ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

TUNDU LISSU ATINGA KARIAKOO NA MKATABA WA BANDARI, AMTETEA HAYATI MAGUFULI, AMTAJA MSUKUMA....

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ค. 2023

ความคิดเห็น • 816

  • @zabronjonathan2264
    @zabronjonathan2264 ปีที่แล้ว +26

    Mwenyezi Mungu akulinde akuongezee Mika mingi Kwa kusema ukweli ,hata kifo cha Magu ulisema wakakubishia badaye ilithihirika kuwa wewe ndie ulikua unasema kweli.

  • @lucaspaulo5371
    @lucaspaulo5371 ปีที่แล้ว +19

    Nafurahi sana nikiona sahii tu mmeshaanza kumkumbuka Magufuli sawasawa na neno lake akisema najua siku moja mtanikumbuka si kwa mabaya ni kwa mazuri sababu nimesakrifais maisha yangu kwa ajili ya watanzania masikini.

    • @lilydickson740
      @lilydickson740 ปีที่แล้ว +1

      Yaani Acha tu, inaumiza sana Mungu atusaidie

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 ปีที่แล้ว +2

      Hawa ni wanafki sana walimpinga Magu sana katika kila jambo alilofanya.
      Sasa Leo wanaanza kujitekenya wenyewe.
      Yule ndio alikua makini na kutosaini mikataba tata.

    • @abelmbilinyi1262
      @abelmbilinyi1262 ปีที่แล้ว

      😮❤

    • @hannahharis6210
      @hannahharis6210 ปีที่แล้ว

      Yeah wanafiki vile hawajagaiwa pesa na wao !wangekua wamegawana wote wangekaa kimya

  • @evodirudo4813
    @evodirudo4813 ปีที่แล้ว +11

    Safii Sana Kaka Lisu Mungu akujalie afya tele skuzote za uhai wako.
    Naomba kw msaada wa watu wachini ambao hawajui kingereza mfanye utaratibu wa kuutafsiri, kuuchapa huo mkataba Kwa lugha ya kiswahili na muusambaze kwenye mitandao yotee ya kijana watu wasome wote.

    • @omaryhabibu2746
      @omaryhabibu2746 ปีที่แล้ว +1

      Ccm 2025 hakuna kupitia kwanza huyu mama hafai kabisa kuwa raisi mwizi tuu

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 ปีที่แล้ว

      @@omaryhabibu2746 zezeta mkubwa fatakumbo, hiv unajua unacho simamia pumbuv wew, unajiingiza katka mtego wa ngiri kwann! Kama hujui kitu kaakimy

    • @officialfredoo3549
      @officialfredoo3549 ปีที่แล้ว

      ​@@kamanapomo7029kuma la mama ako

  • @musarajymusa2649
    @musarajymusa2649 ปีที่แล้ว +6

    Asante xana Kwa kuweka ukweli ndani ya huo mkataba maana walituzuga sana bila kuelewa 🔥🔥 xana man

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola ปีที่แล้ว +26

    Mungu akupe maisha marefu kaka

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud1532 ปีที่แล้ว +16

    Magufulication forever mtanikumbuka

  • @queenraphaher7736
    @queenraphaher7736 ปีที่แล้ว +37

    Huyu ni mwanasheria tunakusikiliza kwa makini.

    • @salehkhamis9994
      @salehkhamis9994 ปีที่แล้ว

      Mwanasheria kwako tu lissu anasapoti mapenzi ya jinsia moja ushoga hizo Sheria za lissu utazisikiliza ww tu

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 ปีที่แล้ว +19

    Lissu kaongea point sana

  • @nelsonmgaya1490
    @nelsonmgaya1490 ปีที่แล้ว +28

    Nipo ITIKADI tofauti, lakini kwa hili tupo pamoja saaaana!!

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 ปีที่แล้ว +3

      Kabisa kiongoz ata Mimi tundulisu sio type yangu lakini hapa Niko nae kwenye ili😂😂

    • @user-ep2cm5xo3k
      @user-ep2cm5xo3k ปีที่แล้ว

      Tuungane tutokomeze maharamia.

