Vunja mbavu! 🤣 Baba wa Taifa Nyerere alivyowachana CCM! 🤣
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.พ. 2023
- Mwaka 1995, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliita mkutano wa waandishi wa habari na kuzungumzia hatma ya nchi ikiwemo ya uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi! Hakumungunya maneno! Msikilize ucheke!
Mzee umetuachia janga huku, watoto wako wanauza nchi😢
Hapa ccm jifunzeni kusema ukweli na uwazi huyu alikuwa muhasisi kweli kweli.
Pumziika hutawahi sahulika maana Sera ZAKO hazikuwa Siri.
R.I.P Baba,
Kweli kabisa ni ujumbe mzuri 2025
Kiongozi waukweli mwalimu mungu akulelemu nchi imeuzwa
Nilimpenda huyu baba mpaka leo yaani utacheka mpaka
Wazanzibar hatusamehe
R.i.p baba
Huyu mzee katuangamiza na ccm, alishajua ccm ni majambzai
Ukristo uliutetea sana wazanzibar umetufukarisha
Mh
The ka man was too clever. No wonder he kept Tanzanian primitive for decades. Eti mwalimu ni nabii. After watching cnn all night, then in the morning he announces on radio TZ .kkkkkkkk
Alikuwa anasema ukweli hata kama unahusu CCM
Siri ili watuibie
mna uhakika ni jinsia moja au kuropoka tu. kutaka Sauti zenu zisizoeleweka zisikike kwa habari zenu zisizo na uhakika. ni mwanza au Geita. Nachukia baadhi ya wanahabari msojua ethics ya kazi. kuropoka ovyo tu. mnatukose sana. hii ndo maana Hayati JPM aliwakataza
Katie watu umasikini miaka 24 sukari unga foleni naunalazimishwa kipande cha sabuni buni ndio uuziwe sukari kilo moja na unga kilo moja
IVI CCM HAWAJIFUNZ KWAUYU MZEE
Na wewe ndio ulikua hukubali vyama vingi
Huna unachokijua ndugu, kabla ya vyama vingi kuidhinishwa mwaka 1992 ilifanyika kura ya maoni kwa wananchi wakaulizwa kama wanataka vyama vingi au mfumo wa chama kimoja uendelee. Asilimia 80% walikataa na asilimia 20% ndiyo walitaka vyama vingi. Huyu mzee ndiye alisema hawa wachache waliokubali vyama vingi wasikilizwe. Kuanzia hapo vyama vingi vikaruhusiwa nchini hata kama waliokubali walikuwa wachache.
@@alexmnunduma9276Kweli hana anachokiongea kbs maana huyu mzee angesema akae madarakani miaka yote adi mwisho wa maisha yake kama MUSEVENI au KAGAME ingewezekana sana tu lkn alitoa fulsa kwa wananchi kwa kuitisha vyama vingi ili wachague kiongozi wanaemtaka
Asante Kwa kutusaidia jambo
Allah akupunguzie adhabu ya kaburi
Kafiri makazi yake jahanam tuu
@@alisaidabdallah1480 Allah Ndio Mtoa hukumu Sisi hatujui Na tumekatazwa kumkadiriaa Mtu Hivyo hata kama Ila Allah Ndio Anajua sisi ni kumuombea tuu
@@jamilashabani8580 ww mgojwa wa Akili hata dini yako huijuwi nenda madrasa ukasome Dio ujuwee kafiri makazi yake ni motoni tuu na chakula chake ni usaha na damu za moto ya makafiri wenzake tuu
@@alisaidabdallah1480 Hata kama motoni Allah anakataa kumuhuku Binadamu mwenzio hali hujui amali zake jee kama makazi yake motoni
akiwa mbele yako waweza muambia Maneno hayo unayo yaandika kiwa kafiri makazi yako motoni au wasema ⁷bu hayupo na hakuoni Ndio waweza sema hivyo
nenda kwa mkristo mmoja kamuambie Hayo Maneno yako kuwa makazi yako ni motoni kama una weza
Ndio ujee Useme Mimi ni Mgonjwa wa Akili
kuongea ni Rahisi ila kutenda ni Nguvu
Kaburini hakuna adhabu wewe, hadi kiama