Asallaam alykum warahmatullah wabarakatuh. Huu siyo uchamungu huu ni uzushi bidaa. Fuateni quraan na sunnah. Mnapoteza muda wenu kwa kuhifadhi kaswida. Na msisahau sauti ya mwamamke ni uchiii. Nimesema haya kwa kuwatakieni kheir. Zindukeni.
Kamote Ismail Kamote ...hii dini akhui haiend kwa fikra na akili zamtu...Bali kwa kur'an na sunna..hebu wape ushahd wahayo uyasemayo ili nawao wapate faida...sio kukurupuka tu nakutoa fyatua.. Mana kuna fatua na fyatua..sasa yako fyatua mana haina ushahd..mungu pekee ndio ajuae kama wanapoteza au la
Hakuna uchamungu kwenye uzushi kwani uzushi ni kinyume cha Sunnah, Allah awaongoze hao watu wa kuondoa kwani hawajui wanachokifanya huku wakitarajia malipo mama.
@@khadijasaidi1332 mwenye kujua ndie hukujulisha hivyo" sasa mjuaji asikujuze tena!! Utajuzwa na wasiojua iwe balaa zaidi. Hivyo wacha ujuzwe na wajuaji
Shekhe Zuberi ndg yangu ktk imani uchamubgu unaonekana ktk matendo ya kiimani, hii ni moja ya hatua kuangalia uchamungu kuna mambo mengi zaidi kuchunguza Ili kupata mke hslisi
Kwanini mnapenda kutanguliza maneno makali? Kwanini usimlinganie mwenzako wa maneno yakueleweka kuliko mnavyofanya hivi? Hata uislam umetuamrisha hivyo naomba tueleweshane kwa maneno mazuri ili ueleleweke sio kutengeneza chuki, Allah atuongoze kwenye kheir inshaallah
jamn warangi tujuane ...gonga like hapa chini
tuseme yote lkn msomaji mlango wakwanza nishida yaani big up kwake saut anayo namwalim nampongeza yaani mashaallah mashaallah
Pamoja Sana Niko handeni Tanga warangi tuko vizur kutwalii Quran
I LOVE YOU KONDOA PENDA SANA KWETU
Mashaalaah mungu akuongoze shekhe Sungu popote pale ulipo
mungu awa lipe kheri kwa kukaa kumkumbuka mtukufu mtume s a w
اللهم صل على محمد وآل محمد
iko vizuri sana tu
mulungu ava linde voosi inshaallah
Mungu akujaz kilalagher shekh sungu uendelee kuitangaz din yetu barakallah fiq kondoa moja hiyo warang mko vizur asee mashaallah najivunia kuw muislam nidin yenye maadil mema nandodin yakweel
Masange kwetu ,tunakuombea Dua shekhe ramadhan sungu Mungu akujaalie afya njema na uhai mrefu kk yng
2019 Kondoa tupo vizur
🙏💪naaam
Maa shaa Allah chezea nyumbani
Mashalla mashaĺla alla ibariki kondoa yetu
Aamina
mashaallah home masange kwa shekhe sungu nimepamisi san
Achen kubeza watu hahaha kondoa is one gonga duf ipasavyo
jamani mwakummbushire kwaliha jamani reki vii✌✌
Nimekumbuka mbali sana
Watoto wa kirangi mupo vizuri kama watoto wa kindonesia nawapenda sana
Allah atujaalie kondoa yetu. kayi mpaka raha
Mash Allah kondoa hatuna baya tume timia 😘😘🤲
jaman kondoa mashaallah m/ mungu azidi kuwapa nguvu
Waombee nguvu za kutoka na kuacha katika hiyo bid'aa, usiwaombee nguvu ya kuimarisha Bid'aa
@@husseinahmed5216 mh kumswalia mtume nibidaa umesom wap
@@busnaoman9981 hapo wanaimba yimbo hakuna kumsalia mtume, mtume anasaliwa kwa ngoma??
mashaallah, Allah ikuze madrasa ya aly-badawi
Mashallah mungu awaongoze ktk mema
Shekh sung allh akuadalie makazi mem kesho akhera
Lela Al Lububa Amiina nyingi kwa Shekhe Sungu
Hongereni Dada endeleeni kumsifu Mtume saw. Msivunjwe nguvu na Mawahabi wanapinga kusifiwa mtume Eti bidaa kasomeni acheni ushabiki wakijinga
SHEHE. NYUNDO.
