ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
Ahmed Ally, Crescentius Magori wazungumzia usajili, Simba Day, ubaya ubwela
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ค. 2024
- Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Crescentus Magori na Meneja wa Habari wa timu hiyo Ahmed Ally wamezungumzia mchakato wa usajili ndani ya klabu hiyo na kutoa tafsiri ya ubwaya ubwela.
Tunaosema tutajiunga na simba bando kuichangia simba weka like
Msemaji ni mmoja tu ktk ligi yetu ya African,na ni semaji letu la kafu ❤
Yaan aacha tu ma simba day siku hiyo. Watakoma mwaka huu❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Mo Boss kubwa hoyooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍semaji wetu hoyoooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍
Much love from Rwanda 🇷🇼 I'm APR FC fan 🤍🖤🤍🖤 turabakurikiye Tanu kwa tanu
General magori ubaya ubwela genius
Asanteni sana azam kwa kuiweka hii you tube maana niliikosa kutokana na kukatika kwa umeme
Magori ni mtu haswa anatakiwa atunzwe kwa faida ya Simba ya sasa na baadae
Kama mpanzu anazingua aachwe maana waliopo kwangu Mimi viongozi siwadai ila ushauri wangu naomba waliosajiliwa wapewe nafasi wacheze
Am proud Simba fan
Simba nguvu moja Tim kubwa Africa na Dunian tuwe watulivu kwanzia viongoz mpk mashabik tutaimarka tu na tutaendeleza ubabe wetu
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Huyu jamaa ni hatar ana kpaji kwakweli We love u broooo
Msemaji Bora Tanzania 🇹🇿 na Africa nzima.
Bro magoli u looks like my dady rest in peace dady
Semaji anaetrend tiktok cmba nguvu moja ubaya ubwela
Ahmad bin Aliy nakukubar sanaaa kwa uwezo wa mungu inshaanllah furaha tuliyoikosa kwa mda mref viongozi wachezaji wajitume kwa bidii wajue kitu gani tunacho kihitaji tutarudi kwenye furaha tuliyo ipoteza.
Mungu awabariki Simba yetu isonge mbele, amina
Wapi onana jamani mtuweke wazi tunaumia mashabiki wake
Magori is intelligent, big up
Magori,napenda sana majibu yako kama mgunda tu,maneno mengi ya nini unajibu point
Mpanzu na Fei Toto tunauwa watu kwa pressure, please waleteni msimbazi
Semaji la wasemaji tz wengine waropokaji tu
SAFI SANA SEMAJI LETU LA CAF. TUNAKUPENDA SANA WANASIMBA
Magori mtu haswa, hamnaga mkurya fala Town.... bigg up saana Tata Magori
Interview imekamilika sana
Huyu mwamba ni hatar ni mashine ya kuongea
Nakubaliii sana Chama langu,Magori mnyamaaaaaaa
Magori yupo vizuri, hana papara, katulia
Hawa watu wawili sina mashaka nao kabsa nawaamini mnooo🦁🦁🦁🦁
Magori ni mashine ya kweli pale simba ,mungu ampe maisha marefu pale simba,,,by dickson peter ..nikiwa dar
Nawapongza saaaaana wakuu wangu hao kwa kazi nzuri wanazo fanya kwa moyo,....mungu azidi kuwajalia afya njema
Semaji linalo ingia on trending upepo unao semaji
Musa mangungu ni kilus I mpaka Sasa wengi hawamtaki ila watu wameamua kuweka umoja
Kweli Ila atatoka tu simba tuweke kwanza nguvu nyingi timu na club ikae sawa mangungu ni mdudu mdgo Sana siku moja tu makiamka anakuta THANK YOU YAkE MEZANi😂😂😂😂😂
Magori anajibu maswali vizur kweli ni mtu wa mpira anaijua Simba kindakindaki Hawa ndo tunawataka kwenye Simba Kwanza anaipenda Simba ni fans wa Simba"Simba nguvu moja🔥💪"
I
Nalipongeza sana chama langu simba 🦁🦁🦁 nguvu moja 💪💪💪
Kongole sana semaji la caf
Nakubali ubaya ubwela
Simba.....!!!!! Nguvu moja
Hongereni sana viingozi wetu
Ally komwe na Hers njoo ujifunze kuongea kama hiv pointi
hawezi yure bwakubwaku
Semaji 🎉🎉🎉
Kadi za mashabiki tuna zipataje
Mimi ni mwa😊 mwanachama lakini Nipo American nitafanyaje ili nichangie nikitokea huku 🇱🇷?
Asante azam
Viongoz wanapo fanya usajili wanaakiri wana jua nan anafaa kwahyo tusubirie viongoz wafanye usajili tuone uwanjan alafu unapo sema ni siasa wewe mwanachama? Tusiwe tunapga makelele alafu kumbe hata kad ya mwanachama huna waache viongoz wafanye usajili
Una hoja kabsaa familia ✊
Ongezeni wanachama wapya,lkn mkiweka sharti moja la kila mwanachama lazima alipie kadi yake kila mwaka na akiwa ajalipia ndani ya miaka miwili ifutwe apewe mwingine na yeyote atakayelipia siku ya uchaguzi asiruhusiwe ili kumfanya aone umuhimu wa kulipia kadi kwa wakati
Simba bando ipo vodavom
simbaa nguvu moja 😊😮
Wenzenu wanatafuta wachezaji ninyi mnatafuta maneno mtaani ya kudanganyia watu.
