SURUALI YA LASTIKI// Urahisi wa Jinsi ya Kukata
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- Karibuni tena kwenye channel hii #@NaimaCreation mjifunze Jinsi ya kukata suruali ya lastiki Mishono ya vitambaa suruali za Kisasa Zinazotrend,
#Jinsiyakukatasurualizakisasa,
#Jinsiyakukatasurualizinazotrend,
#mishonomipyayasuruali,
#mishonoyavitambaa,
#@NaimaCreation ,
#surualizakisasa,
#zinazotrend,
#surualizakisasazinazotrend,
Kwa video nyengine tafadhali angalia • Jinsi ya kukata hafu y... LIKE na SUBSCRIBE
Naima fundi uko vizuri sana Allah akujalie vizuri
Amin
Asante sana
🤝
Unaeleweka saana❤❤
Dada Asante Sana mungu akubarki maana nilikuwa sijui kukata suruali daa saiv nimeelewa🎉🙏🙏🙏
Amin
Uk vzr kw kwel maxhallah
Asante my dear nimeelewa na tumekata pamoja ❤❤❤❤❤ ndo naanza kuishona
Masha Allah Dada uko vizur nakuelewa
Nashkuru
Barikiwa sana kipnz
Amin
Mashaallaah dada Allah akujaalie
Amin
Nakuelewa sana kipenzi naomba uniunge kwenye group lako
Wasap namba 0672310102
Hogera kwa Kazi nzuri.unapatikana wapi.
Asante Kigamboni
naomba kama una group la kujifunza uniunge
Sina mumy kwa sasa
thank you nakufatilia sanaaaa ila hua najifunza zaid pale unapotumia lugha ya maandish kama happy cjackia hata neno moja
❤
Naomba kujifunza ushonaji kujiunga na darasa lenu
Wasap namba 0672310102
Naomba Kama una group lankufundishia uniunge natamani kujifunza sijapata wakunifunza nisaidie please
Wasap namba 0672310102
Unaerejeza vizuri mnooo❤❤❤❤❤❤ nimependa naomba namba ya wasap
naomb na unifundishe sijui
Hujui nini
Dada naomba whatsp ninashida private
Sema tu huku wasap situmii
Ndo nimeanza kujifunza ila naomba unisaidie kunielekeza jinsi ya kusoma tape na zile inchi unazo ongeza kabla na baada ya kupima
@GhatiMakuri-kp5vw kabla siongezi inchi yeyote ukiskiliza video utaelewa
Naomba kama una group uniunge
Sina