ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

Ahmed Ally, Crescentius Magori wazungumzia usajili, Simba Day, ubaya ubwela

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ค. 2024
  • Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Crescentus Magori na Meneja wa Habari wa timu hiyo Ahmed Ally wamezungumzia mchakato wa usajili ndani ya klabu hiyo na kutoa tafsiri ya ubwaya ubwela.

ความคิดเห็น • 282

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 27 วันที่ผ่านมา +7

    Tunaosema tutajiunga na simba bando kuichangia simba weka like

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf 25 วันที่ผ่านมา +4

    Msemaji ni mmoja tu ktk ligi yetu ya African,na ni semaji letu la kafu ❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 26 วันที่ผ่านมา +2

    Yaan aacha tu ma simba day siku hiyo. Watakoma mwaka huu❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Mo Boss kubwa hoyooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍semaji wetu hoyoooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍

  • @NteziryayoAime
    @NteziryayoAime 28 วันที่ผ่านมา +2

    Much love from Rwanda 🇷🇼 I'm APR FC fan 🤍🖤🤍🖤 turabakurikiye Tanu kwa tanu

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 27 วันที่ผ่านมา +4

    General magori ubaya ubwela genius

  • @nesto_automobiles6537
    @nesto_automobiles6537 26 วันที่ผ่านมา +2

    Asanteni sana azam kwa kuiweka hii you tube maana niliikosa kutokana na kukatika kwa umeme

  • @user-rl1vr1fd1r
    @user-rl1vr1fd1r 28 วันที่ผ่านมา +8

    Magori ni mtu haswa anatakiwa atunzwe kwa faida ya Simba ya sasa na baadae

  • @user-ze2nk8cw5s
    @user-ze2nk8cw5s 28 วันที่ผ่านมา +5

    Kama mpanzu anazingua aachwe maana waliopo kwangu Mimi viongozi siwadai ila ushauri wangu naomba waliosajiliwa wapewe nafasi wacheze

  • @mohamedjuma1960
    @mohamedjuma1960 28 วันที่ผ่านมา +3

    Am proud Simba fan

  • @JoshuaLeonard-lo3cs
    @JoshuaLeonard-lo3cs 27 วันที่ผ่านมา +3

    Simba nguvu moja Tim kubwa Africa na Dunian tuwe watulivu kwanzia viongoz mpk mashabik tutaimarka tu na tutaendeleza ubabe wetu

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 28 วันที่ผ่านมา +4

    SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 27 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa ni hatar ana kpaji kwakweli We love u broooo

  • @IsackVedasta
    @IsackVedasta 23 วันที่ผ่านมา +2

    Msemaji Bora Tanzania 🇹🇿 na Africa nzima.

  • @Dayotz
    @Dayotz 28 วันที่ผ่านมา +3

    Bro magoli u looks like my dady rest in peace dady

  • @SwaumuShabani-qm4xo
    @SwaumuShabani-qm4xo 28 วันที่ผ่านมา +5

    Semaji anaetrend tiktok cmba nguvu moja ubaya ubwela

  • @DullhFeyy
    @DullhFeyy 26 วันที่ผ่านมา

    Ahmad bin Aliy nakukubar sanaaa kwa uwezo wa mungu inshaanllah furaha tuliyoikosa kwa mda mref viongozi wachezaji wajitume kwa bidii wajue kitu gani tunacho kihitaji tutarudi kwenye furaha tuliyo ipoteza.

  • @user-bh7cc4dt3b
    @user-bh7cc4dt3b 28 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu awabariki Simba yetu isonge mbele, amina

    • @Lusindehalima-si3ej
      @Lusindehalima-si3ej 28 วันที่ผ่านมา

      Wapi onana jamani mtuweke wazi tunaumia mashabiki wake

  • @yusufmruma2870
    @yusufmruma2870 28 วันที่ผ่านมา +2

    Magori is intelligent, big up

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf 25 วันที่ผ่านมา +3

    Magori,napenda sana majibu yako kama mgunda tu,maneno mengi ya nini unajibu point