    • @levinaernest4364
      @levinaernest4364 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 ปีที่แล้ว +22

    Tutasumbuana kichwa bure Tanzania hakuna bunge Wala rais tuna nguruwe bungeni kule hamna wabunge zile ni nguruwe na mashetani

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 ปีที่แล้ว

      Ujue wanakuona wajomba watakushughulikiaa,lugha imekuwa kalii mno

    • @lightnessmushi8137
      @lightnessmushi8137 ปีที่แล้ว

      @@odilomwemeziernest646 washughulike.na.mkataba.kwanza.ndipo.wawashughulikie.haowenye.lugha.kali

    • @lilykarim8968
      @lilykarim8968 ปีที่แล้ว

      @@lightnessmushi8137 mkataba kwanza mengine baadae

    • @chomasongidion6047
      @chomasongidion6047 ปีที่แล้ว

      Wote watakufa mungu amesikia

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 ปีที่แล้ว +1

      @@lilykarim8968kwani mkataba unasemaje? na nikifungu gan chenye utata au ndio bendera fuata upepo! ebu acheni ujinga

  • @mesutnyaryanga8932
    @mesutnyaryanga8932 ปีที่แล้ว +4

    We hear you @Lisu
    This is for the Nation and the generations to Generations - Our greatest Nyerere could sell the whole Nation to whoever - But he has Heart/Brain and Love to not only Tanzanians but the rest of African people....
    Africans we should keep our heads ups.

  • @SilaKayagwa-gt7zg
    @SilaKayagwa-gt7zg ปีที่แล้ว +34

    Mungu awalinde watu kama hawa Jesus name

    • @omaryramdhani9823
      @omaryramdhani9823 ปีที่แล้ว

      MUNGU HALINDI MIJITU YA HOVYO HOVYO KAMA HUYO NA ANAE MUUNGA MKONO

    • @mayalakatema2576
      @mayalakatema2576 ปีที่แล้ว +4

      @@omaryramdhani9823 unaongea ukiwa wapi ? Ukweli ni kwamba huna akili ata kidogo ata kama ww ni CCM hapa umechemka

    • @barakamalanga4977
      @barakamalanga4977 ปีที่แล้ว +1

      Ashamlinda Sana tu,na baado ataendelea kumlinda🙏🙏

    • @ramadonehp18
      @ramadonehp18 ปีที่แล้ว

      ​@@omaryramdhani9823sasa mungu kaweza mlinda asiuwawe kwa lisasi 16 mwilini mwake ilikuwaje hapo

  • @karimhgau9020
    @karimhgau9020 ปีที่แล้ว +21

    Tembea inchi nzima kutuelimisha zaidi ulipokua inje ya inchi nilikua sikuelewi lakini sasa wanainchi wengi tumeanza kukuelewa kabisa.

  • @maduhuboniphace3474
    @maduhuboniphace3474 ปีที่แล้ว +37

    Kweli magufuri hakupenda mambo hayaaa

    • @rashidsalim7078
      @rashidsalim7078 ปีที่แล้ว +3

      Lkn pia hakuruhusu ujinga km huu 😂😂

    • @user-qo2nf6vm7k
      @user-qo2nf6vm7k ปีที่แล้ว +1

      Huyu mchambawima atuachie nchi yetu

    • @rosetreffert6727
      @rosetreffert6727 ปีที่แล้ว

      Kabisaa

    • @kalutalumenge5260
      @kalutalumenge5260 ปีที่แล้ว +5

      Mtanikumbuka kwa mazuri na sio kwa mabaya. RIP Mfalme JPM.

    • @del-mohaa7527
      @del-mohaa7527 ปีที่แล้ว +1

      Nakwambiaje haya anayoyaongea mukishampatia kura ile kuja kuwatesa huyu mtu mutashangaa anaongozwa na mabeberu na siku zote mabeberu hawapendi kuona africa wakienuka sasa huyu ndie kaja kumaliza tanzania mutanikumbuka RIP JPM.

  • @user-ic6js4sc8u
    @user-ic6js4sc8u ปีที่แล้ว +34

    Walaaaniwe wote wanaotaka kuteketeza nchi eee baba wa mbinguni wewe ndio uliumba kila kitu mpaka binadamu na mawazo yake nakuomba ,, teketezaa kila binadamu mwenye Nia na mawazo mbaya na nchi ya Tanzania wafeee wotee uitee nchi Amen

    • @kefajoseph158
      @kefajoseph158 ปีที่แล้ว +1

      Kweli bhana MUNGU ATUSAIDIE

    • @menshitunze
      @menshitunze ปีที่แล้ว

      Mungu atatusaidia,maadam ameamua kuwa wazi.

