Mkisema wamemtoa kwenye dini yake inakuwa mnakosea:yeye kwani alilazimishwa kuingia wislam au mtu unaga analazimishwa kuingia ukiristo:jibu hapana mtu ni Matakwa yake:
Barnabar kuhusu wewe na yammi, nadhan ni utakuwa msanii wa Kwanza uliye weza kuwa na busara Kwa matatizo kama haya yaliyokukuta na mama mkwe wako atambue ata kama syo mziki usingeweza kumuoa mke wako,,, alikupendea nyotaaa baba we kuwa tu na busara na uaminifu wala usiwasikilize hawa wapemben
Wamekutoa dini yako wajue km Uislam ruhsa wake wa 4 sasa watulie n akuwakomesha uongeoa bila kupenda ili akili ziwakae sawa yaani unapomtoa mtu kwenye dini yake basi mu9nyeshe matendo ya dini uliyomuingiza lkn wao kutwa kukaa uchi kukatika mitandaoni unafikiri wanakufunza nn km sio kukuharibia thawàbu zako😂😂😂
@@IssaMbaru-qw6ug sawa ila sio sheria kama waislam inajulikana ni 4 ila wakristu ni 1 sema kuna kuvunja sheria ndo maana inayokea 2 au 3 ila iyo sio sheria ya wakrist "sad truth" 😢
@@IssaMbaru-qw6ugAcha uongo wako wewe ni mnafiki wa kiwango cha phd, wakristo wanaoa wake 2,3,4 kwa ndoa ipi? ndoa yetu ni moja tu mpaka kifo sio kama nyinyi ndoa zote 4 ni halali 😂😂 kwetu ndoa halali ni moja TU sema wakristo wanaishi na wanawake zaidi ya mmoja 2,3,4,5 _100 sio wanaoa mke zaidi ya mmoja huo ni uongo wako 😂😂😂 mkristo hana ruhusa wala uhalali wa kuoa wanawake wengi NEVER
@@DM.2200 Mkristo having wanawake wengi ndoa yetu ni moja tu, angesema wanaishi na wanawake wengi sawa tungemuelewa sio wanaoa ajue kutofautisha kuishi na kuoa ndio maana wao wanaoa wake 4 kwa ndoa halali ila sisi hakuna ndoa ya wake wengi kwa halai NEVER kwetu kuoa ni mke mmoja tu ndio halali hata aishi na wanawake 200 mke wake halali atabakia kuwa mmoja tu
Ninyi wenyewe msio wanamuziki mnaongeza wanawake kila uchwao na hamfuati taratibu za dini yenu mnaweka matabaka kwa wake zenu mara nyingi mnaongeza wake na uwezo wa kuwahudumia hamna
oooh safi sana ukristo ndo dini waislam wengi saizi wanakimbilia makanisani na kwa manabiii kupata uponyaji sioni wakristo wakikimbilia kw misikiti yenu 😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂jamani watu kwenye coment wanamakasiriko wengine hawajaoa wengine hawajaolewa hawajui mume anauma au mke anauma nyie acheni kitu kinaitwa muhabat mie nitulie2 muendelee na makasiriko siku mkiolewa au mkaoa mtaelewa2😂😂😂 maskini siku mkichitw mtaelwa siku ykulia kwenu inakaribia 😭😭😭
We mbwa unamjuwa wew tukalie kmy bwanaaa wee vp kujisemea Wanacham we zangu kwani huyo barnaba alikuwa amelll wakat Biray anaenda kumsilimisha bas tunyamazie wew kama hawna chakuongea bora ukae kmya t
Mdogo wangu Barnaba,unajibu vizuri big up👍
Mashaallah anampenda mkewe kwa moyo wake mungu awazidishie mapenzi na maskilizano inshallah mashaallah mtt wa kiume ana maadil maziri
Yes Barnabas amelelewa katika malezi mazuri .. babake ni mchungaji .. ❤❤ huko kwenye dini aliohamia anakrashi tu ..