Kumsifu mtume Kwa ngoma!! Bid'aa hii, we ndie urudi kusoma sio kufata upepo
mashallah swala ya mtume nzuru
Asallam alaykum warahamatullah wabarakatu nawauliza mnao pinga maulid mtu akisema Allah maswali wassalim ghabarik ghalih anapata dhambi au
kumsifu mtume wetu kipenzi chetu ni bid'aa acheni hizo toeni ufafanuzi mtujuze mmamuma tupo wengi
MUISLAM kupiga ngoma ndo kwenye shida kumswalia mtume Muhammad saw tunajua NI agizo la KILA MUISLAM
Maashaallah dufu za laiv na saut zake
mashaallah jaman kondoa mito nimepamiss
Ustadhi wet mola amlinde na maadui wabaya
Nimepamic sana yani,from Dubai
mashaa Allah allah azidi kuwaongoza
I love kondoa kwetu
Masha Allah baarakallah fyikum
mashaallh kondoa yetu sote
mamb
vp
mambo
Mashallah mis u masange kwetu
MashaAllah kondoa tupo juu
Haka valangi va boha sana jamani.....haha rekamasari ya ajab vika like hapa
Umwanyiree🤣🤣
raha sana ndugu yangu
Mashaallah Kondoa yetu sote
Assalam aleikum sheikh m pia ningependa kujiunga na madrassa hii ila niko Kenya
Bidaa zote ni mbaya japokuwa watu wataziona kuwa ni nzuri.
Abu utheymiin elimu yakoni.ndogo.kama.hujui BM mailidi
Mashallah umu wetu
Mashaallah kwetu kondoa
Jamani nimeipenda Sana mm mama Aisha obiro nipo zenji
maashaalla Allan
mashaaaallah
Mashallah kondoa yetu
Masha Allah kondoa
Kondoa mashaallah msiwabeze kwani wanafundishwa na mashekhe
Bidaa
Said Said j
Mashaallah
Asallaam alykum warahmatullah wabarakatuh. Huu siyo uchamungu huu ni uzushi bidaa. Fuateni quraan na sunnah. Mnapoteza muda wenu kwa kuhifadhi kaswida. Na msisahau sauti ya mwamamke ni uchiii. Nimesema haya kwa kuwatakieni kheir. Zindukeni.
Waalaikum Salam warahmatullah wabarakatuh
Upo sahihi Akhy umefikisha
Kweli mja
Tatizo wasomi wa dini mmekaa mijini kutoa fatwa, njooni vijijini muanzishe Madrasa.
Kamote Ismail Kamote ...hii dini akhui haiend kwa fikra na akili zamtu...Bali kwa kur'an na sunna..hebu wape ushahd wahayo uyasemayo ili nawao wapate faida...sio kukurupuka tu nakutoa fyatua.. Mana kuna fatua na fyatua..sasa yako fyatua mana haina ushahd..mungu pekee ndio ajuae kama wanapoteza au la
Kimechozuliwa hapo nikitugani?
Hakuna uchamungu kwenye uzushi kwani uzushi ni kinyume cha Sunnah, Allah awaongoze hao watu wa kuondoa kwani hawajui wanachokifanya huku wakitarajia malipo mama.
Abu utheymiin usiongee na wewe kitu ambacho hukijui hayo maneno umefundishwa na shekhe gan
Bid'aa hii, mwenyezi mungu atuongoze sote in shaa Allah
embu waislamu tusijitie ujuaji wamekosea sema ki aya za quran rekebisha sio kujitia ujuaji jamn
@@khadijasaidi1332 mwenye kujua ndie hukujulisha hivyo" sasa mjuaji asikujuze tena!! Utajuzwa na wasiojua iwe balaa zaidi. Hivyo wacha ujuzwe na wajuaji
@@khameesjumbe1242 sio maneno ya shekhe hayo" Bali ni Aya za Quran na Hadith juu ya hayo wayafanyayo hao watu wa bid'aa
Mabinti wazr mashaa Allah
Hayo mmeyapata wapi?
Ashallah Alhamdulillah
mpaka raha
Raha sana vandu vane
Mashaallha
Masshaaaaaaalah
Mashaallah.
