Remember those Kenyan promoters who said zuchu aliwasumbua USA juu ya mondi wakasema she will be left ata miezi nne hajaisha it has come to pass. Let her concentrate kwa kazi c kufikiria mondi every time 😘
My family...congratulations for keeping doing great. Back to points...zuchu career yake yayumba trust me .....ila Daimond ataendeleq kuwaka ila coz zuchu ndo kazama pale ..Daimond akipenda lazma Dunia ijue anapenda.. na Daimond loose nothing than zuchu ... so zuchu ajipange saba na kibaya zaid Daimond bado his not comfortable kwa hii rshp compare to the past rshp ....Zuchu should focus on career not in rshp ..pia kick waache..management yao inatakiwa kutosuport kick .. zuchu alikuwa anaimba nyimbo nzuri ila kwasasa nyimbo zake ni just business cyo nyimbo nzuri ndo maana zinasahurika..mfano mzuri Rihanna kapumzika miaka karud nyimbo zote zinaimwa live yan from anaanza performance mpaka mwisho myself naimba
Kwa mtazamo wa mapenzi ya nyuma ya diamond hili penzi lap la mchongo, diamond hakuingia saana kwa zuchu kama zuchu aliyoongia mazima kwa mond , kama ni kweli zuchu haitamtoka mapema moyoni
@@MsAggie5 Diamond alimtumia ki vipi? Au ni zuchu kajipendekeza tu Historia iko wazi aina za wanawake Diamond anapenda, weupe weupe, wenye sura za kuvutia
@@svt3 kama alikuwa hampendi Kwa nini alitoka nae? Ili WA trend? Atunge nyimbo wauze Mondi azidi pata faida sasa hapo nani looser? Huyu mwanamme sijui Kwa nini wanawake hawatumii akili zao.
Kuna uwezekano hata diamond na Zuchu hawajawahi date, wcb wana akili yakucheza na akili za watanzania , kwa sasa ni wakati wa lava lava so Zuchu anapumzika kwa stahili hiyo
Jamaa huwa hatching ana achwaga kwasababu kama kuu mhili hivi ile kukua karibu sana na mama mkwe wanawake wengi hawapendi. Mbili jamaa siku nyingine nitaongea
Diamond kwasasa anachoamini,wanawake wanampenda kwa sababu ya umaarufu wake na hela zake,hivyo anawachukulia wanawake poa sana...Atakuwa na huyu,akitosheka nae,atamchukua mwingine haamini kama wanampenda yeye kama yeye,anachoamini wanaupenda umaarufu wake na hela zake.Hivyo atawavuruga sana.
Yani zuchu bado mudogo na kipaji asingeingia kwenye relationships na boss wake me na ona wasanii wa don jazz wanafanya hit kali lakini zuchu I hope atakuwa sawa
I know the elephant in the room!! Zarina Hassan has never moved-on! NEVER WILL! and I somehow I don't blame her. Diamond disappointed her. Zari will never let anyone replace her. She can't stand seeing Diamond with another biach. That's it. Periodt!!
Diamond platnumz knows how 2 play with u guys. He knows that u guys cant make money without mention him 😂😂😂. He is doing fevour 4 u guys and u guys get benefit 4 that 😂😂😂👍
Nyie sumbueni akili zenu hao wanataka kufunga ndoa maana watu wengi wanataka ndoa na kutegemea ndoa hii ni kiki yakushtua watanzania wajue uhusiano umekwisha.
