Naitwa DR MGISA Kiukweli Hawa watu wanaoonekana kirahisi katika media wangetumia vizuri huo wakati Ili kusaidiwa wengine, Kwa wakati mwingine Wana amsha hari Kwa vijana lakini watafute taarifa sahihi. Nina project naanza kufanya dodoma ikikupendeza karibu
Musjaji imani ya doto. Kwamba yeye imani gani fikilieni mazaifu yenu kama Kuna mtu Hana zambi Kati yenu. Anajiongopea. Nafisini mwake. Mungu akujuen sana. tu. Jutien mazaifu yenu. Ndipo mtoe ushauri wa meme.
@@edwinntabwa5451 Ndugu yangu ni story ndefu sana ila kwa kiufupi epuka sana hakuna pesa inapatikana kiurahisi hivi hawa wako kwenye mambo ya vanilla pia wameliza watu sana naona wamekuja na mbinu zingine tena za nguruwe
Mfanyakazi ndyo mfafanuzi zaidi kuliko mkurugenzi..hahaha alafu mkurugenzi hata haelewi anang'oa macho tu acha kutuchora doto. Yani unapewa nafasi unaanza kujisifu ulivovivaa badara ya kudadavua mladi hahaha alafu mfanyakazi ndyo anadadavua yani unashindwa hata kuuvaa uhusika!!!? We kweli kutoboa kazi IPO!!!!!!!!!
Nguruwe Mmoja ale Laki 3😢 huu utapeli, atangaze tu matangazo yeye kawekeza mwaka jana lakin mwingine anasema miez minne iliyopita mradi haukuwepo sasa unamuelewa nani hapo 😂 😂 , Huyu akaririshwe kwanza kabla hajaongea
😂😂😂😂umewekeza hujui hata wilaya uliyowekeza wewe kenge kweli hakuna nguruwe anaekula laki tatu kwa wiki mlo wa nguruwe ni moja kwa siku twende na hesabu nguruwe 20 wanakula debe 4ya mashudu ya alizeti yenye thamani ya 12000 fanya mara 30 mwenyekiti nae chawa tu
Naitwa DR MGISA
Kiukweli Hawa watu wanaoonekana kirahisi katika media wangetumia vizuri huo wakati Ili kusaidiwa wengine, Kwa wakati mwingine Wana amsha hari Kwa vijana lakini watafute taarifa sahihi. Nina project naanza kufanya dodoma ikikupendeza karibu
kaka naomba namba kuna kitu nataka niulize unaweza nisaidia
Ndio shida ya Elimu Yani muwekezaji hajui mradi unaendaje. Isas magari akuachishe kazi
Mmea za utapeli, hayo mambo kwa Tanzania bado mifumo ya kusaidia wtu wanufaike hakuna,
Uyu anafanyia matangazo wenye nguruwe zao
Si dalali😂
Huyu ni Ambassador
Hata kama ni barozi tafakari maneno unayokwend kuongea mbele ya media, pata ABC ya unachotaka kukizungumzia, that's all
Millard Ayo umeanza kuyumba... Habari gani izi
acha kiherehere
Eti anamshauri na reporter wa Millard aache kazi aanze kufuga 😂😂
Nguruwe wa mke wa professa jay,,hizooo
Zamahero 😂😂 kumbe kijiji cha nguruwe ni Dotto ✅🤗
Doto acha bangi ngurue 1 anakula laki 3 Ahya ngurue 1,000 ×laki 3 ni ngapi kwa mwezi na unalipwq ngapi na Issah😂
Atawadanganya wagugaji wenzake wa Dar😅😅
@@dextech2023 😅😅😅😅
Musjaji imani ya doto. Kwamba yeye imani gani fikilieni mazaifu yenu kama Kuna mtu Hana zambi Kati yenu. Anajiongopea. Nafisini mwake. Mungu akujuen sana. tu. Jutien mazaifu yenu. Ndipo mtoe ushauri wa meme.
