ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
1:10 NAMUONA YULE MWALIMU WA MWANZA SEC.
Anaitwa nani?
Bara bara ya rwegasore, pamba na miti mirefu pia Nasser road na station road baada ya hapo tupeleke makongoro, balewa na machemba tulioko mbali tutakushukru mno
Tumepokea maoni yako, ahsante
Tanzania mzuri Sana kweli
Sana
Kabisa
pazuri kwa biashara
Najivunia jiji langu piah najivunia kuwa msukuma
Pamoja sana
Ukabila? Haina maana kwa sasa. Be careful
Onyesha barabara ya barewa kwenda isamilo pamoja na kapripoint
Sawa. Hivi karibuni utaiona
aksante sana mimi ni alain apa Drc, na taka kufahamu vuzuru Buswelu nini
Buswelu ni mji mdogo katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza. Ilemela ni moja ya Manispaa katika Jiji la Mwanza.
Barikiwa sana ndugu nimepaona mwanza duh.
Karibu sana Mwanza
@@BMGOnlineTV pazuri sana
Jamani kumbe mbeya ni jiji lenye nagari mengi baada ya daresaalam mbona mwanza kwenyewe magari ni ya kuhesabu?
Siku za wikendi hakuna jam Mwanza ndo maana watu wanapenda Mwanza maana haina karaha za barabarani
unaijua mwanza wewe mbeya ilinganishe na kigoma huko
Mbeya yenye barabara moja ndo ulinganishe na mwanza???
Maeneo ya ilemela itapendeza sana
Ahsante, nitafanyia kazi
Pia tutazidi kukuomba baadhi ya maeneo ukituonyesha haya
Sawa, nitafanya hivyo
1:10 NAMUONA YULE MWALIMU WA MWANZA SEC.
Anaitwa nani?
Bara bara ya rwegasore, pamba na miti mirefu pia Nasser road na station road baada ya hapo tupeleke makongoro, balewa na machemba tulioko mbali tutakushukru mno
Tumepokea maoni yako, ahsante
Tanzania mzuri Sana kweli
Sana
Tanzania mzuri Sana kweli
Kabisa
pazuri kwa biashara
Najivunia jiji langu piah najivunia kuwa msukuma
Pamoja sana
Ukabila? Haina maana kwa sasa. Be careful
Onyesha barabara ya barewa kwenda isamilo pamoja na kapripoint
Sawa. Hivi karibuni utaiona
aksante sana mimi ni alain apa Drc, na taka kufahamu vuzuru Buswelu nini
Buswelu ni mji mdogo katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza. Ilemela ni moja ya Manispaa katika Jiji la Mwanza.
Barikiwa sana ndugu nimepaona mwanza duh.
Karibu sana Mwanza
@@BMGOnlineTV pazuri sana
Jamani kumbe mbeya ni jiji lenye nagari mengi baada ya daresaalam mbona mwanza kwenyewe magari ni ya kuhesabu?
Siku za wikendi hakuna jam Mwanza ndo maana watu wanapenda Mwanza maana haina karaha za barabarani
unaijua mwanza wewe mbeya ilinganishe na kigoma huko
Mbeya yenye barabara moja ndo ulinganishe na mwanza???
Maeneo ya ilemela itapendeza sana
Ahsante, nitafanyia kazi
Pia tutazidi kukuomba baadhi ya maeneo ukituonyesha haya
Sawa, nitafanya hivyo