Simu ya mwisho kala jeremiah ft. nay wamitego & mo

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
  • Directed by pablo

ความคิดเห็น • 797

  • @karimallymrisho1565
    @karimallymrisho1565 11 หลายเดือนก่อน +209

    Kama unaangalia hii song 2024 gonga like hapa, Bonge moja la songi linafundisha sana

  • @Iamdjphoenixe
    @Iamdjphoenixe 10 หลายเดือนก่อน +34

    Hili goma ni hatar,Ugopaa still hit 2024,2025,2026 nakuendelea,kama ishakukut hii kitu like

  • @Boaz22
    @Boaz22 ปีที่แล้ว +29

    Mungu ni mwema,kama upo hapa sasa hivi june 2023 gonga 👍 ❤

  • @MasanjaSamweli-b3r
    @MasanjaSamweli-b3r 8 หลายเดือนก่อน +22

    Kama hili goma lilutoka ukiwa bado unasoma kama mim naomba like

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 5 ปีที่แล้ว +8

    Oyooooooooooooooooooo Ney umeuaaaaaaaa daaaah hawa jamaaa hadi nasisimka

  • @salumukaisi4222
    @salumukaisi4222 3 ปีที่แล้ว +8

    Kala rudiii alakati ziliishia WAP baba magu kashakufa Rudi uimbe kuo hit kabisa

  • @saraissa9327
    @saraissa9327 2 ปีที่แล้ว +47

    Kama unaangalia hii song 2023 gonga like hapa 😍

  • @francisruwa1748
    @francisruwa1748 2 ปีที่แล้ว +6

    Nduku ,kaka na ,madada ni mwaka mpya 2023 mwezi wa pili tarehe 13 saa 9.35pm...Hii nyimbo naisikiliza na kwa kweli natamani nyimbo zenyee ujumbe kwa Jamie.#FOREVER AND EVER KALAJEREMIAH NTAKUTAMBUA

  • @Rickmk87
    @Rickmk87 3 หลายเดือนก่อน +2

    😢😢😢😢❤mapenzi yanaumiza sana nyie kila anateseka Mungu akukumbuke akupe mtu sahihi.

  • @jofreyMsangwa
    @jofreyMsangwa ปีที่แล้ว +10

    Jamani tulio rudia2023 mwezi 12 tujuane naomba like😢

  • @bettiejoy-mtotowamama
    @bettiejoy-mtotowamama 5 ปีที่แล้ว +11

    Aaa mna kazi poa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤

  • @juliusfrancis2238
    @juliusfrancis2238 4 ปีที่แล้ว +12

    Baada ya kumpenda sana nimemweka vizuri leo kaenda nimeukumbuka mziki huu nikabidi niusikilize 19/06/2020

  • @marymbwinga7027
    @marymbwinga7027 10 ปีที่แล้ว +57

    Mnatisha sana kwauzoefu wangu Ney akishirikishwa nilazima matokeo yawe mazuri sana mkojuu mnatiiiiiisha kinona ujumbe mzuri umefika

  • @godblessnzalika6116
    @godblessnzalika6116 5 ปีที่แล้ว +48

    "Acha mbwe-mbwe bin't hii dunia maisha hayaendi hivyo, utaumia"

  • @barakawatu9226
    @barakawatu9226 ปีที่แล้ว +3

    Good work, good ideas, good dream's,good thinking, Tanzanian musician here we go, 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🎧🎧🎧

  • @OmariRa-by1hh
    @OmariRa-by1hh ปีที่แล้ว +8

    Kama bado unaangaliya hii? Nyimbo 2023 basi gonga like hapa twende mbele ❤❤

  • @lucygirgis3742
    @lucygirgis3742 5 ปีที่แล้ว +3

    Asante ney kwa mashushu duuuuu wimbo una message nzuri nimeupenda

  • @omaryabdallah3819
    @omaryabdallah3819 5 ปีที่แล้ว +53

    Kama kanyimbo kana kugusa mpaka unajicheka kama mimi gonga like twende pamoja

  • @antonymchina3254
    @antonymchina3254 5 ปีที่แล้ว +509

    kama nawewe umeirudia hii ngoma 2019 gonga like twende sawa

  • @OrediYowasi
    @OrediYowasi 6 หลายเดือนก่อน +1

    Aise kitambo sana waku kama unamkubali huyu jama gonna laik mku ira saiv simusikiii

  • @prayworshiptv9168
    @prayworshiptv9168 ปีที่แล้ว +12

    Kama umerudia hii ngoma 2023 😊gonna like

  • @rizymolleljr7086
    @rizymolleljr7086 5 ปีที่แล้ว +127

    Naitamaza hii ngoma now November 04-2019 kama Nawe upo like twende zetu 2020

  • @geraldndosi2083
    @geraldndosi2083 4 หลายเดือนก่อน

    Daaaah ney anachanika humu mno
    Ngoma kali mpaka 2024🎉

  • @jumaali744
    @jumaali744 5 ปีที่แล้ว +6

    kala jeremiah ni moto wa kuotea mbali!