Mlango WA kwanza
kondoa maka ndogo
MashaAllah jadhaka Allah kheli
Napenda hivyo lakn mafunzo ya mtume hayako hivyo
Mashaallaah
Y S ,Yakojee mmezidi kupingana waislam ,kilakikifaywa na mwenzio kibaya ,sio hivyo,hajui ndomana hatuendelea
Ukijua kukosoa jua na kuelekeza 😏
Nakodoa macho Kwa uzuri muliojaliwa jamaniiiiiiiii sipati hata Hugo wa pembeni
mashaa,Allah
we reka vi mwanawito.dini yiswi yaboha matuku
Kwawanawake sio uzushi zipo dalili kibao uzushi ni kwa wanaume hakuna mwanaume aliepiga dufu wakati wa mtume
❤❤❤
Molaa nijaliee nipate mkee mchamungu kama hawa
Zuberi Selemani Mansey
kuna watu hufanya vitu pasi na wahusika kujua kua wataekea youtube na kama wangejua wasingeweza kuenusha nikab zao
Shekhe Zuberi ndg yangu ktk imani uchamubgu unaonekana ktk matendo ya kiimani, hii ni moja ya hatua kuangalia uchamungu kuna mambo mengi zaidi kuchunguza Ili kupata mke hslisi
Zuberi Selemani Mansey pole dad
Mungu akupe mke kama hawa wanaotoa sauti zao hadharani haifai awaongoze kwa kufata Quran inshallah
Usjl ishaallah
warangi wenzangu kwa maulidi wao ubwabwa hufidh Qur'an zama za maulid zishapita
huomziki.mmeamua.kuingia.stodio.mola.wetu.mlez.apushe.kizazi.kijacho.kisifute.nyayo.hizo.nakibaya.zaidi.mmzianika.nyuso.zenu.
Kweli kabisa tungehifadhishwa Quran sasa tupo mbalisana Hata kidunia
Tumebaki na madufu na kuwaanika mabinti mitandaoni nakuona hii ndo dini Allah awaongoze
Kwanini mnapenda kutanguliza maneno makali? Kwanini usimlinganie mwenzako wa maneno yakueleweka kuliko mnavyofanya hivi? Hata uislam umetuamrisha hivyo naomba tueleweshane kwa maneno mazuri ili ueleleweke sio kutengeneza chuki, Allah atuongoze kwenye kheir inshaallah
Hapo pamehifadhiwa kaswida mpaka basi ila Quran hmana hapo
Najivunia cana kuwa mrangi nawapena cana hatuna baya kwenye nebo lamungu
❤❤❤❤pamoja cn mung u atuzidishie zaid nazaid ktk kumujua mung
jaman nyumbn
Ww unaesema ni bidaa acha usiangalie wala usisikilize,tumuachie allah ndoanayejua nani anakosea naayepatia
Kwani ubaya hapo uko wapi na wamejistiri kwanza wanawake ndo waloruhusiwa kupiga dufu
Jaman kaswid sio bidaa bn mbon mtume wet aliimbiw nasis tunamfuat mutume bwan acha uzush bwan ayisee mwakumbushir kwalih san ayii nibor wimbe kaswid kuliko mzik au bak jol vanduu van nokweri ayi
naomba whatsap 0743539032
Lakini nani Ana haribu dini👎
Bora hawa kuliko waimba bongofleva.
Hakuna bora" zote ni dhambi
Ila watafanana kwenye ngoma
Hakuna ubora njia moja...
Malipo mema hayapatinkani isipokuwa kwa kufata Sunnah.
acha husda wewe hovyoooo
Wew kama ni muhabi nyamaza. Kama hupendi maulid vumilia. Wew fuga neve, kata suruali. Answari sugu nyie
Maulidi cyo bidaa
Hii Haifai mwanamke kutoa sauti
@@abdallahhemed3527 kama haifai mwanamk kutoa saut tutasomaje kruan sasa
MMH.
Nasemaje kinachosomwa pale ni maneno ya Allah na ndio furaha yetu kutaja jina la mola wetu na mtume kwa furaha kwahyo Allahu yaalam bidaa au sio bidaa
upunz 2
asanteni mausitadhati wakirangi
Cyo upuuzi sema kondoa ilikuwa enzi hizo na cyo sasa kondoa wameiharb kizazi hiki japo hata mm ni mtu wa huko kondoa massange
Mpuuzi mama ako ambaye hamjui hata baba ako..
Maashaallah
Mashaalh masange
Mashallah
Masha Allah
Masha allah
Maashaallaah
Mashaallaah
Mashaallah
masha Allaah
Mashallah
Maashaallah
Masha Allah
Mashaallah
Mashaallah
Mashaallah
mashaallah
mashaallah
Mashaallah
Mashaallah
Mashaallah
Kondoa Mic kwetu