Aya za Shetani?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
  • Aya za Shetani ni nini?
    Kwa kifupi sana ni maelezo juu ya mafunuo ambaye Muhammad aliyaleta na baadaye ikaonekana hayakuwa kutoka kwa Allah bali kutoka kwa Shetani au Iblisi.
    Ilidai kwamba kuna miungu wa kike watatu Al-Lat, Al-Uzza na Manat Na kwamba wanaweza kuwakilisha wa maombi ya watu kwa Allah.
    Jibriil alimkosoa na ilibidi afute aya hizo na hapo sasa mtindo wa kufuta mafunuo ilianza,
    Lakini nadhani ni vizuri kuangalia waandishi wa kiislamu wanasemaje juu ya hilo, ni kweli au si kweli, twende kwa Al-Tabari
    Al-Tabari anatueleza
    Miaka mitano baada ya kupokea mafunuo ya kwanza Muhammad aliumia sana kwa sababu watu wake Waqureshi hawakuwa tayari kupokea hiyo dini aliyoihubiri.
    Badala ya hiyo walimtania, na waliwatesa waliyomfuata
    Hiyo ilisababisha wafuasi kuondoka na kuhama hata kufika Ethiopia
    Mvutano ulizidi kati ya wapagani na Muhammad na watu wake, na Muhammad alipenda sana Allah atoe mafunuo ambayo yangeleta suluhu kati yake na wapagani
    Alikuwa akitafakari maswala hayo na alitamani sana kusikia kutoka kwa Allah jambo ambao ingeweza kutatua hiyo tatizo nzito
    Alipkuwa akitafakari hivyo Allah alianza kufunua aya chache kutoka sura 53, ”Naapa kwa nyota inapoanguka,3. Kwamba sahibu yenu hakupotea wala hakukosa,4. Wala hasemi kwa tamaa (ya nafsi yake).5. Siyo haya ila ni ufunuo ulio-funuliwa.”
    Halafu inaendelea katika aya ya 20 ”20. Je! Mmewaona Al-Lat na Al-Uzza,21. Na Manat, mwingine wa tatu?”
    Aya hii ni kama inaleta hisia ya kuwa Muhammad alikuwa anavutiwa nao.. Wakati Allah anafunua hizo aya Iblisi anaingiza mawazo yake kwenye ulimi wa Muhammad akisema ”Hao ni Korongo wanao paa juu, kwa haki maombezi yao inakubalika”
    Maneno haya baadaye yamekuja kujulikana kama ”Aya za Iblisi”
    Hayakutoka kwa Allah lakini zilipenya na zikaingia ndani ya mafunuo ya Qurani kwa muda.
    Muhammad alipohubiri aya hizo ilionekana kwamba anaheshimu na kukubali miungu hizi za kipagani.
    Wapagani kusikia hiyo walichangamka sana hata wakaanza kufika msikitini kusikia mahubiri yake.
    Isitoshe uhusiano kati ya wapagani na waislamu iliboreka sana.
    Ingawa waislamu walishangaa kuona hilo badiliko katika mahubiri ya Muhammad waliamini ni sawa kwa sababu walimuamini yeye.
    Muhammad alinukuu sura 53 aya hizo zikiwemo na alipomaliza wote wapagani pamoja na waislamu waliinama na walisujudu kwa pamoja.
    Wapagani walifurahi sana kwa sababu Muhammad alionyesha kuheshimu miungu yao.
    Waislamu nao walifurahi maana wao walidhani kwamba wapagani wamekubali kusilimu…
    Lakini haikuishia hapo, wapagani walianza kutangaza kwamba Muhammad amewasifu miungu yao, kwamba maombi yao yanapokelewa na kukubaliwa na Allah.
    Habari hizo zilisambaa kote Uarabuni hadi kufika Africa
    Hata waislamu ambao walikuwa wamehama kwa kukwepa kuteswa, baadhi yao walirudi waliposikia kwamba wapagani na waislamu sasa wanapatana
    Ila hali hi ya usalama haikudumu muda mrefu sana, siku moja Jibreel alimjia Muhammad akimhoji ”Umefanya nini??”
    Umetamka maneno ambayo si kutoka kwa Allah
    Muhammad akasikitika na ilibidi arekibishe kosa lake kwa kuwakataa wale miungu tena
    Hiyo haikupokelewa vizuri na wapagani na walianza tena kuwafuatilia waislamu kwa kuwakera na kuwatesa.
    Pia walidai kwamba Muhammad amebadili kauli yake.
    Leo katika Qurani sehmu ya mwanzo tu ndiyo inayokuwepo ”umefikiria Al-Lat, Al-Uzza na Manat”
    Maswali yanayokuja;
    Mpaka habari zifike Ethiopia, ni muda gani iliyopita Muhammad na wenzake wakiabudu miungu?
    Jibreel alikuwa wapi muda huo wote?
    Tunaambiwa mafunuo yote yalipitia kwake, na sura ya 53 aliianza yeye, alikuwa wapi wakati Muhammad alipodanganyika?
    Allah aliwezaje kukubali maneno ya Iblisi yaingie katika Qurani yake?
    Hadithi hii inaonyesha kwamba maneno ya shetani yaliweza kuingia katika Qurani na halafu Allah ilibidi aingilie nakuzitoa.
    Halafu kufuatana na mapokeo ya kiislamu wakati huo hapakua na Qurani kama kitabu, sasa zilifutiwa kutoka wapi?
    Na kama Iblisi aliweza kuingiza mawazo yake katika mafunuo ya Muhammad, kuna uhakika gani kwamba hakuweza kuyafanya zaidi ya mara moja, inaonekana Muhammad hakujua kutofautisha kati ya Allah na Iblisi.
    Katika historia tunaona waislamu wa mwanzo walielezea kama tukio halisi
    Baadaye wamejaribu kuitetea au kuikanusha kama kitu ambayo haikutokea
    Ila ni vigumu kuhisi kwamba waislamu wa zamani wangetunga hadithi ya namna hii ambaye inamtia nabii wao aibu kiasi hivyo
    Hasa tukizingatia kwamba anadai kuwa nabii katika mtiririko wa manabii wa Biblia, na kufuatana na Biblia nabii anaye nena kwa jina la munuug mwingine anatakiwa kuuwawa Kum 18:20, Lakini nabii yeyote atakayesema kwa jina la miungu mingine, au atakayejaribu kusema neno kwa jina langu hali mimi sikumwambia aseme, huyo nabii atakufa.’
    Ya kuwa ndani ya Qurani maneno ya shetani pia yamewza kuingia na isitoshe kama muongozo wa imani inaleta mashaka juu ya uhakika wa mafunuo hayo, na nani anayoyaleta?
    Jambo hili ni tatizo kubwa kwa imani ya kiislamu na ukiamini kwamba ni halisi au imetungwa bado inaleta mashaka kwa rejea, Qurani na mapokeo ya imani hiyo.

ความคิดเห็น • 224

  • @sammganga6865
    @sammganga6865 8 หลายเดือนก่อน +3

    Ni wazi shetani amejificha kwenye uislamu, anawaekitia kuwa yeye ni Mungu...na nyumba yake ni makka mara wanampiga mawe huko huko makka kwenye nyumba yake...... Namshukuru Mungu Kwa kufumbuliwa macho na kuipokea neema ya Kristo.

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa!

    • @abubakariali9848
      @abubakariali9848 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂 Muhammad saw hakupigwa mawe Makka nenda kaulize tena
      Pili mtume hakua na nyumba makka

  • @musangamfuraevriste9620
    @musangamfuraevriste9620 11 หลายเดือนก่อน

    Shukurani Sana kwa kutufafanuria, tuko nauito wamungu,ira mudamwingine hatupati vitabu hivi irituvisome,mubarikiwe Sana.

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  11 หลายเดือนก่อน

      🙏

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน

      Kasome yehova matatani ama pastor mkorofi hapo ndo utajua ukiristo vizuri..hapo utajenga imani yako vizuri

    • @simonroman3152
      @simonroman3152 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@eiddykenga5816 akili huna wewe unajua kitabu cha pastor mkorofi kimeandikwa na nani au jehova matata hujui unaongea nini ndio shida ukristo unajengwa na biblia pekee sisi hatuna vitabu vya hadith za uongo kama nyie maamuma

    • @simonroman3152
      @simonroman3152 9 หลายเดือนก่อน

      Kitabu cha jehova matata au pastor mkorofi hakina editor wala publisher sasa utasemaje hiki ni kitabu cha kweli na ikiwa mwendishi wa hicho kitabu ni shehe anuali wa kenya na mwenzake ustadhi murid sasa wewe maamuma hujui kitu waanza kufata uongo wa waislam wenzio kwenye hicho kitabu cha uongo

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน

      @@simonroman3152 unakikataa na nichakanosani. Yupo mwsndoshi wahicho kitabu amrweka jina lake hapo. Nahuyo ndo msema kweli...kwasababu nimsomi wakikiristo..nyinyi niwafuasi wa iblis acha kuhepa

  • @HassanSalim-hl8qs
    @HassanSalim-hl8qs 8 หลายเดือนก่อน

    Hili jishoga laongea pumba gani mbona unajichanganya hapo imeonyesha wapi Mtume kakubali miungu hiyo?

