Musoma town tour (Mara Region)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 พ.ค. 2022
  • Remember to subscribe to my channel for more videos

ความคิดเห็น • 38

  • @AbnerTukiko
    @AbnerTukiko 2 หลายเดือนก่อน +2

    Umenikumbusha nyumbani barikiwa sana

  • @josephkiratyimkiraty
    @josephkiratyimkiraty หลายเดือนก่อน +2

    Kumusoma Ni neno la Kikabwa Lenye maana ya eneo la maji lililoingia kwenye maji {Musoma}

  • @khadijasalum5666
    @khadijasalum5666 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nyumbani 😢 nimepamiss mitaa ya unhindini, mwigobero ziwani thank you!

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i 12 วันที่ผ่านมา

    Kwetu pazuri sana, nimepakumbuka nyumbani.❤❤

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo17 10 หลายเดือนก่อน +1

    Makabila Musoma ni Wakwaya, waluli na wajita haya makabila yanatumia lugha moja . Wakurya wapo wilaya ya Tarime.

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i 12 วันที่ผ่านมา

    Barabarani pana sana.

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo17 10 หลายเดือนก่อน +1

    Umezingua sana eti kabila Musoma ni wakurya Aisee makabila ya Musoma ni Wakwaya Musoma mjini na Wajita musoma vijijini wakurya wapo wilaya ya Tarime

  • @stephenodongo8873
    @stephenodongo8873 ปีที่แล้ว +2

    Dahhh Nyumbani mtaa wetu wa Mkendo na shule yangu ya msingi Mwembeni, tour safi sana .
    Ila wenyeji wa musoma ni Kabila la wakwaya, na neno Musoma ni neno la Kikwaya Omusoma. Shukrani sana kazi nzuri sanaaa.

    • @godlove20
      @godlove20  ปีที่แล้ว

      Shukrani sana Kaka.
      Asante sana

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante sana kwa video nzuri. Mungu aendelee kukubariki mkuu🙏

    • @godlove20
      @godlove20  ปีที่แล้ว

      Asante sana mkuu. Shukrani sana

  • @nsumbaboy3549
    @nsumbaboy3549 ปีที่แล้ว +1

    ASANTE sana my brother nimeiyona musoma japo kuwa mimi nyumban serengeti nilikua sijawahi kufika ila kwa sasa nipo kahama mjini

  • @zuuhvannyzuuhvanny6425
    @zuuhvannyzuuhvanny6425 ปีที่แล้ว +1

    Laka kwetu uko nashukulu sana

  • @saidsalum2511
    @saidsalum2511 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana brother,napendekeza uwe unafanya interview japo kwa kifupi na wakazi wa miji na maeneo unayotembelea.Kila kheri.

    • @godlove20
      @godlove20  2 ปีที่แล้ว +1

      Nashukuru sana kaka. Nataka nianze kufanya hiyo kitu. pia nataka niwe nafanya na watu wenye biashara mbalimbali ili kuwafungua watu fursa mbalimbali za biashara zilizopo maeneo mbalimbali

  • @lewismuganyizi2692
    @lewismuganyizi2692 2 ปีที่แล้ว +1

    Naomba safari ya kutoka mwanza kwenda Bukoba nitashukuru

    • @godlove20
      @godlove20  2 ปีที่แล้ว

      Nitajitahidi kaka..shukrani sana

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 ปีที่แล้ว

    Godlove upo vizuri kaka napenda sana clips zako, karibu shy town utuonyeshe na wao

    • @godlove20
      @godlove20  ปีที่แล้ว

      Shukrani sana kaka.
      Asante sana kaka

  • @rommelmauma8081
    @rommelmauma8081 ปีที่แล้ว

    Wenyejiasilia wa Musoma si Wakuria/"Wakurya". Mji wa Musoma umo katika eneo la Wakwaya / Waruri. kabla ya uhuru, Musoma ulikuwa ni Makao Makuu ya South Mara District Council. Tarime ulikuwa ni makao makuu ya North Mara District Council - wilaya ya Wakuria na wengineo.
    Neno "omusoma" si la Wakuria/"Wakurya" tu. Ni neo la kawaida, yaani, lina sawa kwa Wajita na Wakwaya / Waruri, nk.

    • @nyambwirasam5896
      @nyambwirasam5896 11 หลายเดือนก่อน

      Wenyeji wa Musoma siyo Wakurya . Wakurya Tarime uko. Musoma wajita, wakwaya, waruri, wakabwa na wasimbiti wa pale kines. Wakurya wa kuja tu kutoka Tarime na Serengeti.

  • @didimusirakoko9437
    @didimusirakoko9437 ปีที่แล้ว

    Mwandishi usipotoshe musoma asili ni neno limetokana na neno la kikwaya ku msoma, eneo la nchi kavu lililoingia majni kama ilivyo old custom.Rekebisha.

  • @zuuhvannyzuuhvanny6425
    @zuuhvannyzuuhvanny6425 ปีที่แล้ว +1

    Kaka kwetu uko

  • @musiradam4445
    @musiradam4445 2 ปีที่แล้ว

    tunakuombea uzima kaka godlove m.

    • @godlove20
      @godlove20  2 ปีที่แล้ว

      Amen kaka..nashukuru Sana kaka

  • @mwarikimwariki2653
    @mwarikimwariki2653 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @rachelmrema5617
    @rachelmrema5617 ปีที่แล้ว

    Mungu akusaidie😍🙏

    • @godlove20
      @godlove20  ปีที่แล้ว

      Asante sana 🙏

  • @musiradam4445
    @musiradam4445 2 ปีที่แล้ว

    asante sana kaka godlove m.

    • @godlove20
      @godlove20  2 ปีที่แล้ว

      Asante sana kaka. Nashukuru sana kaka

  • @shedidamiani9611
    @shedidamiani9611 ปีที่แล้ว

    Kwe 2 musom✋✋

    • @godlove20
      @godlove20  ปีที่แล้ว

      Pamoja sana kaka

  • @lawestmganga-jf2fw
    @lawestmganga-jf2fw ปีที่แล้ว

    Musoma haitokani na neno la Kikurya.
    Musoma maana yake ni Rasi (sehemu ya nchi kavu inayoingia majini). Chanzo chake ni kutoka kabila la Kikwaya (Omusoma).

    • @godlove20
      @godlove20  ปีที่แล้ว

      Thank you

    • @user-gv8yn9lg1i
      @user-gv8yn9lg1i 12 วันที่ผ่านมา

      Uko sahihi... Musoma si jina la Wakurya, wakurya waliishi Tarime na Serengeti.

    • @user-gv8yn9lg1i
      @user-gv8yn9lg1i 12 วันที่ผ่านมา

      Musoma ni jina la Wakwaya na Waruri.