Daah wee jamaa mkariakoo mwenzangu nakupenda kama binadamu mwingine yoyote yule but sipendi hata kigodo kukuona ndani ya YANGA yetu hata kidogo. Ally Kamwe anatosha sana kwanza wewe umri wako umeisha kwenda aiseee ona aibu
oya acha kashfa kwa manara yeye ndiyo kazi iliyomwajiri na ally kamwe alikaimu baada ya kufungiwa kama hujui uliza uambiwe , ally kamwe amefanya vizuri sana apewe kazi nyingine ili awepo yanga
Manara ana uzoefu na umahiri mkubwa. Ni mtu mwenye uwezo wa kujibadili badili. Kwa mfano kuonekana Mzee na kuonekana kijana tena kijana mtukutu akaleta furaha kwenye kadamnasi. Kwa ukweli ni Mahiri sana. Huyu ana kipaji kikubwa sana. Lakini Ally Kamwe naye ni mzuri ana staili zake. Basi wote wawe pamoja tutakuwa na Klabu kubwa siyo tu kwa wachezaji bali hata wasemaji.
Jamaa wameanza kuwekeza kwenye kiki badala ya mpira. Walisema Aziz Ki hajasaini hivyo wanapambana kumbakisha wakati walikuwa wameshamsainisha mapema. Pia tuwe makini na yule chawa wao anayewatrendisha kwa habari za kutunga na kusema ni za ndaaani😅.
Umeanza kutumia mtandao lini kwani hujui mfumo wa maisha ya watanzania ni kiki??? Mara ngapi Diamond Platnumz amewaambia mashabiki zake anaoa halafu anaishia kutangazwa balozi wa Airtel
Uhamasishe ila uchunge ulimi wako huchelewi kujisahau ndgu yngu,, mfano hapo unasemaje Eti kaiza hawatoita ndo nn hpo , huoni kule ndo kujitangaza kwa timu anga za kimataifa ww vp mkuu , punguza kulipuka!
Aaah ukituliza kichwa huyu jamaaa yuko vizuuuriii mnooo mashineee ya kuongea😂😂😂
Nimefurahi sana Ally kamwe kuendelea kuwa msemaji wa jangwani.
Yanga bingwaaa 😂😂thanks . Anae bisha akufeeeeee😊
Hata jeshi tutafwatua wanayanga
Hatushindwi
YANGA oeeeeeeeeeeeee
Hongereni sana wana wa Jangwani tunawapenda sana
uko powa sana nakuelew
🎉🎉🎉 Yanga hatuna Malumbano wanaopitisha maneno ya kamwe na manara washindwe
Ushakuwa msemaji mzee tunataka vijana kizazi hiki ni Cha gz
Wewe manara ndio bora
Old is gold
Jaribu naww uone kenge mlima
Bugart karibu tena jangwan
Wananchiiiiiiiiiiii,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
The return of champion
Buggati manara namba moja duniani
❤❤❤❤❤
Kweli kabisa iyo iko sawa Ali kamwe yuko pw❤
Khaji Sande Mannara ni Afisa muhamasishaji na Ally Shabani Kamwe ni Afisa habari
Manara anaweza kuhamasisha mataahira tu.
@@MzansiDiski27 hahaha. Matahira wenzake
Pole sana kolo wizard,wivu huo@@MzansiDiski27
Tuliza kijambio@@MzansiDiski27
Tuliza boll
Hatar saana
Hiyo ndio Yanga ❤❤ yanga
Tuimzoea sn kamwe anajua sn hana panick
Bugati kama bugati ally kamwe pamoja wote waaajiwa wa yanga
Ali kamwe awe msemaji huyo manara,hafaiii
Yanga wakimuacha kamwe wamebugi bugati kashapoteza mvuto
Hata wewe umeona ee
kama ni nzuri fanya wewe
kenge maji
Daah wee jamaa mkariakoo mwenzangu nakupenda kama binadamu mwingine yoyote yule but sipendi hata kigodo kukuona ndani ya YANGA yetu hata kidogo.
Ally Kamwe anatosha sana kwanza wewe umri wako umeisha kwenda aiseee ona aibu
Kila mtu amesimama kweny cheo chake.. unataka ukienda hela ukirud mke hawez kuw wako?