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Ni wazi hujaangalia video, na kucheck rejea ninanyoitoa ya Al-Tabari. Yeye, ibn Ishak na wengi wengine wanaongea juu ya hiyo tukio. Ndiyo ni aibu kwa waislamu ndiyo maana walianza kuikataa baada ya muda. Ila kwa rejea ya asili ya kiislamu ni ja,bo lililotokea na hakuna aliyoihoji. Jifunze historia yako. Niko katik process ya kuandaa video zingine juu ya aya hizo zitakuja moja baada ya nyingine, labda mwisho mtaelewa na kukubali maandiko yenu.

  • @bdvx9012
    @bdvx9012 2 ปีที่แล้ว

    Shukulani 🙏nawe Allah 🌹Akubaliki sana 😇

  • @ShazanEfootball_105
    @ShazanEfootball_105 3 หลายเดือนก่อน

    Allah atakulipa

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 9 หลายเดือนก่อน

    Unadhani jua dhana nimbaya ikiwa u mwana wa mungu geuza jiwe liwe mkate jirushe kwa mana imeandikwa na nk je hayo ni maneno ya nani na yanapatikana wapi acha ubabaishaji maliza aya umesoma nusu quran haisomwi ivo

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน +1

      Msingi wa video hii unayoi comment ni maandiko ya wasomi wa kiislamu (AL-Tabari) na mimi ninamnukuu, ukiona hiyo ni shida shida halipo kwangu lipo kwa Al-Tabari ambaye ni mojawapo ya wakuu katika kutafsiri na kufafanua uislamu Kuhusu shetani kumjaribu Yesu; Yesu hakukubali maneno ya shetani bali alimgundua na alimkataa mwisho shetani alimwacha. Kwa maelezo ya uislamu shetani alimdanganya Muhammad na muhammad akaenda kutangaza udanganyifu huo kama mafunuo wa Allah. Kama huoni tofauti hapo sijui nikusaidie vipi.

  • @OmaryHamadi-hs2ew
    @OmaryHamadi-hs2ew 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mm nilijua una ushahidi kumbe unadhani, unafikiri ss hatujui kama nyinyi ndio wale ambao mungu aliwani na akakufanyeni nguruwe na manyani.umewahi kujiuliza kwnn nguruwe akitiliwa hata kufuli katika chakula chake atakula tu hachagui kama hichi sio chakula na nyani nikwann kila mti anarukia tu hata kama hamna matunda.Quran haitafsiri kama unavyoitafsiri ww, watu wengi wanajua kuitafsiri Quran kutoka katika kiaarabu kwenda kwenye lugha zao tu.Siku zinakuja na wala haziko mbali kubainika uwongo wenu nyinyi waroma,na hayo mataifa yenu ya uwongo muliyoyajenga yatakapo dondoshwa. Sheria hiyo ndio iliyofanya wazazi wenu wakamua yesu kwasababu alisema yeye ni nabii lakini chakushangaza baadae wakajakusema yesu ni mungu baada ya kupata matatizo baada yesu kupaa

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน

      Ndiyo wengi wanafahamu kutafsiri, Al-Tabari akiwa mmoja wa waliyo wakuu. Wewe unadai hajui, insonyesha hali yako ya ufahamu kuhusu dini yako. Kuhusu mengine katika comment yako naona ni upuuzi mtupu na makosa ni mengi. Sina zaidi isipokuwa nakupa pole na kukuombea.

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 9 หลายเดือนก่อน +2

      @@Kokotokwenyekiatu Huna Mungu,utamuombea kwa nani?au kwa Yesu?

  • @LidyaAndrew-i4l
    @LidyaAndrew-i4l 9 หลายเดือนก่อน +2

    Ww shoga nyamaza

  • @RogersMattassa
    @RogersMattassa 9 หลายเดือนก่อน +1

    Someni quran vizuri muielewe,acheni kubebwa bila mpango.hiki ni kitabu hatari,na chenye mambo ya aibu

  • @petromachanga5538
    @petromachanga5538 ปีที่แล้ว +2

    Siutaki uislam

  • @swalehramadhani4192
    @swalehramadhani4192 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo unajadili mawazo ya mtu, jaribu kutoa hoja kwenye quran yenyewe, maana kama unasema, inasemekana" ilikua hivi au ilikua vile ilitokea au haikutokea ni upuuzi kujadili kitu ambacho si hakika, kama hizo aya hazipo kwenye quran hii jua ndiyo tayari ALLAH ameshailinda kama alivyoahidi, kisha wewe umesema kuna waislamu hawaakubaliani juu ya kuwepo kwa aya hizo sasa wewe unawekaje hoja kwa kitu ambacho kina shaka kwa wahusika? (waislamu) kuna habari nyingi za kuzusha ziliingizwa ili zije kutia shaka kwa waumini,hoja zako ni nyepesi sana kwakua hukuzitolea ndani ya quran bali kwa aya zinazosemekana zilikua za shetani na hazipo tena leo hii, ila kwa maelezo tu ya vitabu vya waadishi,, jenga hoja kwa maandiko hai ya quran acha blablaa

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Ahsante kwa comment yako, nimeifurahia kwa sababu ni ya kwanza kuelezea kwa nini unaamini kama unavyoamini. Na nadhani waislamu wengi wanakuunga mkono katika kuamini hivyo. Wapo wanaokuwa na mtazamo unaoendana na video yangu pia na mimi katika uchunguzi yangu nimeona inaniletea maana zaidi nikichunguza "kesi" nzima. Na hasa ukizingatia kwamba waislamu hadi karne ya 12 hawakuona kwamba si kweli kwamba Muhammad alidanganywa. Na ni kwamba watu wengine ndiyo waliyo shituka siyo yeye mwenyewe. Anyway nadhani inabidi tukubaliane kwamba tumefikia katika misimamo tofauti.

  • @shaneyramadhan2519
    @shaneyramadhan2519 8 หลายเดือนก่อน

    Liongoo kweli alafu jingaa Sana hili jikafiri

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Eeeeh unamuita Al-Tabari ”jikafiri”!!! Usimdharau mwalimu wako, hiyo haipendezi.

  • @rashidsaid8821
    @rashidsaid8821 2 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu nakusihi kumuogopa Allah hakuna yoyote atakaye tumia muda wake kutafiti dini ila Allah atamjuilisha kuwa dini ya haki ni UISLAMU, ibaki mtu mwenyewe tu kukubali au kukufuru quran (76-3) , mwalimu haki unaijua waambie watu ukweli, Allah anakemea vikali kwa wanaijuwa haki kisha wakapotosha watu kwa maslahi na matamanio ya dunia na chuki zao binafsi quran( 2:159) pia(3-187)

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  2 หลายเดือนก่อน

      Aya zote unazozitaja hazihusu video unayo i comment. Haki kwa maana halisi ya haki inaweza kupimwa maana ni ukweli. Hakuna sababu ya kutishwa na watu wanao chunguza ukweli maana itajithibitisha na itakuwa imara katika kila hoja inayotoa na kia jambo linalodai. Uwongo na udanganyifu ni tofauti unapoichunguza inatambulika katika makosa yake. Kinyume na madai yako ya kwamba ”hakuna yoyote atakayetumia muda wake kutafiti dini ila allah atamjulishakuwa dini ya haki ni uislam” huo ni uwongo ambayo umeambiwa. Ukweli ni kwamba leo watu wanaotafiti wanaacha uislamu kwa speed kali sana kwa sababu wanagundua ni dini iliyotungwa na watu na hakuna haki ndani yake kabisa. 1. Hakuna recordi ya mtume aliyeitwa Muhammad wakati wa karnecya saba. 2. Mji wa Makka haikuwepo wakati huo. 3. Makhalifa wote mpaka Abd Al Malik walitumia msalbavkama nembo yao ya imani. 4 kibbla ilikuwa inaelekezwa mji wa Petra, Yetusalemu na hata sehemu zingine mpakavilipowekewa sheria na watu kwenye karne ya 10 ielekee Makka. 5. Qurani inadai kuendana na Biblia, inakubali Biblia kama neno la Mungu lakini maandiko ya qurani inapinga Biblia sehemu nyingi sana. 6. Qurani insema imeletwa kwa Warabu peke yao, ila uislamu unadai ni dini ya wote… ninfeweza kuendelea kurasa nyingi sana, ila nitakushauri uangalie video zangu ambazo zote zinakupacrejea ya kufuata na kutafiti mwenyewe. Uislamu si dini ya haki, ninfininya watu wanaitaka faida, na utawala. Usikubali tu unavyoambiwa na masheha, sheria inawalazimisha kukudanganyab kam inaleta faida kwa uislamu. Fanya ule utafiti mwenyewe na utaona. Mwisho, Allah wa uislamu siyo tishoo kwangu mimi ni mfuasi wa Mungu wa kweli ambayo anaweza kuchunguzwa na anasimama imara, kwake hakuna shaka! Ndugu ninakuombea kwa mungu aliye wa haki akupe ujasiri wa kuchunguza na kutafuta ukweli, usibakingizani ukaangamia siku ya kiama.

