DOTTO MAGARI:AWASHA MOTO KWA JUMA LOKOLE/AMVUA NGUO/SIO RIZIKI KALEFT/MANARA KAMNUNULIA GARI ZAYLISA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
  • KWA HABARI , SIASA, MICHEZO NA BURUDANI USISAHAU KU SUBSCRIBE TH-cam CHANNEL YETU YA LOKOMATV HAPA
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: shorturl.at/wFP67/ || shorturl.at/jwQSU
    TWITTER: shorturl.at/luzLZ
    FACEBOOK: shorturl.at/rCL12
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 Empire Lokoma Limited . 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #yanga #simba #yangasc #simbasc #simbavsyanga #tff #nbcpremeireleague #mwakinyo #samatta #zuchu #wizkid #Davido #nandy #wasafi #diamondplatnumz #alikiba #harmonize #instalive #youtubelive #mboso #lavalava #beyonce #Mariacare #mwijaku #babalevo #hbaba #kondeboy #afrima #notjustok #exclusive #lokomatv #trending #tanzania #marioo #mrpimbi #rickmedia #millardayo #ayotv #simulizinasauti #utamu #mpenjatv #globaltv #bonatv

ความคิดเห็น • 218

  • @JustinMwakalukila
    @JustinMwakalukila 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Lokoma Tv huyu mwamba mlomtuma kufanya interview na Dotto MAGARI jamaa anajua sna,yuko vzur anajua anachokifnya!,DOTTOOOO ❤❤❤

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 9 หลายเดือนก่อน +19

    Big up mtangazaji anaweza speed ya doto angekua mwengine angeuliza maswali matano tu hapo ila jamaa anamaswali juu ya swali😂😂😂

    • @adalishaibu4433
      @adalishaibu4433 5 หลายเดือนก่อน

      Wewe kuma usitukane makabila ya watu

  • @jmc2196
    @jmc2196 9 หลายเดือนก่อน +8

    Hela ina mambo mengiii kabisa genius doto 🤝

  • @user-qt8eh6ug2l
    @user-qt8eh6ug2l 2 หลายเดือนก่อน +1

    Lokomo tv bring dotto twice per week we miss him here in Europa

  • @zubedamwinazi413
    @zubedamwinazi413 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubali sana mtani wangu Karibu Mwanza

  • @monicemedia4078
    @monicemedia4078 9 หลายเดือนก่อน +5

    Big up brother Dotto wabongo wanapenda uchimvi

  • @stephenmasha8623
    @stephenmasha8623 9 หลายเดือนก่อน +24

    ila huyu boy mtangazaji ni zaidi ya hao wanao jitapa na media kubwa maswali mazuri sana na ako free 👊

    • @allykagawa
      @allykagawa 7 หลายเดือนก่อน

      🤙

  • @ramadhaningalemba2377
    @ramadhaningalemba2377 9 หลายเดือนก่อน +16

    Napenda sana anavyo mpromote mama wa kizi mkazi😂😂😂

  • @wangitv
    @wangitv 6 หลายเดือนก่อน +2

    The best Host with dotto keto

    • @wangitv
      @wangitv 6 หลายเดือนก่อน

      Dotto we Love you from Europe

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 9 หลายเดือนก่อน +11

    Huyu jamaa kashaweza kuwashushq ba levo na mwijaku kwa sasa 😂😂😂 Influencaaa wa kizimkazi huyoo🤣🤣

