BARNABA AMTOLEA UVIVU MAMA MKWE/AMEZIDI/NAONGEZA MKE WA PILI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 มิ.ย. 2024
  • BARNABA AMTOLEA UVIVU MAMA MKWE/AMEZIDI/NAONGEZA MKE WA PILI
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 91

  • @franciskajessy4468
    @franciskajessy4468 หลายเดือนก่อน +4

    Mdogo wangu Barnaba,unajibu vizuri big up👍

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 หลายเดือนก่อน +11

    Mashaallah anampenda mkewe kwa moyo wake mungu awazidishie mapenzi na maskilizano inshallah mashaallah mtt wa kiume ana maadil maziri

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 หลายเดือนก่อน

      Yes Barnabas amelelewa katika malezi mazuri .. babake ni mchungaji .. ❤❤ huko kwenye dini aliohamia anakrashi tu ..

    • @EdinaJoel
      @EdinaJoel 24 วันที่ผ่านมา

      ❤❤ kaka tafuta ela pesa​@@annasolomon9855

  • @saniasezzy9085
    @saniasezzy9085 หลายเดือนก่อน +2

    Barnaba anatubroken twake twingi sena anavyoongea haraka haraka unaweza sena anapatia sana😂😂😂

  • @elinurukitomali6008
    @elinurukitomali6008 หลายเดือนก่อน +2

    Yaani mswahili dah hy mama mkwe ni kwere kwerekweche Yao..anawezaje kumuongelea mume wa mtoto wake kwa u babe hivo. 😂😂😂

  • @user-cw6jq7cv2k
    @user-cw6jq7cv2k หลายเดือนก่อน +2

    Oa wanangu wewe bado kijana. Fanya Ile kitu roho inapenda but be careful on the wife you select. Congrats for good music and hard work .

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 หลายเดือนก่อน +5

    Dada uko vizuri kwa maswali

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 หลายเดือนก่อน +3

    Mkisema wamemtoa kwenye dini yake inakuwa mnakosea:yeye kwani alilazimishwa kuingia wislam au mtu unaga analazimishwa kuingia ukiristo:jibu hapana mtu ni Matakwa yake:

  • @chany9950
    @chany9950 หลายเดือนก่อน +5

    Barbara is 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾👍🏾

  • @SalmaMasabile
    @SalmaMasabile หลายเดือนก่อน +6

    Mungu akupe uvumilivu kaka yangu yatapita

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 หลายเดือนก่อน +4

    Yeye ni kijana wakiislamu sasa anayo ruksa ya kuongeza mke, na uwezo anao so ajue tu haki zake! mke hana haki kumuendesha mume wake

  • @MustymediaTv
    @MustymediaTv หลายเดือนก่อน +2

    Yuko very smart

  • @kokusimabuberwa259
    @kokusimabuberwa259 หลายเดือนก่อน

    Umeongea kwa ekima sana nimekufurahia🌹

  • @dismasmariananga4776
    @dismasmariananga4776 หลายเดือนก่อน +2

    Barnabar kuhusu wewe na yammi, nadhan ni utakuwa msanii wa Kwanza uliye weza kuwa na busara Kwa matatizo kama haya yaliyokukuta na mama mkwe wako atambue ata kama syo mziki usingeweza kumuoa mke wako,,, alikupendea nyotaaa baba we kuwa tu na busara na uaminifu wala usiwasikilize hawa wapemben

  • @shakiramshule342
    @shakiramshule342 หลายเดือนก่อน +1

    Awakumtoa kwenye dini yake kajitoa mwenye,maana uyu ni mtu mzima

  • @MariaWaYesu
    @MariaWaYesu หลายเดือนก่อน +1

    JAMANII MTU AKIJICHOKONOA PUA MBELE ZA WATU INABOAAAA

  • @Hkboy900
    @Hkboy900 หลายเดือนก่อน +1

    🎉🎉

  • @user-fx4ok3ky8h
    @user-fx4ok3ky8h หลายเดือนก่อน +2

    Barnab achana na hao kina raya..njoo unioe mm

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 ombi limekubaliwa

    • @salmasaid1521
      @salmasaid1521 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @user-sr7qt3nq2i
    @user-sr7qt3nq2i หลายเดือนก่อน

    👌👌👌

  • @DativaMbowe
    @DativaMbowe หลายเดือนก่อน

    Anaongea kama kameza cd😅😅😅

  • @Official83640
    @Official83640 หลายเดือนก่อน +29

    Wamekutoa dini yako wajue km Uislam ruhsa wake wa 4 sasa watulie n akuwakomesha uongeoa bila kupenda ili akili ziwakae sawa yaani unapomtoa mtu kwenye dini yake basi mu9nyeshe matendo ya dini uliyomuingiza lkn wao kutwa kukaa uchi kukatika mitandaoni unafikiri wanakufunza nn km sio kukuharibia thawàbu zako😂😂😂