    • @omaryramdhani9823
      @omaryramdhani9823 ปีที่แล้ว +3

      HAKUNA CHA BABA WA MBINGUNI WALA ARDHINI KUCHUKIA KWENU WAARABU HAIWEZI KUA SABABU YA KUACHA KUPEWA BANDARI.KUFENI NA MACHUNGU YENU

    • @omaryramdhani9823
      @omaryramdhani9823 ปีที่แล้ว +1

      ​@@kefajoseph158MUNGU HASAIDII MIJITU YA HOVYOHOVYO

    • @lightnessmushi8137
      @lightnessmushi8137 ปีที่แล้ว

      @@omaryramdhani9823 utakufa.wewena.washiriki.wote.mungu.hashindwi.iliijulikane.kuwa.yupo

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 ปีที่แล้ว +10

    Aiseee hapanaaaaaa vidonda visivyopona🙌 Rest in peace dady Magufuli 😪

  • @user-xb2mq5mz7t
    @user-xb2mq5mz7t ปีที่แล้ว +16

    Mungu akurinde tund lis do maana mungu alikutetea

  • @sethstiven3393
    @sethstiven3393 ปีที่แล้ว +30

    Tuingie barabarani jamani hadi ikulu tukamng'oe huyu anauza nchi yetu

    • @lilykarim8968
      @lilykarim8968 ปีที่แล้ว

      Ndicho kimebaki huyu bibi kalewa madaraka nchi anataka kuifanya yake eemungu tufundishe kumtoa huyu bibi kizee na genge lake

    • @lightnessmushi8137
      @lightnessmushi8137 ปีที่แล้ว

      watu.watatuwanampotosha.Razzmbarawnamstaafu

    • @dangomc_niger
      @dangomc_niger ปีที่แล้ว

      Sidhan km police wa kibongo n km wa Kenya nenden

    • @salehkhamis9994
      @salehkhamis9994 ปีที่แล้ว

      ingia wewe unataka uwatoe chambo wenzio..ukivunjika mguu haji kiongozi kukuletea msaada

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 ปีที่แล้ว +17

    Kwakwel mungu akupe maisha marefu yenye baraka na Aman tundu lissu

    • @abdallahally842
      @abdallahally842 ปีที่แล้ว

      Mungu amdhalilishe Kwa uhaini

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 ปีที่แล้ว

      ​@@abdallahally842aanze na wewe kwa upofu wa macho

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 ปีที่แล้ว

      @@abdallahally842 😁😁😁😁

    • @prosperjohn2047
      @prosperjohn2047 ปีที่แล้ว

      ​@@jeffhard5773Mzanzibar ww

  • @nassonsimwanza1437
    @nassonsimwanza1437 ปีที่แล้ว +8

    Lisu hongera kwa ufafanuzi mzuri.Tuwaongeje Ccm na Serkalikuu.

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 ปีที่แล้ว +31

    Mimi nikiikamata hii nchi, nafuta bunge maana halifai hata kidogo.

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 ปีที่แล้ว +1

      jeuri huna

    • @salehkhamis9994
      @salehkhamis9994 ปีที่แล้ว

      Kumbe ukiikamata.. ndoto za mchana hazifai unaota unajenga angani we kweli chizi

    • @mauadumba7842
      @mauadumba7842 ปีที่แล้ว

      🤣😂 hii nchi

  • @jafariomari3552
    @jafariomari3552 ปีที่แล้ว +9

    Nakumbuka ndugai alisema nchi itapigwa maana yake ndoo hii....ukishindwa kulipa deni unalipa ulichonacho

    • @YonaMjema-ci4gv
      @YonaMjema-ci4gv ปีที่แล้ว

      Alipoongea Ndugai walisema amebugi lkn alikuwa anajua

  • @jonasmpita2206
    @jonasmpita2206 ปีที่แล้ว +7

    daa Adv Antipas alishajitoaga mazima mazima huyu hata ukimuhonga anakuumbua 😀😃

  • @jamalmbaraka6180
    @jamalmbaraka6180 ปีที่แล้ว +11

    Wenye kuelewa wameelewa maana mambo ambayo ayafafanuliwi Kwa kina ni mengi

  • @RoseNoah-rz3jh
    @RoseNoah-rz3jh ปีที่แล้ว +30

    Barikiwa sana mama nchi imemshinda mungu atusaidie

    • @alirama1897
      @alirama1897 ปีที่แล้ว

      Acha ujinga huo vv nahao hamwezi ata kuuku acheni kupotosha wanaume

    • @yesunialamayakiama.9013
      @yesunialamayakiama.9013 ปีที่แล้ว +2

      @@alirama1897 Ungeweka angalau hoja moja ya kuonesha wanavyopotosha!

    • @user-yq2ov9rx7k
      @user-yq2ov9rx7k ปีที่แล้ว +1

      ​@@yesunialamayakiama.9013yaah iyo ndo point

  • @regansaid9784
    @regansaid9784 ปีที่แล้ว +15

    Watanzania wenzangu tuletewe malaika wa aina gan atueleweshe jaman

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 ปีที่แล้ว +3

    lisu leo umeongea vema,,,kikawaida ,lisu mimi huwa simkubali coz alikuwa ana discourage sana movenment za maendeleo za HAYATI MAGUFULI , because am so positive leo nimeona , vile umenipa nilicho kuwa nakitafuta maana,mimi naipenda sana nchi yangu na ndio maana nilimpenda sana magufuli , hivyo kiufupi RAISI wa sasa TANZANIA , ni vema aangalie taifa hili linahitaji nin na si yeye anahitaji nni hatuwezi tukawa watumwa katika taifa letu wenyewe , miaka yake ni michache kiutawala ila taifa hili lipo na umri mrefu sana na wanufaika ni kizazi cha sasa na cha badae hivyo ,ni dhahiri ubinafsi na kuto jali rasilimali za nchi ni kutalipoteza taifa hili .

