Mchambuzi umechambuà vizuri lakini swali bei ya korosho mwaka 2115 Tsh4000 alikuwa mkulima anapata mkononi baada ya miaka. Tisa bei Tsh 2000 hii Tsh 2000 anachukua nani?⁸ wakulima wanaibwa sana sana
Muongo mkubwa ulimuandikia baru lini!! Unajua CCM ndio chanzo cha umasikini wa wakulima Tz kukopa, bei ndogo za mazao na soko lililojaa beaurecracy kodi na msululu wa tozo. ni aibu na uchawa wa kijinga kuona kiumbe amevaa tshirt ya mtesi wake
Zao la Stress
Mchambuzi umechambuà vizuri lakini swali bei ya korosho mwaka 2115 Tsh4000 alikuwa mkulima anapata mkononi baada ya miaka. Tisa bei Tsh 2000 hii Tsh 2000 anachukua nani?⁸ wakulima wanaibwa sana sana
Muongo mkubwa ulimuandikia baru lini!! Unajua CCM ndio chanzo cha umasikini wa wakulima Tz kukopa, bei ndogo za mazao na soko lililojaa beaurecracy kodi na msululu wa tozo. ni aibu na uchawa wa kijinga kuona kiumbe amevaa tshirt ya mtesi wake