IBILISI NI MSHENZI TU //SHEIKH KIPOZEO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

ความคิดเห็น • 51

  • @allyshaban5444
    @allyshaban5444 หลายเดือนก่อน +2

    ALLAH AKUHIFADHI SHEKH WETU HILAL SHAWEJI MAKARANI A.K.A KIPOZEO

  • @KhalidRashid-yr2hu
    @KhalidRashid-yr2hu หลายเดือนก่อน +1

    Wallah hamna shekhe nampenda dunian kama shekhe kipozeo yarrabi kwa rehm zako mjalie shekhe kipozeo pepo ya firdaus amiiiiiiiiiin

  • @mwaringakali483
    @mwaringakali483 ปีที่แล้ว +9

    Kazi nzuri sana bwana kipozeo Allah akupe afya na nguvu

  • @Moranotz
    @Moranotz หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah isilamu ❤

  • @rajabukimosa3377
    @rajabukimosa3377 ปีที่แล้ว +5

    Mashaallah Allah akupe heri duniani na Akulipe wema Akhera

  • @AnnoyedSunlightForest-uv2cx
    @AnnoyedSunlightForest-uv2cx 25 วันที่ผ่านมา +1

    MashaAllah

  • @hadjrahkhalfan3584
    @hadjrahkhalfan3584 ปีที่แล้ว +4

    Manshallah tabarakallah imam Abuu Hanifah kwa jibu zuri saana

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 ปีที่แล้ว +6

    SubHanaAllah.. Allah atujaliye mwisho mwema

  • @stevenkipara9310
    @stevenkipara9310 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmm! Mbona huyu Sheih yote anayo zungumza yapo kwenye bibilia Mungu akubariki mtumishi wa Mungu

  • @abduladenya2435
    @abduladenya2435 ปีที่แล้ว +3

    Sheikh Mola amjaze kheri ana ilmu kubwa na Bora zaidi,Kenya tuna m enzi

  • @zayanaduduna1405
    @zayanaduduna1405 ปีที่แล้ว +1

    Maa shaa ALLAH tabaraka ALLAH ALLAH akupe JANNAH FILDAUSI ALLAHUMMA AMIN YA RABBI 🤲🤲🤲🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @user-sy3qw2zk1b
    @user-sy3qw2zk1b ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi MUNGU akupe umri mrefu na akuongezee hekima ktk mafundisho yako ya kilimani. Mimi ni mkristo lkn napenda kusikiza hekima hii ulionayo.

    • @ibnukhatwib2969
      @ibnukhatwib2969 6 หลายเดือนก่อน

      Karibu katika dini ya haki,ndugu mpendwa

  • @saidmwakulika9945
    @saidmwakulika9945 ปีที่แล้ว +2

    Kugongozwa roho Allah atupe wepesi

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 ปีที่แล้ว +7

    Muda mwengine mada zako zinanikosha Mashallaaah

  • @zitoncombo1317
    @zitoncombo1317 ปีที่แล้ว +4

    Mashallah Tabarakallah shekh.

  • @othmanmasoud1672
    @othmanmasoud1672 8 หลายเดือนก่อน +1

    Maana vijana wa kileonataka kukifanya kila kitu mnajuwa kazi yenu kuwakosoa mashekhe tu hata kama hamjui

  • @safielimjema4593
    @safielimjema4593 ปีที่แล้ว +1

    Nakuelew sana sheikh kipoozeo

  • @RadjabuNiragira-xr5zr
    @RadjabuNiragira-xr5zr ปีที่แล้ว +1

    Mansha allah nakupenda sana maana mawaifha yako napata faida alafu na unanicekesha

  • @saidmwakulika9945
    @saidmwakulika9945 ปีที่แล้ว +2

    Yani 😂😂😂😂 ustadhi wangu huwa nakutambua sanaaa

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 ปีที่แล้ว +4

    Mtihani kwa kweli

    • @AllyMwambashi
      @AllyMwambashi 10 หลายเดือนก่อน

      Kila la kheri shekhe

  • @mohamedali7544
    @mohamedali7544 ปีที่แล้ว +1

    Ustad kipozeo MashaAllah. Maustadhi wengi tz huwa nimatabibu Inna Lilah wa Inna Lilah rajiun

  • @user-du6bd3no2b
    @user-du6bd3no2b 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee wa mizigo miss bantu