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 28 วันที่ผ่านมา +3

    Mpanzu na Fei Toto tunauwa watu kwa pressure, please waleteni msimbazi

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 28 วันที่ผ่านมา +4

    Semaji la wasemaji tz wengine waropokaji tu

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 28 วันที่ผ่านมา +2

    SAFI SANA SEMAJI LETU LA CAF. TUNAKUPENDA SANA WANASIMBA

  • @gabrielrobert8677
    @gabrielrobert8677 28 วันที่ผ่านมา +2

    Magori mtu haswa, hamnaga mkurya fala Town.... bigg up saana Tata Magori

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 28 วันที่ผ่านมา +3

    Interview imekamilika sana

  • @djchid2417
    @djchid2417 28 วันที่ผ่านมา +4

    Huyu mwamba ni hatar ni mashine ya kuongea

  • @salumumabomba9611
    @salumumabomba9611 28 วันที่ผ่านมา +1

    Nakubaliii sana Chama langu,Magori mnyamaaaaaaa

  • @khadijamisayo7476
    @khadijamisayo7476 28 วันที่ผ่านมา +2

    Magori yupo vizuri, hana papara, katulia

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 28 วันที่ผ่านมา +2

    Hawa watu wawili sina mashaka nao kabsa nawaamini mnooo🦁🦁🦁🦁

  • @DicksonPeter-ym5od
    @DicksonPeter-ym5od 28 วันที่ผ่านมา +3

    Magori ni mashine ya kweli pale simba ,mungu ampe maisha marefu pale simba,,,by dickson peter ..nikiwa dar

  • @user-gn4cp2vq2y
    @user-gn4cp2vq2y 28 วันที่ผ่านมา +1

    Nawapongza saaaaana wakuu wangu hao kwa kazi nzuri wanazo fanya kwa moyo,....mungu azidi kuwajalia afya njema

  • @teilencedevard9431
    @teilencedevard9431 28 วันที่ผ่านมา +2

    Semaji linalo ingia on trending upepo unao semaji

  • @juniorjoshua2452
    @juniorjoshua2452 28 วันที่ผ่านมา +4

    Musa mangungu ni kilus I mpaka Sasa wengi hawamtaki ila watu wameamua kuweka umoja

    • @DeborahSaitoti-oy7fm
      @DeborahSaitoti-oy7fm 28 วันที่ผ่านมา +1

      Kweli Ila atatoka tu simba tuweke kwanza nguvu nyingi timu na club ikae sawa mangungu ni mdudu mdgo Sana siku moja tu makiamka anakuta THANK YOU YAkE MEZANi😂😂😂😂😂

  • @Hemedyamir
    @Hemedyamir 28 วันที่ผ่านมา +1

    Magori anajibu maswali vizur kweli ni mtu wa mpira anaijua Simba kindakindaki Hawa ndo tunawataka kwenye Simba Kwanza anaipenda Simba ni fans wa Simba"Simba nguvu moja🔥💪"

  • @HajiKanyumbu-xn6vh
    @HajiKanyumbu-xn6vh 28 วันที่ผ่านมา +1

    Nalipongeza sana chama langu simba 🦁🦁🦁 nguvu moja 💪💪💪

  • @user-gz2or2ui9n
    @user-gz2or2ui9n 25 วันที่ผ่านมา +3

    Kongole sana semaji la caf

  • @raphaelernest8253
    @raphaelernest8253 26 วันที่ผ่านมา +2

    Nakubali ubaya ubwela

  • @mohamednipala7000
    @mohamednipala7000 28 วันที่ผ่านมา +3

    Simba.....!!!!! Nguvu moja

  • @user-ms8rl1nr9o
    @user-ms8rl1nr9o 28 วันที่ผ่านมา +4

    Hongereni sana viingozi wetu

  • @Busagotz
    @Busagotz 27 วันที่ผ่านมา +3

    Ally komwe na Hers njoo ujifunze kuongea kama hiv pointi

    • @issahamis581
      @issahamis581 26 วันที่ผ่านมา +1

      hawezi yure bwakubwaku

  • @georgesamweli4062
    @georgesamweli4062 27 วันที่ผ่านมา +2

    Semaji 🎉🎉🎉

  • @omariwaziri5031
    @omariwaziri5031 28 วันที่ผ่านมา +3

    Kadi za mashabiki tuna zipataje

  • @KibibiMwalimu-pg8fg
    @KibibiMwalimu-pg8fg 28 วันที่ผ่านมา +2

    Mimi ni mwa😊 mwanachama lakini Nipo American nitafanyaje ili nichangie nikitokea huku 🇱🇷?