    • @WaziriRamadhan-ML
      @WaziriRamadhan-ML 9 หลายเดือนก่อน

      Ana moto mkali anazid kutoboa kilasiku😂😂

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 9 หลายเดือนก่อน +9

    This guy is natural 😂😂😂

  • @RazakiMmalinda-rl3ej
    @RazakiMmalinda-rl3ej 8 หลายเดือนก่อน +3

    Presenter umetisha xn 🙌🙌🙌

  • @filskischannel9737
    @filskischannel9737 9 หลายเดือนก่อน +10

    This guy is the best, na ndomaana hakosi viewers kibao, influensaaaa😂😂😂

  • @user-qt8eh6ug2l
    @user-qt8eh6ug2l หลายเดือนก่อน +1

    Mtangazaji tuletee dotto magari

  • @innocenthaule6556
    @innocenthaule6556 9 หลายเดือนก่อน +4

    Mtangazaji Kawa chawa

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 9 หลายเดือนก่อน +12

    Huyu mwandishi ana maswali mazuri😂😂

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mtangazaji yuko vizuri

  • @JacklineNamundengozi
    @JacklineNamundengozi 9 หลายเดือนก่อน +25

    Dotto you are the best ❤

    • @edwardtrigga5701
      @edwardtrigga5701 9 หลายเดือนก่อน +1

      Best kwenye nn ujinga ama?!

    • @JacklineNamundengozi
      @JacklineNamundengozi 9 หลายเดือนก่อน

      @@edwardtrigga5701 you are just jealous of him shame on you looser 🤣🤣🙆

    • @ricklandennis
      @ricklandennis 9 หลายเดือนก่อน +1

      Kwenye biashara ndio maana Issa hawezi kumfukuza na anamkubali hatari

    • @hajikhamis3288
      @hajikhamis3288 9 หลายเดือนก่อน +1

      Sio isaaa tuu hata hao wafanya biashara wengine wanataman kutangaziwa biasharaaa na dotto

  • @kelvinnjawike1808
    @kelvinnjawike1808 9 หลายเดือนก่อน +2

    Dah Huyu jamaaa kwa kuongea balaaa😂😂😂😂😂😂

  • @user-jn1qz7sh3q
    @user-jn1qz7sh3q 9 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂😂😂😂 huwezi kumshinda Dotto magari aiseh😊

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 7 หลายเดือนก่อน

    I like u Doto love from Sweden

  • @rewardnjau7220
    @rewardnjau7220 9 หลายเดือนก่อน +13

    Akili ni nywele na Dotto ana zake🔥🔥💪

  • @HappyHema-co1tn
    @HappyHema-co1tn 9 หลายเดือนก่อน +2

    Ila Dotto 🙌😂😂😂😂

  • @NdongaKichwa-hz7jf
    @NdongaKichwa-hz7jf 9 หลายเดือนก่อน +67

    Maneno mengi kumbe Hana lolote kuweni kama wazanzibar wako kimya humjuwi Tajiri wala masikini wapo wapo na maisha yao Bigap sana kwa Wazanzibar Gonga links kama unawaelewa Wazanzibar

    • @ArafaAmirAmir-ci7ld
      @ArafaAmirAmir-ci7ld 9 หลายเดือนก่อน +7

      Umeongea ukweli mtupu

    • @daudmwalimu971
      @daudmwalimu971 9 หลายเดือนก่อน +6

      Ni kweli kabisa wa Zanzibar hawana majigambo ya maisha na wamerizika na maisha yao kwenye mijumba mibovu ya stone town hawana makuu kama mimi

    • @hajikhamis3288
      @hajikhamis3288 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@daudmwalimu971 mueleweni kua hajasema yeyé anapesa kua nitajiri huo ni msemotu lakn yeyé ni muhamasishaji fahamuni maana ya hilo neno kwanzaa

    • @binrashid1638
      @binrashid1638 9 หลายเดือนก่อน +5

      NITAKUPATA WAPI NIKUPE PONGEZI ZAKO KWA KUTUELEWA WAZANZIBARI

    • @NdongaKichwa-hz7jf
      @NdongaKichwa-hz7jf 9 หลายเดือนก่อน

      @@binrashid1638 😄😄

  • @user-nl5mm5pu1g
    @user-nl5mm5pu1g 9 หลายเดือนก่อน +4

    Dotto umenifurahisha kuongea ukweli 😂😂😂😂😂😂

  • @JamesPhilipo-oh1ff
    @JamesPhilipo-oh1ff 9 หลายเดือนก่อน +4

    yan hii interview imeenda kw ajili ya maswali mazuri ya mtangazaji ,

  • @justinswati8225
    @justinswati8225 9 หลายเดือนก่อน +1

    Dotto weee swaiba angu nimekuelewaa sana kaka

  • @hkk2450
    @hkk2450 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hahah I love this guy 😂