    • @rashidsaid8821
      @rashidsaid8821 2 หลายเดือนก่อน

      Mwalimu vp hali, me sitaki kuzungumzia yaliyomo katika hii clip kwani ni wazi ni chuki tu na ukabila na utaifa mulio ujenga kwenye nafsi zenu,ni sawa na mayahudi tu waliokataa haki huku wakijua sababu last prophet Muhammad ni muarabu hakutoka kwenye ardhi yao soma qur-an (2-109) pia (16-103), na nyinyi munatamani mtume wa mwisho angelikuwa Britain (mzungu) na quran ingeshushwa kwa lugha ya English hapo mungekubali na kumfuata lakini Mungu hakutaka hivyo sababu lugha zote hazina ufasaha kuliko kiarabu quran (41-44) ,kwa iyo mwalimu tusizipe nafasi husda na chuki badala yake tuangalie haki na tufuate'

    • @rashidsaid8821
      @rashidsaid8821 2 หลายเดือนก่อน

      Haya yaliyomo kwenye clip nimesikiza lakini ni hoja dhaifu isipokuwa kwa ambaye hasomi na hajui uislamu kwake ni hoja kubwa infact siwezi kujibu vihoja hivi vya chuki tu katika comment section sababu maandishi yatakuwa mengi na wasomaji ni wachache, lakini pakiwa na haja ya kujibu hoja hizi,tutajibu In Shaa Allah

  • @Janvier-u4u
    @Janvier-u4u 9 หลายเดือนก่อน

    Mimi kwenye napo ona mtume WA waeslamu kuwa nimuona alisema kuwa Siku ya kiyama itakuwa ijuma Sasa sijuwi kasikiya wapi AO nani kamwalbiya kuwa Siku ya kiyama itakuwa ijuma maneno Ayo ni Mungu peke yake njo anajuwa Siku ile

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน +1

      Na aliposema kiama kiko karibu yeye alijua wapi na Mungu ndo anajua siku ya kiama kama ikombali au karibu???

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน

      Watu wengii wamejaribu kutoa unabii kuhusu siku ya mwisho kiama nk. Biblia inatuambia haiwezekanai kubuni Mathayo 24:36 Inasema kwamba Mungu tu ndiye anayejua.

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน +1

      Anacho ongea mtume nikitu amefunuliwa Na Mungu..na Mungu anaongea kupitia mitume na manabii..so kiama kitakua ijumaa kisha hapa hapa duniani..sham..

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Hiyo tutaweza kuthibitisha au kukanusha siku ya kiama...

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka waslam wengi mambumbu kichwani akuna kitu kazi yao kukalilisha tu ndomana wepesi kukasilika

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  10 หลายเดือนก่อน +2

      Hiyo ni kweli

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน

      Sasa utashindana na kondoo,(hayawani),sibora umwache tuu akakule nyasi nakutoa makamasi kila saa,..Kwanza munambavu zakushindana na uislamu nyie..mungu wenu ni dem,anabeba mimba,mungu wenu kisha akonabichwa nne,kila kichwa kina mikono minnena bichwa vingine ni vya simba,kwa mujibu wa bibilia.kisha mungu wenu ako na sehemu mbili zakike nankiume..koz kuna mahali bibilia inasema mungu ni dem..kwengne mungu huyo alipigwa makende na yakobo..kisha mungu huyo anapenda zinaa..anamwambia yakobo afanye mapenzi na bibi ya mtoto wake mpka azae nae..ushetani tuu..thus nachukia sana kitu inaitwa ukiristo..hata hamjielewi..
      Tafsiri ya kristo ni kuhani ama mpkwa mafuta..so kutokana na tafsiri halisi ya ukiristo ni ukuhani ama upakwaji mafuta..ila sio dini...unaweza teuliwa ukapakwa mafuta kwa kutumikia shetani pia..so ukiristo kwanza sio dini niupakwaji mafuta..kama hamjui maana

    • @isaackmlayy6228
      @isaackmlayy6228 8 หลายเดือนก่อน

      hajitambui wanakwambia kwamba Muhammad alishaenda mbinguni sasa hivi yuko kabirini hapohapo wanakwambia mungu huwa anamswalia Muhammad 😂😂😂😂😂😂😂

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 8 หลายเดือนก่อน

      @@isaackmlayy6228 unajua kwanini muliitwa kondoo(hayawani)..hakuna nafsi ambayo haitaonja mauti..hata yesu atarudi kama alama ya kiama na atakufa na azikwe pia..so unajigamba na nini cha maana wakati unangoja kifo wakati wowote..ila kondok hua wakitajiwa kufa wanasema yesu tiyari alishakufa kwaajili yao so hawafi tena..hahah na kila juma mosi wakombia montuary kuekana huko miezi miwili wakichapa sadaka na michango..

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 8 หลายเดือนก่อน

      @@isaackmlayy6228 tafuteni jina la dini lengne..masihi hakua mguriki..so wanaojiita wakiristo wanaabudu mgiriki wala sio alie tumwa israel (masihi)..masihi alipaishwa juu na atarudi kuishi na atakufa na atazikwa na ujio wake ni alama ya kukaribia kiama..so hakuna nafsi itahepa kifo..

  • @samxx411
    @samxx411 2 ปีที่แล้ว +3

    Kwanza wewe hivyo ulivyojiita tu, inaonesha wewe kuwa ni mnafiki, unafundisha uislamu wakati ukristo huujuwi. hebu tueleze ni aya gani katika biblia inayoeleza ukristo ni dini, tueleze kitabu cha biblia alitereshiwa nani? lini na wapi? wapi yesu alisema kuwa yeye ni Mungu, wapi yesu aliingia katika kanisa akaabudu? wapi yesu alikunywa au aliruhusu kunywa pombe au nguruwe, wapi alikuruhusu kuoa? wafundishe wenzio mambo hayo ili wasiwe na utata. wewe unaeleza vitu kama hadithi, hivyo ndio mnavyowadanganya kondoo sie waislamu hatutolewi mawaidha kama nyimbo. kuna vipimo unapaswa kuwa navyo, hivyo unavyohadithia mtu yeyote anaweza kuhadithia, katafute watoto na wakristo wenzio uwape hizo propagranda, sie waislam tunamuamini Mungu Mmoja (ALLAH) till end of the World, hana mshirika, hakuzaa wala hakuzaliwa na hakuna aliyefanana nae (this is stand of all Muslims in the World).

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  2 ปีที่แล้ว

      Kwanza kabisa sioni uhusiano ya comment yako na video yenyewe. Inaonekana unapenda kusema tu maneno na una uhuru ya kufanya hivyo.
      Unaanza kwa kusema kwamba inonekana ukristo si dini, kwa maelezo ya kaamusi dinin ni: Dini (kutoka Kiarabu اﻟدﻴن, tamka: ad-din) inamaanisha jumla ya imani ya binadamu kadhaa pamoja na mafundisho wanayotoa kuhusu yale ambayo wanayazingatia ama kuyasadiki, yaani mambo ya roho, kama vile kuhusiana na Mungu, maisha na uumbaji.
      Nadhani Ukristo ni dini... kama mtu amekuambia siyo nadhani hajui au amekudanganya. Anyway rejea au aya ya Biblia inayosema kwamba wanafunzi walianza kitwa wakristo unikuta katika Matendo ya Mitume sura ya 11 aya ya 26 ;26Alipompata, alimleta Antiokia. Nao wote wawili walikaa na ile jumuiya ya kanisa kwa mwaka wote mzima wakifundisha kundi kubwa la watu. Huko Antiokia, ndiko kwa mara ya kwanza, wafuasi waliitwa Wakristo.
      Hiyo itakuwa ndani ya karne ya kwanza.
      Kwa vile mambo unayoyaandika hayahusu video sita comment sana labda sehemu moja tu unaposema ninatoa vihadisi. Kamam umeangalia video yangu utaona kwamba sehemu kubwa sana ninapitia maandiko ya Al-Tabari ambaye ni mwalimu wa kiislamu kama unaonahiyo ni hadisi isiyoaminika, ok huyo ni mwalimu wako... mwisho wa video ninatoa mawazo yangu na ni mawazo yangu. UNaweza kukubaliana nayo au siyo, lakini unapokataa mwalimu wa imani yako hapo nashangaa sana.
      Nakushauri uchunguze mwenyewe maandiko ya asili ya imani yako, hiyo inasaidia kufahamu zaidi.

    • @samxx411
      @samxx411 2 ปีที่แล้ว +1

      @@Kokotokwenyekiatu kwa hayo maelezo yako aloandika kuhusu dini si kweli, dini ni mfumo kamili wa maisha aliotuchagulia Mungu sisi wanadamu ili tuishi na muongozo wa maisha hayo ni qurani ambayo inaeleza vipi tunatakiwa kuishi hapa duniani, ikisha kuhusu ukristo yesu hakuita wafuasi wake wakristo hadi anaondoka duniani, Paulo ambae hakumuona yesu hata mara moja ndie aliwaita nyinyi wakristo. Kumbuka neno kristo ni kigiriki kwa kiyunani maana yake ni mpakwa mafuta, nabii au mfalme, mnapojiita wakristo haimaanishi dini yenu au nyie wafuasi wa yesu "NO" it means your religion means "King" haina maana yoyote. Yesu alikuwa muislamu na hakuwahi kuingia kanisani lakini alikuwa anafanya ibada katika sinagogi (msikiti), yesu anasema yeye ni mnyenyekevu "jitieni nira yangu mjifunze kwangu kwa kuwa Mimi ni mpole na mnyenyekevu". Unyenyekevu means ni uislamu ndio maana yesu anasema "utafuteni unyenyekevu" je wewe ni mnyenyekevu kama yesu???

    • @ErnestinaKisinga
      @ErnestinaKisinga 11 หลายเดือนก่อน

      Kweli ndomana waislam hawana msamaa

    • @samxx411
      @samxx411 11 หลายเดือนก่อน

      @@ErnestinaKisinga waislamu tunasali mara tano kwa siku kuomba msamaha kwa Mungu alietuumba na hivyo ndivyo alivyotuamrisha tuabudu..nyie mnafuata akili zenu tu mnaweka pembeni mafunzo ya yesu mnafuata waandishi

    • @MaindaMhina
      @MaindaMhina 9 หลายเดือนก่อน

      Tulia ww mfindishwe mjitambue msikariri tu, mmemezeshwa hata hamuelewi Kama watu wanajua

  • @Hemed884
    @Hemed884 9 หลายเดือนก่อน

    Bila shaka za nn toa maelekez ya uhakik Quran ni kitabu kinachojitosheleza

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน

      Inajipinga katika sehemu nyinginsana, ninkitabubchenye matatizonmno. Na imedokoa maandiko kutika huko na huko.