Kwani zuchu alkuwa haoni wanawake aliyokuwa nao alivyokuwa anawasaliti zari na utuzima wake alienda kulilia BBC 🤣😂sambuse yeye viziwa kama vidaka vya nazi
Sikutegemea kama waandishi wazuri kama nyinyi mizungumzie ujinga kama uwo mnatakiwa kuelewa kuwa Ali kaachiangoma ambayo inafanya vzr kwasasa kama ilivyo roho mbaya ya mond analeta huu ujinga Ili kuipoteza nyimbo ya Alikiba sky angalia Vitu vyakuongolea au umelipwa uongee upuuz wao
To soon kulizungumzia ilo kwa mimi angewaowa wote km yuko tayri kuoa .zuchu mapenzi na kazi ujinga wa kibongo lkn anaweza kushinda bila mond the rest naona wana chezea media
Naona sasa hakuna haja ya WCB kutumia kiki ili ku push kazi zao waje na mfumo mwengine harafu mbona bila kiki nyimbo zao zinaenda tuu mjini? Hivi vitu waafanye wasanii chipukizi harafu siku zote tunasema usianzishe mahusihano na boss wako au mfanyakazi mwenzako mkiwa wote kwenye ofisi moja.
Story ya Diamond hata haina ladha tena. Ni marudio tu. Leo mwanamke huyu, kesho yule. Weka status mumeachana au rusha donge, futa picha kwenye IG, lick another video your are kissing someone else, hivyo hivyo tu. Too boring. Kiki bin kiki 😺
Mimi nilikomment kwenye hii post nilisema zuchu kamvuliaa chupi diamond wakati anajua kabisa anamlolongo wa ma ex.nilisema.zuchu kama anataka amuwin diamond apambanie amuoe kama.kuzaa diamond kashazaa wewe unampaje kiwepesiwepesi hivi.sasa mkumbuke nilimwambia zuchu fanya.mziki mapenzi nje ya hapo
Sky hebu msiwe wapumbavu.leteni au ongeleeni kitu ambacho kipo.Hayo mambo yenu ya (I think) hebu pelekeni majumbani kwenu bwana.wanaume wazima mnakaa kutuambia mambo ya I think? Toweni taarifa rasmi au zenye uhakika bwana.mbona mnaharibu kabisa chanel zenu kwa vitu vya kipuuzi?
Tatizo la zuchu ni moja kwa.uzuri gani alio.nao zuchu mpaka diamond amnganganie..keey.alijikuta sana yako wap bas apo aliisi.wanawake wa simba wote wajinga kumbe yeye ndo kafanywa kuwa bwege.mmoja hivi alia ndo mwanamke wa simba tu
Remember those Kenyan promoters who said zuchu aliwasumbua USA juu ya mondi wakasema she will be left ata miezi nne hajaisha it has come to pass. Let her concentrate kwa kazi c kufikiria mondi every time 😘
My family...congratulations for keeping doing great. Back to points...zuchu career yake yayumba trust me .....ila Daimond ataendeleq kuwaka ila coz zuchu ndo kazama pale ..Daimond akipenda lazma Dunia ijue anapenda.. na Daimond loose nothing than zuchu ... so zuchu ajipange saba na kibaya zaid Daimond bado his not comfortable kwa hii rshp compare to the past rshp ....Zuchu should focus on career not in rshp ..pia kick waache..management yao inatakiwa kutosuport kick .. zuchu alikuwa anaimba nyimbo nzuri ila kwasasa nyimbo zake ni just business cyo nyimbo nzuri ndo maana zinasahurika..mfano mzuri Rihanna kapumzika miaka karud nyimbo zote zinaimwa live yan from anaanza performance mpaka mwisho myself naimba
Just imagine you guys have spoken about it🤣🤣🤣
Zuchu arikoseya sanaaa kutembea na D
Uyu domo dah , zuchu ajipange
Niliposems wapenzi wao wakasema hao ni kama Jay Z na Beyonce 😂😂😂😂😂
Ery true
Zuchu ndio yupo deep in love! Did you guys see the video of Diamond in London kissing another woman?? Tena yeye ndiyo amelazimishia kiss! Hatareee
Nasikia hiyo ndo imemtia wazimu Zuchu 😂😂😂
Uzinifu haumuachi mtu salama ludin kwa muumba wenu
Kwakwel
Kwa mtazamo wa mapenzi ya nyuma ya diamond hili penzi lap la mchongo, diamond hakuingia saana kwa zuchu kama zuchu aliyoongia mazima kwa mond , kama ni kweli zuchu haitamtoka mapema moyoni
Ni Bala 🤣🤣🤣🤣
Kiukweli awa hawa jawai kupenda na
Diamond sio mungu afu zuchu yupo kimaslahi kama hamjui zuchu she is talented and strong
Frida Mnyambi: hiyo talent and strong uliiona sababu wasafi ilimsaini,na inaweka uwekezaji kwake,
Awe makini sanaaaa maana tunampenda. Amna maslahi kwa diamond.
