Naipenda sna kazi yenu ya Da'awah mn mnawafata waliopotea mpka vijijini MUNGU awajalie kheir na mshikamano na ALLAH awape nguvu na awaepushe n misuko suko na mitihani kwa kazi
MashaAllah ongereni walimu wetu mwafundisha vizur sana hata mtu kama hataelewa basi atakuwa hasikizi Allah awalinde na hassadi vijicho na hafya nauzima
Nawapenda mashee wangu kwa ajili ya ALLAH , na ALLAH atukutanishe pepo waislam wote baada ya haya maisha ya kudanganya , maisha ya milele na ya kweli ni baada ya kufufuliwa
Tunawapenda sana haswa sheikh Salim onajuwa kuelezea mtu vizuri sana mpaka akafahamu na pia musomaji sheikh Ali nyote Masha'Allah mola awazidishie ilimu awape minzani hasanati.Ila nawomba majina munao taka kumpa yoyote anayo ngia kwa dini ya usilamu mbona musii itypishe kwenye karitasi majina mengi Kisha huo anaye ingie kwa usilamu achaguwe vizuri jina hio ndio fikira yangu shukran.
Asalam aleykum Sheikh ALLAH ATAKULIPENI WAHADHIR WA KENYA MASHALLAHU KAZI YA DA'AWA KWA KENYA INA UMUHIMU SANA HATA MKIJAALIWA PIA MFIKE TANZANIA SISI NI NDUGU ALHAMDULILLAH SHEIKH SALIM SHEIKH ALLIY SHEIKH YUSUF SHEIKH QASSIM SHEIKH YALIT SHEIKH ABBAS ONLINE TV NA WENGINE WANAHARAKATI WA DA'AWA KWA UJUMLA WENU
Ukiristo kweli mauza uza nyie yani nawashangaa Quraan ni moja tu iko surah 114 lakini bibilia zimeandikwa tele na makanisa kila aina uislam nyumba ya mungu ni masjid tu ,.makanisa yako kila utaskia catholic,mara Methodist mara Jehova 😢😢😢
Kafri siku zote ni wakrsto kwa sababu hawamjui mungu wa kweli ambaye anastaili kuabuduwa nyinyi mnaabudu binadamu baada yakuabudu Mungu wa kwli jandae i na moto siku ya mwisho
So proud of You my Islamic teachers
I will also invest in my Akhera too Inshaallah
Naipenda sna kazi yenu ya Da'awah mn mnawafata waliopotea mpka vijijini MUNGU awajalie kheir na mshikamano na ALLAH awape nguvu na awaepushe n misuko suko na mitihani kwa kazi
MashaAllah ongereni walimu wetu mwafundisha vizur sana hata mtu kama hataelewa basi atakuwa hasikizi Allah awalinde na hassadi vijicho na hafya nauzima
Asalam aleikum mashekhe wetu Allah awahifadhi amiin shukran
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin
Nawapenda mashee wangu kwa ajili ya ALLAH , na ALLAH atukutanishe pepo waislam wote baada ya haya maisha ya kudanganya , maisha ya milele na ya kweli ni baada ya kufufuliwa
Mashaallah tabarakallah masheikh wetu Allah amlipe pepo kesho akhera n waislam wte
Takbiir Allahu akbar
Allah awaongeze nguvu pamoja na mvua ila kazi iendelee inshaallah
Aamiin amiin amiin
Ma Shaa Allah Tabarak Allah. Namuomba Allah Mtukufu Awalipe kheri kwa juhudi yenu, Ameen
as salaam aleykum
Mashaallah tabarakaallah Allahuakbar 😘🥰 Allah awaongoze nyote mnao fanya dawaaa
Kaz nzur mashek wetu mwenyez mungu ampe maisha marefu
MashaAllah mafundisho mazuri
MashaAllaah Allaah Awapeeni nguvu na awahefadhiniii....
Leo wa kwanza Alhamdullillah
Masha Allah karibu sana
Mashallah mafunzo mazuri Asante sana
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
Ustadh Salim na ustadh Ali mwenyezi mungu awalipe malipo makubwa Kwa kuwaelimisha watu kuhusu uislamu
Aamiin amiin amiin sote
Tunawapenda sana haswa sheikh Salim onajuwa kuelezea mtu vizuri sana mpaka akafahamu na pia musomaji sheikh Ali nyote Masha'Allah mola awazidishie ilimu awape minzani hasanati.Ila nawomba majina munao taka kumpa yoyote anayo ngia kwa dini ya usilamu mbona musii itypishe kwenye karitasi majina mengi Kisha huo anaye ingie kwa usilamu achaguwe vizuri jina hio ndio fikira yangu shukran.
