DOTTO MAGARI:AWASHA MOTO KWA JUMA LOKOLE/AMVUA NGUO/SIO RIZIKI KALEFT/MANARA KAMNUNULIA GARI ZAYLISA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- KWA HABARI , SIASA, MICHEZO NA BURUDANI USISAHAU KU SUBSCRIBE TH-cam CHANNEL YETU YA LOKOMATV HAPA
Follow Us On:
INSTAGRAM: shorturl.at/wFP67/ || shorturl.at/jwQSU
TWITTER: shorturl.at/luzLZ
FACEBOOK: shorturl.at/rCL12
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 Empire Lokoma Limited . 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#yanga #simba #yangasc #simbasc #simbavsyanga #tff #nbcpremeireleague #mwakinyo #samatta #zuchu #wizkid #Davido #nandy #wasafi #diamondplatnumz #alikiba #harmonize #instalive #youtubelive #mboso #lavalava #beyonce #Mariacare #mwijaku #babalevo #hbaba #kondeboy #afrima #notjustok #exclusive #lokomatv #trending #tanzania #marioo #mrpimbi #rickmedia #millardayo #ayotv #simulizinasauti #utamu #mpenjatv #globaltv #bonatv
Lokoma Tv huyu mwamba mlomtuma kufanya interview na Dotto MAGARI jamaa anajua sna,yuko vzur anajua anachokifnya!,DOTTOOOO ❤❤❤
Big up mtangazaji anaweza speed ya doto angekua mwengine angeuliza maswali matano tu hapo ila jamaa anamaswali juu ya swali😂😂😂
Wewe kuma usitukane makabila ya watu
Hela ina mambo mengiii kabisa genius doto 🤝
Lokomo tv bring dotto twice per week we miss him here in Europa
Nakukubali sana mtani wangu Karibu Mwanza
Big up brother Dotto wabongo wanapenda uchimvi
ila huyu boy mtangazaji ni zaidi ya hao wanao jitapa na media kubwa maswali mazuri sana na ako free 👊
🤙
Napenda sana anavyo mpromote mama wa kizi mkazi😂😂😂
The best Host with dotto keto
Dotto we Love you from Europe
Huyu jamaa kashaweza kuwashushq ba levo na mwijaku kwa sasa 😂😂😂 Influencaaa wa kizimkazi huyoo🤣🤣
Ana moto mkali anazid kutoboa kilasiku😂😂
This guy is natural 😂😂😂
Presenter umetisha xn 🙌🙌🙌
This guy is the best, na ndomaana hakosi viewers kibao, influensaaaa😂😂😂
😅 11:45 😊
😮
Na hapa IPO🔫
Mtangazaji tuletee dotto magari
Mtangazaji Kawa chawa
Huyu mwandishi ana maswali mazuri😂😂
Mtangazaji yuko vizuri
Dotto you are the best ❤
Best kwenye nn ujinga ama?!
@@edwardtrigga5701 you are just jealous of him shame on you looser 🤣🤣🙆
Kwenye biashara ndio maana Issa hawezi kumfukuza na anamkubali hatari
Sio isaaa tuu hata hao wafanya biashara wengine wanataman kutangaziwa biasharaaa na dotto
Dah Huyu jamaaa kwa kuongea balaaa😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 huwezi kumshinda Dotto magari aiseh😊
Kweli
I like u Doto love from Sweden
Akili ni nywele na Dotto ana zake🔥🔥💪
Ila Dotto 🙌😂😂😂😂
Maneno mengi kumbe Hana lolote kuweni kama wazanzibar wako kimya humjuwi Tajiri wala masikini wapo wapo na maisha yao Bigap sana kwa Wazanzibar Gonga links kama unawaelewa Wazanzibar
Umeongea ukweli mtupu
Ni kweli kabisa wa Zanzibar hawana majigambo ya maisha na wamerizika na maisha yao kwenye mijumba mibovu ya stone town hawana makuu kama mimi
@@daudmwalimu971 mueleweni kua hajasema yeyé anapesa kua nitajiri huo ni msemotu lakn yeyé ni muhamasishaji fahamuni maana ya hilo neno kwanzaa
NITAKUPATA WAPI NIKUPE PONGEZI ZAKO KWA KUTUELEWA WAZANZIBARI
@@binrashid1638 😄😄
Dotto umenifurahisha kuongea ukweli 😂😂😂😂😂😂
yan hii interview imeenda kw ajili ya maswali mazuri ya mtangazaji ,
Dotto weee swaiba angu nimekuelewaa sana kaka
Hahah I love this guy 😂
Nakubali mzaii
Mi nakukubali sana kaka doto pale pakijanja sana wale waluokuja kukuchunguza ni mafala tu
Wanaume wa dar kujisifia na unafiki unafiki tu
🚮
Wakiumwa waomba tuwachangie
❤❤ nkukbali dotto
Doto magari unatisha kaka ,alafu kitu kimoja huwa nakufrahia brother,,wewe huwa unaongea vitu true...huna chuki na mtu unasema vitu kweli kabisa..@ mo money mo problem... hehehe,nishakua fun wako kutoka @ Kenya...all the Best doto ,.✌️✌️💪💪
Ukiweka battle na huyu mwamba ujipange 😂😂
Aibuuuu
😂😂😂😂wallah huyu dotto sijawahi kumuelewa mm naona anaongea sana tu........