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 ปีที่แล้ว +17

    Huyu ni mrokaji ila mengi anayajua hata kifo cha magufuli nilianza kumsikia yeye akisema viongozi waseme ukweli raisi yuko wapi wakakaa kimyaa gafla ametangazwa amekufa raisi daah 😢😢😢😢😢😢😢

    • @user-bs2nr7gz5p
      @user-bs2nr7gz5p ปีที่แล้ว +3

      Nayeye aliyetaka kumuua anamjua pia maana alimiminiwa risasi kushinda tembo

    • @zumbeshauri8114
      @zumbeshauri8114 ปีที่แล้ว +3

      Hahahaa leo kamsifu magufuli?😊

    • @shahadaushindi7745
      @shahadaushindi7745 ปีที่แล้ว +2

      Mropokaji ni wewe, ambaye magufuri alikuwa Mungu wako. Lisu hawezi kueleweka kwa mataahira anaeleweka kwa wazalendo

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 ปีที่แล้ว

      Au Atakuwa alihusika kifo chake..?😅😅😅

    • @youngsachafurniture5482
      @youngsachafurniture5482 ปีที่แล้ว

      Sasa ww unafanana nae au ww chocolate tuuu

  • @muyajuma6278
    @muyajuma6278 ปีที่แล้ว +12

    Namuomba Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema muumba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo akupe maisha marefu mheshimiwa Tundu Antipasi Lissu ili uendeelee kuwaelimisha wa Tanzania wengi mpaka watakaposema Sasa hawa viongozi wanatuchezea Sasa liwalo na liwe 😭😭😭😭😭😭

    • @jonaswamamajonah2687
      @jonaswamamajonah2687 ปีที่แล้ว

      Qqqqqqq

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 ปีที่แล้ว

      Wew nahisi hauna akili na Kama unazo bas zipo sehem ya hajakubwa waulize wanao jua vita watakuhadithia, huyo mnae muona kua mkombozi aliku ulaya kwa muda gani? na kwann karudi na huko alihifadhiwa na nani? na kwann yupo hapa kwa sasa! Kilichomkimbiza mwanzoni ni nini?, huo mkataba mnao upigia kelele nani alie kutafsirieni katka woote hao wanao kupotosheni au mmewahi kuambiwa kua ni kifungu kipi chenye utata! acheni kucheza mchezo wa kujiua

    • @abdulhakimsaleh6899
      @abdulhakimsaleh6899 ปีที่แล้ว

      Mungu amuwe

  • @vedastamalekela8711
    @vedastamalekela8711 ปีที่แล้ว +7

    Ivi nikweli wabunge kwenye mkataba huo hakuna vipengele ambayo mliviona avina tija Kwa wananchi mkavikosoa kweli jamani🙏

    • @Fabianfideltz
      @Fabianfideltz ปีที่แล้ว +1

      Tanzania Haina bonge mamuzi anayo rais 😢😢😢😢

  • @mariammalendeja370
    @mariammalendeja370 ปีที่แล้ว +19

    hyu jamaa nae akishakufa tutmkumbuka kama maghu

    • @jessegodson8575
      @jessegodson8575 ปีที่แล้ว +1

      Hata wafanyaje MUNGU atakataa kufa kwa lissu maana siku yake haijafika ndio maana risasi zimemshindwa kumuua

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya5239 ปีที่แล้ว +5

    *nilishtuka sana pale nilipoona lile jengo kubwa la Dubai kuonyesha bendera yetu pamoja na mama nilijua tuu Kuna namna hapo sio kawaida kwass watu tuliosomea cyuba tunaelewa ukitaka kula na kipofu usimguse*

  • @restkalemile5274
    @restkalemile5274 ปีที่แล้ว +11

    Huyu mama hana chake 2025, asitegemee kuchaguliwa.... 😭😭 Hana uchungu na hii nchi

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 ปีที่แล้ว +1

      Kabisaaa

    • @user-ce5zf4oz6l
      @user-ce5zf4oz6l ปีที่แล้ว

      Hii ndio shida yakua nakiongozi ambaye hajachaguliwa nawananchi,hawezi kua nauchungu nanchi hii,hawezi kuitetea hii nchi,maisha yamekua magumu sana,bado viongozi wanafanya vitu vyahovyo,yaani hata msukuma tuliyemwamini,???,kweli wamehongwa pesa nyingi,wazirudishe tu,wabunge vilaza kabisa,kweli pesa ilimuua Yesu,daaa niaibu sana,bora kuongozwa namaroboti kuliko hawa watu,roboti linajua boksi hili nimetoa hapa niweke pale,lakini banadam anasaini takataka kama hiyo kweli????Mungu asimame tu.