  • @VybzAlex
    @VybzAlex 6 ปีที่แล้ว +32

    Wimbo mzuri una mafunzo kweli, natokea kenya naomba tu lyrics za huu wimbo Kala.

  • @DololoGhofwa
    @DololoGhofwa 11 หลายเดือนก่อน +23

    2024 nabado hii Ngoma uko live👍

    • @Jojajuu
      @Jojajuu 5 หลายเดือนก่อน

      Nipo apa

  • @edinanyagani9075
    @edinanyagani9075 2 ปีที่แล้ว +5

    Nilikupeleka saluni na bichwa lako 🙈🙈

  • @patrickdebe8416
    @patrickdebe8416 2 ปีที่แล้ว +2

    Vizuri sana kaka jeremaya! Wakati mwingine watu ni wengi wanaotendewa mambo mazuri sana tena wakiokolewa kutoka ktk maisha ya chini kabisa, lakini badae husahau kabisa walilowasaidia.

  • @RamadhaniMiraji-w5s
    @RamadhaniMiraji-w5s 11 วันที่ผ่านมา +9

    2025 wapi likes zangu kwa hili goma

  • @kanijoalberto1538
    @kanijoalberto1538 10 ปีที่แล้ว +38

    ayaaaa! inaendelea lin....? umetisha, true boy katisha....chorus ndo usipime...bonge la video, kibongobongo tu...haina haja ya kwenda sauzi!

    • @rayaalamri9789
      @rayaalamri9789 7 ปีที่แล้ว +1

      love song mmetisha tunaitaji ngoma nyingine mshilikine

  • @omarynado4201
    @omarynado4201 2 หลายเดือนก่อน +3

    Comment ziwe nyingi tunao angalia hii ngoma 2024 kweli zamani walikua wanaimba

  • @issamboyi2339
    @issamboyi2339 5 ปีที่แล้ว +2

    Nikakupeleka salon ukaset nywele na bichwa lakoo salute kala

    • @aminamasanja9033
      @aminamasanja9033 4 ปีที่แล้ว

      Kali Sana Kaka , ww ni noma unaweza sana

  • @tinajulius4396
    @tinajulius4396 5 ปีที่แล้ว +11

    naipendaga kila mwaka iiih 😍😍😍😘😍😘😍😘😍😍😘😍😘

  • @chomamwita5569
    @chomamwita5569 6 ปีที่แล้ว +4

    Huu wimbo nita ukisikiliza kila mwaka kila mwezi kila wiki sjawai kuuchoka

  • @shyshayagen2733
    @shyshayagen2733 6 ปีที่แล้ว +1

    Anaye jua jina la hiki kipande
    Kosa gan nimefanya..... Anaimba huyo jamaa mwengine

  • @madollahmsisi105
    @madollahmsisi105 5 ปีที่แล้ว +1

    gonga like km na we umesikia alipopewa pole aliyeoa kuuziwa mbuz kwenye gunia maana awez kuacha tabia yke ya kujikojolea,

  • @christiandumalukhy9006
    @christiandumalukhy9006 3 ปีที่แล้ว +1

    Kila nikiusikia huu wimbo nnapata kitu kipya... Kala unajuaga tuu🤛🏾🤛🏾

  • @brianfeel3570
    @brianfeel3570 9 ปีที่แล้ว +24

    mob love hadi leo.Kenya tunaskiza

  • @isayasway8633
    @isayasway8633 4 ปีที่แล้ว

    Dahaa ngoma Kali
    Sana
    Kama upo unaifuatilia nao like yak

  • @abdallahamadi9380
    @abdallahamadi9380 4 ปีที่แล้ว +3

    Kali sana walahi. Nimeikubali 100% From Kenya ❤

  • @frankkinyua3559
    @frankkinyua3559 6 ปีที่แล้ว +1

    Nimetafuta hiki kibao kwa muda.. Lakini kwa sasa nashukuru sana maanake technolojia imeniwezesha... Asante #bongohiphop.. Dj AD Mafuvu... Nakufagilia sana huku +254 kenya... Holla!

