🔴# LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA HAJJI SEHEMU YA 3 - JAN 18 2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ต.ค. 2024
- 🔴# LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA HAJJI SEHEMU YA 3 - JAN 18 2024
#jioniyaleo #efmtanzania #Live #lipotiyaleo
-
Muziki Unaongea 🎶
-
Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9 Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
-
Follow Us On:
INSTAGRAM:
efmtanzania
TWITTER:
efmtanzania
FACEBOOK:
efmtanzania
Yaaan kuna simulizi nyingi xan zinazogusa moyo wangu lkn hiii simulizi ya haji imenirudixhia maumivu upyaaaa kabisaa ktk maixha yangu " hata haya maixha magum tunaixhi leo yamesababixhwa na wao mama zetu wadogo" niamini Vero kila kwenye watt kumi ujue nane wameixhi hayo maixha haswa cc mama zetu walotangulia mbele ya haji "MOYO" wangu unaugua xana 😭😭😭
Pole Sana, Mungu akucmamie kweny kila hatua,#baada ya dhiki ni faraja#
@@Nuyusal96 amiiina🙏🙏
Pole sanaaa💔 yani comment yako pia imenifanya nizid kutoa machozi😭😭😭😭ujue kunawatu hizi simulizi awazianini nawakati nimaisha halisi yawatu tunapitia😭😭😭😭
Tuko wengi tumeyapitia,pole
Wababa inawahus hii
Dada tuwekee TH-cam Kwa mfumo ule mwingine jamanii
Simulizi imeniliza😭😭😭😭😭ila baadhi yawanake Mungu anatuona pole sanaa haji💔pia nimependa msimamo wababa haji💕💕💕🙏
Na hyu mama wa kambo ukifatilia kabila lake anaweza akawa mbulu wambulu wanaroho ya shetan kabisa mpaka nashangaaga mwenzenu maana daah😭😭
Siyo wambulu mamy ni roho ya mtu Nakwambia hivi
Mimi niko Warabu Wana roho mbaya wachoyo wa chakula pia atakuwa wambulu
Hajj anamoyo mzuri wa kusamee
Da vero nakupenda sana 😊 yani una simulia kwa vitendo
Mama anabebamimba miez 9 anazaa kwauchungu na mtoto wake mwenyewe anam2pa chooni unategemea aje amsamini mtoto ambae hajakaa kwenye 2mbo lake wamama punguzeni roho mbayaa inauma sanaaaaaa
Da vero anaelezea vzr utazani yy ndo haji!😂
Subra nikuulize nikiwa lraq kurdistani Haji nimekumbuka mdogo wangu enzi iyo ali yapitia mwaka1 😢yaani alivyo kuja likizo mmmmh mdogo wangu alizoofika mama akasema awezi kuludi tena kwa bb 😢 Atimaye alamosa elim na alikuwa na uwelewa lkn kutokana na mazingila 😢
Mungu uzidi kusema na akina Mama Asante sana Vero sauti yako Tamu ndio yanogesha Hii simulizi ❤
Naipenda hii stori dada ongera umependeza sn naipenda unavyoongea
Hao ndio wale wamama wanaoharibu sifa za mama wa kambo shenzi😞☹️
mbona hatuzipati za sehemu ya tano na kuendelea????????????????????????????????????????????????????
Jmn simuliz hii imeniliza 😭huyo mama hafai hata kdg
😅😂🎉😂
Pole sana haji
NA DA VERO UNAVYO JUA. KUELEZA KMA ULIKUWE PO😅😅😅😅
😂😂😂
@@vickysteven1172 umeonaeeh
Huyo mama kachanganyikiwa kupoteza maisha ya hapo na watoto wawili nani atampokea
Nimejikuta nacheka sana da vero unavyoadithia kama ulimuona anavyolia na makamasi
Eeeeh mungu tujalie roho za kulea vyema watoto wa wenzetu😢
Wamama wengine hofu ya Mungu
Grace SUGUTA nipo DODOMA Tutake radhi da vero 😂Dar sio mji mkuu,😂😂😂 tuendelee na story
HASANTEE
Ulimbukeni nao ni mbaya sanaaa, yaani huyo Mama ake Haji wa Kambo hakuwahi kuvipata hivyo alivyokuwa anavipata kwa Baba Haji hivyo ulimbukeni ukamfanya azuzuke.
Leo baba haji alichokifanya nimefurah kiyasi
Davero mbona huzipang et 😢
Huyu Baba ni master sana na nioijua tu huyu Baba mambo yakijulikana itakuwa soo
MWENYE NO YA KUWASILISHA MIKASA ANITUMIE TAFADHALI
Aise ni hatari
Dastan nipo kagera nakupata vzr dada veronica
So sad😭
Uko nyuma upo vizuri
Haji una akili kwa ulivomjibu huyo maza ila ngoja nione mwisho
Hay mko pw wanafamilia wa vero?
Huyu jamaa kumbe jasiri sana
Mala hii baba yako atalogwa atakuchukia hata wewe pia kwaajil ya madawa
Kabisaaaa 😢
Kuna watu sio wa kuwaleta kwenye familia yako...huyo mwanamke ni hatari sana
Yaani wanawake si Bure mtume alisema kuona peponi mtihani walah unapata wapi mwanaume wa hivi
Wangeondoka tu hao 5:57 6:00
Jaman huyo mama ana roho mbaya hatari
Da hila huyo mama ni wakumfukuza tu sio wa kumsamehe kabisa shenzi zake🎉🎉🎉
Ila da vero😂😂😂😂 hii fasihi simulizi unaiweza km ulikuwepo vle 😅😅😅😅
Wangekuwa wababa wote wanamsimamo kama baba haj tungekuwa na aman
Kweli uvumilivu hula mbivu na malipo Ni hapa hapa duniani kila mbengu hunayo panda humea na huzaa Na ina mavuno pia wema Ni hakiba na ubaya Ni hakiba pia
Inasikitisha jamn kuna wanawake hawabadilik tabia
Mim Emmanuer John napatikana upanga ila kwa huyo mama ni was moto inaniumama saaan kwa Kijana mwenzangu
Hao wamama wachache ndo wanawafany wamama wa kambo kuonekan wabaya
Uyo anaekukorofish ntamchapa😂😂
ata mim nina mama angu wakambo ananichukia bila kisa😳😳😳
Ila haji usingesamehe wakaondoka tu
Ubinafsi uzaa Tamaa, Tamaa huzaa wivu, uchoyo, manyanyaso, fitina n.k vitu hivyo kwa pamoja huzaa uharibifu hata mauti.
Wanawake wakiondokana na hili suala la ubinafsi dunia itakuwa ni pahala salama pa kuishi.
Pole sana haji
😅😂🎉😂
😅😂🎉😂
😅😂🎉😂
😅😂🎉😂
😅😂🎉😂
😅😂🎉😂
😅😂🎉😂
😅😂🎉😂
😅😂🎉😂
😅😂🎉😂
😅😂🎉😂
😅😂🎉😂
Hee!🤔