yanga sio haina ubora ila kwa jana sema siku haikua nzuri na isitoshe simba waliingia kwa kuutaka zaidi mchezo kuepuka fedheha ya kufungwa kwa mara ya 4 ila ndo ivo bahati ilikua kwa yanga bado na unavohukumu refa usisahau kua kuna tatu malogo aliwatesa sana yanga alipokua anachezesha dabi so acha na sisa tupooze machungu acha dawa iwaingie kudadeki, inaumaee, safi sana malipo ni hapa hapa duniani ndo mkome daadeki
Lakini bado VIONGOZI wetu wanashida, kwa nini inakuwa kwetu? Tujiulize Yanga wanafanya nini na sisi tujifunze. Tujiulize mzee MPILI anafanya nini pale Yanga?
Kweli ulitoka mwanangu uko Sahihi
yanga sio haina ubora ila kwa jana sema siku haikua nzuri na isitoshe simba waliingia kwa kuutaka zaidi mchezo kuepuka fedheha ya kufungwa kwa mara ya 4 ila ndo ivo bahati ilikua kwa yanga bado na unavohukumu refa usisahau kua kuna tatu malogo aliwatesa sana yanga alipokua anachezesha dabi so acha na sisa tupooze machungu acha dawa iwaingie kudadeki, inaumaee, safi sana malipo ni hapa hapa duniani ndo mkome daadeki
Shee Yanga hsikupata Muda Wa Kutosha Wa Maandalizi. Ndio Mana Hata Aucho alikuwa na Fatic kama Simba ylhswskutunia hyo mianya
Hawana ubora huo kama mwanzo kuwa tu mkweli
Sasa penati ya Mosonda vip hapo yenyewe siyo penati????Makolo kweli
Kwan ukiaema mkolo ndio tusi😂😂😂asante mjomba yetu
Lakini bado VIONGOZI wetu wanashida, kwa nini inakuwa kwetu? Tujiulize Yanga wanafanya nini na sisi tujifunze. Tujiulize mzee MPILI anafanya nini pale Yanga?
Simba Ndio Mnanufaika sana na marefalee
Hata hio mechi ya Simba na yanga nyinyi Ndio Mmebebwa sana kuliko yanga
Tukiwaambia hamtaki.
Sio kweli ukuangalia mechi
Muda wenu kulalamika mbwa nyie, kwenye zile mechi 4 za mwanzo mlichonga mdomo
Wewe ni nyani mzee tu bado, furahia mbeleko
Unaeongea kimpila bos
Uyu jamaa anasema vizur san
Hebu ngoja nisikilize Tajuwidi ya Shekh Seif Simba maana huyu jamaa anajuwa sana kusoma Tajuwidi balaa Seif nkate uwo nkate uwo nisautaim
Kwa Azam fc nayo maamuzi yalikuwa sahihi kwa Simba?
Mlikamia mchezo ilimpoze maumivu tena yamewakuta poleni
Kaka maiki za badili bhna saut ndg sio leo ila ushaur tu ndugu
Tunashukuru, naomba ujaribu kwa device nyingine uone sauti itakuwa ileile au nikifaa unachotumia
Shoga huyu