  • @husnajuma1243
    @husnajuma1243 5 ปีที่แล้ว

    Hii nyimbo naipenda sana,cwez ingia tube bila kuchek ngoma Kali kama hii

  • @millicentotieno5539
    @millicentotieno5539 8 ปีที่แล้ว +154

    uyu mjamaa kala ni mkali East Africa yote

  • @duncangilberth3847
    @duncangilberth3847 5 ปีที่แล้ว +14

    2020/01/12= nani yupo hapa baada ya kutendwa ndo tunaikumbuka hii ngoma ndo faraja yetu

  • @DannySengi
    @DannySengi 5 หลายเดือนก่อน

    Siya ona mwana mziki bora kama wewe mpaka nime ku love ki nyama depuis rd congo

  • @anzirundad9431
    @anzirundad9431 5 ปีที่แล้ว +9

    Kwanza nikuurize shemeji umeshawai penda na yure ebwana bonge ra ngoma

  • @sasitaokusimba2969
    @sasitaokusimba2969 5 ปีที่แล้ว +1

    Mamayangu huyu jamaa anaimba.your fan from kenya

  • @awezaemialano8771
    @awezaemialano8771 5 ปีที่แล้ว +7

    Heee banaa ayo makavu kweli

  • @1free_time1
    @1free_time1 18 วันที่ผ่านมา +4

    Kama 2025 unaliangalia hili goma piga dole gumba hapa

  • @amosileonardsegese7494
    @amosileonardsegese7494 6 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂kila mtu wa kwanza 😂😂🤣🤣🤣🤣na wamwisho yuko wap

  • @pillahjr8221
    @pillahjr8221 4 ปีที่แล้ว +3

    Ngoma kama hizi huwa zinanifanya niendelee kuzurula kila siku kuangalia TH-cam🤗

  • @brandluhagah1830
    @brandluhagah1830 4 ปีที่แล้ว

    hongera sana kaka angu nymbo zako naakubali sana ndg yng

  • @thomasmatrine4018
    @thomasmatrine4018 9 ปีที่แล้ว

    Kala were no noma mm nakukubali sana by Thomas Mndamsheku from Sengerema

  • @cosmasmbwilo5455
    @cosmasmbwilo5455 4 ปีที่แล้ว +4

    Very good song,, i real appreciate you,, big up

  • @nananana4885
    @nananana4885 5 ปีที่แล้ว +2

    Nakupenda sana Kala nakutongilye

  • @rachelkihaka9204
    @rachelkihaka9204 2 ปีที่แล้ว

    Siku zote nikiangalia nyimbo hii huwa namuwazia mtu aliyeolewa na ndugu yake na Mr nay maana shemeji ana chamba kuliko mume

  • @eddynando2522
    @eddynando2522 10 ปีที่แล้ว +19

    well done kala ilikuwa mzuka kwenye EATV friday night Live ulipo chana freestyle na Baba Kaila..... eddy from mombasa

  • @Ndiegoh
    @Ndiegoh ปีที่แล้ว +24

    2023 Still sounding fresh in my vains

  • @margeysmarvin7273
    @margeysmarvin7273 6 ปีที่แล้ว +2

    Hip Hop si lazima liwayne na Jay Z. Mambo haya, napendaaa

  • @kifurugomselem3477
    @kifurugomselem3477 5 ปีที่แล้ว +1

    Mo Miaka 100000000 Nakukubarii Umen Ulia hik kipande

  • @greysonjoseph1506
    @greysonjoseph1506 4 ปีที่แล้ว +1

    Ulikuja umepauka huna hataa mia nampaa poleee aliyekuoa kauziwa mbuz kwenye juniaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @asteriakimaro5660
    @asteriakimaro5660 5 ปีที่แล้ว +1

    Kosa gani ndo naawazaaa every time Avery night, kipi kilo fanya mpaka u goo sekelaa sekeaaa

  • @DataGenie254
    @DataGenie254 2 ปีที่แล้ว +59

    is 2023 and the song is still dope

  • @yohanalazarobalandagiye8679
    @yohanalazarobalandagiye8679 4 ปีที่แล้ว +1

    Mzik mzr sana umeendana na nilipo sasa

  • @AlexSmith-en1rs
    @AlexSmith-en1rs 8 ปีที่แล้ว

    imetishaa kala hiyo kali sana yani dem hule huwa anatake time yake kusikia ngoma bac hii hapa itamtoa machozi mengi sana kila m2 katisha kwenye part yake nay.mo na jeremiah hongera sana kw mzingo mkubwa huo

  • @saidnassor2194
    @saidnassor2194 4 หลายเดือนก่อน

    Daaaaaaah balaaaaaa hiii ngoma

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 6 ปีที่แล้ว

    Dah, chorus Kali sana, cjui mo unaanguka wap!

  • @praygodkweka2884
    @praygodkweka2884 4 ปีที่แล้ว

    nice song aiseee. Ney mkuu.....