    • @IssaMbaru-qw6ug
      @IssaMbaru-qw6ug หลายเดือนก่อน +1

      Tuheshihane ataa wakiristu sikuhizi wanahowa ata 2 ao 3 mpaka 4 sikuhiz wanahowa

    • @DM.2200
      @DM.2200 หลายเดือนก่อน

      ​@@IssaMbaru-qw6ug sawa ila sio sheria kama waislam inajulikana ni 4 ila wakristu ni 1 sema kuna kuvunja sheria ndo maana inayokea 2 au 3 ila iyo sio sheria ya wakrist "sad truth" 😢

    • @anunalamin6472
      @anunalamin6472 หลายเดือนก่อน +5

      Bora kuoa kila mtu ajue kuliko huyo mmoja na una wengine kwa siri kuendekeza zinaa na dini zote hukataza

    • @yusternyirenda7231
      @yusternyirenda7231 หลายเดือนก่อน

      ​@@IssaMbaru-qw6ugAcha uongo wako wewe ni mnafiki wa kiwango cha phd, wakristo wanaoa wake 2,3,4 kwa ndoa ipi? ndoa yetu ni moja tu mpaka kifo sio kama nyinyi ndoa zote 4 ni halali 😂😂 kwetu ndoa halali ni moja TU sema wakristo wanaishi na wanawake zaidi ya mmoja 2,3,4,5 _100 sio wanaoa mke zaidi ya mmoja huo ni uongo wako 😂😂😂 mkristo hana ruhusa wala uhalali wa kuoa wanawake wengi NEVER

    • @yusternyirenda7231
      @yusternyirenda7231 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@DM.2200 Mkristo having wanawake wengi ndoa yetu ni moja tu, angesema wanaishi na wanawake wengi sawa tungemuelewa sio wanaoa ajue kutofautisha kuishi na kuoa ndio maana wao wanaoa wake 4 kwa ndoa halali ila sisi hakuna ndoa ya wake wengi kwa halai NEVER kwetu kuoa ni mke mmoja tu ndio halali hata aishi na wanawake 200 mke wake halali atabakia kuwa mmoja tu

  • @tuikezeezra1315
    @tuikezeezra1315 หลายเดือนก่อน +2

    Barnaba, mama Kimbo yuleee🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dianaonesmo6951
    @dianaonesmo6951 หลายเดือนก่อน

    Mbosso Khan uyoo

  • @silaslemayian5871
    @silaslemayian5871 หลายเดือนก่อน

    ❤❤,

  • @MichaelJoashi
    @MichaelJoashi หลายเดือนก่อน

    Barnaba unamkana yesu kweli

  • @ChristoweluMatuta
    @ChristoweluMatuta หลายเดือนก่อน

    Mm najua babraba hajabadilisha dini ni vile watu hamuwajui wanaume vizuri yn akikutaka hashindwi kufanya unachotaka

  • @SaidOmari-sx4ix
    @SaidOmari-sx4ix หลายเดือนก่อน +1

    Kuongeza mke sio sifa ila ujue kuwa mudu coz nyie wana muziki kila uonae waona mzuri

    • @subiraandongolile7903
      @subiraandongolile7903 หลายเดือนก่อน

      Ninyi wenyewe msio wanamuziki mnaongeza wanawake kila uchwao na hamfuati taratibu za dini yenu mnaweka matabaka kwa wake zenu mara nyingi mnaongeza wake na uwezo wa kuwahudumia hamna

  • @EvaTewele
    @EvaTewele หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @martinlema4192
    @martinlema4192 หลายเดือนก่อน

    Kusahau ni kawaida ya binadamu na wakati mwingine hajijui, 'USISAHAU/USIMSAHAU ALIYEKUFIKISHA HAPO'!

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias9967 หลายเดือนก่อน +4

    Suwezi badili kitu kinacho itwa dini sioni yoyote wa kuweza nibadili hilo

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 หลายเดือนก่อน

      Ndo uloshinda kama firauni alofika hadi anakufa yupo katika kumuaasi mungu nakuabudu misanamu

    • @amirinestory
      @amirinestory หลายเดือนก่อน

      huna akili

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 หลายเดือนก่อน

      @@ukhtyrayyan7884hahahha njooo uone nikabu zinavyopishana kwa manabiiii ndo utajua wapi pa kweli amja usingizini 😂😂😂

  • @user-vo3wk9yr7k
    @user-vo3wk9yr7k หลายเดือนก่อน +1

    Anaulizwa maswali na anajibu vizuri, kwa akili sana.