Kila wakati na zama zake hizi zama za ally kamwe huu usemaji wa kupayuka payuka umeshapita tyr
Nane shekh
Mmecheza na kikosi cha watoto wadogo wa Kaizer chiefs
Hiyo ndio Yanga ❤❤ naipenda mpaka naumwa
Kama umeona pua kama matundu ya choo like hapa
Pua zako kama za kiboko!!! Acha kutukana wewe ndo umemuumba😣😣
Huyu ndio mtu nilikuwa namsubiri mnoo..arudi kwenye hili soka letu sasa baasiii..mmekwishaaa..😂😂😂🙌🙌
Kaisha nan?
Mashine ya kuongea hiyoo😂
Namkubali sana huyu jamaa akiamia timu yoyote na Mimi ni bendera fuata upepo
oya acha kashfa kwa manara yeye ndiyo kazi iliyomwajiri na ally kamwe alikaimu baada ya kufungiwa kama hujui uliza uambiwe , ally kamwe amefanya vizuri sana apewe kazi nyingine ili awepo yanga
Upo sahihi manara n shida
Young mabingwa tenaa 2:21
Haji manara una hekima sana 👍🏽💚💛
Mr.Manara,Hammjui sawasawa,HUYU HAAMINIKI,Mwaka 2025 Atarudi Simba tena.PERIOD.
Manara ana uzoefu na umahiri mkubwa. Ni mtu mwenye uwezo wa kujibadili badili. Kwa mfano kuonekana Mzee na kuonekana kijana tena kijana mtukutu akaleta furaha kwenye kadamnasi. Kwa ukweli ni Mahiri sana. Huyu ana kipaji kikubwa sana. Lakini Ally Kamwe naye ni mzuri ana staili zake. Basi wote wawe pamoja tutakuwa na Klabu kubwa siyo tu kwa wachezaji bali hata wasemaji.
❤❤❤❤❤❤
Manara hii ni karama yake.
Manala hongela sana unaju kuhamasisha
😊😊
Wote awa wanashindana na mtu mmoja au basi
Karibu tena Bughat...
Yanga inaendelea kushinda
Ulikurupuka Serena hotel. Sasa mabosi wamekuambia karekebishe makohozi uliyoyatema
Kwakweli Haji huwa anaongea vizuri kuliko Ali
Professor
Professional
Manara atafutiwe kazi nyingine ndani ya yanga,saiz amwachie dogo kamwe aendeleze alipoishia
Tunawapenda wote sisi sio wanafiki yanga ya upendo
Acha stori nyingi maelezo marefu
Nakushauri uende kigoma Mzee wako alikotoka kwa manyema ulime mpira huwezi waachie vijana tafuta kazi nyingine
😂😂😂😂wivu tuu
Ni shidaaaaaaaa
Ali kamwe ni bora kuliko manara
uongo huo uongo huo
Kila mtu ana Karama yake!
Yanga waanzishe kurugenzi ya wanachama/wanachama/wapenzi, na iongozwe na haji manara. Usemaji wa mambo timu abaki Ally kamwe
Big team
Nashauri .... jitahidi kutulia kwenye kiti. Too much swinging unaharibu concentration ya wasikilizaji
Arrbaah. Bin. Sufuurr
Unazeeka vibaya we mzee
Ha ha h..yanga..raha sanaaaaa
KAMA ALI KAMWE HAYUPO HATUJI
Inshallah kwa uwezo wake rabuka tutafika huko
😂😂😂mzee wa madem huyo
Mi namkubari manara jamaa hatarii uyu
Mwenye anaweza kunipa utofauti wa cheo cha manara na ally kamwe anieleweshe
Msemaji namba moja na namba mbili
Mhamasishaji wa mashabiki/wanachama/wapenzi na msemaji wa team
AK is No1
Ipo hivi ali ni boss wa marala ali ni afisa habari afu manaravni afisa muhamasishaji ko atalipoti kwa all shsban komwe
Mbna hamuhoji kuhusu zaka zakazi na hashim ibwe
Upo vizuri Hajjy Sunday Manara.
Jamaa wameanza kuwekeza kwenye kiki badala ya mpira. Walisema Aziz Ki hajasaini hivyo wanapambana kumbakisha wakati walikuwa wameshamsainisha mapema. Pia tuwe makini na yule chawa wao anayewatrendisha kwa habari za kutunga na kusema ni za ndaaani😅.