  • @khalidmdotta3843
    @khalidmdotta3843 9 หลายเดือนก่อน

    Tumeshajua wazungu mlitudanganya na maneno yenu eti islaer taifa la mungu nyinyi ni wahuni kama wahuni wengine unatuletea maelezo bila haya unaamini watu watakubali maneno yako kwa sababu ya uzungu wako

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน +2

      Uisamu unasema Biblia ni neno la Mungu na neno la Mungu haliwezi kubadilishwa na wanadamu. Katika Biblia tunajifunza kwamba Mungu anachagua wana wa Israeli ( Yakobo) kama taifa lake. Hoja yako inapinga Qurani yako. Maelezo ya video unayoicomment inajenga juu ya maneno ya Al- Tabari ambaye kati ya wasomi wa kiislamu anahesabika na wengi kuwa wa kwanza kabisa, wewe unamuita mhuni asiyejua anayoyasema. Kwa hiyo unawasaga wazuoni wenu pia. Ushauri wangu ni kufuatilia yale ninayoyasema kuangalia kama rejea zangu ziko sahihi, halafu toa comment yako.

    • @MfizoCrypto
      @MfizoCrypto 8 หลายเดือนก่อน

      Kama neno la Mungu haliwezi kubadilishwa bibilia ina maagano mangapi na kwanini saiv Papa ana nadi ushoga ? Huoni kua sasa mnaelekea kueka uhalali wa ushoga kwenye Biblia?

  • @AbubakariDibwe
    @AbubakariDibwe 9 หลายเดือนก่อน

    Kiujumla hawa ni watu ambao wasomeshwa na shetani lanatullah ili kuoneza ushoga ,kutembea uchi ,kua malaya ,na wengine kama hawa kuharibu imani za watu kikubwa watu tumshike sana mungu tena sana mana ibilisi yuko on work hili nijanga la kidunia

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน +1

      Imani inachunguzwa kwa kuangalia maandiko yake. Si kwa kuangalia utamaduni au tabia za watu wanaojidai kufuata imani fulani. Kuhusu kutembea uchi si halali katika Ukristo. Kuhusu Umalaya si halali katika Ukristo lakini Uislamu imeihalalishaumalaya kupitia kitu wanaita "ndoa ya mutah"; unamuoa mwanamke kwa saa moja au muda unayohitaji kwa kumbaka halafu unaahirisha ndoa na hiyo ni halali katika Uislamu. (Soma maandiko) UNapotoa comment inasaidia sana ukuwa unaisuporti kwa andiko husika si kwa "akili za kawaida" kwa sababu kila mtu ana akili zake...

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@Kokotokwenyekiatu toa aya uislamu unaruhusu umalaya..ama kutembea uchi..ww muzungu huna elimu unaunga unga tuu..ukija mitandaoni kama hivi njoo uuteteeee ukiristo kua sio dini ya shetani kimaandiko..shawishi watu kutumia mambo yakuhusu uzuri wadini yako...munataka kufanya kama ni team za mpira..mzungu kwanza ulitoa wapi elimu ww nyinyi ndo hata mtume wala nabii hamkupewa bora waafrika tulipata mitume...wazungu kwanza ndo80℅ wanaongozWa na shetani kwakila kitu..13℅ niyauilsmau na 7℅ niya ukiristo ambao bado niwafuasi wa kishetani wanaojificha nyuma ya yesu..tunataka mutoe mambo yatakayo jieleza kua ukiristo unaubora mkubwa kwa mambo meengi kuliko dini zoote ukimwenguni..hamna chakuambia wakiristo wakaona uzuri,wakuwamkiristo..munahofia munapoona waislamu wakieleza mambo meeengi mema mtu anapokua muislamu bila kuutaja ukiristo mahali..mtu anachambua uislamu pekeyake bila kuutaja ukiristo..ila hakuna mkiristo anaweza toa video akajitetea kwa hata dakika kumi bila kuutaja uislamu,hakuna..munawaogopa sana waislamu munajua musipo tukana uislamu basi kila mtu atasilimu so njia yakuogofya watu wasiwe waislamu munatoa video mara hooo waislamu wanafuga majini..waislamu nimandugu zamajini..mtume muhamad haendi mbinguni..haya yooote hakuna kitu wakiristo umewasaidia kujenga imani yakikiristo..ongea kuhusu ukiristo bila kugusa uislamu uone kama hutasilimu kesho ww

    • @josephkiwale374
      @josephkiwale374 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@Kokotokwenyekiatu😆😆😆

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Katika chanel ninatoa video za ukrosto na uislamu, mimi nimesomea ukrosto katika chuo ninalinganisha dini hizo mbili. Na ndoyo lengo kuu ya channel. Hayo yote unayoyadai hapo juu ni porojo tupu nadhani umelishwa na sheha. Ukitaka kujifunza juu ya Ukrisyo zipo video nyingi sana kwenye channel karibu sana

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 8 หลายเดือนก่อน

      @@Kokotokwenyekiatu hata ukiristo huujui..koz mkiristo yeyote mungu wake nishetani..koz iblis ni kuongozi wa wakiristo pqmoja na mashetani nawachawi...mlikitoa kitabu cha enocko katikq bibilia ila munakitumia uanjani kufanyia miujiza yakishetani..

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 8 หลายเดือนก่อน

    Kwanza Uislam sio dini mpya ni dini ya Adam, Nuhu Ibrahim,Musa, Yesu na mohamad. Na hakuna Aya ya Shetani hata moja.

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Hiyo si kweli kabisa, mfumo wa uislamu haukuwepo mpaka karne ya 8 eakati abd al Malik alipoiunda. Ila itategemea na tafsiri yako ya islam. Lakini hapo utakuta kila anaye fuata mungu yeyote atakuwa muislamu.

  • @miishhassn
    @miishhassn 9 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wanatumia akili kubwa sana na garama kubwa sana kuuharibu na kuuchafua uislam lakin mwishi wa siku wanajikuta wamepoteza mda mtu na kuapat hasara maan uislamu utabakia kuwa dini ya haki mpk kiama na ni ngumu sana kumtoa muislam wa kwel ktk njia ya haki makagir si mkae mtulie mnawashwa nini na uislam kwan kuna mtu kawaforce muwe waislamu😂 Allah awasamehe

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน +1

      Unapochunguza uislamu, dininhii inajiua yenyewe bila msada wa mtu. Qurani imeazima maandiko kutoka huko na huko. Inajipinga yenyewe, waalimu na masheki wnarumia udanganyifu kudanganya umma, kwa sababu sheria inadai wafanye hivyo. Muhammad aliishi katika mjinambau haukuwepo katika muda tunayoambiwa yeye alijuwepo ( rekordinya kihistorianinaonyeshabhivyo) tunaambiwa quranini moja lakini zipo 30 leo za kiarabu na hata moja haikubaliani na nyingine. Watetezi wa uislamu wanalia maana watu wanakimbia hiyo dini hata wakati kuna hatarinya kuuwawa ukifanya hivyo. Dada soma maandikonya dininyako, QURANI, HADITHI SIRA NA SHERIA utajifunza mengi. Ukiendeleavkusikiliza sheha yako utaishia jehanamu. Na ya kushangaza ni kwamba maneno yako inapinga mwalimu wako wa asili Al- Tabari. Nakushaurinutafiti kidogonjuu yake pia uelewe ni nani. Maneno yake ni msingi wa video unayo i comment.

    • @miishhassn
      @miishhassn 9 หลายเดือนก่อน

      @@Kokotokwenyekiatu Kwan kinacho wauma ni nn kama ushaukataa uislam hakuna alir kuforce uingie uislamu nyie bakin na din yenu na sisi tubaki na yetu tatizo lipo wapi kwan kila mtu akibak na upande wake aliochagua

    • @LidyaAndrew-i4l
      @LidyaAndrew-i4l 9 หลายเดือนก่อน

      Mjinga fulani anaongea shoga

    • @josephkiwale374
      @josephkiwale374 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@miishhassnhapana tutamihubiria muongoke na mbatizwe mtoke huko,mfano ww huoni kama utapendeza ukibatizwa nakuitwa matayo😆😆

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Imani zote mbili zinadai kuwa sahihi na zote zinadai kwamba ukipotea unaishia jehananamu. Kwa hiyo ni muhimu kwa kila mtu kuchunguza kwa makini sana imani gani inayoonekana kuwa ya kweli. Ndiyo maana Yesu alituamuru twende ulimwenguni mwote tufundishe watu juu ya njjia ya uzima aliyoileta yeye. Pia anasema mkawabatize katika jina la Baba na Mwana na Roho mtakatifu.Hiyo unaipata katika Injili ya Mathayo 28:19@@miishhassn

  • @MzamiluMzamilu-jx4dk
    @MzamiluMzamilu-jx4dk 8 หลายเดือนก่อน

    Kazi mnayo,kuicjafua qur an kwa tafsir zenu za uongo ni sawa na kutemea mate mbingu halafu yanawarudia wenyewe

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Tafsiri katika video hii ni tafsiri ya mwalimu wa uislamu, Al-Tabari. Kama mwalimu wa dini yako anadai kitu nadhani ni vizuri kuifikiria. Ukisomea theolojia na historia ya uislamu utaona kwamba wazo ya kukataa maelezo yake yamekuja nyuma sana katika historia ya imani yenu. Angalia video yote, pia fustilia rejea zangu. Chunguza zaidi katika maandiko yenu, ukweli unapatikana tunapotafiti.