Naitwa Hamis from kigamboni naomba hiyo huduma yasimba bando ije namitandao mingine tafazali
Nanunua
Kwanini wamemtoa mgunda kwenye bench
Kwan uto wanakuaga wapi? Kufikili sana
Kwanza nawapongeza kwakipindi kizuli oja yangu. Ipokwenye namna yakutumia mtandao wa Voda Mimi nipo Mozambique nauku sisi tupo tunanufaishaje Simba yetu?
Mwenda hatumuonii kambini
Amed baba utaniua mm wew nimwamba ndomana walikushindwa wakaleta watatu iri wakuchangie wamelala nabado watalala
😂😂😂😂😂 sasa iyo ni taasisi kweli ?? Kitengo kiwe na mtu mmoja kwelii ??
Nasisi wangoni hua tunatumia hiloneno
Naomba namba ya msemaji Ahamedy
Simba nguvu moja
yoooo if you like SIMBA like my comment down
Mtangazaji ni shabiki wa simba ameshindwa kujizuia
Humjui vizuri Mahmood wewe, ni utopolo mzuri tu but very professional!
wewe ni wa juzi juz bin zubery ni mwanachama wa yanga siyo shabiki tu ni mwanachama wa yanga
Jamani mbona kibu hatumuoni kulikoni?????
Roho mbaya haijifichi unaumia ukiwa wapi 😂😂😂😂😂
Ulitaka awe chura?
Ubaya ubwela Ila SEMAJI LETU halitaki unyonge🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kramo jamani mwacheni mbona kapona jamani
Mashine ya kuongea alikuwa anaumia 😂😂😂😂
Pia muulize tulihamasishwa kukata kadi za uanachama kupitia benki ya Equity bank je zile tuachane nazo?na tukate za CRDB NA NMB?
Trending 1 simba nguvu moja
Kipindi kitam sana nilokuwa natamani kusikia sauti ya father magoli na hamedi alii
Nimeipenda iyo raisi wa wasemaji ote tanzania semaji la caf
Tutajie Tena hiyo no, ya kujiunga Simba bando.
Mimi nimwana chama wa smba nigeomba kramo twende nae naiman atatusaidia
Mbona kramo yupo sana na aliongeza mkataba wa mwaka mmoja
Simba nguvu Moja yani mwaka huu tumesajili IGP watupu au maamiri jeshi watupu yani hakuna kuruti kwenye kikosi chetu
Mwambie Ahmed Ally anakumbuka alichoambiwa na mshabiki wasimba toka mikese juu ya uzinduzi wa jezi?
Tuipende simba yetu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mzee magori fukuza manula huyo kirusi kitoke
Magoli tunakutakia majukum mema ya simba yetu
Azam TV kiboko yaoo 🎉🎉
Wewe hujui kitu huyu Zubery Yanga damu ujue hilo
Kuna mwamba njaa ilkua inampiga apo 😅😅kiasi kwamba anapiga miayo kwenye myk😅
406 subscribers 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉👏👏👏🙏... let's go..!
Yaan simba huwa wanaanza yanga wanaiga et yanga famili mara wiki ya wanachi yaan lzm simba waanze wao wanaiga
iyo simba bando naomba iwekwe kwa mitandao yote pleaSE
Mfarume wa nyika wekundu wa msimbazi
Mbona kama kuna mtu anapiga mihayo apo
Mwambie magor tunamuomba elia mpanzu
Nguvu mojaa❤❤❤❤
Ni kawaida yetu walijitapa kupambana na sisi nyuma mwiko likawakuta wakajitoa Tena Kwa aibuuu
UBAYA UBWELA
Mzee magoli utakaa mdagani ktk uongozi wa simba?
Nijambo jema Sana hilo,ushauri kuweke utaratibu wa taarifa za makusanyo ya kila mwezi wapenzi wangapi wa simba wamejiunga na kiasi gani kimechangiwa hii italeta moral yakujiunga wengine.tunataka kujenga uwanja tunashindwa vp na KMC?.wingi uwe ni sababu kuleta maendeleo.
Hiyo safi Simba bando
Semaji la Mnyama, Semaji la Dunia 🎉🎉🎉🎉🎉
Sema huyu mzee magoli safi sana yani...
Wangoni pia bwers njoo rudi kibantu
Sasa magor karudi nafraha sasa🎉
UBAYA UBWELA MPOAPOOOO
Nakupongeza sana sana kwa kufanya usajili mkubwa sana Bado mmoja tu ellia mpanzu
Simba Nguvu moja
❤❤❤
Aubni cramo msifanye ajizi kumuondoa aachwe hata miezi sita kuumwa hakujitakia hivyo atazamiwe baada ya kupona!!!
Semaji la cuf umetisha
Ubaya ubwela
hi General kuna sjili Kama lawi ;Augustine na aweso na mpanzu zimefokia wapi?
Awesu ni mzee na wew ata sio mchezaji wa kuulizia
Nataka kadi yangu niliyosajiliwa wilaya ya mvomero kata ya mkindo Nataka kuchangia nikiwa huku 🇱🇷
Mtafut Ahamedi aliy