  • @eradiusdezideri
    @eradiusdezideri ปีที่แล้ว +9

    Nyinyi mnatusaidia watu wa chini maana wanaoteseka ni WA Hali chini

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion6047 ปีที่แล้ว +2

    Kwa sasa bola mungu awauwe viongozi wote hakiyamungu wafe mungu pokea dua hii,ili waje wapya wazarendo, Amin imeisha hiyo

  • @digostjafety6070
    @digostjafety6070 ปีที่แล้ว +3

    Mungu yupo juu sana ,,ndo maana alikulinda walishindwa kuua

  • @hamicpina1151
    @hamicpina1151 ปีที่แล้ว +2

    Samia ukimlza bandari naomba uukodishe na mkoa wa kigoma mana watanganyika si wametupora vingpi uza kila k2 hko adi vichogo wakatae muungano

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 ปีที่แล้ว +7

    Hii inaweza ika affect uchaguzi ujao kama maoni ya wananchi yatadharauliwa. Wapinzani watapata pointi muhimu kujipatia kura .na hao wanaoshangilia sasa hivi kupoteza viti vyao

    • @AminialiAli-vv4yk
      @AminialiAli-vv4yk ปีที่แล้ว +2

      Tz hii ccm ipate kura kumi tuuu itaongoza nchi

    • @SinemaZaChina
      @SinemaZaChina ปีที่แล้ว

      Kuna watu uwaambii kitu kuhusu ccm bado watu awajapewa vitenge na jezi za Bure 😂😂😂

    • @belovedflorence4109
      @belovedflorence4109 ปีที่แล้ว

      Kura zetu hazihesabiwi, ni mazingaombwe.

  • @user-gw6yc2hw7h
    @user-gw6yc2hw7h ปีที่แล้ว +9

    Jamani nasikitika sana kuwa na wabunge kama hawa

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 ปีที่แล้ว +20

    Wafanyabiashara wetu wanaumizwa kwa kubambikiziwa kodi. Leo wanabinafsisha Bandari kwa kisingizio eti inaendeshwa kwa hasara wakati wahuni wezi wanaachiwa wanaiba Mali za maskini badala ya kusimamia uendeshaji kwa kuwaondoa wezi na kufanya ufuatiliaji na kuweka teknolojia.

  • @danielalmas6595
    @danielalmas6595 ปีที่แล้ว +2

    A man of the other ranks bigup

  • @adamrajabunkungu5222
    @adamrajabunkungu5222 ปีที่แล้ว +12

    Aise nchi yetu ndio hivyo tena,tutamkumbuka mwenda zake, mungu inusuru nchi yetu itoke kwenye hili dimbwi

    • @aminasaid1655
      @aminasaid1655 ปีที่แล้ว

      Hakika

    • @danielbernad9063
      @danielbernad9063 ปีที่แล้ว

      P

    • @mossyfimbo3577
      @mossyfimbo3577 ปีที่แล้ว

      Tutamkumbuka? si ndio tunamkumbuka

    • @PENTESTING122
      @PENTESTING122 ปีที่แล้ว

      hakuna cha Mungu kuinusuru kikubwa watupe mijegeja tuseme nao tu za kichwa tu,tumechoka kwa kwel mambo gani haya

  • @Punda284
    @Punda284 ปีที่แล้ว +3

    Mungu ameona mtumishi,Sasa atafanya kabla ya 2025 Mungu ni mkweli zaidi inatosha.

  • @ezekielsabiyumva8048
    @ezekielsabiyumva8048 ปีที่แล้ว +3

    Lisu kichwa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @GEOPHINELUGWISHACHARLES-fs5gn
    @GEOPHINELUGWISHACHARLES-fs5gn ปีที่แล้ว +2

    Neno la John ndugai IPO siku nci itapigwa mnada

  • @alicempuya5238
    @alicempuya5238 ปีที่แล้ว +2

    Mungu alikunusuru, alikuwa na makusudi na wewe na aendelee kukupa maisha marefu

  • @mbwanaomary7537
    @mbwanaomary7537 ปีที่แล้ว +12

    Mtanikumbuka kwa mazuri na sio mabaya! Big up Mh lissu kwa kuendelea kuwafungua akili watz

  • @otianasanga9106
    @otianasanga9106 ปีที่แล้ว +20

    MUNGU alikunusuru alikuwa namaksudi yake utaishi sana asantee kwatuelewesha na kuwafungua masikio hao wengine mengi mnawasaidia

  • @perisiverympwenku139
    @perisiverympwenku139 ปีที่แล้ว +1

    Bandari ya daresalaam haina ushindani na inapoteza wateja kila siku sgr haitakuwa na faida pasipo kuwekeza banndarin kwa kuvutia meli kubwa za mizigo kutumia bandari ya dsm...mkataba ukiwa ni mzuri haina shida 50/50 .