Mi nimempenda, Nilikuwa simjui,ila sasa hivi.nakujua.unasema ukweli
Namtoa mtu nchi kavu nampeleka huko kwenye kenge😂😂😂😂
Mwisho wa dotto magari ni mbaya yani hataki kujenga hataki kujenga
Wewe ni noma
😂😂😂😂😂,hapo penye saa 12 ushaamka kama unauza chai 😂😂😂😂.
Kweli suti zuri
Namkubari sana
Dotto Você é muito Mau😂😂😂😂
Dotto 💯
Huyo ndio Dotto,fuata maneno yake uumbuke
Namkubali sana mkali infolensa
Si alikataa pale sio kwake
Mbona ameanza kukubali
Big up bro
Hawa ndo baadhi ya wanaume wa dar.Umeona anapoishi. mfate utaumia. maradhi kidogo tunamchangia
Huyu chizi😂😂😂
Kweli we dotto ni noma😅😅😅😅
Dotto hafeki Maisha kama hao Kenge wa Wasafi wanafiki Kazi kuchunguza ya wenzao 😮
Ýaani nakukubali sana DOTTO MAGARI unaishi uwezavyo siyo Watakavyo..Washamba wa mji a Maisha ndo wanapayukwa tu wanadhani Kuishi lazima uwe na Nyumba...😅
Jamaaa ni muwz sana 😅😅😅😅😂😂
Mzaramo og😂😂😂😂😂
Kiboko ya dotto ni lokole🤣🤣🤣
DOTTO MAGARI UKO VIZURI SANA HUU MUDA WAKO KILABJAMBO NA MUDA
😂😂😂😂😂😂 noma sana
Mwamba nakukubali sana
Umewakataa wasukuma 😂😂😂😂😂😂
maua yako mwandishi maswali mazur
Mwaya,ishi maisha yako,watu watakushangaaa,lkn IPO siku utafirahia,usihishi kwa stress.
😂😂😂
Hehehehehe bongo Raha sana et ushambaaaa
Kuna jambo la kujifunza😊
Kwenye watu wengi,watu watuone kwenye watu wengi 😅Mi huniwek huko mbez cjui goba...... 😅😅😅😅😅😅
Wale mara ya kwanza unawaambiaga watoke na meno yao ya kunguru ulikua humaanishi wachaga😊”ivyo uliongea wewe🤗🙌🏻
Huyu doto mwisho wa siku utasikia diwani 😂😂😂... Kajua kumpromoti mama kizimkazi 😂😂😂
Mtu mzima unakaa kwenye nyumba ya urithi😂😂😂
Uzuri wa doto haigizi maisha kama wengine
Mm nimekupenda dotto kwa kujieleza kwako mzaramo mwenzangu nakumtaja mama wakizimkazi.huyu anatakuwa ikifika kampeni ya mama wakizimkazi apewe nafasi yakumuombea kura.
Nice
Huyu mwandishi akili hana... Hata mimi sina nyumba nime panga chumba cha giza ...lakini na Mkufuu wa 250000....kila mtu Ana tumia na hela ata kavyo
Kweli anapinda mgo go na mikopo juu
😂😂😂,kweli doto mzawa ninyumba yaulithi wakuja wale wanao lipa kodi
Hiki chuma😂😂🙌🙌🙌
Kweli kaka yangu doto wambie ukeli
Maneno ya mkosaji hayo! Ungepanga wapi bila sisi kujenga? Watu mkikosa pesa mnapanikiiiiii Jenga kwako utoke magetoni! Acha maneno!
Unadhani doto hana pesa ya kujenga?
Magari Leo amekwazwa xna...uso umebadilika nuru....relax bro...wenye matunda ndio upurwao mawe..
Nakukubali mtoto wa mjini sio hawa mashoga
Kwenye marekan tyu umetixhaa
Ditto nakubari sanaaa kaka unaongeaga ukwel
Ni kweli ila huyu ni km muigizaji na anapambana...pia hamuombi mtu yupo na udalali wake vzur...hao unaowataja ww ni wabinafsi na lazima waridhike na ule ugumu wa maisha
😂😂😂😂😂😂😂aah uyu jamaa n balaa
Nyoa nywere mzee au chana
Dotto pesa ipo
Una address cord. Mtangazaji umechapia
😂😂😂km hauna nyumba ya ulith we cyo mtoto wa mjin we n mshamba
Hiyo ndo nature yamzaramo kunmlomo🤣🤣🤣🤣🤣
Dah br pexa himekukutia ukubwan ndo maana kelele zimekua nyingi kama mpiga deb😂😂
Fala ww mjanja anajenga ww unaetegemea nyumba ya urith
Uli mpaka upinde mgongo kashawatukana Ditto😂
Dotto ana u Kingwendu flani hv
Mmmmh 😂😂 anaona aibu
Dotto 😂😂😂😂😂😂
Dotto mtu saivi wakate wake mpoki alimwambia baada ya rais anafata makamo halafu wazir than dotto ... ila dotto kajiengeza baada ya raisi dotto mama kizimkazi dotto anatufaa anaweza kazi
kaongea ukweli aisee
Ardhi ya mbabadu😂😂😂
Jamaa kweli influencer
Hahahaha jamaa anajua sana
😂😂😂😂😂😂❤
Doto unaweza