❤❤ kaka tafuta ela pesa@@annasolomon9855
Barnaba anatubroken twake twingi sena anavyoongea haraka haraka unaweza sena anapatia sana😂😂😂
Yaani mswahili dah hy mama mkwe ni kwere kwerekweche Yao..anawezaje kumuongelea mume wa mtoto wake kwa u babe hivo. 😂😂😂
Oa wanangu wewe bado kijana. Fanya Ile kitu roho inapenda but be careful on the wife you select. Congrats for good music and hard work .
Dada uko vizuri kwa maswali
Mkisema wamemtoa kwenye dini yake inakuwa mnakosea:yeye kwani alilazimishwa kuingia wislam au mtu unaga analazimishwa kuingia ukiristo:jibu hapana mtu ni Matakwa yake:
Barbara is 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾👍🏾
Mungu akupe uvumilivu kaka yangu yatapita
Yeye ni kijana wakiislamu sasa anayo ruksa ya kuongeza mke, na uwezo anao so ajue tu haki zake! mke hana haki kumuendesha mume wake
Yuko very smart
Umeongea kwa ekima sana nimekufurahia🌹
Barnabar kuhusu wewe na yammi, nadhan ni utakuwa msanii wa Kwanza uliye weza kuwa na busara Kwa matatizo kama haya yaliyokukuta na mama mkwe wako atambue ata kama syo mziki usingeweza kumuoa mke wako,,, alikupendea nyotaaa baba we kuwa tu na busara na uaminifu wala usiwasikilize hawa wapemben
Awakumtoa kwenye dini yake kajitoa mwenye,maana uyu ni mtu mzima
JAMANII MTU AKIJICHOKONOA PUA MBELE ZA WATU INABOAAAA
🎉🎉
Barnab achana na hao kina raya..njoo unioe mm
😂😂😂😂 ombi limekubaliwa
😂😂😂😂
👌👌👌
Anaongea kama kameza cd😅😅😅
Wamekutoa dini yako wajue km Uislam ruhsa wake wa 4 sasa watulie n akuwakomesha uongeoa bila kupenda ili akili ziwakae sawa yaani unapomtoa mtu kwenye dini yake basi mu9nyeshe matendo ya dini uliyomuingiza lkn wao kutwa kukaa uchi kukatika mitandaoni unafikiri wanakufunza nn km sio kukuharibia thawàbu zako😂😂😂
Tuheshihane ataa wakiristu sikuhizi wanahowa ata 2 ao 3 mpaka 4 sikuhiz wanahowa
@@IssaMbaru-qw6ug sawa ila sio sheria kama waislam inajulikana ni 4 ila wakristu ni 1 sema kuna kuvunja sheria ndo maana inayokea 2 au 3 ila iyo sio sheria ya wakrist "sad truth" 😢
Bora kuoa kila mtu ajue kuliko huyo mmoja na una wengine kwa siri kuendekeza zinaa na dini zote hukataza
@@IssaMbaru-qw6ugAcha uongo wako wewe ni mnafiki wa kiwango cha phd, wakristo wanaoa wake 2,3,4 kwa ndoa ipi? ndoa yetu ni moja tu mpaka kifo sio kama nyinyi ndoa zote 4 ni halali 😂😂 kwetu ndoa halali ni moja TU sema wakristo wanaishi na wanawake zaidi ya mmoja 2,3,4,5 _100 sio wanaoa mke zaidi ya mmoja huo ni uongo wako 😂😂😂 mkristo hana ruhusa wala uhalali wa kuoa wanawake wengi NEVER
@@DM.2200 Mkristo having wanawake wengi ndoa yetu ni moja tu, angesema wanaishi na wanawake wengi sawa tungemuelewa sio wanaoa ajue kutofautisha kuishi na kuoa ndio maana wao wanaoa wake 4 kwa ndoa halali ila sisi hakuna ndoa ya wake wengi kwa halai NEVER kwetu kuoa ni mke mmoja tu ndio halali hata aishi na wanawake 200 mke wake halali atabakia kuwa mmoja tu
Barnaba, mama Kimbo yuleee🤣🤣🤣🤣🤣
Mbosso Khan uyoo
❤❤,
Barnaba unamkana yesu kweli
Mm najua babraba hajabadilisha dini ni vile watu hamuwajui wanaume vizuri yn akikutaka hashindwi kufanya unachotaka
Kuongeza mke sio sifa ila ujue kuwa mudu coz nyie wana muziki kila uonae waona mzuri
Ninyi wenyewe msio wanamuziki mnaongeza wanawake kila uchwao na hamfuati taratibu za dini yenu mnaweka matabaka kwa wake zenu mara nyingi mnaongeza wake na uwezo wa kuwahudumia hamna
🎉
Kusahau ni kawaida ya binadamu na wakati mwingine hajijui, 'USISAHAU/USIMSAHAU ALIYEKUFIKISHA HAPO'!
