🔴# LIVE: RIPORT YA LEO SIMULIZI YA JESCA SEHEMU YA (SITA) - JAN 15, 2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ต.ค. 2024
- 🔴# LIVE: RIPORT YA LEO SIMULIZI YA JESCA SEHEMU YA (SITA) - JAN 15, 2024
#efmtanzania #live #highlights
-
Muziki Unaongea 🎶
-
Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9 Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
-
Follow Us On:
INSTAGRAM:
efmtanzania
TWITTER:
efmtanzania
FACEBOOK:
efmtanzania
Asante da vero nam nimepitia kipindi kigumu sana cha kuwapoteza watoto naamin nam Mwenyezi Mungu yupo upande wangu hakika atanipigania
Da ver mbona hatukupati kwa channel yako na ukumbke kuwa wengine hatuna bundle maan mnatumia kubwa kuliko uwezo wetu please turudishe kule kwa channel yako please please
Hongera sanaa jesca kwaujasiri❤pia pole sanaaa kwachangamoto ulizopitia tumejifunza kitu🙏
Hongera sana Jessica hakika taji lako utalikuta juu mbinguni kwa Baba maana umeokoa Roho za watu wengi yaani huo mkoba ungeua watu wengi sana sifa na Utukufu tumrudishie Mungu wetu aliye Hai Amen
Hongera sana Vero una kipaji Cha kusimulia Mungu azidi kukuinua
🙏🙏🙏
Namtukuza MUNGU wa mbinguni aketie mahali pa juu najikuta napiga hatua kubwa sana ktk kumutegemea MUNGU
Ameen
Mnaosema mali za watu ndo msikie jmn mali za huyo mkaka hazijaambatana na mkoba 😂 so wadada ni maombi kugunga kumshirikisha Mungu kwa kila jambo na tusiwaogope wanaume wenye hela coz sio kila hela ni za majini. Yote kwa yote God is good 😅😅
DaVero Mbeya haishiki radio.
Hongera sana Jesca endelea kumtumikia Mungu Mungu ndo kila kitu
kama ni zakutunga tunga za kwako tusikikize ni rahisi hvyo
Kabisa yaani atunge😂
Unajua kusimulia
Nakupata da veronica nikiwa lraq😊
Jina cio Lake SAUTI nayoo.?
Sautimbsiyo❤😂🎉😢😮😅😊
Sauti mbn siyo
Muendelezo wa ldaya Da veronica
Mungu ni wetu sote jesca hongera sana
Sauti ya jeska anaonekana booongeee
😂
Huo ndio upendo furaha mko pamoja shida pamoja
Mwambie jesca tunaomba namba za mtumshi
Simulizi hii imenidhibitishia pasipo shaka kwamba kweli hizi story ni za kutunga
Kabisa
😅😅kwann
@@YacntaJohn-i7cmuda umekanganyika kipingi cha corona haijapita miaka mitano sasa mtoto kafikishaje miaka mitano
Hizo mimba nazo zilizoharibika sijui ndio miaka mingapi imepita na wakati kazi alipata kipindi cha corona
Kuna Moja ambayo ninaweza kuiamini, kwa Kiasi Fulani ni Ile ya mama wawili
Simulizi nzuri ila sasa ina maswali mengi 😂😂 mara ya kwanza ulisema wakati anaoga alikuwa mwenyewe nyumbani mume wake alikuwa kazini wakati anatokewa na hilo jini now ansema mume wake alikuwepo haya 😂😂 kingine ulisema alipata mtoto wa kwanza na badae akapata wa pili now mnasema ni mapacha tenaa 😂😂😂😂😂 anyway but tumejifunzaa kitu 😊
Wakati jini linamshika alihisi n mumewe kwahivyo mume n kama alikua
@@mildrednabwireokumu5492 rudia kusikiliza
Singida hii redio inapatikana Kwa ngapi ngapi
Singda sizani Kama ipo
Efm saa Moja Hadi saa mbilli au live you tube masaa hayo
Mbna kama sauti ni za watu 2 tofaut
Sauti ni tofauti na Ile iliyoanza kuzungumza!! Jamani!!
Wanaichuja ili jaman asitambulike
Sio wawili tu, ni sauti3 tofauti, ila nimegundua inachujwa studio Ili hastambulike, maana Kuna Watu wa karibu yake wanamfaham ko ni rahis kujulikana
😂😂😂,
Sauti imechujwa😂😂😂 mpo makinp
Naitwa nasma kutoka tegeta A huyo mama anaroho mbaya san
Shekeli ni PESA au Hela au nati za kutosha
Shekeli
Inabidi kushare ili wenye mikoba waachane nayo. Wametesa watu
Too much publications. Wengine muda….😅
Shekeli ni Nini? 🇰🇪🇰🇪
Ni fedha
@@yuliarespis328 Asante
Fedha , pesa, hela, ngawila, mavumba, maokoto, mapenny n.k
@@tunkuh661 Asante
Shekeli ndio nini jamani?
Ni fedha
Fedha
Shekeli ni PESA au Hela au nati za kutosha