BILLION 11 ZABADILISHA MADHARI YA DODOMA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- KASI YA UJENZI WA BARABARA KUBADILISHA MANDHARI YA JIJI LA DODOMA
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule, leo Machi 27, 2024 amefanya ziara ya kukagua miradi mitano ya barabara na daraja moja ambayo ipo chini ya Wakala wa Barabara Vijijini (TARURA) Mkoa wa Dodoma kwenye Halmashuri ya Wilaya ya Dodoma Mjini.
Ziara hiyo imebainisha maendeleo mazuri ya ujenzi wa miradi hiyo kwani yote ipo kwenye hatua za umaliziaji. Licha ya hali hiyo ya kuridhisha, Mkuu wa Mkoa ametoa maagizo ya kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati ili kuleta tija.
Karibu Ngasa Media - Tunatoa huduma Zifuatazo
MEDIA COVERAGE
1.Goverment Events
2.Social Events
3.Documentary
4.Live Streaming
5.Zoom Meting
6.Photo & Videograph
BUSINESS ADVERTISEMENT
#Hotel
#Appartiment
#Restaurant
#Supermakert
#Hall
#Sallon
#New Business
PTINTING
1.Banner
2.Sticker & Flyers
3.Brochures
4.Business Card
5.Graphics Design
6.Logo Design
7.Tshirt Printing
Call Us
0716909567
0766909567
DODOMA
Barabara ya Hombolo mpaka ilete mahafa ndo itakuja kutengenezwa