  • @renatusmwanakatwe-gl9xb
    @renatusmwanakatwe-gl9xb 28 วันที่ผ่านมา +1

    Asante azam

  • @AbkHashim-o3j
    @AbkHashim-o3j 28 วันที่ผ่านมา +4

    Viongoz wanapo fanya usajili wanaakiri wana jua nan anafaa kwahyo tusubirie viongoz wafanye usajili tuone uwanjan alafu unapo sema ni siasa wewe mwanachama? Tusiwe tunapga makelele alafu kumbe hata kad ya mwanachama huna waache viongoz wafanye usajili

  • @FreemasonPesaZaMajini
    @FreemasonPesaZaMajini 28 วันที่ผ่านมา +2

    Ongezeni wanachama wapya,lkn mkiweka sharti moja la kila mwanachama lazima alipie kadi yake kila mwaka na akiwa ajalipia ndani ya miaka miwili ifutwe apewe mwingine na yeyote atakayelipia siku ya uchaguzi asiruhusiwe ili kumfanya aone umuhimu wa kulipia kadi kwa wakati

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s 28 วันที่ผ่านมา +2

    simbaa nguvu moja 😊😮

  • @robsonwilliam8301
    @robsonwilliam8301 26 วันที่ผ่านมา +2

    Wenzenu wanatafuta wachezaji ninyi mnatafuta maneno mtaani ya kudanganyia watu.

  • @shekhebakari1998
    @shekhebakari1998 28 วันที่ผ่านมา +2

    Naitwa Hamis from kigamboni naomba hiyo huduma yasimba bando ije namitandao mingine tafazali

  • @ashrafameir4064
    @ashrafameir4064 27 วันที่ผ่านมา +2

    Kwanini wamemtoa mgunda kwenye bench

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 28 วันที่ผ่านมา +2

    Kwan uto wanakuaga wapi? Kufikili sana

  • @afaijuma8474
    @afaijuma8474 27 วันที่ผ่านมา +1

    Kwanza nawapongeza kwakipindi kizuli oja yangu. Ipokwenye namna yakutumia mtandao wa Voda Mimi nipo Mozambique nauku sisi tupo tunanufaishaje Simba yetu?

  • @AbednegoMurosi
    @AbednegoMurosi 28 วันที่ผ่านมา +3

    Mwenda hatumuonii kambini

  • @mwasunga
    @mwasunga 28 วันที่ผ่านมา +2

    Amed baba utaniua mm wew nimwamba ndomana walikushindwa wakaleta watatu iri wakuchangie wamelala nabado watalala

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 28 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂 sasa iyo ni taasisi kweli ?? Kitengo kiwe na mtu mmoja kwelii ??

  • @RomwadMhagama
    @RomwadMhagama 28 วันที่ผ่านมา +3

    Nasisi wangoni hua tunatumia hiloneno

  • @johnmgalatia5375
    @johnmgalatia5375 28 วันที่ผ่านมา +2

    Naomba namba ya msemaji Ahamedy

  • @IssaKisaka-wo3mq
    @IssaKisaka-wo3mq 28 วันที่ผ่านมา +2

    Simba nguvu moja

  • @songarashidy1995
    @songarashidy1995 28 วันที่ผ่านมา +3

    yoooo if you like SIMBA like my comment down

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 28 วันที่ผ่านมา +25

    Mtangazaji ni shabiki wa simba ameshindwa kujizuia

    • @timothymbughuni1356
      @timothymbughuni1356 28 วันที่ผ่านมา +6

      Humjui vizuri Mahmood wewe, ni utopolo mzuri tu but very professional!

