SAM SIMBA: UKISTAAJABU SOLD OUT UTAYAONA YA SIMBA SC VS APR FC KWA MKAPA| MAJIBU KUPATIKANA TAREHE 8
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 ต.ค. 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Huyo yuko bomba sana, mijitu mingine kazi yao kupenda kusifiwasifiwa kwa vile mashabiki wa yanga au simba, ovyoooo.
Kweli kanka Sam nakufatilia sana nipo dubai
Simba bigwa
Mimi ni mnyama mwenzìo but umetema facts nmekuelewa mkuu that's reality
Ahsanteni wisport kwa tuletea madini kutoka kwa Sam hapa tunasikiliza mpira na Wala sio porojo
Kisa' mmesifiwa na mke wenu😊
Huyu jamaa ana content ambazo ziko fact kabisa
Huyu Mwamba ni mmoja kati ya wanamichezo wachahe tuliobakia nao yeye anazungumzia boli tu yaaani alianza kupenda mpira kwanza timu akafuata baadae
Huyu jamaa atumwelewi naonakama kinamchome
Hao wanao mfagilia wote ni young,huyu na mchome hakuna tofauti
Huyu bwana hanaga nguo nyingine ,yeye na mchome lao moja na muda wote na majezi ya simba kisha kuiponda
Ni sahihi huyu nae ni kibaraka tu!