Anaongelea kuhusu ukubwa wa timu yake na uwezo wa mchezaji na angekuja yanga angenolewa kwanza kabla ya kucheza mechi hata za kirafiki acheni kuweka kauli na maana zisizofaa je hapo mnajenga au mnabomoa na mwenye hasara si mjukuu wenu ni mchezaji mwenyewe je alivyosema dili la yanga halikua na ISHU mlilichukuliaje? Acheni unyambi mchongo kabisa
Ukivuliwa nguo chutama, timu X ishajikanyaga na imevuliwa nguo ichutame tu yaishe, ila hyo kanuni ya hcho wanachoomba timu X sijui ipo wap..? Na pia hyo dhamana ya ku demand hcho kitu kwa mchezaji wa timu nyingine inatoka wap ? Na kwa nani..? Ila anyway tusubir
Mpira unachezwa kikanuni , sio kibusara au kiungwana au kwa utashi wa mtu , kanuni zifatwe mwenye haki apewe na shauri lisitolewe huko kwenye mamlaka husika
kama Kagoma hana uwezo wa kuchezea Yanga, Mbona anachazea Simba? Katika ranks, Simba ipo juu sana ukilinganisha na hiyo yanga ( 7th against 13th) au ndiyo yale yale ya kuwa huku Ni mihogo, na wenye akili hawazidi wawili??
Mnakula mb Bure Kila siku acheni ujinga wenu
Ally kwamwe anazingua sana ana kauli za kitoto
Kione wivu umemja kinazeeka kwa unafiki cheki falawewe ngoja ungoke hapo utatembea uchi
Jina lake inawezekana lina fanana na tabia yake.
Anaongelea kuhusu ukubwa wa timu yake na uwezo wa mchezaji na angekuja yanga angenolewa kwanza kabla ya kucheza mechi hata za kirafiki acheni kuweka kauli na maana zisizofaa je hapo mnajenga au mnabomoa na mwenye hasara si mjukuu wenu ni mchezaji mwenyewe je alivyosema dili la yanga halikua na ISHU mlilichukuliaje? Acheni unyambi mchongo kabisa
Viongozi wa Fountain Gate wanawajua yanga? Kama hawa wajui, ina maana mlimsajili mchezaji mwenye mkataba, ambapo ni kosa.
Ukivuliwa nguo chutama, timu X ishajikanyaga na imevuliwa nguo ichutame tu yaishe, ila hyo kanuni ya hcho wanachoomba timu X sijui ipo wap..? Na pia hyo dhamana ya ku demand hcho kitu kwa mchezaji wa timu nyingine inatoka wap ? Na kwa nani..? Ila anyway tusubir
Mpira unachezwa kikanuni , sio kibusara au kiungwana au kwa utashi wa mtu , kanuni zifatwe mwenye haki apewe na shauri lisitolewe huko kwenye mamlaka husika
kama Kagoma hana uwezo wa kuchezea Yanga, Mbona anachazea Simba?
Katika ranks, Simba ipo juu sana ukilinganisha na hiyo yanga ( 7th against 13th) au ndiyo yale yale ya kuwa huku Ni mihogo, na wenye akili hawazidi wawili??
Kama sio level ya Yanga tulimtaka wa nini? Tuseme tukiweka akiba ya maneno.
8:58 kama Yanga hawatambuliki, kwanini kagoma kasimamishwa asicheze?