Content😮😮😮
Huyu mwamba akiongea maneno 20 la kweli ni neno 1
Dotto namashaka na uraia wako, nahisi utakua mnazareth maana kiswahili kwako shida😅😅
We si muislamu we askafirullah
Sawa boss acha mringe tuuu tutafanyaje na ushajipataaaaa😂
Hongera kaka kwa kufuga nguruwe wenzako
😂😂😂
😂😂😂 kenge kabisa
Nguruwe mama ako 😂😂
Kenge wa chooni 😂😂
Shkamoo bro
Mungu anakuona
Jamani amkeni huu ni utapeli huyo jamaa mugopeni mwenye hiyo gari nyeupe Dotto utapotea acha kufungamana matapeli😂😂😂😂😂😂
Ñi matapeli Kivip mkuu hebu nisanue
@@edwinntabwa5451 Ndugu yangu ni story ndefu sana ila kwa kiufupi epuka sana hakuna pesa inapatikana kiurahisi hivi hawa wako kwenye mambo ya vanilla pia wameliza watu sana naona wamekuja na mbinu zingine tena za nguruwe
Si wale jama waa vanila
Nilikua nadhani huyu Doto ni muislamu,Uislamu wa Tanzania mi siwaelewi Subhanallah
Uislamu unatoka wap hii ni biashara weka Mbali na imani, haya maisha muache apambane hilo game tuu udini tuu😊
@@HashimuHashboy-bo2wlWw una Imani gani?
Nguruwe wao tofauti na wa Africa wametoka ulaya huko Namibia wapi wapi.....
Mbona sielewi. Serikali... nani amekuambia mradi ni wa kitapeli...hivi Mr kuku bado yupo.
Kuweni makini..
Kijiji cha Nguruwe❤❤
Muwekezaji anauliza panaitwaje hapa 😂😂😂yani umewekeza sehemu usiyo jua jina Doto kaka😅😅
😂 tulianza kuwekeza hapa
TRA is typing and deleting...😂 Isije ikafika muda ukapelekwa mahakamani kama Mr Kuku boss
Huyu mwamba bangi sana
Mmewatapeli watu kwenye vanilla mmeamia ngurue inaumiza sana 😭😭
Kumbe?
Inaalillahi Wainaa Ilayh Raajiun
Doto bwana wasio kujua wanapata shida sana
Mfanyakazi ndyo mfafanuzi zaidi kuliko mkurugenzi..hahaha alafu mkurugenzi hata haelewi anang'oa macho tu acha kutuchora doto. Yani unapewa nafasi unaanza kujisifu ulivovivaa badara ya kudadavua mladi hahaha alafu mfanyakazi ndyo anadadavua yani unashindwa hata kuuvaa uhusika!!!? We kweli kutoboa kazi IPO!!!!!!!!!
Hata wilaya haijui Dah
Uongo Huyo ngurue a nakula laki 3 atauzwaje? 😂😂😂😂 Acha uongo. Hata wilaya hujui hahaha
Kharamu ngurue
Mmmmm
Hapo hakuna uwekezaji wa Ml 70 Wala hakuna nguluwe anakula chakula cha lak3 kwa siku 1 Acha uongo
😢
Mzee wa vanilla
😂😂😂😂😂mtoto wa kiislam amefuga nguruwe aaah bana dotto 😂😂😂😂😂
Eeh,,,,eeh,, wanapigwa watu siyo mda
Alikuwepo mwamba aliitwa Tariq au Mr kuku wakawaulize wawekezaji hapo
😅😅😅😅😅😅
Muislamu unaguga nguruwe maajabu hayooo
Nguruwe anakula laki tatu Kwa siku mwongo sio mfugaji huyo
Milard ayo unazingua sana hizi habar gani unaeka
😂😂
Ukiumwa figo unawekewa ya nguruwe ohoo 😂😂
😂😂😂muwekezaji hajui amewekeza Wilaya gani. Alafu nguruwe 1 anakula laki tatu kwa siku😂😂 bange hizi
Huyu sio mtanzania amejifunza kiswahili tu
Wewe unawivu tuu , Kwani wewe ni kabila gani
@@vt-kn6qf sina hata wivu ndugu mimesikiliza kiswahili chake tu
Wewe unaenda tukukosa sisi waislamu wote .. kwa biashar. Yako Harajuku hiyo😊
😂😂 sisi tupo
😂😂 tusifosiane principle ya maisha
Kula nyama nyamaza 😂😂
@@fredducaunt kelele waachie mbwa
Huyu. Fipi. Doto. Magari mtiani. Kweli
Kwenye laki 3 ndipo unaonekaka mpuuzi tu laki tatu kwa miezi sita no sh ngapi Hugo ngulue unauza billion ngapi
Nguruwe sio ngulue
Sio muda atapigwa mtu, mambo ya Kuku poa haya😂😂😂😂😂
Unatuzingua Milard ayo sasa kutupeleka kwenye nguruwe
😂😂 ikihitajika utaitwa
Na nguruwe wapo
Kumbe doto akilia ana .awekeza ngurue
Kilo 400 nguruwe mmoja Mungu anakuona
Dotto Manguruwe tena...
