Milion 40 kwa mwez makato ya selikal msann mwengine ajitokez asema na yy anakatwa ngap na selikal alaf huyu unatak kumlinganisha na mambonde kuinama pumbavj kabisa love you wcb wasasafi
@@zenamadhan2517 yaaah unafikil maaana wanatusumbua sana kila kamsanii kakizuka nan bor kat ya platnumz na utopolo bas wawe wanajitokeza na kusema nalipia kod kubwa kuliko wot ndio tuanza sas kuawalinganisha
Star wamastar Simba babalao Africa anaepinga nimshamba yuko full kotekote kuimba kuvaa kuongea kucheza hivi ndio msanii anavotakiwa,msanii wangu wa ulaya ni Criss brown na wa Africa ni Diamond wanafanana kilakitu cha ndani yausanii inavotakiwa Zuchu ww nimkali wawakali dalili zinaonesha tu+254
Kweli nampenda sana nure diomond kwa ukarimu wake na ananyopenda wenzie na hana madharau mm niliakikosha kwa yule mtoto wakoume km yeye mond ashawahi ongea na ye lakini watu wengine km mbosso aliniumiza moyo wangu kwakumpuuza siku nyingi mdogo wake
Ebwana mondi hongera kwako kwa kuweza kutuwekea mwanamuzi mpya mwenye talent sana hivo pia nasema big up kwa zuchu me namwambia kwa sasa ameshapata fursa hivo asiichee akaze buti ili kazi iendeleee mbele
Simba huko mbeleni lazima amle zuchu hawezi kuacha mtoto mdogo mbichi chuchu zimesimama kifuani kama mwiba uwiii diamond hana uzembe huo, ni swala la muda tu nipo pale nimekaa diamond lazima atamla zuchu yan hii ni lazima, huko mbeleni diamond atamla zuchu.
Muoe basi zuchu na utuliye simba, kumba kuna ugonjwa wa ukimwi, oa na utuliye sasa, mbona wa sanii wa America wako na MARRIED na wanatulia na famillia zao 😥😥😥😥😥😥
3yrs ...... you were scared Zuchu must not find a guy who will play her.......and you knew you were the one going to play her.......she has been a supportive and faithful partner...now you tell your mum you are playing with her
Mungu hawezi pokea dua ya kutafuta riziki kwa ngoma na ujue anataka kuabudiwa c kusikiza ngoma kwa Club ama burudani kumsahaulisha mola ww ni muislamu aina gani unajiita muislamu
Mwenye mziki wake likes zakutosha kwake 😁😁👊
Zuchu dili daimond ni mzee WA fursa na kuinua vipaji
Huyu ndo simba bna anapendwa na watu alafu hana mazarau nampenda😍😍😍😍
Zuchu is an extraordinary vocalist indeed!🔥🔥🔥🙌😍😍😍😭
Alie sikia nizime kelele gonga like twende sawa 😀😀
Simba mwenyewe niachie goma nizime kelele
Na anawazima kweli kweli
Daah nimemkumbuka Sana OMAR KOPA Mpaka Machozi yananitoka
Daah Kweli hii family ni Noma
Boot la jeje nipo hapa
Go go go go go go go zuchu..
God bless you endless
Milion 40 kwa mwez makato ya selikal msann mwengine ajitokez asema na yy anakatwa ngap na selikal alaf huyu unatak kumlinganisha na mambonde kuinama pumbavj kabisa love you wcb wasasafi
Hahaaaa
@@zenamadhan2517 yaaah unafikil maaana wanatusumbua sana kila kamsanii kakizuka nan bor kat ya platnumz na utopolo bas wawe wanajitokeza na kusema nalipia kod kubwa kuliko wot ndio tuanza sas kuawalinganisha
Milioni 480 kwa mwaka ndio maana magufuli alikuita mwanaume kumbe alichungulia TRA
😂😂😂😂
C o 480 sema c o chini ya 480 kwa mwaka Mond baba lao
😲😂😂
hahahahahahh....... umeonaee!!!