  • @abdillahramadhani2983
    @abdillahramadhani2983 6 หลายเดือนก่อน

    Yesu nae alisujudu atakua dini gani

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  6 หลายเดือนก่อน

      Kidini alikuwa myahudi wa kweli, kuhusu kuomba kwake hakuwa na sheria, kusujudu, kusimama. Si ajabu alikaa pia….

  • @josephkiwale374
    @josephkiwale374 8 หลายเดือนก่อน

    Bro hebu waambie hao waache poyoyo😆😆😆

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Kwao nadhani wanaona ni muhimu. Mtu ukisikia jambo linalokushitua na kukuumiza, una react. Ukiwa mnyenyekevu na mwenya kutafuta ukweli utatafiti hadi unapata ukweli ulivyo. Pole pole watafika.

    • @josephkiwale374
      @josephkiwale374 8 หลายเดือนก่อน

      @@Kokotokwenyekiatu ni kweli mtu wa baba🙏🙏

  • @salimali-rf9er
    @salimali-rf9er 10 หลายเดือนก่อน

    Unafunsisha uislam wakati ukristo huujui, nenda kwanza kajifunze ukristo

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  10 หลายเดือนก่อน +1

      Kwanza tamko lako linajiua yenyewe, si lazima kujua imani moja kwa kufundisha imani nyingine. Unasema pia kwamba sifahamu ukristo, bila kutoa ushahidi yoyote. Labda ni kueleze msingi wangu wa ufahamu wa Ukristo, mimi nimesaliwa katika familia ya Kikristo, mzee wangu alikuwa mwalimu wa ukristo, mimi mwenyewe nime somea na kumaliza chuo cha uchungaji na nimefundisha Ukristo tangu 1996. Kuhusu uislamu nimepitia masomo kiasi wakati nimesomea mambo ya imani, kuanzia shuleni, seccondari na hata kwenye level ya chuo. Kwa miaka yapata mitano sasa nimechunguza maandiko, historia na sheria ya kiislamu kwa kusoma maandiko ya kiislamu. Kuhusu video unayo i comment ukiangalia notes ya video hiyo unaona kwamba nina mnukuu Al-Tabari, kwa hiyo unayoipinga ni maneno ya mwalimu maarufu sana ya kiislamu. Ninafahamu kwamba video inaweza kukushitua, hata kukukasirisha lakini rejea zote zinatoka katika maandiko ya imani yako. Tatizo ya kuwasikiliza waalimu wa kiislamu ni kwamba wao wanalazimika kukudanganya kama inaleta faida kwa uislamu. Ungefahamu hiyo kama ungekuwa umesomea sheria. Ushauri wangu kwako ni uanze kusoma na kuchunguza imani yako. Mungu akubariki.

    • @MaindaMhina
      @MaindaMhina 9 หลายเดือนก่อน

      Tulia dawa ikuingie

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน

      @@Kokotokwenyekiatu kwnye ukiristo huwezi ukauelezea koz haueleweki..kila kanisa liko na bibilia ya aina yake..kil kanisa nimarufuku kuingia kanisa lengne..kila kanisa liko na imani ya kivyake..kila kanisa liko na siku yake yamaombi na namna tofauti zakufanya ibada..kila kanisa liko na idadi tofauti ya miungu wanayo abudu..kuna makanisa mungu wao ni mwanamke..na makanisa mungu wa ni wanaume....so huwezi kuja ukautetea ukiristo koz unaweza utetetea kumbe unawatoa wakiristo wengine kua sio wakiristo..na nirahisi kwako kuchambua na kuupiga vita uislamu koz uislamu niumoja na haugawanyiki mahali..so jinsi shetani anavyo hangaika kuupoteza uislamu kupitia mahayawani wanaojiita kondoo ni sawia tu na ww unavyo pambana wakati dini yako huielewi kama niya wanaume ama wanawake,niyamashetani ama watu..yaaani huelewi kitu..thus unakimbilia uislamu mwisho utasilimu

  • @Hemed884
    @Hemed884 9 หลายเดือนก่อน

    Astaghfru katika zambi kubwa ni kumzulia mtume na Allah uong mtume Muhammad hajawah kuabud masanam

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน

      Inaonekana huja soma vitabu vya wasominwa uislamu. = hujui unachokiongelea.

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 8 หลายเดือนก่อน

      @@Kokotokwenyekiatu Hakuna hadithi sahihi wala aya inayosema mtume MUHAMMAD S. A W aliabudu masanamu wala kuwatumikia, Wanao Sema hivyo ni makafiri na Mshirikina na mashetani wanye lengo la kumchafua mtume MUHAMMAD S. A. W, Soma vitabu vya sira ya mzazi yake na makuzi yake ukikuta alikuwa anaabudu masanamu mimi nitakuwa kafiri na mkristo, Shetani ameandaa jeshi lake la kuwahadaa watu kwakutumia mbinu za Paul za hila na uongo ili kuwavuna watu wake. Ndio maana sisi waislam tuna jua hadithi sahihi au dhaifu zinakuwaje, Usicho kijua ni sawa na usiku wa giza, Someni uislam sahihi muache kubabaisha na kutapata kutafuta wafuasi kwa hila mbaya na ushawishi Wa uongo.

    • @alisonikihedu9614
      @alisonikihedu9614 8 หลายเดือนก่อน

      Mbona Muhamed alimsilimisha shetani

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 8 หลายเดือนก่อน

      @@alisonikihedu9614 Bora yeye alifanikiwa kusilimisha shetani, Yesu alikuwa na wanafunzi ambao ni mashetani tena aliwachagua mwenyewe au hujui tukupe maandiko usome ujifunze, Lakini pia Yesu alijaribiwa na shetani mpaka shetani akawa anambeba na kumzungusha mahali mbalimbali atakavyo au hilo nalo hulijui au nalo tukupe maandiko ujifunze elimu ambayo hufundishwi kanisani kwenu.

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 8 หลายเดือนก่อน

      @@alisonikihedu9614 Pia ulitakiwa ujifunze hata usipokuwa mwislam lakini uwe na ufahamu na uelewe uislam ili unapopinga uwe na hoja za kielimu sio maneno ya mitandaoni yasio na yakini ila hisia na mapenzi na umadhehebu na chuki, Elewa shetani ni nani kwamjibu wa Quran na biblia, Kuna aya nyingi za biblia na Quran zinazoelezea kuwa shetani sio kiumbe bali ni sifa ya Ibilisi au mtu yoyote atendaye mabaya au maovu huyo ni shetani, Lakini pia kunawakati katika biblia shetani ni pepo wachafu na kuna wakati hao pepo ni majini au shetani, Lakini Elewa kwamba baba Wa ushetani wote unao ujua ni Ibilisi, Maana tabia zote chafu ni zake na matunda yake, Na kuna wakati huyo shetani au ibilisi anaitwa nyoka au joka au mnyama na majina mengine, Elimu ya majini kuwepo kwenye biblia au Quran haimanishi sisi waislam tuna abudu majini au shetani au mapepo,Ndio maana huwezi ona msikiti mwislam yoyote akianguka kwa majini, Majini hupenda kanisani maana ndipo kilipo kiti cha enzi cha shetani, kila Siku majini wanatolewa kwa waumini wenu lakini bado majini hayaishi au Wewe huwa huoni wakiombewa kila Siku na mitume wenu na manabii wenu? Mnakwama wapi wakati mna mitume Kama utitiri na manabii kama njugu Tanzania nzima lakini bado mnahangaika na mapepo au majini au roho wenu mtakatifu yuko likizo au sasa hafanyi Kazi? Yaani uwe na roho mtakatifu bado uhangaike kuombewa na bado unabatizwa na bado unafanya dhambi alafu bado unajifariji eti Yesu alisha beba dhambi zako, Alafu hapo hapo bado unaenda kanisani kutubu dhambi zako, Someni msiwe Kama wagaratia walio logwa asie na elimu hawezi kuwa sawa na mwenye elimu na akili. Yesu hakuwa mjinga kusema kila mmoja ataubeba msalaba wake mwenyewe na kufa na dhambi zake mwenyewe. Baba hawezi kubeba dhambi ya watoto wake na vivohivyo kwa watoto.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 9 หลายเดือนก่อน

    Ukweli ukoje hapa ,unatafutwa Kwa tafiti

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน

      Video inajenga juu ya maandiko ya kiislamu, kama si kweli inaonekana huwezi kuamini waandishi wa maandiko ya kiislamu. Kama ni kweli si rahisi kuamini Qurani mana inaweza kushindwa kutambua nani anayeongea.

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@Kokotokwenyekiatu Dini huna wala kitabu huna Unahangaika na uislam ambao huujui wala hujausoma, Ungekuwa unajielewa usinge abudu MUNGU anae pigika na watu wake na wakamshinda, Quran sio mkusanyiko Wa vitabu kama biblia yenu na wala uislam sio dini ya hila na propaganda kama ukristo wenu na ushahidi upo mwingi, Ukihitaji tunakupa uelimike.

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Dini ninayo, nanimesomea ukristo na usilamu, Inaonekana huelewi ukristo na umejazwa propaganda ya masheha wako ndiyo maana unabaki katika giza ya kutokujua

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 8 หลายเดือนก่อน

      @@Kokotokwenyekiatu Uislam gani ulio somea ndugu? Sasa wapi MUNGU alisema ukristo ni dini kwenye biblia yenu? Au Yeye Yesu aliwahi kudai au kusema ukristo ni dini? Tupe maandiko kuonyesha Yesu alikuwa anaabudu ukristo.? Au tutajie misingi ya uislam na ukristo kisha tuwalinganishe manabii wote tuone jee kweli walikuwa na misingi ya uislam au ukristo, Tuanzie kwa Adamu hadi kwa YESU tuone huo ukristo ambao unadai ni dini.

    • @JOHNCENA-lc2ju
      @JOHNCENA-lc2ju 8 หลายเดือนก่อน

      Bibilia ni kitabu cha nani? Kwasababu akuna kitabu tchinatcho itiwa bibilia Hakuna ukitoa na mimi naatcha kuwa mwisalam

  • @seifmohammed9167
    @seifmohammed9167 8 หลายเดือนก่อน

    Soma sira ya mtume Muhammad SWA ni uzushi mtupu unaouogea

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Kitabu hiyo ninayo, na ninaichunguza. Hata hiyo inaongea juu ya aya zaa shetani.. nadhani wewe mwenyewe hujaisoma

  • @SadatiNgongo-im6gy
    @SadatiNgongo-im6gy 9 หลายเดือนก่อน

    Ww kiumbe muogope mola mlezi wako usidanganywe na tamaa za kiibilisi utaangamia

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Muhimu sana, Ndiyo sababu ninafanya kazi ninayoifanya.

  • @kikwa483
    @kikwa483 10 หลายเดือนก่อน

    Mo ni bonge la muongo hakuna aliyeshuhudia akipokea mafunuo kutoka kwa ALLAH hata wakeze quran ni mchanganyiko wa mawazo yake na hadithi za kutunga kuna aya baadhi zimetoka kwa wakristo na wayahudi katika hali ya kupindisha ukweli mfano ibrahimu alimtoa isaka kwenye bibilia lakini quran inasema ismail na kiuhalisia ALLAH,JIBRIL NA MUHAMMAD NI WAMOJA YAANI MUHAMMAD

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  10 หลายเดือนก่อน +1

      Naona umepatia 👍

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน +1

      Hizo story mutasema saana ila final ni,mwanzilishi waukiristo ni iblis na paulo hapo antokia..wafuasi wakwnza waukiristo kulingana na maandiko katika bibilia ya pastor mkorofi na yehova matatni, iblis kufuatiwa na mashetani ,kufatiwa na wachawi walio mroga yesu mpaka akawa chizi,na wamwisho ndo wama mahayawani wanao jiita kondoo....toa maandiko muhamad ni mwongo na mm nakupa aya za bibilia kuhusu iblis kiongozi wawakiristo..mungu wawakiristo ni dem,ako na manyonyo,anaweza beba mimba..kisha mungu wawakiristo alpigwa makende na yakobo anamwambia yakobo amsamehe..kisha mungu huyo akamwambia yakobo afanye mapenzi na bibi yamtoto wake mpka akazaa nae watoto..so ukiristo in short niushetani..hata museme nn kuhusu uislamu,ukweli ndo huo kutoka kwa bibilia..ww kama una aya yoyote yakusurport usemayo toa na mm nakupa mara hio hio

  • @Hemed884
    @Hemed884 9 หลายเดือนก่อน +1

    Iblis anaingiza maneno kwa Muhammad 😮😮 hapana huo ni uong

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน

      Si kwa kauli ya wanzuoni wa Kiislamu, labda kama unafahamunzaidi yao.

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 9 หลายเดือนก่อน

      @@Kokotokwenyekiatu Waislam hatufuati Kauri za watu bali tunafuata Quran na hadithi sahihi sio maoni ya watu.

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Hiyo si kweli, si unamsikiliza sheha wako? Na unachagua hadithi iliyo kweli, hiyo kwa sehemu kubwa ni hao hao wanazuoni wenu. Nao pia ndiyo wanaofafanua Qurani .

  • @Araphatswai
    @Araphatswai 9 หลายเดือนก่อน

    Soma historia ya Qur'an vizuri ujue imetoka wapi sio unaongea tu Allah akuongoze kwenye njia ya haki.

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน

      Nadhani tofauti iliopo kati ya wewe na mimi ni kwamba mimi KWELI NINA SOMA rejea za kihistoria na maelazo ya wataalamu. Kama wewe ungefanya hivyo pia video hii isingeku shitua maana inanukuu waalimu wako.

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน

      @@Kokotokwenyekiatu hapa hushtui mtu kitu ww mzungu..kwanza kwnye bibilia mumeandika ati shetani ni mwafrica(mweusi rangi yake)..ndo mpka bibilia inawadharau waafrika..na hii bibilia aliandikwa na wazungu..nachakushangaza mitume walio tajwa kwenye bibilia walitoka kwa waraabu na kabila zingne wanazofafa nazo..hawawazungu na wayunani waliipataje kuiandika bibilia nakuileta afrika kwa sababu walioleta ukiristo afrika niwazungu siwaisraeli.nandio maana hakuna bibilia yakiebrania ama kiyahudi..hakuna zilipotezwa..kwanza wayahudi hawakutengeneza bibilia,walikua na injili tu ya yesu na taurati ya musa na zaburi yadaudi

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@Kokotokwenyekiatu hawa wa giriki walio kua wakitawala dunia..walichukua wazee 70 wakiyahudi kuwateka nakuwaandikisha bibilia upya kwa watakavyo wao..ilikukanusha uzalio wa yesu,kupaishwa kwa yesu na mafundisho ya yesu..na ujio wa mtume kutoka uarabuni

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน

      Sijui nani alikudanganya hapo. Nakushauri ufuatilie jinsi maandiko ya Biblia yalivyo andikwa.comment za namna hii inakuaibisha sana.Hata kwenye channel hii ninaeleza juu ya maandiko ya Biblia na jinsii zilivyo na uhakika tangu kuandikwa na hazijabadilishwa. Hiyo pia ni ushuhuuda wa Qurani. Angalia video yangu kuhusu Qurani inasemaje juu ya Injili. @@eiddykenga5816

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน

      Hiyo pia si kweli kuna mtu anakudanganya sana, na kisha unajiaibisha kwa kuamini upuuzi huo.Ila katika Sira ya Muhammad unaweza kusoma kwamba yeye anasema ukitaka kumwona shetani angalia at Nabtal b. al-Harith ambaye alikuwa mtu mweusi.
      @@eiddykenga5816

  • @Annyellycomedy
    @Annyellycomedy 9 หลายเดือนก่อน

    Mzungu akitoka wapi nimetafuta kwenye biblia sijaona naona wamisri,waarabu na wakushi

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Ni nje kidogo ya topic ya video. Lakini ngoja nijaribu kujibu kwa kifupi. Kwanza kabisa Biblia inajihusisha na mpango wa Mungu kukomboa wanadamu na ulimwengu. Na mpango huo unahusisha watu rasmi katika mahali rasmi. na ingawa inatuhusu sote "story" naelezwa katika mukhtada wa Israeli. Anyway tukiangalia Biblia tunaona kwamba wakati wa mnara wa Babeli Mungu aliwatawanya watu na wakasambaa, na inaonekana walisambaa hata kufika maeneo ya ulaya.... Kuhusu rangi ya gozi yetu nimefanya video moja katika chanel yangu ya pili koinonia-education link hii hapa: th-cam.com/video/_UGXT3MbI5A/w-d-xo.html kama link haifanyi kazi ukienda koinonia-education, playlist ya lete swali kuna video moja inasema "sote tumetoka kwa adamu na hawa?" hapo utaweza kupata maelezo kidogo zaidi.

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 8 หลายเดือนก่อน

      Waarabu wapo kwenye biblia ipi?

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Warabu wanatajwa hata katika Biblia ya kawaida, hasa ukisoma Agano la Kale

  • @AthmanAlly-z4e
    @AthmanAlly-z4e 9 หลายเดือนก่อน

    Al Quran 81:25
    Wala hii Quran sio kauli ya shetani maluuni

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน

      Ila 53: 20ff ni jambo jingine. Hasa kwa maelezo ya Al-Tabari. Shida kuu ni kwamba inaonekana Muhammad hakukundua bali watu walipo shituka ndio akaanza kubadili maono. Anyway. Ni vigumu kuamini Qurani maana inajipinga sana. Na inaeama imekuja kusadikosha maandiko yaliyo tangulia halafu inazipinga. Hayo yote yanaleta mashaka sana juu ya waliyoitunga hiyo kitabu.

    • @AthmanAlly-z4e
      @AthmanAlly-z4e 9 หลายเดือนก่อน

      Al Quran 3:7
      Yeye ndiye aliye kuteremshia Kitabu hichi. Ndani yake zimo Aya muhkam, zenye maana wazi. Hizo ndizo msingi wa Kitabu hichi. Na ziko nyengine za mifano. Ama wale ambao nyoyoni mwao umo upotovu wanafuata zile za mifano kwa kutafuta fitna, na kutafuta maana yake; na wala hapana ajuaye maana yake ila Mwenyezi Mungu. Na wale wenye msingi madhubuti katika ilimu husema: Sisi tumeziamini, zote zimetoka kwa Mola wetu Mlezi. Lakini hawakumbuki hayo isipo kuwa wenye akili.

