-eq1dd
    @SabrinaRamadhan-eq1dd ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @mishmish8632
    @mishmish8632 ปีที่แล้ว

    Masha allah

  • @zainabuabubakari1299
    @zainabuabubakari1299 4 ปีที่แล้ว +1

    Maashaallaah

  • @ramadhaniiddi9930
    @ramadhaniiddi9930 2 ปีที่แล้ว

    Mashaallaah

  • @hijrahalifa5923
    @hijrahalifa5923 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @jidalddl8787
    @jidalddl8787 7 ปีที่แล้ว +3

    masha Allaah

  • @ГулмахмадЮсупов
    @ГулмахмадЮсупов 4 ปีที่แล้ว

    Mashallah

  • @shafiqkhalili9617
    @shafiqkhalili9617 6 ปีที่แล้ว +2

    Maashaallah

  • @ramadhaniissa4626
    @ramadhaniissa4626 3 ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah

  • @omarymuhibbu8016
    @omarymuhibbu8016 6 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah

  • @fatumahassan8212
    @fatumahassan8212 3 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @zaituniyombe2213
    @zaituniyombe2213 7 ปีที่แล้ว +2

    mashaallah

  • @husnauthman7609
    @husnauthman7609 7 ปีที่แล้ว +2

    mashaallah

  • @ayshazambia6509
    @ayshazambia6509 3 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 4 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @azizaaziza3657
    @azizaaziza3657 6 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah