MIZUKA YA PACOME 🙌 LIGI IANZE TU! ONA TIZI LAKE HAPA AKIJIFUA BILA KUCHOKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ก.ค. 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi #Pacome
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 99

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 20 วันที่ผ่านมา +11

    Namuomba Mungu mwenye rehema awape nguvu na uwezo mkubwa ili tufanye vizuri katika Kila ligi yaan ngao,lig kuu, clab BINGWA , Toyota cup na shirikisho tubebe makombe yote katika jina la YESU kristo Amen

  • @user-ok3bc8of5q
    @user-ok3bc8of5q 20 วันที่ผ่านมา +21

    Pacomeeeeeeeeee tuna kupenda sana wanchiiiii love you

  • @imanikubwa2896
    @imanikubwa2896 20 วันที่ผ่านมา +4

    Nakuombea Sana Pacome asipate majeraha kabisaa
    Halafu awe vizuri kiakili na kimwili

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 20 วันที่ผ่านมา +4

    Mungu awape afya njema wanajeshi wetu. Juhudi hizi zitatulipa sana msimu huu.

  • @hashimkakozi7752
    @hashimkakozi7752 20 วันที่ผ่านมา +15

    Daima mbele nyuma mwiko
    Tujitahidi kulipa ada zetu ili furaha idumu daima

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 20 วันที่ผ่านมา +2

      Wewe ni mtu wa maana sana na umeongea kitu cha maana sana

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 20 วันที่ผ่านมา +2

      Tutajitahidi kufanya hivyo 🎉🎉🎉

    • @josephathmeijo8094
      @josephathmeijo8094 20 วันที่ผ่านมา +2

      Umeupiga mwingi sana😂

    • @slimmuhabesh2400
      @slimmuhabesh2400 20 วันที่ผ่านมา +1

      Safi sana

  • @barakawabuge5285
    @barakawabuge5285 20 วันที่ผ่านมา +5

    Eeh Mola mwepushe Pacome na adha ya majeraha msimu huu

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 20 วันที่ผ่านมา +13

    Mungu Muweza yote awapiganie katika kila hatua

  • @user-cv4yi5hz9b
    @user-cv4yi5hz9b 20 วันที่ผ่านมา +11

    All the best My team 💚💚💚💚💚✅🤲🏻🤲🏻🤲🏻🏆🔜🔝✌🏿

  • @patricklaiton8939
    @patricklaiton8939 20 วันที่ผ่านมา +13

    NEXT BIG NAME IN NBC PREMER LEUGUE

  • @faridaamenye8405
    @faridaamenye8405 20 วันที่ผ่านมา +8

    Daah napenda sana timu yangu

  • @GodwiniFwelo
    @GodwiniFwelo 20 วันที่ผ่านมา +10

    Hadi raha

  • @MoajGraphics
    @MoajGraphics 20 วันที่ผ่านมา +16

    Huyu ndiye atakuwa shujaa wa msimu ujao

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 20 วันที่ผ่านมา +1

      Sahihi kbs. Pacome ataimbwa sana. Narudia pacome zouzou ataimbwa sana ni moto wa kuotea mbali. Muda utasema tusubiri

    • @ceciliadaudi1632
      @ceciliadaudi1632 20 วันที่ผ่านมา +1

      Surely 🎉🎉🎉🎉

    • @kanyeshahigirimana5686
      @kanyeshahigirimana5686 20 วันที่ผ่านมา

      Inshaallah Amin na iwe hivyo

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 20 วันที่ผ่านมา +8

    Zidane wa Africa 🎉🎉🎉

  • @user-he7ke4vh2b
    @user-he7ke4vh2b 20 วันที่ผ่านมา +9

    Timu kubwa mambo makubwa

  • @revocatusandrew2356
    @revocatusandrew2356 19 วันที่ผ่านมา

    Mwenyezi mungu uwlinde wachezaji wetu na wale wote wenye husuda

  • @Allyjully98
    @Allyjully98 20 วันที่ผ่านมา +9

    Watasema tu kama chama ni Mzee au wao ndo wanaukataa uzee 😂😂

  • @bakariomarimndeme6059
    @bakariomarimndeme6059 20 วันที่ผ่านมา +10

    Alafu eti kambi Misiri ya nini.

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 20 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu tulindie team yetu yanga❤❤❤🎉

  • @revocatusandrew2356
    @revocatusandrew2356 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu awaepushie mbalimna majeraha kipindi chote cha msimu

  • @user-ue1xd9rv8p
    @user-ue1xd9rv8p 20 วันที่ผ่านมา

    Emwenyezi Mungu awatangulie katika mashindano yote

  • @user-yh5bg5ds7k
    @user-yh5bg5ds7k 20 วันที่ผ่านมา +8

    My team 💚💛💚💛

  • @andersonbruno6255
    @andersonbruno6255 20 วันที่ผ่านมา +5

    🔥🔥🔰🔰 Professor pacome

  • @AbbasPuyaga
    @AbbasPuyaga 20 วันที่ผ่านมา +4

    YANGA FIRE 🔥

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo 20 วันที่ผ่านมา +3

    Wee pacome weeee hadi rahatupu kipenzi cha wana yanga

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 20 วันที่ผ่านมา +1

    Kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 20 วันที่ผ่านมา +5

    ROHO ❤️

  • @danyboytz2744
    @danyboytz2744 20 วันที่ผ่านมา +7

    Pacome 💚💛💯

  • @bongodata
    @bongodata 20 วันที่ผ่านมา +4

    Njooni Tuangalie Bonog Data

  • @stapinuswilliam860
    @stapinuswilliam860 20 วันที่ผ่านมา +6

    Prof

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 20 วันที่ผ่านมา +2

    Aziiz 🎉🎉🎉

  • @kelvinshao2888
    @kelvinshao2888 20 วันที่ผ่านมา +7

    let's go

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 20 วันที่ผ่านมา +21

    😂😂😂mwenye Ako karibu na pacome amuulizie anatumiaga Nini meno yake adi yanakua hivo nimechoka kua mmasai uku mm ni mkurya

    • @Enock-sy2en
      @Enock-sy2en 20 วันที่ผ่านมา +5

      Acha maswal ya kijinga ww

    • @MirumbeMarwa-eo2yl
      @MirumbeMarwa-eo2yl 20 วันที่ผ่านมา +4

      Kama huna Cha kusema unakaa kimy

    • @FirdausyAbubakary-bl2wo
      @FirdausyAbubakary-bl2wo 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@MirumbeMarwa-eo2yl😂😂😂jamani kilamtu ana uhuru wa kuzungumza😂😂😂

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 20 วันที่ผ่านมา

      @@MirumbeMarwa-eo2yl ubwaa wewe nitolee kiele ele chako nimekuuliza wew na domo kama mwijaku ninyamaze umeninunulia bundle maku we na uyo mwenzako

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 20 วันที่ผ่านมา

      @@Enock-sy2en kijinga vip mm nimejisikia kuccoment hivi na sio kwamba Niko serious ningekua serious nisingeweka emoj za kuvheka ila nyie ndo mnajiona mnajuaga Kila kitu hapa mtandaon kama mnaleta usilias uku mtateseka sana

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 20 วันที่ผ่านมา

    Naomba mungu awalinde na majeraha na kitu chochote kibaya na wenye macho ya husda pia

  • @sofiamsuya2254
    @sofiamsuya2254 20 วันที่ผ่านมา +2

    Atawamalizaaaa

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6b 20 วันที่ผ่านมา +1

    Muda wa kazi

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290 20 วันที่ผ่านมา

    All the best to my lovely team yangaaaaa all the way from QATAR penda Sanaa yangaaaaaaaaaa

  • @user-lz1dw3dm5g
    @user-lz1dw3dm5g 20 วันที่ผ่านมา

    Tuwaombee sanaa wachezaji wetu

  • @ntakakasendebayi9992
    @ntakakasendebayi9992 20 วันที่ผ่านมา

    Love you yangasc💚💚💛💛🔰

  • @Adrianolaurian
    @Adrianolaurian 20 วันที่ผ่านมา +1

    Munataka wasilete timu😮

  • @RozaliaStanslausRaphael-zw7zj
    @RozaliaStanslausRaphael-zw7zj 20 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa haya mazoezi kama hajafa mtu kwa majirani sijui

  • @apolnaryjohn92
    @apolnaryjohn92 20 วันที่ผ่านมา

    Good job idara ya habari maudhui🎉🎉🎉 mko juu sana ata kwa antenna hawawafikii🎉😂😂

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 20 วันที่ผ่านมา

    Yanga 🔥🔥

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 20 วันที่ผ่านมา +2

    Max🎉🎉🎉🎉

  • @richardmaziku246
    @richardmaziku246 20 วันที่ผ่านมา

    Mpenii no 6 ..auu 11

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo 20 วันที่ผ่านมา

    Bacca ana vaa namba 2 lakini naona leo ame vaa azizi andambwile

  • @revocatusandrew2356
    @revocatusandrew2356 19 วันที่ผ่านมา

    We love u man

  • @user-lz1dw3dm5g
    @user-lz1dw3dm5g 20 วันที่ผ่านมา

    Wawooooo

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 20 วันที่ผ่านมา +1

    Kibabage🎉🎉🎉🎉

  • @allysinde6208
    @allysinde6208 20 วันที่ผ่านมา +2

    Kuna mchezaji kavaa jezi ya Bacca..
    Halaf Bacca mwenyewe haionekani..
    Kulikoni jamaniii..
    Msituambie eti wachezaji wanavaliana jezi😢