  • @JoseEmanuel-ug3lo
    @JoseEmanuel-ug3lo หลายเดือนก่อน

    Nakubali mzaii

  • @Bakaribaruti
    @Bakaribaruti 6 หลายเดือนก่อน

    Mi nakukubali sana kaka doto pale pakijanja sana wale waluokuja kukuchunguza ni mafala tu

  • @edwardtrigga5701
    @edwardtrigga5701 9 หลายเดือนก่อน +22

    Wanaume wa dar kujisifia na unafiki unafiki tu

  • @user-ph3vi8gz4c
    @user-ph3vi8gz4c 7 หลายเดือนก่อน

    ❤❤ nkukbali dotto

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 8 หลายเดือนก่อน

    Doto magari unatisha kaka ,alafu kitu kimoja huwa nakufrahia brother,,wewe huwa unaongea vitu true...huna chuki na mtu unasema vitu kweli kabisa..@ mo money mo problem... hehehe,nishakua fun wako kutoka @ Kenya...all the Best doto ,.✌️✌️💪💪

  • @collinstemba6040
    @collinstemba6040 9 หลายเดือนก่อน +5

    Ukiweka battle na huyu mwamba ujipange 😂😂

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 9 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂wallah huyu dotto sijawahi kumuelewa mm naona anaongea sana tu........

  • @beatusgosbert-qb6sy
    @beatusgosbert-qb6sy 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mi nimempenda, Nilikuwa simjui,ila sasa hivi.nakujua.unasema ukweli

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by 9 หลายเดือนก่อน +4

    Namtoa mtu nchi kavu nampeleka huko kwenye kenge😂😂😂😂

  • @EzekiaMbuba-ix8br
    @EzekiaMbuba-ix8br 2 หลายเดือนก่อน

    Mwisho wa dotto magari ni mbaya yani hataki kujenga hataki kujenga

  • @khalilyjuma813
    @khalilyjuma813 8 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni noma

  • @omendavicent7731
    @omendavicent7731 9 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂😂,hapo penye saa 12 ushaamka kama unauza chai 😂😂😂😂.

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli suti zuri

  • @gadafsalum8042
    @gadafsalum8042 9 หลายเดือนก่อน +2

    Namkubari sana

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu 3 หลายเดือนก่อน

    Dotto Você é muito Mau😂😂😂😂

  • @florenceaminamartin.aminab9460
    @florenceaminamartin.aminab9460 6 หลายเดือนก่อน

    Dotto 💯

  • @kituhilel.j9747
    @kituhilel.j9747 9 หลายเดือนก่อน +5

    Huyo ndio Dotto,fuata maneno yake uumbuke

  • @user-vc8cc2pt7n
    @user-vc8cc2pt7n 9 หลายเดือนก่อน

    Namkubali sana mkali infolensa

  • @sophiekanyengele3241
    @sophiekanyengele3241 9 หลายเดือนก่อน +2

    Si alikataa pale sio kwake
    Mbona ameanza kukubali

  • @amosimussa3360
    @amosimussa3360 5 หลายเดือนก่อน

    Big up bro

  • @mwinyimustafa3227
    @mwinyimustafa3227 9 หลายเดือนก่อน +6

    Hawa ndo baadhi ya wanaume wa dar.Umeona anapoishi. mfate utaumia. maradhi kidogo tunamchangia

  • @Official-bataboy
    @Official-bataboy 9 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu chizi😂😂😂

  • @user-qu1dz2ed1b
    @user-qu1dz2ed1b 8 หลายเดือนก่อน

    Kweli we dotto ni noma😅😅😅😅

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 8 หลายเดือนก่อน

    Dotto hafeki Maisha kama hao Kenge wa Wasafi wanafiki Kazi kuchunguza ya wenzao 😮