Masha Allah tunakupenda pia kwa ajili ya Allah inn shaa Allah fikra nzuri tutaifanyia kazi
mashaallah karibu katika dini ya haki
❤❤❤❤am in love with this religion❤❤❤
Karibu sana
Karibu dada
Asante kaka
Ma sha Allah
MASHA ALLAH FROM WAJIR COUNTY ❤❤❤
MANSHALLAH nawa salamia sote as ALEIKUM ww❤
Shekhe salum na watu wako mnafanya kaz Nzur sana ni ile kaz alikuwa akifanya mtume
Mashaallah mashehe kwa kuwaelimisha wakiristo
Mashalla Allah
Asalam aleykum
Sheikh ALLAH ATAKULIPENI WAHADHIR WA KENYA MASHALLAHU KAZI YA DA'AWA KWA KENYA INA UMUHIMU SANA HATA MKIJAALIWA PIA MFIKE TANZANIA SISI NI NDUGU
ALHAMDULILLAH
SHEIKH SALIM
SHEIKH ALLIY
SHEIKH YUSUF
SHEIKH QASSIM
SHEIKH YALIT
SHEIKH ABBAS ONLINE TV NA WENGINE WANAHARAKATI WA DA'AWA KWA UJUMLA WENU
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah hilo tutapanga
🤣🤣🤣🤣 ALLAHU AKBAR atn viyatu ni vyarohoni
as salaam aleykum
MashaAllah
Barak ALLAH
Taqbeer Allahu Akbr
Viatu vya rohoni😂😂😂😂
Safi
❤❤❤ALLAHU AKBAR ❤❤❤❤ALLAHU AKBAR ❤❤❤❤ALLAHU AKBAR ❤❤❤❤❤
Mashala asalamu alekumu warahama tulahi wabarakatu muguawalidi
MashaALLAH
Allahu Akbar
Ukiristo kweli mauza uza nyie yani nawashangaa Quraan ni moja tu iko surah 114 lakini bibilia zimeandikwa tele na makanisa kila aina uislam nyumba ya mungu ni masjid tu ,.makanisa yako kila utaskia catholic,mara Methodist mara Jehova 😢😢😢
Kwa majina yakiislamu ama yakikiristo Yote yameletwa huku kwetu usijisifu nayusufu ukamuukumu john
Ndio mana hakuna mtume wa mungu aliekua mkristo
@@saumbliz8983watu WA kitabu ni kina nani maana sio waislam.Ukijibu sahihi utajua sio waislam
👏☝️
Kirsmax haiko kwenye bblia
SUBHANNALLAH WALHAMDULLILLAH WALAHU AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤
Masha Allah 🥰
Allahu Akbarr
as salaam aleykum
Hizi maswali zenu, mbona Mahali mwalimu ndacha yuenda amwonekani, Xmas haiko Kwa bibilia,so hio ndo mada ya maana kwenu, tafuta mdahalo
Leta huyo ndacha kama unamwamini
Amewaragaza mara ngapi
Ndacha teja Sasa kama Xmas haiko kwenye bibilia hua mwasherekea Ina maana Gani kwenye dini yenu
@@saumbliz8983Maulid Iko Kwa Qur'an? Mbona mnasherehekea?
Kwanza msidanganye watu kuwa paradise nimahali pa usima Ila Ni waiting room yakwenda mji mpia
Any prove
@@salimdaawah123 Kwa biblia hiko
Aslam alaykum warahmatullah... sasa waulize hao wakristo io roho inavaa viatu namba ngapi?
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh 😂😂😂😂
❤
Wacheni ukafiri nyinyi waislam
Wakristo ndio makafiri 1:4 yuda
Kafri siku zote ni wakrsto kwa sababu hawamjui mungu wa kweli ambaye anastaili kuabuduwa nyinyi mnaabudu binadamu baada yakuabudu Mungu wa kwli jandae i na moto siku ya mwisho
Kafiri n mtu asiyeabudu Mungu wakweli kama nyie wakirsto hamjui Mungu wanabudu mtu yesu
Acha kuropoka kama huna lakusema funga domo lko
Kafiri ni mtu asiekua na dini mwenye kuiyamini dini isiyokua ya halali kwa mungu ndio mana mwala hadi nguruwe 😂😂😂
😅😅
Niko na swali yesu alizaliwa mwezi ngani?
Haija andikwa
MashaAllah
MashaAllah