Mafuriko Kigogo Dar! Waathirika wawaka "Tumechoka kuishi kama Ndege ..."
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 เม.ย. 2024
- Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini, baadhi ya wananchi wamejikuta wakishindwa kuendelea na shughuli zao kutokana na nyumba zao kuzingirwa na maji.
Baadhi ya wananchi wamelazimika kuzikimbia nyumba zao . Wakati huo hali inakuwa mbaya kwa watoto, wagonjwa na wazee ambao hutafutiwa hifadhi kwenye nyumba za jirani na za ibada.
Mkazi wa Kigogo Mbuyuni jijini Dar es Salaam, Samwel Julius akizungumza na Mwananchi Digital leo Aprili 26, 2024 amesema mvua inaponyesha wanajikuta wanakuwa wakiishi kama ndege hivyo wameiomba Serikali iwaondoe eneo hilo lakini kwa kuwalipa fidia.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
Mlionywa na nabii wa Mungu mapema mkamdhiaki .
Poleni sana
Poleeen San tutubu kwa maana ufalme wa mbingun umekaribia
Nani aliwaambiwa mkae uko mabondeni na hali mnajuwa maji huwa yanakuja wakati ni eneo la maji,yakitokea mnalaumu serikali especially mpangaji anapanga vip uko bondeni hali akijuwa maji yanakuja.mjitafakali njie watanzania ndugu zeetu.
Mmechoka kwani hamkujua huo mkondo wa maji ivi ninyi mnataka serikali ifanyaje
Subhanallah huu mtihani
Mapaa mengi hayana "gutters" na hifadhi za maji ya mvua hamna.
Serikali inatakiwa watu wa kigogo msimbazi, bugurun kwa mnyamani Nk inatakiwa serikali itafute wawekezaji wapanunue maana ni karibu na mji hivyo hapafai kuwa na majengo kama ya yale
Pole ba
Bu
Mkuu wetu wa mkoa alisema maji yanatusaidia kuhamisha watu mabondeni sasa mhame mtakufa serikali yetu ina mambo kibao yakufanya sio kuwapa nyie hela mlioamua kuishi bondeni mtakufa shauri yenu
Waambie Hao 😡
Kila mwaka mnalijuwa hilo kwa nn hamjionhezi kila mwaka mna lala mika.mmekaa bondeni sana
Muhame huko
Bahari ya kigogo kumbe kubwa pole sana
mungu asimame pamoja nasi
Hapo serikali au Mama Samia hausiki mwisho wa Mambo yote umekaribia bibilia inasema, sikuzsmwisho kutatokea njaa Vita n.k.
Nawew unaongea nin domo kama vilimbi
Duh
Watu wahamishwe hilo eneo halifai.😢
Huwa hawataki,tangu kipindi cha kikwete, walikataa kwenda mwagwepande,wanasema wao hawatoki mjini
Tatizo hamtaki kutoka mjini! Mmeng'ang'ania mjuni mnajiona wajanja! Tokeni njooni huku pembezoni make kwa amani. Serikali haijawapa viwanja huko! WABISHIII!😂😂😂
Khaaaa
Huyo nae ana ufagio anafagia maji
😢😢😢😢
Angalieni huko Kenya mafuriko kama yote! Mungu wetu amekasirika na maasi yetu wanadamu!
Wewe ni mkristo wa wapi Mungu alishasema hatoangamiza tenaaa kwa maji. Haya ni matokeo yetu sisi wenyewe ya kushindwa kutunza mazingira
@@Everline398 Yawezekana pia!
@@dorothmsuya1686MUNGU sio mwongo ndio yajirudie
Si walihamishiwa mabwe pande hawa
Viwanja mulipewa na serikali basi mudai fidia kama ni Mashamba mulinunua kwa kukatiana basi haho ni ydnu
Kwani mlijenga mabondeni???????😂😂😂😂😂😂
Wapeni wawekezaji maeneo kama hayo serikali
Jamani rudini kijijini
Dar ndio ulaya hiyo mtu hataki sikia kijijini 😅
Wewe uko wapi
Kijijin Raha sana lait wangejua
Jaman cc uku dar atutaki mvua mungu tusikilize tupe tu jua siku zote kwanz atuna mashamba
Kijijini hakuna mvua?😅
Acheni zambi. Mludieni mungu. Amechukia. Ushoga. Kusagana
True maovu mengi hili jiji limeshaingiliwa na waovu
Kumbe mafuriko iko kila nchi
Yh. Nimenotice iyo pattern pia. Noma sana
Acha kulaumu serikali baba! Si uhame huko?
Sasa unalalamikia serekali kwani ndio wsliokwambia ujenge kwenye huo mto mwisho Unasema usipunjwe sasa unataka uhamishwe halafu unaweka mkwara usipunjwe
Kabisa halafu anatoa na condition 😮
Nabii kasema token