  • @helenkahema2636
    @helenkahema2636 ปีที่แล้ว +4

    Ndiyo maana Mungu ni alikuacha uishi Mungu tusaidie Tanzania

    • @barakaburiba
      @barakaburiba ปีที่แล้ว

      Kwel Mungu alijua umuhimu wake

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 ปีที่แล้ว +7

    Creativity at the highest level

  • @athumani543
    @athumani543 ปีที่แล้ว +1

    NI CHUKI NA WAARABU TU AKA WAISLAAN TULIONA HATA OIC NA MAHAKAMA YA KADHI MLIVIMBA MASHAVU SANA TU ILA MIKATABA YA MEMORANDUM OF UNDERSTANDING MIDOMO YENU KIMYAA KWELI NI WAPENDA HAKI AU MNAIENZI BETTER CHANCE YA BABA WA TAIFA

  • @eliudjamess4231
    @eliudjamess4231 ปีที่แล้ว +12

    Huyu mama nchi imemshinda aachie tu hakujifunza chochote kwamtangulizi wake ni jinsi gani nch inatakiwa iendeshwe in short anakurupuka

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 ปีที่แล้ว

      madubwasha fulani yalienda pale yakauze nchi

  • @clinton3168
    @clinton3168 ปีที่แล้ว +3

    BAS TU TANZANIA 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
    Samia POPOTE ULIPO MUNGU ANAKUONA

  • @ElishaDuka
    @ElishaDuka ปีที่แล้ว +5

    Samia ni adui wa taifa hili hususan bara ametuuza 😢

  • @kamalofanuel8120
    @kamalofanuel8120 ปีที่แล้ว

    Wazanzibari wametukalia....watanganyika sisi ni mbumbumbu.....Rais muislam....waziri mkuu muislam.... Mshauri wa rais ni kikwete Muislam...wanaopewa bandari waislamu....Hata marais waliovuruga nchi hii ni wale waislam

  • @mariamsaid6166
    @mariamsaid6166 ปีที่แล้ว +7

    Mungu akulinde na mabaya yote, maana kutusemea wanyonge si kazi ndogo maadui lazima wawepo

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 ปีที่แล้ว +17

    Asemayo ni kweli kabisa kuna vipengere vya ovyo sana viko wazi lakini watu wanavipindisha au kujifanya hawavioni. Na haijulikani kama ni uwekezaji ukodishaji au ubia.

    • @Baba-nm4qz
      @Baba-nm4qz ปีที่แล้ว

      Ebu taja kipengere cha hovyo

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 ปีที่แล้ว +2

      ​@@Baba-nm4qzhujamsikia lisu hapo ? Amekuambia onyesha sehemu inayoonyesha kuwa tutapata ata mia kwenye huo mkataba onyesha😂😂😂

    • @denismvula300
      @denismvula300 ปีที่แล้ว

      @2348 mwamba anavunga hajasikia

    • @husseinmusa5697
      @husseinmusa5697 ปีที่แล้ว

      Tundu lisu.muongo.sana

    • @salehkhamis9994
      @salehkhamis9994 ปีที่แล้ว

      Mimi sipotezi muda wangu nikalisikiliza hili lissu ni shoga2 linasapotu mapenzi ya jinsia moja

  • @costardeogratias7784
    @costardeogratias7784 ปีที่แล้ว +4

    Raisi wangu ni marehem magufuli

  • @khadijajacobo627
    @khadijajacobo627 ปีที่แล้ว +2

    Mungu pigania nchi yetu isamehe Tz, ibariki Tz

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 ปีที่แล้ว +12

    Nafikiri inabidi tuache mzaha katika Jambo hili

  • @user-ux7ry6dv7b
    @user-ux7ry6dv7b ปีที่แล้ว +2

    Hongera kwa kusema ukweli

    • @abdallavictory6723
      @abdallavictory6723 ปีที่แล้ว

      Ninachojua wamewawahi kwenye kuongeza mapato' lazima utatukana sana na kutumia nguvu kubwa, kuakikisha nchi na Uongozi mambo yao hayafanikiwi,

