Napenda mafundisho yako mchungaji.Mi nina miaka 29 bado nipo single lakini napata pressure sana kutoka kwa ndungu na wanakijiji wananiuliza kila wakati wewe mbona huolewi nkiwaambia bado namsubiri MUNGU anichagulie mume bora wananichekelea,wanasema umri unakwenda.Wengine wananiambia basi zaa japo mtoto mmoja utakuja kupatwa na early menopause bado ukisubiri tu ila kwa mafundisho yako yamenitia moyo na nguvu mpya yakuendelea kumsubiri MUNGU mana maamuzi yangu ya leo ndio yatakodefine future yangu na ya watoto wangu.MUNGU AKUBARIKI
Napenda unavyofundisha uko vzr sana Mungu akubaliki
Kwerr wanamme wa sasv ni waongo sana ,,,,Mungu auongoze😢🙏
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
Asante mchungaji ushauri mzuri sana
Asante sana kwa somo zuri
Napenda mafundisho yako mchungaji.Mi nina miaka 29 bado nipo single lakini napata pressure sana kutoka kwa ndungu na wanakijiji wananiuliza kila wakati wewe mbona huolewi nkiwaambia bado namsubiri MUNGU anichagulie mume bora wananichekelea,wanasema umri unakwenda.Wengine wananiambia basi zaa japo mtoto mmoja utakuja kupatwa na early menopause bado ukisubiri tu ila kwa mafundisho yako yamenitia moyo na nguvu mpya yakuendelea kumsubiri MUNGU mana maamuzi yangu ya leo ndio yatakodefine future yangu na ya watoto wangu.MUNGU AKUBARIKI
Kama huna mtoto jitunze
nakupata kutokea Mbeya Ushilika tunabalikiwa Sana mm naitwa Daniel Sulumba
nikweri nimegunduwa kiti ambaco nime kosea .asante mutumishi wamungu
Mafunzo mazuri sana
ubarikiwi sana
Good is better
Asante baba
Ni makosa MTU kuolewa na yuko na mtoto
Mchungaji mahubiri mazuri lakini msg za WhatsApp hureply.
Pole sana na Changamoto msg zinazoingia kwa siku huwa ni zaidi ya Elfu 1. Huwa nasoma kwa sehemu lkn nitakufikia. Karibu sana.