Diamond alikuwa ana mtumia tu 😂 selfish man, nae alianzaje kumpenda womaniser kama huyo? Kibaya alimnyan'ganya shoga/best ake
@@MsAggie5 Diamond alimtumia ki vipi? Au ni zuchu kajipendekeza tu Historia iko wazi aina za wanawake Diamond anapenda, weupe weupe, wenye sura za kuvutia
@@svt3 kama alikuwa hampendi Kwa nini alitoka nae? Ili WA trend? Atunge nyimbo wauze Mondi azidi pata faida sasa hapo nani looser? Huyu mwanamme sijui Kwa nini wanawake hawatumii akili zao.
Haa nilikuja nashangaa kwani mume ongea same like 2022 but thanks kwa kuwa mukweli n'a kutuandikia HPO chini
This analysis so this coming....🔥🔥🔥🔥
Zuchu alivulia nguo akazamisha mpaka kichwa na miguu sasa tungoje walioloweka wajitokeze💃💃💃
Kuna uwezekano hata diamond na Zuchu hawajawahi date, wcb wana akili yakucheza na akili za watanzania , kwa sasa ni wakati wa lava lava so Zuchu anapumzika kwa stahili hiyo
Mh kuona huoni bs atapicha hujui kuangalia
Esco noma sana
Nawapenda sana sns
Let them finish what they started together whether clout chasing or not haituhusu
This is so sad even to summarize or think about what will happen next
Poor Z😳
Atatoka wCB 😂😂😂😂
These two will keep confusing us until we start minding our business then they will start having babies.
Until we start minding our own business 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 this got me
Jamaa huwa hatching ana achwaga kwasababu kama kuu mhili hivi ile kukua karibu sana na mama mkwe wanawake wengi hawapendi. Mbili jamaa siku nyingine nitaongea
Zuchu hakustahili kuwa kimapenzi na boss wake lazima kasi yamziki ipunguwe japo atumuombei ilo
This is just KIKI...
kuzima wimbo wa Alikiba (MAHABA).
Kiba aliwahi semaga Diamond ni mchawi..wivu tuu...
Amefeli sn ila kwa sababu ya mapenzi hayo hayaoni na hayajui ila yakimkuta ndio atakumbuk ushau huu saiv anauwona km upuuzi
Love you guys be blessed always
Diamond kwasasa anachoamini,wanawake wanampenda kwa sababu ya umaarufu wake na hela zake,hivyo anawachukulia wanawake poa sana...Atakuwa na huyu,akitosheka nae,atamchukua mwingine haamini kama wanampenda yeye kama yeye,anachoamini wanaupenda umaarufu wake na hela zake.Hivyo atawavuruga sana.
Inaumu kwakweli😢😢😂😂😂
kiki bna
Nimetulia zangu uswiss mtakumbuka maneno yangu.zuchu na Diamond wako pamoja ni kiki tu wawashtukizie ndoa
Kile ambacho hamukijui diamond na zuchu hawakuwa wampenz kilicho fanya wakaigiza mampenz ni sisi mashabiki tunaendeshwa kulingan na stiweshion tumewaekea wenyew
Jamani Jamani hiyo ni kiki tu hayo waliokua wakiyafanya ni Drama tu .na ni mwisho wa mchezo wa Snema kila kitu KINA Mwisho !!! Wale ni Wasanii
Mmeongea point
Kwani wa likuwa wapenzi? Tanzania 🇹🇿 yangu wongo mwingi sana kweli jameni tusomeni.ahiiiii.