😂😂😂 huyu sio muwekezaji eti mmoja anakula laki tatu hahahaha jichanganye huyu tapeli kama tapeli
Amezoea kuongea kwa kishindo
We mwongo,anakula lakitatu utauza sh ngapi,hujui unachosema
Mfundisheni kuzungumza basi maana kuna vitu aviitaji mmasihara
Wezio tumewekeza ng'ombe erofu 1000 mbn hatujisifii tatizo wazaramu munaonge sana siyo kama sisi wasukuma
Muhimu mkono uende kinywani😂
Mabanda yenyewe yanavumbi Kama nini acheni utapeli sisi niwafugaji acheni kuinia watu
Nguruwe Mmoja ale Laki 3😢 huu utapeli, atangaze tu matangazo yeye kawekeza mwaka jana lakin mwingine anasema miez minne iliyopita mradi haukuwepo sasa unamuelewa nani hapo 😂 😂 , Huyu akaririshwe kwanza kabla hajaongea
Duuuuuuh ngurue ana kilo 480 nusu tani oyaaaaa acheni ufala
Hahahaha yani mtu amewekeza sehem ambayo hapajui ni wilaya gani?
Huyu sindio yule jamaa wa vanilla
Ndio wa vanila huyu yupo na huku pia?😅😅😅
Wabongo bwana weacha tu
Ukzaji gani huo unachafua mazingira mzewetu mungu arehem mzee mwinyi alipiga marufuku wewe nizuzu kweli
Mhhh wapi
Millard wajinga watakupoteza. .unarusha habari gani hizi za kitapeli
Achauongo nguruwe gani anae kula laki 3 kwa siku, mimi pia ni mfugaji na nivema kusema ukweli
Nimesikia nguruwe mmoja anakula laki tatu...
Nyama ya nguruwe ni magonjwa tu unaweza kupata minyoo Hadi kwenye ubongo
Utapeli wa peli huu after mr kuku here we go again
Mke wa professor j kawekeza hapo
nguruwee😂😂
😂😂😂😂 acha nicheki tu ngurue mmoja anakula laki tatu
N muislam kweli uyu
Uoslam sio nongo kama kila mtu anazo
Huyu hakili tiziii hajierewii ilaa anapiga hela
Majitu maongo haya
Jamaa wa vanilla kahamia huku Tena, vanilla za million moja kilo hazijalipa nn?😂😂 Bongo nyoso😂
Waambie hao
Harufu ya utapeli ipo wazi dhahiri mbio ziwaokoe
Dec hii au Mr Kuku ?
😂😂😂😂😂😂
WATU WA JATU MPOO MJE NA MAELEZO YENU HAPA
😂😂😂Sasa Namibia ipo wapi jmn
Millard huna habari yakugwa au😢
Huu mradi ni wakitapeli
Hadi urithi wa makaburi 😂
Kijiji cha nguruwe😂😂
Acha uonge nguruwe mmoj anakula 300000
😂😂 Wazee wa uwekezaji wee jichanganye kama hujalia mchozi 😢
Watu wanafosi kutafuta hela za wajinga na wavivu wakufikiri kila siku.
ambassador wa nguruwe ALafu anasema mtoto wa kislamu
Hapo Kaka ndipo nilipo shangaa
Kaka adi makaburi 😅😅😅
Ngurue 1000x 300000 sawa na mil3 mwezi ni mili900 sasa italipa vip doto acha kuzingua
Tatizo lake anaongea bila kupangilia
Hadi nguruwe
Ngurue na mwenye nguruwe
Pumbavu sana, nguruwe anakula laki 3 kwa siku???
Uyo ametumika kama ICON
ILA WAPO WATU WENYE MRADI
SASA INGIA HAPO WEKEZA UCHANGE HELA ZAKO😂😂😂
PITA HIVI NA HAPA IPO 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
JATU 😂😂😂😂
We doto muisilam unafuga nguruwe pumbavu
😂😂😂😂umewekeza hujui hata wilaya uliyowekeza wewe kenge kweli hakuna nguruwe anaekula laki tatu kwa wiki mlo wa nguruwe ni moja kwa siku twende na hesabu nguruwe 20 wanakula debe 4ya mashudu ya alizeti yenye thamani ya 12000 fanya mara 30 mwenyekiti nae chawa tu
Unadhani bil70 matako eti?
Ngurue moja anakula laki 3 wapo elfu moja ok ngurue elfu moja wanakula milioni mia 3 kwa cku doto manguruwe acha ujinga wa kifala
Hapo kakosea nguruwe awezi kula laki 3,nayeye utamuuzaje?