  • @hajiabdulrahmani9204
    @hajiabdulrahmani9204 9 หลายเดือนก่อน

    Unaitaji usome uislam ili ujue ukweli

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน +1

      Kuna tofautinkati ya mimi na wewe, mimi ninasoma! Na ninatafiti maandikonya kiislamu, na ushahidi wa kihistoria. Nadhani wewe unamsikiliza sheha. Na yeye anawajibika na sheria ya kiislamu kudanganya waumini kama anahisi italeta faida kwa uislamu. Akikuambia ukweli utaikimbia uislamu.

  • @alitsama-xk6rr
    @alitsama-xk6rr 9 หลายเดือนก่อน

    yani wewe lengo lako nikutaka kuudhalilisha uislam,,kwa kujitafsiria na kusoma aya vipande vipande ili kuuchafua haya endelea2 lakini uislam ndio dini ya haki

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน

      Lengo langu ninkutafiti na kutafuta ukweli

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 2 ปีที่แล้ว

    Muhammad alikua mtume wa shetani na sio mtume wa Mwenyezi Mungu

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  2 ปีที่แล้ว

      Inaonekana hivyo

    • @samxx411
      @samxx411 2 ปีที่แล้ว +2

      Sawa Muhammad ni Mtume wa Shetani lakini tambua Muhammad ndie mtume wako ukitaka usitake, yeye ndie mtume wa mwisho na Issa (Yesu) sie Mungu wako wala mtume wako, yeye alitumwa kwa wana wa israeli tu (Biblia pia imeeleza hivyo) hilo kafiri la kizungu hana anachofahamu kuhusu uislam na hao ndio wanaokupotezeni, wanakuvisheni vimini, wanakwambieni munywe ulevi wao wapo katika starehe tu na wala hawamfuti huyo yesu, mbona yesu likataza mambo mengi na alifunzo mambo mengilakini hawayafundishi??? angalieni sana hao wazungu wapo zaidi kwa maslahi yao na starehe

    • @athmanidi7388
      @athmanidi7388 2 ปีที่แล้ว

      Haujui QUR'AN pole sana; utachoka; Bibilia NI Kitabu cha Ibilisi Juwa kutoka lea. Haujui NI Nani mungu

    • @athmanidi7388
      @athmanidi7388 2 ปีที่แล้ว

      @@samxx411 hujasoma ndugu yangu tafuta Qur'an usome Kwanza siyo hadith soma Quran

    • @husseinally6699
      @husseinally6699 9 หลายเดือนก่อน

      Ngoja utakapo kufa ndo utajua asaiv una uhuru wa kuongea ukitakacho kwa kua pumzi bado unazo na mdomo unafanya kazi
      Siku itafika tu

  • @eiddykenga5816
    @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ww mxungu waijuaje Quran..watupigia story..toa izo aya..acha story za abunuasi

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน

      Ninjua Qurani kidogo kwa sababu nimesoma, story ninayoitoa katika video hii ni ya Al-Tabari msomi wa kiislami na mtafsiri maarufu ya maandikonya Qurani. Siyo story yangu ni yenu. Mbona mnakataa kukubali maandiko yenu? Inakutia aibu? Ukitaka kuchunguza rejea zangu angalia maelezo ya video kila kitu kiko pale.

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน

      @@Kokotokwenyekiatu na mbona hujatoa story ya yakobo kupigana na mungu wawakiristo mpka akamshinda akaitwa israeli..tuambie hio story pia..na utuambie ikawaje mungu wawakiristo mukamuita ni dem wenu nae mungu wenu akakataa aksema yeye ni chalii yenu..mbna usituambie hio story kwa kina

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน

      @@eiddykenga5816 Waislamu mnadai kwambaAllah ni Mungu wa Ibrahimu, ndiye aliye "pigana" na Yakobo. Kwa hiyo kama ni shida yangu pia ni sjhida yako. NIta weka note kuhusu sehemu hiyo na baada ya kuichunguza vizuri nitajaribu kufanay video moja ya matokeo ya uchunguzi huo. kuna mambo engi katika Biblia ambayo sijapitia katika channal yangu...

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน

      @@Kokotokwenyekiatu ww mzungu nikama huna akili nzuri..hakuna mkiristo ulimwengunia anaweza udhibiti uislamu..this is power broo..kwanza cheki Quran ni tiba..kuna mambo mengi unaweza kusoma kwenye kitabu hicho nayaka fanyika..mgonjwa anaweza somewa Quran na akapoa..inaweza kusomwa mahali na kuondoa nuksi,uchawi,hasad..na ikavuta kheri na uzima..na bibili hata isomwe mara milioni haiwezi kuokoa

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Ndiyo maana waislamu wanakuja kwenye mikutani za injili waponywe???

  • @AbubakariDibwe
    @AbubakariDibwe 9 หลายเดือนก่อน +3

    Akili ya kawaida tu hivi allah aumbe kiumbe afu amshinde hv ibilic lanatullahi kaumbwa na nani afuapitishe upotovu then allah yuko tu kimya sikweli pili muhammad (s.a.w) ni mtume allah afu eti apotee ikiwa allah anamtizama sikweli. Hakuna mungu wa hivi tafutanjia nyingine yakupoteza umma ,allah afungue akili zako. Na akupe hofu yake

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน

      Imani ya Uislamu na ya Ukristo unajenga juu ya maandiko, kwa hiyo tunachunguza imani hizo kwa msingi wa maandiko. Comment yako haiendani na andiko hata moja. inakwenda kinyume na Uisamu na pia Ukristo. Labda kama unayo rejea ambayo unawezakutumia kwa kujenga hoja yako ingesaidia.

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน

      Kuhusu tabia za watu, Umalaya kutembea uchi mara nyingi ni tabia inayopingwa na imani. Umalaya unapingwa na Ukristo lakini imehalalishwa katika Uislamu kwa kupitia "ndoa ya mutah". Kuhusu utembea uchi sijasoma katika Biblia kua ni sawa na Ukristo kiimani ni kufuata maandiko ya Biblia. Na rudia tena tunachunguza imani kwa maandiko husika si kwa tabia ya wafuasi wanao jidai imani bila kúifuata.

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน

      Mbna yesu aliuwawa mungu wake alikua wapi..ama mbna mungu huyo wa bibilia alipigana na yakobo na yakobo akampiga mungi wabibilia..hivi munaakili mungu anapigwa..ama wakiristo walimfanya mungu wa bibilia kua mke..singe mtongoza pia wakamzalisha yesu wengi wengi ndo waje wamwage damu za viboko koz na kubeba misalaba ya kondoo mahayawani..kwanza nidharau sana ati mtu anaitwa kondo venye lile jinyama linanyamba nyamba hovyo na makamasi..nalinafanyaapenzi na yeyote na popote..ila sishangai koz hata sai musharuhusu ushoga..broo mm natumai ww ulishaozwa mume kanisani ama ulioa mume..hebu tuambie..koz ndacha anakaa alipata ila anakaa atatoroka awe muislamu soon

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@Kokotokwenyekiatu ww kanisani kwnza munaoa wanaume wenzeni..sasa hii ni dini

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน

      @@Kokotokwenyekiatu hata bibilia yakobo alilala na bibi ya mtoto wake wakumzaa..hio ndo ukiristo..hata ndoa zenu munaruhusu zinaa kwa muda ati ndo watu wajekuoana.

  • @abdillahramadhani2983
    @abdillahramadhani2983 6 หลายเดือนก่อน

    Acha kudangaya watu

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  6 หลายเดือนก่อน

      Video unayoiongelea inajenga juu ya maandiko ya Waislamu. Hasa Al-Tabari.

  • @MangezaPascar
    @MangezaPascar 8 หลายเดือนก่อน

    Wewe. Munzung acha maneno yakizunguzungu wewe munachojuw ni utenge nejaji wapombetu haluna lolote kwanza mapapa wote wazungu kwanini hajawahi kuwa mualabu hakili huna acha upuzi duniya imerogwa nanyinyi wazungu tup

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Inaonekana ninalo lolota kwa sababu imekupata kama kokoto kwenye kiatu. Ukitaka kunikosoa leta rejea si bla bla tu. Akili ninazo. Na ninajiendeleza kwa kusoma na kutafiti. Kuhusu papa wa kiarabu uliza wa katholiki.

  • @seifmohammed9167
    @seifmohammed9167 8 หลายเดือนก่อน

    Ww hujui qurani hata kidogo unacho jaribu kuongea ni uzushi mtupu

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Natoa ninayoyaongea katika rejea za kiislamu, inanekana unakataa dini yako na maandiko yake.

  • @AbdulkarimuSuwedi
    @AbdulkarimuSuwedi ปีที่แล้ว

    Huwezi kutafsiri aya ya qur an bika ya kujifunza lugha,,balaagha,, nahwi,, sasa wewe hata kiswahili mtihani,, usifanganye watu

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  ปีที่แล้ว

      Ahsante kwa comment yako. Nadhani hujaelewa ninavyofanya kazi. Hiyo SI TAFSIRI YANGU ni tafsiri ya AL-TABARI, huyo Al-Tabari ni mwana theolojia wa kiislamu maarufu sana na nimenukuu maandiko yake. Kwa hiyo unachsema ni kwamba ” Mwalimu wa kiislamu ambayo maandiko yake yanatumika na waislamu leo kama tafsiri sahii, anayefahamu kiarabu, hajui kutafsiri qurani!” Nimeona kwamba waislamu wengi hawafuati uislamu wanamfuata sheki yao.. na hawajui rejea za maandikonyao yanasemaje. Ukiona ku nukuu maandikonya kiislamu ni udanganyifu huoni kwamba unaponda imani yako na kusema ni udanganyifu.