    • @user-ts8bf4ef3u
      @user-ts8bf4ef3u 28 วันที่ผ่านมา +4

      wewe ni wa juzi juz bin zubery ni mwanachama wa yanga siyo shabiki tu ni mwanachama wa yanga

    • @Lusindehalima-si3ej
      @Lusindehalima-si3ej 28 วันที่ผ่านมา +1

      Jamani mbona kibu hatumuoni kulikoni?????

    • @mnyusihiza9161
      @mnyusihiza9161 28 วันที่ผ่านมา +1

      Roho mbaya haijifichi unaumia ukiwa wapi 😂😂😂😂😂

    • @timotheothadeomgassa4929
      @timotheothadeomgassa4929 28 วันที่ผ่านมา +1

      Ulitaka awe chura?

  • @hamismwangwale563
    @hamismwangwale563 25 วันที่ผ่านมา +1

    Ubaya ubwela Ila SEMAJI LETU halitaki unyonge🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sijaonamjungufinias481
    @sijaonamjungufinias481 28 วันที่ผ่านมา +2

    Kramo jamani mwacheni mbona kapona jamani

  • @Miche7_
    @Miche7_ 28 วันที่ผ่านมา +2

    Mashine ya kuongea alikuwa anaumia 😂😂😂😂

  • @johnmgalatia5375
    @johnmgalatia5375 28 วันที่ผ่านมา +1

    Pia muulize tulihamasishwa kukata kadi za uanachama kupitia benki ya Equity bank je zile tuachane nazo?na tukate za CRDB NA NMB?

  • @kingndinyo9764
    @kingndinyo9764 27 วันที่ผ่านมา +1

    Trending 1 simba nguvu moja

  • @ROJAOMARY-ys7xb
    @ROJAOMARY-ys7xb 27 วันที่ผ่านมา +1

    Kipindi kitam sana nilokuwa natamani kusikia sauti ya father magoli na hamedi alii

  • @samahakihange6421
    @samahakihange6421 28 วันที่ผ่านมา

    Nimeipenda iyo raisi wa wasemaji ote tanzania semaji la caf

  • @RashidiKilumbi
    @RashidiKilumbi 26 วันที่ผ่านมา +1

    Tutajie Tena hiyo no, ya kujiunga Simba bando.

  • @epefrapetro1398
    @epefrapetro1398 28 วันที่ผ่านมา +3

    Mimi nimwana chama wa smba nigeomba kramo twende nae naiman atatusaidia

    • @AlexMgeta
      @AlexMgeta 28 วันที่ผ่านมา

      Mbona kramo yupo sana na aliongeza mkataba wa mwaka mmoja

  • @hamadbakar7091
    @hamadbakar7091 28 วันที่ผ่านมา +1

    Simba nguvu Moja yani mwaka huu tumesajili IGP watupu au maamiri jeshi watupu yani hakuna kuruti kwenye kikosi chetu

  • @brycesonkaaya9764
    @brycesonkaaya9764 28 วันที่ผ่านมา +1

    Mwambie Ahmed Ally anakumbuka alichoambiwa na mshabiki wasimba toka mikese juu ya uzinduzi wa jezi?

  • @KanizioBugota
    @KanizioBugota 27 วันที่ผ่านมา +1

    Tuipende simba yetu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MtoroIdd
    @MtoroIdd 28 วันที่ผ่านมา +3

    Mzee magori fukuza manula huyo kirusi kitoke

  • @GervasKasagula-m7m
    @GervasKasagula-m7m 28 วันที่ผ่านมา +2

    Magoli tunakutakia majukum mema ya simba yetu

  • @peterwilliam5411
    @peterwilliam5411 28 วันที่ผ่านมา +1

    Azam TV kiboko yaoo 🎉🎉

  • @user-bb8de4bl5n
    @user-bb8de4bl5n 28 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe hujui kitu huyu Zubery Yanga damu ujue hilo

  • @AudaxLwekamwa-kt6eg
    @AudaxLwekamwa-kt6eg 28 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna mwamba njaa ilkua inampiga apo 😅😅kiasi kwamba anapiga miayo kwenye myk😅

  • @Mrsule255
    @Mrsule255 25 วันที่ผ่านมา +1

    406 subscribers 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉👏👏👏🙏... let's go..!

