CHINO ATOA YA MOYONI UGOMVI WAKE NA MARIOO, NILISHUSHWA MPAKA KWENYE SHOW / SITAKI TENA KUMUONGELEA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

ความคิดเห็น • 40

  • @kelvinimunishi3334
    @kelvinimunishi3334 7 หลายเดือนก่อน +6

    Marioo ana roho mbaya mwanetu chino lazima afike mbali🔥🔥

  • @RobertsonNandime-eo9fp
    @RobertsonNandime-eo9fp 7 หลายเดือนก่อน +4

    Yani chino umenigusa sana moyoni wew uko Sawa yani Mungu akubaliki tu

  • @Lilmag19
    @Lilmag19 7 หลายเดือนก่อน +12

    Why marioo ana ugomvi na watu wengi hamuoni kama anashida inabidi aitwe na yeye kwenye interview aulizwe vizuri

    • @mdachiog5211
      @mdachiog5211 7 หลายเดือนก่อน

      Mario mjanja akizingua anajikausha aonekane mnyonge😂

    • @flavourboyke
      @flavourboyke 7 หลายเดือนก่อน

      Shida ni kajala na mwanae katimba huko,, kilichotokea konde geng 😂😂😂

    • @AyubuHamisi-kq6gd
      @AyubuHamisi-kq6gd 7 หลายเดือนก่อน

      Kwel kabsa mara mbosso wamengombana nae

    • @dunkchainz7237
      @dunkchainz7237 7 หลายเดือนก่อน

      Marioo ni mti wenye matunda

  • @HosseaMkwandah-no5ld
    @HosseaMkwandah-no5ld 7 หลายเดือนก่อน +6

    Marii anaonekan miyeyush mbosso yeye Abigael yeye na chinn Kidd saiz

    • @aminmohammed4249
      @aminmohammed4249 7 หลายเดือนก่อน

      Umesahau kuna jamaa anaitwa mapanch bnb…alikua na beef nae pia

  • @Florisvevotz
    @Florisvevotz 3 หลายเดือนก่อน

    Chino wanama❤❤❤❤

  • @justinyohana5074
    @justinyohana5074 7 หลายเดือนก่อน +4

    Were house nilikuwpo chinno yuko sawa kwenye hili

  • @Boaz22
    @Boaz22 7 หลายเดือนก่อน +3

    Marioo anashida
    1. Alikataa hakutaka ku sainiwa wasafi wakati ni kweli.
    2.Alimsema vibaya rayvanny baada yakuingia kwenye mahusiano na paula.
    3.Alimsaliti Abigail chams kwa kuchukua ngoma alomshirikisha na kuifanya na Alikiba.
    4. Kugombana na chino sasa hivi..
    Lazma ujiulize, marioo anadharau na ana shida yule.🙌

  • @Nguvumoja255
    @Nguvumoja255 7 หลายเดือนก่อน +2

    daaah

  • @criminalminds7723
    @criminalminds7723 7 หลายเดือนก่อน

    Marioo kaanza mapenzi mazito Sana na Paula 😂😂😂watakosana wote tu

  • @neemapraigory8832
    @neemapraigory8832 7 หลายเดือนก่อน +3

    Chino nijeuri sana kwani huoni hadi mtandaoni naona hamo anakutumia sana wewe hunaakili lukamba ananyamaza wewe nidemu mbona uliona uzungumzia sana

    • @JohnMars-dt5my
      @JohnMars-dt5my 7 หลายเดือนก่อน

      We wa kike Nini mwanangu unakaaje na kitu moyoni

    • @user-hm3qm2nf1v
      @user-hm3qm2nf1v 7 หลายเดือนก่อน

      Tumeshamsikia na tushajua tatizo km marioo ni mkosa imeshatosha kumuongelea mwenziwe km yeye hana makosa vile

    • @jonathankazaking2033
      @jonathankazaking2033 7 หลายเดือนก่อน +1

      Harmo kaingiaje kwenye ugomvi wao😮 utanichefuwa ujuwe😅

    • @georgesteven5185
      @georgesteven5185 7 หลายเดือนก่อน

      Hili nalo limetokea wapi sijui

  • @rumem6665
    @rumem6665 7 หลายเดือนก่อน

    Chino 🎉

  • @user-uh6og9fj7b
    @user-uh6og9fj7b 6 หลายเดือนก่อน

    Jaiva sinichi eti Anasema Anabusala oya mariio mapenzi Au nn😢

  • @moodykassim4029
    @moodykassim4029 7 หลายเดือนก่อน

    Hapo mchawi producer Habba hamjajua tu

  • @vansmaterial5742
    @vansmaterial5742 7 หลายเดือนก่อน +1

    java ndomgomba nishi mimi ndoninacho kiona

  • @wemaadam
    @wemaadam 7 หลายเดือนก่อน

    Ata hamo aliaza kama huyu dogo wacha tule mtoli nyama tutakuta chini😂

  • @georgesteven5185
    @georgesteven5185 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa anajielewa sanaaa

  • @alawisaid280
    @alawisaid280 7 หลายเดือนก่อน +1

    marioo awe makini sana anagombana na watu bila sababu za msingi

    • @EddykingJuma
      @EddykingJuma 2 หลายเดือนก่อน

      Kabra yakujibu skiliza kwanza

  • @hassanmkumbo5157
    @hassanmkumbo5157 7 หลายเดือนก่อน

    Jaivah anataka abaki mwenyewe 😂😂

    • @BizeddOfficial
      @BizeddOfficial 6 หลายเดือนก่อน

      huyo jaiva anawachonganisha

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 MARIOO MARIOO mwacheni apumzike bna

    • @user-hm3qm2nf1v
      @user-hm3qm2nf1v 7 หลายเดือนก่อน

      Yaani kama viĺe kauwa mtu kaandamwa kila studio ni yeye

  • @amirkilingo
    @amirkilingo 7 หลายเดือนก่อน +1

    I beleave marioo Hana baya 1000%😂😂

  • @EddykingJuma
    @EddykingJuma 2 หลายเดือนก่อน

    Oya tarehe kumi za mwez wagap unajua richi we nimwamba unajua kazi ako unaita wanetu tunaskia maovi yawo

  • @PhilipoMabula-ky9vs
    @PhilipoMabula-ky9vs 7 หลายเดือนก่อน +1

    Anazngua marioo watu hawaishigi ivo

  • @JohnMars-dt5my
    @JohnMars-dt5my 7 หลายเดือนก่อน

    Marioo anajiona ashafika

  • @eastzoo_89
    @eastzoo_89 7 หลายเดือนก่อน

    sema marioo na jaivah ni masnitch

  • @user-hi8ug8wr4c
    @user-hi8ug8wr4c 7 หลายเดือนก่อน

    mario miyeyusho

  • @mobizzyclassic
    @mobizzyclassic 7 หลายเดือนก่อน +1

    🥸😎😎