Umeanza kutumia mtandao lini kwani hujui mfumo wa maisha ya watanzania ni kiki??? Mara ngapi Diamond Platnumz amewaambia mashabiki zake anaoa halafu anaishia kutangazwa balozi wa Airtel
@@stevenobure8241upuuzi.....hilo ndio anguko la yanga😂
Yanga inanikuna kunako
Waje BAYERN MUNICH
Wewe ni chavichavi
We rudi simba umeanza kumuchokonoa ally kamwe wetu
Macho km gololi😂😂😅😅😅😅kwendra huna jipya mzee wa kupanic
Acha kumchukia mtu pasipo kua na sababu
mnafiki
Manara arudi itakuwa poa sanaaa
😂😂😂😂utopolo bwana cjawahi ona timu linawasemaji wawili😅😅😅😅😅😅😅😅
Unda ya kwako
We ni bwege kweli Azam Ina wangapi unavosema hujawahi kuona Zaka na Ibwe si wasemaji wa Azam au hulijui tukufundishe
Mmechemka mmetafta kibonde hamna lolote...
haji manala ni influencer na ally kamwe ni msemaji
Bukati kama.Bukati msemaji Afrika
Nilidhan kombe kumbe kikombe😂😂😂
Maneno umemaliz simba huna la kuongea muachie mwenyewe kamwe kitu chke uto ww
Kabisa
aweee Tena IPO nayo sawa kaka
Sàsa kama waliwaita waandishi why wasiwaulize maswali? Hakukua na ulazima wa kuwaita hao waandishi
umepoteza muelekeo manara😂😂
Kwahyo hapo anaongelea mapishi ama yupo chooni kama kweli amepoteza muelekeo?? Je ww ulishawah kuwepo hapo alipo?
Kaizer amesha potea ndiyo anajitafta kurudisha makali yake nafasi ya 10 msim uliopita wamedrop sana
❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tunamuitaj Ali kamwe ndo awe msemaj wetu
acha kutembelea nyota ya ally kamwe
Muludishe dogo kamwe Hilo
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
NJAA MBAYA
Huna jipya mzee retire upishe watoto waendeleze gurudumu
Mimi yanga damu awe Ali kamwe au Dila Boss Bugatti wote vyuma
🎉🎉🎉
wanachama wanamsikiliza mwana chawa manara huko hutakiwi wala hawakuelewi mwachie ally kamwe mtoto huyo usimtoe roho baba acha kupanda gari la watoto
Haji nakukubali sana… unaongea kwa mpangilio 🎉
Yanga ni tanuru acheni wafanye kazi
Kamwe mbona hajielewi jamani
Du hii NI dhambi
Hi
Kwa hiyo yeye ni Nani?
Kiti ndo kinazuguka au mara ndo anazungusha
Naona Leo hajaja na twiga
manara ulichanganya ushabiki wa simba na ajira simba , ulivyo nyimwa kazi simba ukaacha ushabiki hahahahahahaaaaaaaa nikwambie ukweli yanga hatukutaki huna jipya eng-hersi aachane na huyu yanga ipo vizuri sana huyu hatumtakiiiiiiiiiiii
Unamlipa wewe?
Napenda haji akiongea
sasa kama ali kamwe ni Msemaji na Afsa Habari wewe hapo upo unafanya kazi gani na ni kama Nani,?
Huna kazi yakufanya hpa mjini mdomo ndy kula yako,vaa yako na kila kitu hvyo sion taabu au kero
Uhamasishe ila uchunge ulimi wako huchelewi kujisahau ndgu yngu,, mfano hapo unasemaje
Eti kaiza hawatoita ndo nn hpo , huoni kule ndo kujitangaza kwa timu anga za kimataifa ww vp mkuu , punguza kulipuka!
HATAKIWI ANANG ANG ANIZA BAFASI ATA ISIYOKUWEPO YANGA....
ATAKUWA MC TU HABARI TUNAZO
afu Haj hamasa zako ebu zswe tu za kwenye kiti jarbun kujchanganya kama kamwe ingependeza
Manara bhn linajua
Awo kaizer wangekutana na mnyamaa jana wangekula tisa msijipe moyo utakimbia wandishi cku iyo 8:44
Umesahau mlipigwa 4 kwa 0 nahao kaizer chiefs