Mi naona kama kiki mbona siamini
Yani zuchu bado mudogo na kipaji asingeingia kwenye relationships na boss wake me na ona wasanii wa don jazz wanafanya hit kali lakini zuchu I hope atakuwa sawa
You can't mix work and love.she made a very big mistake to fell in love with her boss.If this is a prank , in my opinion this love is no ganna last.
Hapa ninachokiona daimond analinda Hela zake tu ndo msanii anaengiza Hela wamegombana yes ila watapatana now mpaka awe kama lavalava atamuacha tu
tutasubiri sana ,uyo ni koffi olomide kwa sidy Diamond analida maliyake isipoteye .tusubiri
Watajua wenyewe
Sio kweli eti kamuacha iyo ni kiki tu
I know the elephant in the room!! Zarina Hassan has never moved-on! NEVER WILL! and I somehow I don't blame her. Diamond disappointed her. Zari will never let anyone replace her. She can't stand seeing Diamond with another biach. That's it. Periodt!!
Stupid.what does zari has to do with Diamond kissing another woman in UK? Everything zari zari zari. Pambaneni na Domo wenu
None of diamond exes has ever moved on maybe wema , even tanasha throws sly shade it’s only that hana nyota so ppl don’t get her jabs.
Diamond platnumz knows how 2 play with u guys. He knows that u guys cant make money without mention him 😂😂😂. He is doing fevour 4 u guys and u guys get benefit 4 that 😂😂😂👍
Arafu Zuchu ana short temper siyo mvumilivu alidekezwa sana na mamake ndo kuna shida hapo,labda ni kiki
Nyie sumbueni akili zenu hao wanataka kufunga ndoa maana watu wengi wanataka ndoa na kutegemea ndoa hii ni kiki yakushtua watanzania wajue uhusiano umekwisha.
Mama dangote alipo sema ye hajui kuhusu harusi nlijua kuna jambo
Wanataka kutrend hao hakuna kitu
Kwenye hii dunia haijawahi kutokea mtu kudate na boss wake na ikafanikiwa lazima tu inamuumiza kwa njia nyengine
May b africa celindion aliolwewa na boss wake na kifo ndo kiliwatengesha
People spoke about it to zuchu 😢😢 diamond’s using her 😂😂😂😂 but she wouldn’t believe now it’s had ended in tears 😮😮
Maliyako imeliwaaaaa😂😂😂😂
Kwani zuchu alkuwa haoni wanawake aliyokuwa nao alivyokuwa anawasaliti zari na utuzima wake alienda kulilia BBC 🤣😂sambuse yeye viziwa kama vidaka vya nazi
Jamani pachungu hapa weee 🤣🤣🤣
Hivi sky ushakuwa mtu mzima jadili mambo yatakayo Sadie jamii
Usipokaza fuvu utaelewa
Alitumwa kwani akandikiwe tarabu na mamake aje achambe family yote
Kiki
Hi ni kiki tu
Sikutegemea kama waandishi wazuri kama nyinyi mizungumzie ujinga kama uwo mnatakiwa kuelewa kuwa Ali kaachiangoma ambayo inafanya vzr kwasasa kama ilivyo roho mbaya ya mond analeta huu ujinga Ili kuipoteza nyimbo ya Alikiba sky angalia Vitu vyakuongolea au umelipwa uongee upuuz wao
🤷🏾♀️
Chakumshaur zuchu azae tu awe mdomon hatoki akitaka kuachia nyimbo mtoto contect 😝
To soon kulizungumzia ilo kwa mimi angewaowa wote km yuko tayri kuoa .zuchu mapenzi na kazi ujinga wa kibongo lkn anaweza kushinda bila mond the rest naona wana chezea media
wanataka kuzima upepo wa alikiba baba ndio wacafu hawo tunajua kuceza na mitandao
Ivi mnatuonaje wa Donge
Ni kiki jmn
Ihi kiki kumzima 👑 MAHABA,,,duuu hatar,, ushindan wa kijinga,,mwenzio katoa nyimbo muache itambe,,ameanza filigis zake,,😀😀😀
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍
Mwana kuli find mwana kuliget c aliambiwa na ustadh na musoma
mi nazani ni kiki tu
Yan boro waachan bhana alikuwa anatoa nyimbo zakudeka sana
Diamond hamuachi zuchu!!!!