Suwezi badili kitu kinacho itwa dini sioni yoyote wa kuweza nibadili hilo
Ndo uloshinda kama firauni alofika hadi anakufa yupo katika kumuaasi mungu nakuabudu misanamu
huna akili
@@ukhtyrayyan7884hahahha njooo uone nikabu zinavyopishana kwa manabiiii ndo utajua wapi pa kweli amja usingizini 😂😂😂
Anaulizwa maswali na anajibu vizuri, kwa akili sana.
Mstarabu sana barnaba😂😂
Umefanya jambo zur kubadil din uislam ndio din ya kwel owa wa 4 din inakuruhusu usijal maneno
Ashura dini zoe zinamwamini Mungu toa ujinga wako wa ubaguzi wa dini
oooh safi sana ukristo ndo dini waislam wengi saizi wanakimbilia makanisani na kwa manabiii kupata uponyaji sioni wakristo wakikimbilia kw misikiti yenu 😅😅😅😅😅😅😅
Banaba nikuozeshe mwanangu una hekima sana
Na mwanangu namjua anahekima hivyo naamini utafarijika
😂😂😂😂jamani watu kwenye coment wanamakasiriko wengine hawajaoa wengine hawajaolewa hawajui mume anauma au mke anauma nyie acheni kitu kinaitwa muhabat mie nitulie2 muendelee na makasiriko siku mkiolewa au mkaoa mtaelewa2😂😂😂 maskini siku mkichitw mtaelwa siku ykulia kwenu inakaribia 😭😭😭
Ivi kweli hawa wasani😂 mnapo ongea kengereza huwa mnakosea saana, maana makosa ni mengi mnoo. Someni shule please
Uowako niuhasidi tu huna lolote
Wale usiowe mke mwingine huyo huyo Raya yote hii vivu tu Raha anakupenda sana
😅
Kwanini munamuita mjinga
Kumbe uyu Malaya ndiyo maana aliashwa akiowa achika
Bora kutowa kuliko kupokeya.unapo towa usitarajiye kurejeshewa.tenda mema nenda.
Barnabas ni kama haupo sawa kwa mke yupi familia ya kiswahili had din unabadili haupo sawa maskini
Wewe unamkashif mwenzio kumwita mbwa wewe ndio jibwa
Wewe nimtu unaependa Sana kuwakashfu watu sijuwi kwanini
Kuna watu wana stress kwenye comment 😂😅
😂
😂😂😂
we ni fala ndo maana,mpk utakua mwehu
We mbwa unamjuwa wew tukalie kmy bwanaaa wee vp kujisemea Wanacham we zangu kwani huyo barnaba alikuwa amelll wakat Biray anaenda kumsilimisha bas tunyamazie wew kama hawna chakuongea bora ukae kmya t
Mjinga huyu toka abadili nini mie namwonaga tu ni mbwa
Na wewe ni mbwa ama?astaghfirullah
We ni mbwa na mamaako, babaako na ukoo wako woote jjibwa makubwa weee nyoooh
@@salmahalfani6307 kapige kwanza mswaki mbwa wewe . Kwanza hujui kuoga
Comment yako tu inaonyesha we ndio ni mbwa.
@@user-bi3ky7vy2q mwanaume unabadili dini kisa mwanamke c ni sasawa tu umeolewa unatofauti gani mbwa koko
🎉