Highlights | Simba ilivyoichakaza Coastal (0-7) - VPL 21/11/2020
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- Simba imeshusha dhahma ya mabao kwa Coastal Union kwenye mchezo wa VPL uliopigwa Arusha kwenye dimba la Sheikh Amri Abeid
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Hongeren kwa kujtuma wachzaj God bless my tm Simba sc
Nliona live but saii narudia narudia😋😋😋🦁🦁simba ya pira biriani my timu for ever woyo woyo woyooo😌😌😌
ALHMDHULILLAH Kwa Matokeo mazur point 3 Muhimu
,z
#onelove love simbaaaa🥰🥰🥰
Dilunga katisha sio kwa ushangiliaji ule nimependa sana simba baba lao 🙌
Eti kama karewa vile
Flawless victory ✌🏾
Nabdo Simba nguvu moja
Hiyo ndo simba
We Simba noma
Sasa yanga mna nuna nini😂😂😂😂😂 jamani mniombee nakatiza jangwani hapa na matokeo ya darasa ra saba yame toka lakini tsiwalaumu sana wagosi wa kaya kupigwa 7 tatizo jezi zao zina chata GSM ndio mana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wee pita mbali nao hao😅😅🤗😂wanaweza kumalizia hasira aloo
Naipenda San simb nguvu moja
Ongereni Sana Simba
#MRISHO #GAMBO shabiki wa simba kindakindaki
Hii ndo simbaaaaaaa
Hii inaitwa mission to kill🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kazi zuri mnyamaaaaaaaaaa
Vzr sanaa
Ukopoa
Naomba tuchati
Simba chamakubwa
safi sana
Wamepata wabofu
Morisson katisha sanaaaa
Muwaleqezee jamani mutawaoqopesha timu zngine
Week nzima Taslim keshi
Simba na yanga
Wangapi bado tunaikumbuka hii tu wape like ❤❤
Akili
Pira birian huo tunapigaga kuuwa
Download simba vs costo
Kweli mlicheza na Tim mbovu msije mkaenda nigiria na matokeo mtakula 8
Weeeeeeeeeee champ fund Haman mweeeeeeeee
Noma
Hahahaha Matokeo ya Darasa la saba Yametoka... Hyo ni likizo ya wiki
Ila wahome mmetuangusha bwana mbona uwanja ujajaa hapo ila fresh kichapo kichapo imeisha iyoo
Tumejitaidi v,i,p 25,000 ,b 15,000 mzunguko 10,000 tumeingia wengi kwa kiingilio icho .
@@sulemankileo5605 hongera wahome kama ulikuwepo simba nguvu1
Naona vishabik vya chaumbeya fc vimebanwa mavi na choo hamna hapo eti mnachati.mnaumiiia.
😁😁😁😁
🙈🙈🙈🤪🤪🤪🤪
Nice
timu mbovu kwaiy cost ijawai kuifung simb au ingeifunga simba piy mngesema simb imefungw na timu mbovu waja amkosi ya kusema yote ya yote tumepat poit3 maneno maneno tumuachie kasuku😂😂😂😂
Kal sana
Magoli mengi of said
BA's yatoe ya oofside ubakishe ambayo cio
E e e e e e e e e maaa weeee hahahahahahahaaaaaaaaaa. Kama ulisikia hivi twende sawa
Nomaaaa
kipigoo kinaendeleaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂weak1 7G inapendezaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Show show
Nouma sana hiyo ndo Simba hbn
Nabado nawaombea njaa watan kwa namungo
Tena wajiandae kisaikolojia naamungo hana raha safar hii lazma amkazie
Nimemuona hansipopo
💪💪
Chama
naipenda Simba
Hii mechi sijui yn
Tunaomba hata kimataifa tufanye kweli
hayo magoli men men go sana
hayo magoli mengi sana
Kichapo cha nguvu
Hakuna wa kumusimamisha mnyam labda lisasiiiiiii
Abushee siyo wakuchezea cost aende nje uyu yuko sw
Coco Jr kwan pale kwako yanga ni pabov
Hata ww c umsajil Abushee
Ekisi
Simba 3 yanga 3
Mwakinyo
Kwakuwa wameonwa costal wanapeda pesa ,na wengine wahonge si ni biashara kwa nn kulalamika toeni pesa na wengine tuzione hata 5 tu.
Ww unafel wap kununua kwan tusione ukicheza nao na una hata goli 6
Ukiuma chomoa
@@edenbaraka7533 ,ndiyo nawaambia watoe nao pesa ,make Kila Simba ikifunga kelele ,he!
@@BigDreamsWorldwide hujamwelewa
Mmmh ya mkosaji hayo
Bm3 Ana Jambo lake ngojee
Azam bogas kabisa kuweni serious na kaz yenu, Yan highlights ina dk20? 😅😅😅
Unataka ya dakika ngap mzee
Mzee unajua maana ya highlights Lakin? Highlights haitakiw izd dk4 mpka5 bas angalia ht super spot
Sio kweli highlit nitofauti na magoli
@@danielmathias160 highlit kwa dakika hizo nisahihi, labda magoli ndio inakiwa dakika chache
@@danielmathias160 sio kweli angalia u tube channel ya NBC ya uingereza highlights nyingi ni kuanzia dakika 10 kwenda mbele..
Simba ni bora kuliko utopolo maana utopolo wamefungwa wakat sisi tulitoa mapigo saba
0
Baraka mpenja awe anatangaza mechi ya simba ndo inanoga
Ndio awe anatangaza yeye
Safi simba
Akiligames
Hiyo ndosimbaaaaaaaaaaa weeeeeeeeeeeee
DXd
J
Simba v yanga 3 3
Polen cst
hapakatu
MSUMARI HATOSAHAU MAISHANI MWAKE MECHI HII .
Nigeria tutapiwa nyingi sana kwa matokea aya yatatutia matumaini kumbe wapi hatuna kitu.
Hehee
Mm mkenya na kusema kweli, wakati marefaree wanapoacha offside kuifanya timu kujiona nzuri ndipo unagundua ukienda kwa mechi ya kimataifa matokeo yanakua duni.....
Mnateaeka mkiwa wap
Offside fc
KILICHO WAPONZA COASTAL UNIONI NI WADHAMINI WAO GSM.
🤣🤣🤣 et msumali alivoingia tu akalutana na msumari
yanga ngwambina
Simba ushind upo njenje
Marefa wamekuwa waoga sana kisa simba wanalaumu sana mpaka wanaachiwa2
KILICHO WAPONZA COASTAL UNIONI NI WADHAMINI WAO GSM.
Ila kweli Kuna gori kama mbili ivi za offside
G
Wangekuwa wanacheza hivyo na Yanga ingekuwa bora zaidi! KUWAONEA COASTAL NDUGU ZENU HIYO SIO POA!
4g huzion boya ww
HAMTAKUMBUKA TENA MCHAKATO WA UWEKEZAJI HUYO NDIO PONJORO KANUNUA MECHI HAMTAONGEA TENA
Wekeza wewe sisi hii inatutosha
K kama k t na ww
Bado na ww kukununua
Mbona mkeo ananunuliwa hatusemi
Unateseka ukiwa wapi
Mfariji ni Simba
Za
Dakika ya 7gor lakwanza mwisho saba
Asant mshbki mwzng