  • @jerybrown
    @jerybrown ปีที่แล้ว +5

    Poipigania nchi yetu leo watoto wetu watakuwa watumwa sana

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 ปีที่แล้ว +2

    Ukweli mtupu mungu akubaliki Lissu

  • @pastor_benjie
    @pastor_benjie ปีที่แล้ว +2

    Nilichoelewa mimi kwa ujumla ni kuwa serikali imeamua kuziuza bandari zetu ili tupate maendeleo makubwa. Kwaiyo maendeleo tutapata lakini bandari sio zetu
    Mfano. Una eneo lako kubwa sana umejenga nyumba moja tu na umechoka kukaa eneo kubwa nyumba moja . Hivyo unaamua kuuza maeneo mengine kwa watu ili mazingira unayoishi yawe na maendeleo. Hivyo wakinunua eneo lako maendeleo yatatokea lakini Yale maeneo uliyouza sio yako Tena.
    Amebaki Mungu Tu Tz yetu

  • @mariamsaid6166
    @mariamsaid6166 ปีที่แล้ว +12

    Inamaana nchi yetu imeuzwa pamoja na sisi wenyewe

    • @murattywamuratty9778
      @murattywamuratty9778 ปีที่แล้ว

      Ndio ushauzwa tyr hela si ushapata na unajua ulipo uzwa

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 ปีที่แล้ว

      Dada siasa si kitu ambacho kinaweza kukupa kile unachotaka wewe tangu lini ukasikia binadam kauzwa na akabaki hapo hapo kinachofanyika hapo ni siasa za kukitaka kiti cha uraias

    • @shilashango4040
      @shilashango4040 ปีที่แล้ว

      Mi naona kweli tushachukuliwa tyr sijui kala gapi huyu Mama

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia6306 ปีที่แล้ว

    Watanzania amkeni mtetee rasili mali zenu.....wakenya huo mpango umetushangaza....mh tundu lisu anahitaji nguvu za raia watanzania kupangua mikataba ya hovyo...karibuni 🇰🇪...

  • @hamismohamed3541
    @hamismohamed3541 ปีที่แล้ว +6

    Nchi ya kimalaya sana hii kweli kuishi Tanzania sio kaz ndogo

  • @user-nv3my7ky9r
    @user-nv3my7ky9r ปีที่แล้ว

    Sioni uzuri wowote wa mkataba huu we mama utatuaacha kwenye maisha magumu sana hii haijawahi kutokea tangu Tanzania iumbwe nyie mnakula vizr siye hata panado tutakoswa mungu awaonyeshe njia iliyonzuri Amina.

  • @yannicksakisa7830
    @yannicksakisa7830 ปีที่แล้ว +4

    unajuwa hii nchi inapoelekea inaelekea kubaya sana kwasababu marehemu magufuri aliyapinga kabisa haya lakini baada ya kufa tu imekuwa nifuraha kwao leo hii alienacho ndio yuko juu ambae hana anateseka poleni sana watanzani kwani huu ndio mwanzo picha bado harijaanza

  • @edsondaud9764
    @edsondaud9764 ปีที่แล้ว +4

    Upo vzr kamanda tusaidie tuikomboe nch yetu

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 ปีที่แล้ว

    Angepewa mzungu tungekaaa kimyaaa ..tuanze na migodi ya wazungu na mikataba ya wazungu

  • @JoseZebedayo-ds2tk
    @JoseZebedayo-ds2tk ปีที่แล้ว

    Duh kweli Kuna haja ya kufanya mabadiliko maana,serikali iliyopo inaendesha nchi kimazoea sasa wamejisahau

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 ปีที่แล้ว +4

    Kumbe walisha sign toka 2022 kumbe mange alikuwa sahihi kwamba wanatuzuga tu walishasign

  • @ijumaawikienda5435
    @ijumaawikienda5435 ปีที่แล้ว +6

    Mungu wanguuuuuuu

  • @obedwilliam5906
    @obedwilliam5906 ปีที่แล้ว

    Ndo tatizo la kuwa na wabunge wa ndiooooo mhuuuuu Asante tundu lisi

    • @salehkhamis9994
      @salehkhamis9994 ปีที่แล้ว

      Sasa hao wabunge mnao wategemea kupinga si amewafukuza magufuli na nyinyi mlikuwa mnashangiria Sasa mnaona madhara yake