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 9 หลายเดือนก่อน

    Ýaani nakukubali sana DOTTO MAGARI unaishi uwezavyo siyo Watakavyo..Washamba wa mji a Maisha ndo wanapayukwa tu wanadhani Kuishi lazima uwe na Nyumba...😅

  • @isayaamulike
    @isayaamulike 7 หลายเดือนก่อน

    Jamaaa ni muwz sana 😅😅😅😅😂😂

  • @ricklandennis
    @ricklandennis 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mzaramo og😂😂😂😂😂

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 9 หลายเดือนก่อน +6

    Kiboko ya dotto ni lokole🤣🤣🤣

  • @cholocholo4264
    @cholocholo4264 9 หลายเดือนก่อน +3

    DOTTO MAGARI UKO VIZURI SANA HUU MUDA WAKO KILABJAMBO NA MUDA

  • @expert5852
    @expert5852 9 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂 noma sana

  • @karimumohamedi5421
    @karimumohamedi5421 3 หลายเดือนก่อน

    Mwamba nakukubali sana

  • @InnocentLeonard-gy1mn
    @InnocentLeonard-gy1mn 9 หลายเดือนก่อน +1

    Umewakataa wasukuma 😂😂😂😂😂😂

  • @mrishomkolela4633
    @mrishomkolela4633 9 หลายเดือนก่อน +13

    maua yako mwandishi maswali mazur

  • @beatusgosbert-qb6sy
    @beatusgosbert-qb6sy 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mwaya,ishi maisha yako,watu watakushangaaa,lkn IPO siku utafirahia,usihishi kwa stress.

    • @fredducaunt
      @fredducaunt 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hehehehehe bongo Raha sana et ushambaaaa

  • @alexmahenge9408
    @alexmahenge9408 9 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna jambo la kujifunza😊

  • @elizabethmkini6948
    @elizabethmkini6948 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kwenye watu wengi,watu watuone kwenye watu wengi 😅Mi huniwek huko mbez cjui goba...... 😅😅😅😅😅😅

  • @elbawazeky7113
    @elbawazeky7113 9 หลายเดือนก่อน

    Wale mara ya kwanza unawaambiaga watoke na meno yao ya kunguru ulikua humaanishi wachaga😊”ivyo uliongea wewe🤗🙌🏻

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 9 หลายเดือนก่อน

    Huyu doto mwisho wa siku utasikia diwani 😂😂😂... Kajua kumpromoti mama kizimkazi 😂😂😂

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mtu mzima unakaa kwenye nyumba ya urithi😂😂😂

  • @saidissa5117
    @saidissa5117 9 หลายเดือนก่อน +1

    Uzuri wa doto haigizi maisha kama wengine

  • @user-xh3id9il6k
    @user-xh3id9il6k 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mm nimekupenda dotto kwa kujieleza kwako mzaramo mwenzangu nakumtaja mama wakizimkazi.huyu anatakuwa ikifika kampeni ya mama wakizimkazi apewe nafasi yakumuombea kura.

  • @dannymusictz9442
    @dannymusictz9442 9 หลายเดือนก่อน

    Nice

  • @CalvinTemba
    @CalvinTemba 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwandishi akili hana... Hata mimi sina nyumba nime panga chumba cha giza ...lakini na Mkufuu wa 250000....kila mtu Ana tumia na hela ata kavyo

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli anapinda mgo go na mikopo juu

  • @SelemaniSaid-ip6se
    @SelemaniSaid-ip6se 8 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂,kweli doto mzawa ninyumba yaulithi wakuja wale wanao lipa kodi

  • @Kiswaking
    @Kiswaking 9 หลายเดือนก่อน

    Hiki chuma😂😂🙌🙌🙌

  • @user-mn9dy2kr9p
    @user-mn9dy2kr9p 9 หลายเดือนก่อน

    Kweli kaka yangu doto wambie ukeli

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 9 หลายเดือนก่อน +1

    Maneno ya mkosaji hayo! Ungepanga wapi bila sisi kujenga? Watu mkikosa pesa mnapanikiiiiii Jenga kwako utoke magetoni! Acha maneno!

