IGP WAMBURA NA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI MHE MASAUNI WANAPASWA KUJIUZULU - HASHIM RUNGWE..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 20

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 2 หลายเดือนก่อน

    Mzeeee kajilipua kweli hongera sana mzeeeeee 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @btechie04
    @btechie04 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hii nchi hakuna uwajibikaji kabisa

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen 2 หลายเดือนก่อน

    🙌🙌🙌🙌🙌Ajiuzuluuu wanaficha machafu sana polisi sasa hivi ni hatari kwa jamiii 😭😭😭😭Katiba mpya Tunahitaji kuondoa hawa polisi wahalifu wako wengi sana .✊🏾✊🏾✊🏾✌️✌️✌️✍🏽

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 2 หลายเดือนก่อน

    Mr Rungwe🎉

  • @shaabanmohammed2611
    @shaabanmohammed2611 2 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli kabisa Wizara ya mambo ya ndani imefeli. Viongozi wake wanapaswa kuwajibika. Wananchi wengi hawana imani na Jeshi la Polisi. Ukatili na majibu ya kuvunja moyo yanaongezeka. Ufanisi katika kupambana na utekaji wa Raia umeongezeka. Ikiwa kufeli kwa NHIF kumemgharimu Mhe Ummy halkadhalika kufeli kwa Uwajibikaji wa Jeshi la Polisi inatosha kwa Mhe Masauni kujiuzulu

  • @Patrick-w1j
    @Patrick-w1j 2 หลายเดือนก่อน +4

    Waziri wa mambo ya ndani anatakiwa awe kutoka bara hawa wazanzibar wapo nyoronyoro sana

    • @shaabanmohammed2611
      @shaabanmohammed2611 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa taarifa yako Mhe Masauni Asili yake ni Bara. IGP ni Mtu wa Barabara. Sasa what's your point? Acha Ubaguzi na chuki za kijinga

  • @tumainimayala8187
    @tumainimayala8187 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo Masauni amewekwa hapo na dadake ili kutesa watanganyika

  • @Ba63828
    @Ba63828 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ni kujiuzulu tu akiwemo Waziri wa Mambo ya Ndani na IGP

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kama huyu waziri wa mambo ya ndani ni mzigo wa misumari..

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 2 หลายเดือนก่อน +2

      Mimi sijawahi kumuelewa Kwa chochote aise,akiongea ni kama hataki vile,yani mm

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 2 หลายเดือนก่อน

    Mbongo ukitaka kumfutahisha mwambie wewe ulikuwa hujazaliwa ao ulikuwa mtoto basi apo atafurahiya sana

  • @farajisureman9925
    @farajisureman9925 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wasioona shida ya kuziuzuru Mh.Rais awang'oe tu.Natena waambie wamekuwa hawatoshi basi.Kama Hatai Mwinyi alijiuzuru,sisi ni nani tubembelezwe

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 2 หลายเดือนก่อน

    Sijuwagi majukumu ya huyo waziri

  • @GeorgeElias-p5o
    @GeorgeElias-p5o 2 หลายเดือนก่อน

    Nchi ngumu sana hii

  • @mvullamanase
    @mvullamanase 2 หลายเดือนก่อน

    Inasikitisha kuona Wanao Tazamwa kama ndio Walinda Amani , Hawastuki kwa lolote, Mambo yamekua nimengi sana. Na wakiendelea Hvi Hii Nchi tutaiokotea Kwenye Mitaro

  • @mjemamjema9695
    @mjemamjema9695 2 หลายเดือนก่อน +3

    MNAPITA PEMBENI. RAIS AWAWAJIBISHE. ASINGOJE WAO WAAMUE. POLISI WAMAKUWA MAADUI WA HAKI.

  • @fxmeddy9567
    @fxmeddy9567 2 หลายเดือนก่อน +1

    Rais ni BOM

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy 2 หลายเดือนก่อน

    Masauni unaona sasa unatutukanisha wa Zanzibar wote tuko nyoro nyoro toa uamuzi wa maana

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 Poleni sana Ndugu zangu Wazanzibar