  • @simonsoka5392
    @simonsoka5392 4 ปีที่แล้ว +45

    Kama umerudi 2021 gonga like

  • @suzanamwalugaja5239
    @suzanamwalugaja5239 3 ปีที่แล้ว +3

    More congrats Mr for this song

  • @dubaimohd7439
    @dubaimohd7439 10 ปีที่แล้ว +7

    umetisha kala j &trueboooooy!

  • @paulina28mkama
    @paulina28mkama 10 ปีที่แล้ว +14

    U rock kala jeremiah...great fan of uas

  • @fenetmangula9360
    @fenetmangula9360 10 ปีที่แล้ว +2

    Iko poa sana yaan big up Kala

  • @NEMBOYAKIJANJANEMBOYAKIJ-ic2tu
    @NEMBOYAKIJANJANEMBOYAKIJ-ic2tu ปีที่แล้ว

    Courage papa mnawez kwl kwl

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 หลายเดือนก่อน

    Mo Music alikuwa anaimba daah

  • @mawazolugodisha9600
    @mawazolugodisha9600 9 ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzuri, fani na maudhi vina uwiano! Ongezeni bidii ili jamii ipate kujifunza zaidi kupitia muziki wetu Tz!

  • @monicamichael8119
    @monicamichael8119 5 ปีที่แล้ว +7

    Kala jeremaa kirelelen 💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽

  • @neycarixta3937
    @neycarixta3937 4 ปีที่แล้ว

    Bado nzur tu na zinatamba💝💝💝

  • @zedbclaudia5603
    @zedbclaudia5603 8 ปีที่แล้ว

    Yap Yap. big up xna. kali dah mistari ynguvu

  • @Gikonyoea
    @Gikonyoea 3 หลายเดือนก่อน

    Nyimbo za bongo za siku hizi hazina mafunzo yoyote kama hizi za kitambo...

  • @AsajileNelson
    @AsajileNelson 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤umetisha sana mlongove

  • @dundoonlinesingeli
    @dundoonlinesingeli ปีที่แล้ว +1

    Rudiii humuu kaka 15/03/2023 nimewatch tenaa .kaziii inaishiiiiii hii

  • @SalumMapande-uk8md
    @SalumMapande-uk8md 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yaliyotukuta kama ya kala tujuane kwa like

  • @janethgaudence265
    @janethgaudence265 4 ปีที่แล้ว

    Kala Jeremiah WAP now days dah nakukubali sana good job

  • @mandelahamisi9634
    @mandelahamisi9634 9 ปีที่แล้ว +11

    upo mbele sana kakaa wataelewa 2

  • @alhajiFashions7563
    @alhajiFashions7563 2 ปีที่แล้ว +1

    Wow!! I have watched it more than 20times

  • @stevecharlz9032
    @stevecharlz9032 5 ปีที่แล้ว

    Nay nakukubali sana umejua kunogesha ngoma

  • @na0m1fes51
    @na0m1fes51 5 ปีที่แล้ว +2

    Hahahahahahahahaha ".. eti umekimbiaa nduki kama filbert bai..." 😀😀

  • @zakariavicent293
    @zakariavicent293 2 ปีที่แล้ว +8

    Kama umeiludia kuangalia kama mm mwaka 2022 gonga like za kutosha

  • @bettykihwele7713
    @bettykihwele7713 4 ปีที่แล้ว +1

    Kala weeeee daah kitambo

  • @najimasaidi6391
    @najimasaidi6391 5 ปีที่แล้ว +1

    Uko vizuri kaka

  • @kitunduoomary8700
    @kitunduoomary8700 10 ปีที่แล้ว

    umetishaa mzaz upo juuu saaanaa

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 4 หลายเดือนก่อน

    Kwanza una tamaa, kahaba, changudua

  • @salummpala9256
    @salummpala9256 5 ปีที่แล้ว +1

    Hii Nyimbo Ipo Vzuli Sana

  • @chrisslukando
    @chrisslukando 10 ปีที่แล้ว +13

    video simple bt smart nymbo saf msg nayo ipo njema well done braa

  • @enockbunyika1735
    @enockbunyika1735 4 ปีที่แล้ว

    Dah! Ney kaachiwa sekunde kadhaa tu katukana balaa, hahaaa

  • @aidanaidan5517
    @aidanaidan5517 5 ปีที่แล้ว +5

    Always your songs are best broo

  • @farkisalum5783
    @farkisalum5783 6 ปีที่แล้ว +1

    Kamaunaangalia hiingoma hadixx gonna like

  • @abdallahsaidi57
    @abdallahsaidi57 ปีที่แล้ว +5

    Dah nime angalia tena 12.3.2023 ni ngoma kali sana

  • @AnnaMrsmoses
    @AnnaMrsmoses 7 หลายเดือนก่อน

    dah! bonge la ngoma niko hapa june 6 2024