    • @josephngasa6984
      @josephngasa6984 9 หลายเดือนก่อน

      Unadhani doto hana pesa ya kujenga?

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 9 หลายเดือนก่อน

    Magari Leo amekwazwa xna...uso umebadilika nuru....relax bro...wenye matunda ndio upurwao mawe..

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 9 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali mtoto wa mjini sio hawa mashoga

  • @user-tt2gd6jy4g
    @user-tt2gd6jy4g 9 หลายเดือนก่อน

    Kwenye marekan tyu umetixhaa

  • @EmmaCharles-gz7kc
    @EmmaCharles-gz7kc 4 หลายเดือนก่อน

    Ditto nakubari sanaaa kaka unaongeaga ukwel

  • @neziajoseph9726
    @neziajoseph9726 5 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli ila huyu ni km muigizaji na anapambana...pia hamuombi mtu yupo na udalali wake vzur...hao unaowataja ww ni wabinafsi na lazima waridhike na ule ugumu wa maisha

  • @Babi_Mapigo
    @Babi_Mapigo 9 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂😂😂aah uyu jamaa n balaa

  • @rajabumalupu4184
    @rajabumalupu4184 9 หลายเดือนก่อน

    Nyoa nywere mzee au chana

  • @AbdulMahmud-ut7ee
    @AbdulMahmud-ut7ee 9 หลายเดือนก่อน +1

    Dotto pesa ipo

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 24 วันที่ผ่านมา

    Una address cord. Mtangazaji umechapia

  • @hamadichopoti2996
    @hamadichopoti2996 8 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂km hauna nyumba ya ulith we cyo mtoto wa mjin we n mshamba

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hiyo ndo nature yamzaramo kunmlomo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-nf9ft4lp7m
    @user-nf9ft4lp7m 9 หลายเดือนก่อน

    Dah br pexa himekukutia ukubwan ndo maana kelele zimekua nyingi kama mpiga deb😂😂

  • @user-vc3oz4te7l
    @user-vc3oz4te7l 9 หลายเดือนก่อน +1

    Fala ww mjanja anajenga ww unaetegemea nyumba ya urith

  • @MamaLorenzo
    @MamaLorenzo 7 หลายเดือนก่อน

    Uli mpaka upinde mgongo kashawatukana Ditto😂

  • @EventElias
    @EventElias 9 หลายเดือนก่อน

    Dotto ana u Kingwendu flani hv

  • @user-sr3zm7vh1n
    @user-sr3zm7vh1n 9 หลายเดือนก่อน

    Mmmmh 😂😂 anaona aibu

  • @zezenuvel7612
    @zezenuvel7612 9 หลายเดือนก่อน

    Dotto 😂😂😂😂😂😂

  • @user-zy7wj9ku1x
    @user-zy7wj9ku1x 9 หลายเดือนก่อน

    Dotto mtu saivi wakate wake mpoki alimwambia baada ya rais anafata makamo halafu wazir than dotto ... ila dotto kajiengeza baada ya raisi dotto mama kizimkazi dotto anatufaa anaweza kazi

  • @JamesSteven-vd7vw
    @JamesSteven-vd7vw 8 หลายเดือนก่อน

    kaongea ukweli aisee

  • @yusuphjuma-oz6lt
    @yusuphjuma-oz6lt หลายเดือนก่อน

    Ardhi ya mbabadu😂😂😂

  • @user-hn3xt2us6u
    @user-hn3xt2us6u 9 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa kweli influencer

    • @mwambage972
      @mwambage972 9 หลายเดือนก่อน

      Hahahaha jamaa anajua sana

  • @AbasiMataka
    @AbasiMataka 20 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂❤

  • @richardmligo935
    @richardmligo935 9 หลายเดือนก่อน

    Doto unaweza