    • @MaindaMhina
      @MaindaMhina 9 หลายเดือนก่อน

      Muache afundishe tuelewe kukikoni huko kweny hicho kitabu cha kiarabu

  • @saidgumbo2529
    @saidgumbo2529 8 หลายเดือนก่อน

    Laana tu allah alah kafikir mkubwa ww

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน +1

      Unalaani maandiko yako na wasomi wako maana mimi ninanukuu maandiko yako na wasomi wako, pole sana.

  • @Hemed884
    @Hemed884 9 หลายเดือนก่อน

    Tafuta wanazuon wakufundish ach kutumia akil yako

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน

      Rejea zangunninatoa kwa hao unaowasema. Al- Buhari, Al-Tabari na wengine. Wewe nadhaninhujasoma maandiko yao.

  • @OmaryHamadi-hs2ew
    @OmaryHamadi-hs2ew 9 หลายเดือนก่อน

    Hao ndio wale watu ambao mungu aliwalani wengine wakawa nguruwe na manyani

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน +1

      Ee uislamu inasema hivyo, na wewe unaamini upuuzu huo, pole sana, sana sana

  • @suleimankombo1743
    @suleimankombo1743 11 หลายเดือนก่อน

    Muongo mkubwa. Allah akulaani

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  11 หลายเดือนก่อน

      Kama ni uongo imetoka katika maandiko ya dini yako, nukuu zote zinatoka kwa wasomi unaowafuata kama muslamu. Unaposema uongo mkubwa kumbuka unakanusha maandiko na imani yako, dini yenu hii jamani.. Ingesaidia sana kama mgeheshimu maandiko yenu au angalau kuyasoma hapo mgeelewa zaidi.

    • @LovelyComputerChip-cj4wz
      @LovelyComputerChip-cj4wz 10 หลายเดือนก่อน

      Uongo wapi alieteremsha kurhani Nani adui wa jibril😂😂😂

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน

      @@Kokotokwenyekiatu wewe bibilia iloshasema kiongoziwawakiristo ni iblisi..wakifuatiwa na mashetani,na wachawi walio mroga yesu mpka akawa hajui kutofautisha roho na mtu..na washirika wa kibinadamu ndo hawa wafuasi wanaotunga jina lakipagani ukiristo..mwanzo kabisa hapo antokia..mwanzilishi ni paulo mtumishi washetani..

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@LovelyComputerChip-cj4wz jibreel hakuna anaye mweza huyo nimalaika mwenye daraja la juu zaidi..nani anaweza kumdhibiti..

    • @eiddykenga5816
      @eiddykenga5816 9 หลายเดือนก่อน

      @@LovelyComputerChip-cj4wz wachaneni na dini ilio kamilika..hata atleast uwaambie watu hata andiko moja kuutetea ukiristo ni dini ya Mungu ama bibilia nikitabu cha nani..munakuja kupinga uislamu n hata hamna jambo lakuutetea upagani wenu wakiashetni

  • @rehanikharidi3557
    @rehanikharidi3557 2 ปีที่แล้ว +1

    Bila shaka ni akili yako kudhani hivyo NA ufinyu wa kuutambua uislamu

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  2 ปีที่แล้ว

      Ni kweli ufahamu wangu unaweza ukawa mfinyo, nimesomea uislamu na kuichunguza kwa miaka mitatu na kidogo tu. Shida ni kama ufahamu ya Al Tabari ni finyo maana yeye ni mwalimu maarufu katika historia ya waislamu. Na si yeye tu anayeshuhudia kuhusa aya hizo. Ningekushauri ufanye utafiti kwenye maandiko yenyewe hiyo itakusaidia kupata picha nzuri.

    • @rehanikharidi3557
      @rehanikharidi3557 2 ปีที่แล้ว

      @@Kokotokwenyekiatu vyema kujitambua uislamu hausomwi miaka mitatu tu unatakiwa uwe unajua sababu nuzuuri za aya maana aya ulizo toa hukuleta hizo za shetani lakini pia kwa manabii woote shetani alitamani kutumbukiza aya zake lakini pia tambua kwenye fatuhu maka masanam ya lata uza NA manata yalivunjwa

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  2 ปีที่แล้ว

      @@rehanikharidi3557 Nilileta zinazobakia kwenye Qurani, kama unavyojua ziliondoshwa baada ya muda katika historia. Maelezo kuhusu tokeo hili nimenukuu kutoka Al-Tabari kama wewe unafahamu zaidi yake hapo labda. Waislamu wa mwanzo walitliri kwamba jambo hili lilifanyika, imekuja kukanushwa baadaye sana katika historia. Na rudia tena rudi kwenye rejea za imani ya kiislamu halafu usome utaona kwamba yanaongea kugha moja.

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 9 หลายเดือนก่อน

      Huyu jamaa na wenzake wengi wamerithi mafundisho ya hila na uongo kwa Paul mtume Wa barua na waraka, Yaani mtu anakaa ana andaa barua alafu anawahadaa kwa hila ati ni Ufunuo, Sasa watu kama hawa usitegemee wahubiri ukweli, Wao watabaki kupotosha japo wanajua wanapotosha kutafuta wafuasi kwa kuwahadaa na hila kama alivyo kuwa akifanya mtume wao Paul. Badala wahubiri injili ya YESU wao wako bize na barua za mataifa yasiyo makabila kumi na mbili ya nyumba ya Israel.

  • @JOHNCENA-lc2ju
    @JOHNCENA-lc2ju 8 หลายเดือนก่อน

    Kutamka Neno Allah ajuwi unadhani sisi tuna kukubali? una lolote!

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Ukikubaki au usikubali, hiyo ninyako mimi najali ukweli.

  • @Araphatswai
    @Araphatswai 9 หลายเดือนก่อน

    Ebu acha stori zako bhana sisi Waislamu tuna amini Qur'an %100 wewe nani uje na stori zako ambazo azina mashiko wala ushahidi.

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  9 หลายเดือนก่อน +1

      Kwanza haiwezekani kuamini Qurani kwa 100% kwa sababu inajipinga. Itabidi uachague ya kuamini. Storo unayoipata katika video unayoicomment ni story ta Al-Tabari ambaye kaa kweli umechunguza utajua kwamba ni mtafsiri wa Qurani nadhanin wa kwanza kabisa na wengi wanamhesabu kama mkuu wa wote. Kama yeye haaminiki katika sijuii nani ataaminika na umma. Labda ubajua zaidi yake... sidhani. NInakushauri uangalie fideo vizuri halafu ufuatilie rejea ninazozitoa na kuzisoma mwenyewe. REjea zipo katika maelezo ya video. Unachokosa kuelewa ni kwamba unapopoinga mtu kama Al-Tabari unasaga dini yako na kuonyesha kwamba inajenga juu ya uwongo mtupu. Labda ufuate ushauri wa Qurani "wakati hujui ulizw wenye kitabu kabla yako" (Hao ni wakristo na wayahudi) si ulizema unaamini Qurani kwa 100%?!

    • @Araphatswai
      @Araphatswai 9 หลายเดือนก่อน

      @@Kokotokwenyekiatu ujue nyie mmejazwa dhana tu yakuwa Uislamu haufai ila kaeni mkijua kuwa Uislamu ndo dini ya haki ila wengi hamjui alafu mbona Quran inajieleza kabisa ni Nani waandishi wake na imetoka wapi sasa nyie mnazusha maneno bila ya kuwa na aya zakudhibitisha ni maneno tu mnazusha aya sasa mimi nawapa hii Qur'an 3:19 kasome hiyo

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน +1

      Qurani inadai kuwa ya kweli, lakini ukichunguza unaona kwamba inajipinga. Ni kama mimi nikidai kwamba mimi ni mtume, inanifanya mtume? ni kwa kuchunguza kama tamko inaleta maana ndipo unaweza kuamini. Na baada ya kuchunguza Qurani makosa yaliopo ni mengu mno, na kule kujipinga yenyewe, pamoja na kwamba hakuna qurani ya asili bali zilizoandikwa karne nyingi baada ya tokeo hayo yote yananifanya mimi nisiamini qurani wala dini ya uislamu.

  • @seifmohammed9167
    @seifmohammed9167 8 หลายเดือนก่อน

    Laana ya mungu iwe nawe mzushi mkubwa wewe free mason

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Mimi si free mason. Na ninalindwa na Mungu wa kweli

  • @yusuphjuma-tz8ks
    @yusuphjuma-tz8ks 8 หลายเดือนก่อน

    Nikikutama vizuri wewe utakua shetan wa kibinadam

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  8 หลายเดือนก่อน

      Labda urudie sentensi yako maana haieleweki.

  • @AbdulkarimuSuwedi
    @AbdulkarimuSuwedi ปีที่แล้ว

    Astaghfirullaaaah,,waislam tunafata dini yetu na sio propaganda zako,,,, uislaam umeshajitosheleza,,,, tunaelewa muna mipango mingi ya kuufuta uislam

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu  ปีที่แล้ว

      Unaita maandiko ya Al- Tabari propaganda? Hiyo ni tuhuma kali sana, ni mwalimu wa imani yako! Yeye umarufu wake alipata kwa kazi yake kubwa ya kutafsiri na kufafanua qurani na maelezo ya sira ya Muhammad.

    • @abduljabbarmohammed4188
      @abduljabbarmohammed4188 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@Kokotokwenyekiatuhaelewi dini ya kiislamu vizuri