Kweeeli aiseee
Diamond anaakili xana Masha Allah akilenga k2 bx ujuwe kitabutuwa tu 🔥🔥🔥🔥🔥➡🌎🌎🌎🌎💪💪💪💪
♥️♥️♥️♥️monde🙏🙏🙏 kwakuwa na moyo wakipekee, majangili watanyoka tu
Simba tumecheza tayar Jeje tutarajie ngoma gani tena mimi huwa na following...sana mzki wako...from 254....!🔥🔥🔥🔥🔥👌👌
Kweli Mondi unajua kuwazima 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Interview za mwamba uyu Ni zaidi ya ngoma za wasaniiii wengi Sana
Milioni 40 kila mwszi lazima uheshimiwe
Diamond mungu akuweke sana ww n mtanzania halisi
Msani Wang Bora dunian ni diamond Platnumz pamoj na msani Wang Bora wa kike zuchu
Who can't wait for Diamond Platnumz Ft Zuchu to be release ???( in da future)
This comment aged well
Star wamastar Simba babalao Africa anaepinga nimshamba yuko full kotekote kuimba kuvaa kuongea kucheza hivi ndio msanii anavotakiwa,msanii wangu wa ulaya ni Criss brown na wa Africa ni Diamond wanafanana kilakitu cha ndani yausanii inavotakiwa Zuchu ww nimkali wawakali dalili zinaonesha tu+254
ONCE A LION ALWAYS LION
Very Nice- WCB and cio Mond platnumz' Gd SimbA' Zuchu.
jamani m'mependeza sn jamani napia ZUCHU lazma yani lazma atawafunika wengi sn 😁
Diamond uko Na moyo wa kipekeee, God bless you my Broo
Kweli nampenda sana nure diomond kwa ukarimu wake na ananyopenda wenzie na hana madharau mm niliakikosha kwa yule mtoto wakoume km yeye mond ashawahi ongea na ye lakini watu wengine km mbosso aliniumiza moyo wangu kwakumpuuza siku nyingi mdogo wake
Ebwana mondi hongera kwako kwa kuweza kutuwekea mwanamuzi mpya mwenye talent sana hivo pia nasema big up kwa zuchu me namwambia kwa sasa ameshapata fursa hivo asiichee akaze buti ili kazi iendeleee mbele
Ningepata nafasi ningeshauri wimbo wa "wana "mbosso ndio awe video king mana ingekuwa bab kubwa zaid
Simba huko mbeleni lazima amle zuchu hawezi kuacha mtoto mdogo mbichi chuchu zimesimama kifuani kama mwiba uwiii diamond hana uzembe huo, ni swala la muda tu nipo pale nimekaa diamond lazima atamla zuchu yan hii ni lazima, huko mbeleni diamond atamla zuchu.
Wasafi daima
Kellele
Ya kwanza kwa simba wewewewewe
Boss mungu akuzidishie roho ya upendo na ndio maana mungu anakupa kila siku huna roho mbaya
Diamond anjuwa kutafuta content ya hii channel 👏👏👏
Salute kwa SIMBAAAAAA AISE uyu mtu Mungu katupatia zawadi.....🤙🤙🤙
The. Best artist female
Wasafi chama lao haya twende kisambukile sambamba moja mbili inabamba inogile inatamba eeeh ebu pasuka musambaaaaa 😘😘😘😘😘
Twahabu iddy..wataweza kweli?
@@abdillahimahamed1814 aaa wapi!
Kushindana nasii???
Aahhh wataweza kweli
@@iammusic3404 Aaah wapi
@@zenamadhan2517 kushindana nasi awapi
Mtangazaji lazima ajifunze kiswahili. Acha kiingereza !
Umoja 😂👌
Unazani wote wanao fatilia wanajua kiswahili?
Huyo anaongea kingelecha sio kingereza
Umoja saiv dunia Kama kijiji kina beyonce nao wanafuatilia
Anayesoma naye pia lazima ajifunze kiingereza
Show bomba I the golden voices
Bigiii nakubaliiii
Wcb is a real Bss sio madam ritha mwizi.
Hemed Abdullah haahahahha
🙄🙄🙄😅😅😅😅😅
Simba Chibuu🙌🙌🙌🙌🙌Nakubali sana WCB Fore life
##
Kim's B Papa
Nouma sana
Simbaaaa... "Mzima kelele za bongo"
Simba bana ,nimecha sana kumbe wewe wimbo wako tu unazima kelele zilizopo ahahah nimekubali mzee baba
Dada mtangazaji you are a very smart lady but your makeup🙊🤦♀️
Uyo ndo simba na buti la jeje
Diamond mungu akubaliki kwa kuinua jipaji vya watu 🙏🙏
Na Kweli unazizimaga Kweli Kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ZUCHU WANGU❤❤😙😍
umetishaaaa simba
Mwenye mzik wake simba 🦁
Chibu bhana eti niachie nyimbo nizime kelele😂 Mr misafa
Munira Ahmed yah uyo ndo simba
Sio misafa ni misifa😀😀😀😀
Sio misafa ni misifa😀😀😀😀
Mmh Munira kila kona ya youtube umejaa nakuona hahahahaha
@@sebastianmusira3060 we nawe mmbea mi hunioni au 🤣🤣🏃
Diamond hongera ila mtangazaji anatukwaza mavazi ayana maadili kumbuka tunaangalia na watoto ajirekebishe .