    • @zakiakondo2849
      @zakiakondo2849 20 วันที่ผ่านมา

      Uongozi unajua zaidi wewe lipa ada yako

    • @jovinmashauri7883
      @jovinmashauri7883 20 วันที่ผ่านมา

      tulia bacca yupo sana kashaongeza mkataba

    • @RehemaDavid-f2l
      @RehemaDavid-f2l 20 วันที่ผ่านมา

      Hyo ni kawaida2,mbna Chama kavaa jezi no 10 ambayo ni ya pacome?, kwahyo ni kawaida2,icwaze baca yupo

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 20 วันที่ผ่านมา +1

    Ipo siku jitu litakufa 8-0

  • @fabianmwinuka1395
    @fabianmwinuka1395 20 วันที่ผ่านมา

    Acha vyuma viongee

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 20 วันที่ผ่านมา +1

    Sure boy🎉🎉🎉🎉

  • @DittoAlly-er5yz
    @DittoAlly-er5yz 20 วันที่ผ่านมา

    Yanga raha sanaaa

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 20 วันที่ผ่านมา +1

    Pacome 🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 20 วันที่ผ่านมา +1

    Chama🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 20 วันที่ผ่านมา +1

    Yaooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 20 วันที่ผ่านมา +1

    Nkane🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 20 วันที่ผ่านมา +1

    Muda🎉🎉

  • @elikindomondo3569
    @elikindomondo3569 19 วันที่ผ่านมา

    💚💚💚💚💚💚

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 20 วันที่ผ่านมา

    Job doc🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 20 วันที่ผ่านมา

    Mzizeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AntonyNdayanse
    @AntonyNdayanse 20 วันที่ผ่านมา +1

    Tukutane 8 8

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 20 วันที่ผ่านมา

    Capten 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉mwamnyeto🎉

  • @onesmomnyeke3477
    @onesmomnyeke3477 20 วันที่ผ่านมา +5

    Aucho yupo wapi

    • @paulclementmakune3661
      @paulclementmakune3661 20 วันที่ผ่านมา +1

      Aucho Baka Azizi Gift Msonda hawajaripot

    • @onesmomnyeke3477
      @onesmomnyeke3477 20 วันที่ผ่านมา

      Maana tuseme ukweli bila aucho kuna mechi tutapoteza point

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 20 วันที่ผ่านมา

      Kikubwa wawepo tu wasiondoke Ndiyo wasiwasi wetu

    • @zakiakondo2849
      @zakiakondo2849 20 วันที่ผ่านมา +1

      Kalipieni app maswali humu hayasaidii

    • @zakiakondo2849
      @zakiakondo2849 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@onesmomnyeke3477lipa app upate taarifa

  • @user-pw6rn5jn2q
    @user-pw6rn5jn2q 20 วันที่ผ่านมา

    Mabingwa wa kila muda

  • @user-yh7bn1jg9o
    @user-yh7bn1jg9o 20 วันที่ผ่านมา

    Mbona namba ya bacca amevaa mchezaji mwingine ndio wametunyang'anya nini

  • @FrankMlaponi-hz4ns
    @FrankMlaponi-hz4ns 20 วันที่ผ่านมา

    Vitaro wameyatimba

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 20 วันที่ผ่านมา +1

    Farid🎉🎉🎉🎉

  • @user-ue1xd9rv8p
    @user-ue1xd9rv8p 20 วันที่ผ่านมา

    Mnona Baka aonekani na msonda kulikoni

  • @chollejr_
    @chollejr_ 20 วันที่ผ่านมา

    Alaf aje aguswe mtu mseme faulo

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 20 วันที่ผ่านมา

    Aisee hii yanga bwana league ianze tu ila jamani mkude yuwapi na musonda?

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 20 วันที่ผ่านมา +3

    Wananchi!
    İbrahim Bacca na mkude hawajaripoti?🙏🙏🙏

    • @zakiakondo2849
      @zakiakondo2849 20 วันที่ผ่านมา

      Nenda kwenye app

    • @zakiakondo2849
      @zakiakondo2849 20 วันที่ผ่านมา

      App lipia kaka

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 19 วันที่ผ่านมา

      @@zakiakondo2849 nalipiaaaa mdogo wangu!
      Unajua na mm pia ni Ukoo wa KONDO

  • @DatyVena-ph3sz
    @DatyVena-ph3sz 20 วันที่ผ่านมา

    el professor

  • @kmuhema2021kmuhema
    @kmuhema2021kmuhema 20 วันที่ผ่านมา

    aaaa