  • @denisshimela169
    @denisshimela169 ปีที่แล้ว +16

    Duh ndooo faida ya kuwa na wanasiasa wasomii wewe nijembe sana

  • @didowamchops9229
    @didowamchops9229 ปีที่แล้ว +2

    Mama wa hovyo sana huyu simpendi, cjui kwann hajauza kwao

    • @naomihamisi1502
      @naomihamisi1502 ปีที่แล้ว

      Bora ww mm Ndio namchukia kupita maelezo

  • @lovenessmushendwa1230
    @lovenessmushendwa1230 ปีที่แล้ว

    Yan mm naona hadi aibu kuwaambia watu mm ni MTANZANIA ,TOKEA MAGUFULI ATUTOKE

  • @josephngassa7073
    @josephngassa7073 ปีที่แล้ว +7

    Komaeni wataramu wa Sheria kuelimisha wananchi mbumbu kuikomboa nchi isiuzwe badari zake usalama utakuwa mdogo kiulinzi wa mipaka yake

  • @abdulhakimsaleh6899
    @abdulhakimsaleh6899 ปีที่แล้ว

    Wewe saiv ungekuwepo hapa mbona hukuja kusema hayo maneno mbele ya makufuli kariko kuhusu chote chote kweli mumezowea udikteta, leo kwakua mzanzibar ndio rais

  • @user-ti6yq7bq1d
    @user-ti6yq7bq1d ปีที่แล้ว +2

    Mungu akulinde tundu lissu tunakuitaji sana

  • @laurenciazacharia9197
    @laurenciazacharia9197 ปีที่แล้ว +5

    Mtanikumbuka kwa mazuri sio kwa mabaya RIP Magufuli😭

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 ปีที่แล้ว +3

    😂😂😂😂 Aizaa Hana Akili Au Amehongwaa pesa

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 ปีที่แล้ว +5

    Lisu naanza kusogea upande wako hakika

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina63 ปีที่แล้ว +1

    Mwakahuuu kazi mnayo viongozi.

  • @user-er8vt1ul1b
    @user-er8vt1ul1b ปีที่แล้ว +1

    Upo vzr lisu

  • @johnmmasa
    @johnmmasa ปีที่แล้ว +3

    Nachanganyikiwa😭😭💔

  • @user-hi1gd3il9h
    @user-hi1gd3il9h ปีที่แล้ว +4

    Tunawaelewa Asa kwann musifanye kwavitendo tukiendelea kuongea ivi wanaona kama tunaimba chukueni majukumu tupo pamoja na tupo nyuma yenu

  • @hamzaswaibu9470
    @hamzaswaibu9470 ปีที่แล้ว +2

    Twambieni na mikataba ya kanisa iliyoingia na serikali ktk ma hospital yetu

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 ปีที่แล้ว +4

    Kama kweli matarajio ni kupata trilioni zote hizo. Basi ni bora kukopa kununua hivyo vifaa vinavyoshusha containers 4 kwa wakati mmoja. Maana kisingizio ni ufanisi. Serikali inunue hivyo vifaa.

  • @charlesmush8162
    @charlesmush8162 ปีที่แล้ว +1

    Mtanikumbuka kwa mengi na sio mabaya.
    Tufanye yote lakin tusiwe Kama kongo, becouse no politics

  • @ananiamkasu8847
    @ananiamkasu8847 ปีที่แล้ว +4

    HAKUNA WATU WAJINGA DUNIANI KUZIDI WATANZANIA.

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 ปีที่แล้ว

    Huyu tundu anasema Sana kwamba watanganyika wanainyonya Zanzibar. na sisi tupo kimya. Leo bandari tu mnaanza kupayuka.. ww mshukuru raisi samia ungekua ughaibun ww magufuli amekukataa kitambo Sasa umekuwa na mdomo mrefu

  • @robertelly3392
    @robertelly3392 ปีที่แล้ว +1

    Ujue nini ndungu zanguni wa haarabu wamefikiria mbali maana dunia saiv inapiga vita matumizi ya mafuta ukiangalia ndio wazalishaji wakubwa ndio maana imejanjaruka kuja kujifanya kuweza kwetu ili matumizi ya mafuta ya kipgwa stop 🚫❌ wao hato yumba kiuchumi let's be kin wa Tanzania

  • @shirfadigubike7920
    @shirfadigubike7920 ปีที่แล้ว +15

    Endeleeni kuipigania nchi yetu na kuitetea.tinawombea😭😭

  • @sarahmarishay6002
    @sarahmarishay6002 ปีที่แล้ว

    Dah Mungu naomba ukathibitike

  • @charlesgasper-wo9hc
    @charlesgasper-wo9hc ปีที่แล้ว +11

    Tuusitishe wenyewe si nchi yetu wenyekufanyahivyo wapo.

  • @theresiakimath5402
    @theresiakimath5402 ปีที่แล้ว

    Mungu atusimamie na uo mkataba ukashindwe.nyerere alise uo niumalaya umalayaa.

  • @benedictndahani7192
    @benedictndahani7192 ปีที่แล้ว +4

    Kwa mtindo huu sasa tubai watatutawala sasa