Ndio mzee
Nasemajee mwny mziki wake anaongea sasaaaaa oyooooooooo
daaa tutafutage hera jamani kwa mwezi milioni 40 serikalin daaaaah big up platnum mtoto wa kimanyema like naombeni jamani
Mungu kwanza anatangulia kwa kila neno lake......ww n nani umueke chini🤭😷😷😷
😃😃😃😃😃😃na ni kweli huwa anazima kelele zote
Peace brother
Tunakubali zaidi ya sana
Wcb we here
Muoe basi zuchu na utuliye simba, kumba kuna ugonjwa wa ukimwi, oa na utuliye sasa, mbona wa sanii wa America wako na MARRIED na wanatulia na famillia zao 😥😥😥😥😥😥
Mashaallah
Mwenye Bongo Fleva yake kashaongea na akamaliza, mimi nani?????
Simba the boss.
3yrs ...... you were scared Zuchu must not find a guy who will play her.......and you knew you were the one going to play her.......she has been a supportive and faithful partner...now you tell your mum you are playing with her
Mtangazaji yuko vizuri sana, anauliza maswali yote muhimu, ambayo hata mimi ningepata nafasi, ningeuliza vivyo hivyo sasi sana...
Israel Saria Haha haha haha haha
vizime hivi vituuuu😀😀😀😀👏👏👏👏👏👏
Hili ndo daraja la mafanikio ukibisha kufa tamineta
Kama umemsikia simba like za kutosha
Congrats gal
MWIJAKU ANALIPA KODI TSH NGAPI!?...
Kweja Junior hahahaha
Yule hata sidhani kama analipa maana anaishi kwa kuotea oteaaaaa
30elfu huyu
Queen noah 😁😁😁😁
Yule hata jero hachangii
Safi zuchu hongera
Diamond na Khadija kopa mko smartiii
Milioni 40 kila mwezi Mimi sina hata lakini kweli wew ni simbaa
simbaaaaaaa
💪💪💪💪💪💪
Kuna vile mtu anaweza block hizi vitu kila cku tz Mondy kwani hamna prezo nyinyi....na wewe mondy pea tanasha kitambaa yke...eesh
Zuchu kama zuchu
Chibu hana adabu uyu eti acha simba aingie azme kelele,hhhhhh
Mtangazaji ni mzuri sana
daha daimomdi jeje iyo na mtu yoyote akimuinga daimondi kuvaa ivyo basi anampenda
Mwenye mziki kashasema.
WCB ndo label ya ukweri zingine zilizobaki ni Band tu.
Mama kakupa mke
Huyu ndo mtangazaji sasa, siyo wale wengine wajinga wajinga na maswali yao yakiwaki,big up bidada
Sema mutangazaji aaliyah kauwa sana maswali
Buti la jeje
Nimependa ubunifu uliotumika
Zuchu akeee
Mondi mkorofi, babalao
Tunawazima kwanza
Mungu hawezi pokea dua ya kutafuta riziki kwa ngoma na ujue anataka kuabudiwa c kusikiza ngoma kwa Club ama burudani kumsahaulisha mola ww ni muislamu aina gani unajiita muislamu
Usimuhukumu naseeb
Mungu yupiii???
Acheni umimi, una hakika hiyo mungu ataki hizi nyimbo, kivipi fafanua
Broo eeh hii n burudani ililetwa na mungu
Wewe muislamu kweli umefata nini huku kwenye mambo ya kidunia???
Simbaaa
Mondy mnyama
CEO
Welcome zuchu
Unaroho nzur dai
When she decides to leave wasafi nfipo atajua hajui million 600 KONDE boy alilipa sijui huyu binti atadaiwa ngapi
Kama we mkenya gonga like 👌
Simba
Mondi Ana juaaa
Mondi umetokelezea balaa! Umevunja kabati maninaaa zao wasokuelewa,mie nishawachoka kuwaelewesha kua ww ni electric!
Baba laoooo tamineta
Kwakweli ulkuwa unazizima hizo kelele