Alimuacha Wema, Zarhi, Hawa, Tanasha, Hamisa,........ zuchu ni nani?
@@svt3zuchu ni pesa
@@ashuu7772 mtaani kuna wa dada wengi wanajuwa kuimba na wanaweza leta pesa nyingi saana wakisimamiwa na kuwekewa uwekezaji, promotion....
@@svt3 mungu ndie anaepanga tumia akili
@@beyondintrusion1663 yaani wewe Pumbavu saana ujinga kama hizo unamhusisha Mungu😏😏?
Sisi atutaji kujua tupo bize Na HUBA
Simba go back to zuchu please
Kiki hizo
I dont think Zuchu and Diamond had any romantic relationship.
Naona sasa hakuna haja ya WCB kutumia kiki ili ku push kazi zao waje na mfumo mwengine harafu mbona bila kiki nyimbo zao zinaenda tuu mjini? Hivi vitu waafanye wasanii chipukizi harafu siku zote tunasema usianzishe mahusihano na boss wako au mfanyakazi mwenzako mkiwa wote kwenye ofisi moja.
😂😂😂😂🙌🙌
DONGE YA PANGA MAUA KASKAZINI UNGUJA
Story ya Diamond hata haina ladha tena. Ni marudio tu. Leo mwanamke huyu, kesho yule. Weka status mumeachana au rusha donge, futa picha kwenye IG, lick another video your are kissing someone else, hivyo hivyo tu. Too boring. Kiki bin kiki 😺
exactly tuseme zuchu kafa kimziki
Mimi nilikomment kwenye hii post nilisema zuchu kamvuliaa chupi diamond wakati anajua kabisa anamlolongo wa ma ex.nilisema.zuchu kama anataka amuwin diamond apambanie amuoe kama.kuzaa diamond kashazaa wewe unampaje kiwepesiwepesi hivi.sasa mkumbuke nilimwambia zuchu fanya.mziki mapenzi nje ya hapo
Well said! Hata Mimi nilisemaga wapenzi wao wakasema mbona Jay Z na Beyonce wako pamoja! Ndo hivyo cha-cha 😂😂
@@MsAggie5 umeona diamond katoa public announcement kuwa yeye na zuchu hawana mahusiano ya mapenzi.watabaki kuwa dada na kaka
Sky hebu msiwe wapumbavu.leteni au ongeleeni kitu ambacho kipo.Hayo mambo yenu ya (I think) hebu pelekeni majumbani kwenu bwana.wanaume wazima mnakaa kutuambia mambo ya I think? Toweni taarifa rasmi au zenye uhakika bwana.mbona mnaharibu kabisa chanel zenu kwa vitu vya kipuuzi?
Tatizo la zuchu ni moja kwa.uzuri gani alio.nao zuchu mpaka diamond amnganganie..keey.alijikuta sana yako wap bas apo aliisi.wanawake wa simba wote wajinga kumbe yeye ndo kafanywa kuwa bwege.mmoja hivi alia ndo mwanamke wa simba tu
Mapenzi siyo uzuri mapenzi ni hisia