  • @abdallahbrek1698
    @abdallahbrek1698 ปีที่แล้ว

    Hapo katika Sunna mjomba umechanganyikiwa. Allah katuamuru tufuate kitabu chake. Muhammad alikuwa ni mjumbe tu. Tufuate ujumbe aliopewa, Qur'an. Wala hakuna cha makhulafaa wala khilafa. Huo ni uzushi chungeni

    • @fahadmussa8879
      @fahadmussa8879 ปีที่แล้ว

      Sun bwana wana chunguza mada nzima ili wapate kwakukosoa sio kupata dawa wao niubishanitu

  • @stanleychisasa4343
    @stanleychisasa4343 ปีที่แล้ว +1

    A like this papa

  • @mudrckshaamal-wb9vx
    @mudrckshaamal-wb9vx ปีที่แล้ว +2

    Shehe fundi mashaallaa baraka Allah

  • @issachitupa590
    @issachitupa590 ปีที่แล้ว +1

    Shekh irali kipozeo nakukubali sana

  • @nurdinibrahimu7312
    @nurdinibrahimu7312 10 หลายเดือนก่อน +1

    Alla Karim🙏

  • @khadijanyevu5866
    @khadijanyevu5866 ปีที่แล้ว

    Nayapenda mawaidha ya sheikh kipozeo lakini kwanini hapendi kuja Kenya??

  • @engyhy1985
    @engyhy1985 5 หลายเดือนก่อน

    Sheikh, Mtwara hakuna Nanjilinji, yapasa kuweka kumbukumbu sawa.

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 ปีที่แล้ว

    Shekhe mwalimu alijua kuwa ankufa saabu alikua na stage 4 cancer alikufa muda alioambiwa atakufa na alikufa muda alioambiwa na madaktari na nyerere alimwambia ata mkapa ( ugonjwa huu mimi sitopona) na mkapa akawaambia wananchi

    • @SultanAkram-ou8nt
      @SultanAkram-ou8nt 5 หลายเดือนก่อน

      Uwezo wa kufikiri wa mwanadamu una kikomo ,hivyo na ww hapo ndo mwisho wako wa kufikiri

    • @SultanAkram-ou8nt
      @SultanAkram-ou8nt 5 หลายเดือนก่อน

      😊😊😊

  • @pangapeter2758
    @pangapeter2758 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @musegedi3197
    @musegedi3197 10 หลายเดือนก่อน

    Cre

  • @othmanmasoud1672
    @othmanmasoud1672 8 หลายเดือนก่อน

    Hiyo sio mada hayo ni mawaidha wee vip eti wakati mwingine mada zako zinanikosha alafu huyo shekhe kama hujui anavitu vingi kichwani achilia mbali huo uchale wake

  • @abdallagaza6864
    @abdallagaza6864 ปีที่แล้ว +1

  • @ManaseManase-in3bg
    @ManaseManase-in3bg ปีที่แล้ว

    Naminywilu ndo wapi shekh

  • @edoedo4973
    @edoedo4973 ปีที่แล้ว +1

    MASHEIKH WETU MNAFULAI SANA KUPATA RAIS MWANAMKE MASHEIKH INABIDI TUPATE NA MAIMAMU WANAWAKE

    • @hassancharo1496
      @hassancharo1496 ปีที่แล้ว +1

      UNA AKILI TIMAMU KWELI WEWE IMAM MWANA MKE ULI MUONA WAPI😢

    • @ashaabubakar5036
      @ashaabubakar5036 ปีที่แล้ว

      Do you real mean it ama wasema thuu for the sake of

    • @abdulhakimhasan7673
      @abdulhakimhasan7673 ปีที่แล้ว

      Imamu mwanamke ni kombo na dini ya kiislamu.

    • @saidisesa5446
      @saidisesa5446 ปีที่แล้ว

      Sasa kama maka ni nchi takatifu aliko zaliwa mtukufu wa drja,mbona makka wakitutangazieni muandamo wa mwezi tunpingaa

    • @mohammedsururu4047
      @mohammedsururu4047 ปีที่แล้ว +1

      Kwani huyo rais wame muweka mashekhe

  • @soudhussein7396
    @soudhussein7396 ปีที่แล้ว

    Ukitaka kumjuwa IBLIS kwanza ijuwe nafsi yako mwenyewe.