  • @JohnEugeni-f8m
    @JohnEugeni-f8m 28 วันที่ผ่านมา +1

    Yaan simba huwa wanaanza yanga wanaiga et yanga famili mara wiki ya wanachi yaan lzm simba waanze wao wanaiga

  • @jumanneelias-mc7sw
    @jumanneelias-mc7sw 26 วันที่ผ่านมา +1

    iyo simba bando naomba iwekwe kwa mitandao yote pleaSE

  • @CyprianHatari-qy9yv
    @CyprianHatari-qy9yv 28 วันที่ผ่านมา +2

    Mfarume wa nyika wekundu wa msimbazi

  • @user-cg8vh4fn7z
    @user-cg8vh4fn7z 26 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona kama kuna mtu anapiga mihayo apo

  • @idimbezi8379
    @idimbezi8379 28 วันที่ผ่านมา +2

    Mwambie magor tunamuomba elia mpanzu

  • @user-kn7bo6iz4n
    @user-kn7bo6iz4n 28 วันที่ผ่านมา +1

    Nguvu mojaa❤❤❤❤

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 28 วันที่ผ่านมา +1

    Ni kawaida yetu walijitapa kupambana na sisi nyuma mwiko likawakuta wakajitoa Tena Kwa aibuuu

  • @officialisaiah3979
    @officialisaiah3979 28 วันที่ผ่านมา +3

    UBAYA UBWELA

  • @rogatikaigarula4112
    @rogatikaigarula4112 27 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee magoli utakaa mdagani ktk uongozi wa simba?

  • @likubaro7443
    @likubaro7443 27 วันที่ผ่านมา

    Nijambo jema Sana hilo,ushauri kuweke utaratibu wa taarifa za makusanyo ya kila mwezi wapenzi wangapi wa simba wamejiunga na kiasi gani kimechangiwa hii italeta moral yakujiunga wengine.tunataka kujenga uwanja tunashindwa vp na KMC?.wingi uwe ni sababu kuleta maendeleo.

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hiyo safi Simba bando

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 22 วันที่ผ่านมา

    Semaji la Mnyama, Semaji la Dunia 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @malickomary5687
    @malickomary5687 28 วันที่ผ่านมา

    Sema huyu mzee magoli safi sana yani...

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira645 28 วันที่ผ่านมา +2

    Wangoni pia bwers njoo rudi kibantu

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 27 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa magor karudi nafraha sasa🎉

  • @Ezramali595
    @Ezramali595 27 วันที่ผ่านมา +2

    UBAYA UBWELA MPOAPOOOO

  • @JosephMwita-m7t
    @JosephMwita-m7t 28 วันที่ผ่านมา

    Nakupongeza sana sana kwa kufanya usajili mkubwa sana Bado mmoja tu ellia mpanzu

  • @MartineRichard-me2ip
    @MartineRichard-me2ip 28 วันที่ผ่านมา +1

    Simba Nguvu moja

  • @neemamatey
    @neemamatey 28 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤

  • @jestonmwaisaka
    @jestonmwaisaka 26 วันที่ผ่านมา +1

    Aubni cramo msifanye ajizi kumuondoa aachwe hata miezi sita kuumwa hakujitakia hivyo atazamiwe baada ya kupona!!!

  • @westonyjob1747
    @westonyjob1747 28 วันที่ผ่านมา

    Semaji la cuf umetisha

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 28 วันที่ผ่านมา +2

    Ubaya ubwela

  • @drallan6879
    @drallan6879 28 วันที่ผ่านมา +1

    hi General kuna sjili Kama lawi ;Augustine na aweso na mpanzu zimefokia wapi?

    • @kinguisaya6006
      @kinguisaya6006 28 วันที่ผ่านมา

      Awesu ni mzee na wew ata sio mchezaji wa kuulizia

  • @KibibiMwalimu-pg8fg
    @KibibiMwalimu-pg8fg 28 วันที่ผ่านมา +1

    Nataka kadi yangu niliyosajiliwa wilaya ya mvomero kata ya mkindo Nataka kuchangia nikiwa huku 🇱🇷