    • @user-mt2pn4ds9k
      @user-mt2pn4ds9k หลายเดือนก่อน +1

      Mstarabu sana barnaba😂😂

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 หลายเดือนก่อน +4

    Umefanya jambo zur kubadil din uislam ndio din ya kwel owa wa 4 din inakuruhusu usijal maneno

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 หลายเดือนก่อน +1

      Ashura dini zoe zinamwamini Mungu toa ujinga wako wa ubaguzi wa dini

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 หลายเดือนก่อน

      oooh safi sana ukristo ndo dini waislam wengi saizi wanakimbilia makanisani na kwa manabiii kupata uponyaji sioni wakristo wakikimbilia kw misikiti yenu 😅😅😅😅😅😅😅

  • @rukiamasayanyika2284
    @rukiamasayanyika2284 หลายเดือนก่อน

    Banaba nikuozeshe mwanangu una hekima sana

    • @rukiamasayanyika2284
      @rukiamasayanyika2284 หลายเดือนก่อน

      Na mwanangu namjua anahekima hivyo naamini utafarijika

  • @user-pw2bl4qd8w
    @user-pw2bl4qd8w หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂jamani watu kwenye coment wanamakasiriko wengine hawajaoa wengine hawajaolewa hawajui mume anauma au mke anauma nyie acheni kitu kinaitwa muhabat mie nitulie2 muendelee na makasiriko siku mkiolewa au mkaoa mtaelewa2😂😂😂 maskini siku mkichitw mtaelwa siku ykulia kwenu inakaribia 😭😭😭

  • @boubabizo246
    @boubabizo246 หลายเดือนก่อน

    Ivi kweli hawa wasani😂 mnapo ongea kengereza huwa mnakosea saana, maana makosa ni mengi mnoo. Someni shule please

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 หลายเดือนก่อน

      Uowako niuhasidi tu huna lolote

  • @lovelym9562
    @lovelym9562 หลายเดือนก่อน +2

    Wale usiowe mke mwingine huyo huyo Raya yote hii vivu tu Raha anakupenda sana

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 หลายเดือนก่อน

    Kwanini munamuita mjinga

  • @cettyamandus2929
    @cettyamandus2929 หลายเดือนก่อน

    Kumbe uyu Malaya ndiyo maana aliashwa akiowa achika

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 หลายเดือนก่อน +2

    Bora kutowa kuliko kupokeya.unapo towa usitarajiye kurejeshewa.tenda mema nenda.

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 หลายเดือนก่อน +2

    Barnabas ni kama haupo sawa kwa mke yupi familia ya kiswahili had din unabadili haupo sawa maskini

  • @user-en5ng4sc2x
    @user-en5ng4sc2x หลายเดือนก่อน

    Wewe unamkashif mwenzio kumwita mbwa wewe ndio jibwa

    • @yousramutwale2463
      @yousramutwale2463 หลายเดือนก่อน

      Wewe nimtu unaependa Sana kuwakashfu watu sijuwi kwanini

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna watu wana stress kwenye comment 😂😅

  • @lucasernest6012
    @lucasernest6012 หลายเดือนก่อน

    we ni fala ndo maana,mpk utakua mwehu

  • @AdiaOmari
    @AdiaOmari หลายเดือนก่อน

    We mbwa unamjuwa wew tukalie kmy bwanaaa wee vp kujisemea Wanacham we zangu kwani huyo barnaba alikuwa amelll wakat Biray anaenda kumsilimisha bas tunyamazie wew kama hawna chakuongea bora ukae kmya t

  • @user-ij2lp1om6i
    @user-ij2lp1om6i หลายเดือนก่อน +3

    Mjinga huyu toka abadili nini mie namwonaga tu ni mbwa

    • @hameezhami7795
      @hameezhami7795 หลายเดือนก่อน +10

      Na wewe ni mbwa ama?astaghfirullah

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 หลายเดือนก่อน +6

      We ni mbwa na mamaako, babaako na ukoo wako woote jjibwa makubwa weee nyoooh

    • @user-ij2lp1om6i
      @user-ij2lp1om6i หลายเดือนก่อน

      @@salmahalfani6307 kapige kwanza mswaki mbwa wewe . Kwanza hujui kuoga

    • @user-bi3ky7vy2q
      @user-bi3ky7vy2q หลายเดือนก่อน +7

      Comment yako tu inaonyesha we ndio ni mbwa.

    • @user-ij2lp1om6i
      @user-ij2lp1om6i หลายเดือนก่อน

      @@user-bi3ky7vy2q mwanaume unabadili dini kisa mwanamke c ni sasawa tu umeolewa unatofauti gani mbwa koko

  • @EvaTewele
    @EvaTewele หลายเดือนก่อน

    🎉