🔴LIVE:RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA 7 - JULY 09

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ค. 2024
  • 🔴LIVE:RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA 7 - JULY 09
    -
    Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9
    Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
    -
    Follow Us On:
    INSTAGRAM:
    Efmtanzania:
    TWITTER:
    Efmtanzania
    FACEBOOK:
    Efmtanzania:

ความคิดเห็น • 29

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga8101 16 วันที่ผ่านมา +12

    Alafu nikisema alikuwa mjinga na mpumbavu kabisa mnaona kama namhukumu,badala yakutafuta msaada kama alivyosema amekuja kuendelea, na huyo rafiki yake,toka siku ya kwanza tu alipomuona mwenzake alimwambia , huyo si mtu mzuri lakini yeye akaona kama anamfatilia mambo yake,akaja akamwambia tena ,huyo rafiki yako Yuko kwenye makundi mabaya ,akamsimulia hadi stori ya rafiki yake kupoteza maisha kwasababu yakujiunga kwenye makundi mabaya lakini wapi ,yeye masikio na macho juu juu kama mnara wa simu, kiukweli anakwaza sana,na ndio hivyo anaanza kuchanganya changanya matakataka maana hata uzoefu wa kujua tu kwamba mm natumia aina gani hajui, jamani MUNGU nakuomba epusha watoto wetu

    • @jumapiliissa4835
      @jumapiliissa4835 15 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂 yani watoto wengi wakushua hua hawajui vitu vingi na hua hawaamini mawazo ya watu wenehali yachini kiuchumi

    • @user-uu6ei1ys3k
      @user-uu6ei1ys3k 15 วันที่ผ่านมา

      AMINA🙏

  • @tusajigwemwamalili3556
    @tusajigwemwamalili3556 15 วันที่ผ่านมา +5

    Veronica okoa mb zetu basi kwa kutorudiarudia sentensi zile zile ambazo umeshatusimilia,unatufanya Sisi wakaibu WA simulizi zako Jana Mercy na Elibariki,radio hazishiki,punguza marudio audio ya maneno

  • @zayabdala-ky9dg
    @zayabdala-ky9dg 16 วันที่ผ่านมา +7

    Hii inafundisha ukiwa na Jambo linakusumbua acha kukaa kimya sema upate msaada naona kabisa alikua Teja aiseee inaumaa

  • @user-lu4ie4fp1o
    @user-lu4ie4fp1o 16 วันที่ผ่านมา +4

    Dada vero mungu akutuze me kipekee katika simulizi hizi nimejifunza mengi

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 15 วันที่ผ่านมา +2

    Umezid kulemba

  • @lucygodwin7590
    @lucygodwin7590 15 วันที่ผ่านมา +1

    Barikiwa sana Vero

  • @user-mq7xp2so6z
    @user-mq7xp2so6z 16 วันที่ผ่านมา +2

    Msichana mzuri tuseme alikuwa anakusubiri ww wakati wanaume wapo wwngi😂😂

  • @user-uu6ei1ys3k
    @user-uu6ei1ys3k 15 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂😂😂😂😂MENO YAMEPANGIKA❤

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 15 วันที่ผ่านมา

    Nashukuru Mungu Mungu kwakuniepusha vitu ivo sijui ningekua mgeni wanani

  • @annastaziajohn9269
    @annastaziajohn9269 15 วันที่ผ่านมา +1

    Matangazo yamezidi kuwa mengi

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga8101 16 วันที่ผ่านมา +1

    Na hilo ndilo lilikuwa tatizo lake kujifanya mjuaji,kutokusikiliza ni nini mwenzake anamwambia

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 15 วันที่ผ่านมา +1

    Shetani ni muongo sana😢😢

  • @AnnaMark-cm8ch
    @AnnaMark-cm8ch 11 วันที่ผ่านมา +1

    3 Some😂😂😂😂

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 15 วันที่ผ่านมา

    Yani kuna mambo mengi binadam tunakosea kutokana na matumizi ya akili pia nakuto fatiilia maandikoya M/MUNGU pole sana

  • @shaluuanthony1836
    @shaluuanthony1836 15 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢😢

  • @user-ol6dk4bp9x
    @user-ol6dk4bp9x 16 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli huyo ni shetani

  • @lightymmary22lightymmary27
    @lightymmary22lightymmary27 16 วันที่ผ่านมา

    Nasikitika Sana jmn poleee

  • @user-nn5lv6nb6i
    @user-nn5lv6nb6i 15 วันที่ผ่านมา

    Akome mimi ananipa to hasira hapa

  • @christinaabelmwaipungu-5727
    @christinaabelmwaipungu-5727 15 วันที่ผ่านมา +2

    Imalize hii simulizi inachosha sana da Vero!!

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc 16 วันที่ผ่านมา +2

    Chezea uzuri wewe hakuna mwanaume anayeweza kushinda vishawishi mbele ya mwanamke mzuri ata awe mchungaji au muaminifu sana kwa mkewe, pole sana

  • @clintonnjiku3616
    @clintonnjiku3616 16 วันที่ผ่านมา +2

    Dada veroo unasimuliaa vizurii sanaa❤❤❤ ilaa jamani vunadeleee niwaongoooooo sanaaa nilipigiwa sim tang tar3/5 mpaka leoooooo akunaaa kitu

    • @younghacker7250
      @younghacker7250 16 วันที่ผ่านมา

      @@clintonnjiku3616 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Kiddohsanga-fw7jh
      @Kiddohsanga-fw7jh 16 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂pole udugu

    • @user-nn5lv6nb6i
      @user-nn5lv6nb6i 15 วันที่ผ่านมา +1

      Watakua walikupigia matapel asa nyny mnadhn media kubwa kma hyo itatapel watu jamn c yatakua mambo y ajabu sn wanapt faid gn?? Kwahyo n veronik atakua tapel cyo kwl jmn

    • @monicahmwikali7699
      @monicahmwikali7699 13 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @user-ol6dk4bp9x
    @user-ol6dk4bp9x 16 วันที่ผ่านมา

    Sio arosto ya pepsi😂😂😂

  • @SabrinaIbrahim-jl5um
    @SabrinaIbrahim-jl5um 15 วันที่ผ่านมา

    Sio mshamba ni mwehu