VITA YA ISRAEL NA PALESTINA YAZIDI KUTANUKA, UTURUKI YAONYA KUIANGAMIZA ISRAEL, HALI MBAYA GAZA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ธ.ค. 2023
  • If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
    COPYRIGHT VIOLATION
    For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright, email us assengablogtz@gmail.com

ความคิดเห็น • 114

  • @user-lt9jl1bw5d
    @user-lt9jl1bw5d 6 หลายเดือนก่อน

    Ni Muda wa kumtafuta Mungu Kwa Bidii kutafuta USO wa Mungu,Vita siku zote n mpango wa Shetan kuua,kuharibu,na kufakatarisha Iman Tusimame tuelekeze mioyo yetu Kwa Bwana wetu yesu kristo yeye ndye jibu la mambo YOTE

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hamasi wanaume na wako vizuri na wao wapeni siha aone israili atatiwa adabu na hamasi jeshi dogo halitegemei mtu lategemeya muungu tuu

  • @johnsilawu2985
    @johnsilawu2985 6 หลายเดือนก่อน +6

    Hao wachambuzi karibu wote ni waumini wa kiisramu. Haita patikana chembe midomoni mwao ya kusema ukweli harisi abadan

  • @HappyArmadillo-hx4rc
    @HappyArmadillo-hx4rc 5 หลายเดือนก่อน

    Tuyaonapo hayo dunia imefikia 7:35 ukomo wake

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 6 หลายเดือนก่อน +1

    Inshu apo ni wayahudi wachukue maeneo ya wanyonge hakuna kingine. Tamaa ya ardhi tu

    • @charlesmakuri792
      @charlesmakuri792 หลายเดือนก่อน

      Ila hamasi ,ezibura,husi,alishababu,boko haramu husemi ,Israel inataka mateka wake kwanini uteke ujifiche,chini ya hospital, shule ,na makazi uchimbe maandaki nani mchokozi

  • @johnsonzuma4932
    @johnsonzuma4932 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona kicwa cha habari ni tafauti na maneno

  • @allyhassan7169
    @allyhassan7169 6 หลายเดือนก่อน +4

    Ni wanafiki tu hakuna umoja wa mataifa bila israel nchi za maqharibi pamoja na wayahudi ni kundi la wauwaji tu

    • @Awatee
      @Awatee 6 หลายเดือนก่อน

      Makafiri tangu lini wakawa na ahadi za kweli ata utu hawana

    • @charlesmakuri792
      @charlesmakuri792 6 หลายเดือนก่อน

      @@Awatee tanga nimekuja dunia nasikia vita nchi za kiislamu wanaita wengine makafili ,ila wanaenda kuhiji maka kwa halikahaba ukiliza visislamu uchwara kunanini ndani ya alkahaba hakajui kamejazwa ujinga tu ilikachuki

    • @Awatee
      @Awatee 6 หลายเดือนก่อน

      @@charlesmakuri792 sio halikaba ni AlQaabah ujinga uo wako sasa asojua maana usimpe maana kaa chini usome sio porojo tuu ndugu kafiri ni yule anae pinga ukweli na akafuata ujinga au ulijua nini maana ya kafiri

    • @godfreydavid6847
      @godfreydavid6847 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@Awateemakafiri ni waislamu ambao huwaabudu Mungu jua ambae Yuko Maka!! Kila muislamu huelekea Maka wakati wakisali!!

    • @godfreydavid6847
      @godfreydavid6847 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@Awateendani ya Alkaaba kuna nini?

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze 6 หลายเดือนก่อน

    Nyinyi mnashika hamasi kachokoza hivi hamuoni wale watu waliyo wakiuliwa msikitini na kuwapoga risasi na izrail

  • @user-cc2gk5oj4q
    @user-cc2gk5oj4q 6 หลายเดือนก่อน

    Ana chekesha huyoo

  • @Werema3760
    @Werema3760 6 หลายเดือนก่อน +6

    ■Israeli piga hao magaidi kwan aliwatuma nani wakaue watu wasio na hatia 1400? Mwanakulitafuta.Mwanakulitaka.

    • @babuloliondo74
      @babuloliondo74 6 หลายเดือนก่อน

      aujuwi chochote wewe israer wanaua kirasiku

    • @babuloliondo74
      @babuloliondo74 6 หลายเดือนก่อน

      Inatakiwa apige amasi sio raia na magorofa

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 6 หลายเดือนก่อน

      nyoo ukafiri unakusumbua

    • @SADICKITHOMAS
      @SADICKITHOMAS 6 หลายเดือนก่อน

      Hamas ilifanya safi kuua wale mashoga Ile siku

    • @Werema3760
      @Werema3760 6 หลายเดือนก่อน +1

      @@SADICKITHOMAS Bas Acha nao wanyolewe na hao mashoga..

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 6 หลายเดือนก่อน +7

    Itikadi za dini ya kiislaam wengi inawasumbua sio Israeli tu ila nchi nyingi hasa Africa naona kusipo kuwa na hatua bora kutakuwa vibaya zaidi

    • @user-rt1wf6se5f
      @user-rt1wf6se5f 6 หลายเดือนก่อน +4

      Wew hujw chochote kausha hii Dunia ina wafuasi wa mashetani hao ndio wanaoferisha hii

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 6 หลายเดือนก่อน

      Watafute sayari yao wakaishi hata Jupiter

    • @user-rt1wf6se5f
      @user-rt1wf6se5f 6 หลายเดือนก่อน +1

      Mama ako c ana jupita tunakuja

    • @AllyhHassani
      @AllyhHassani 6 หลายเดือนก่อน +3

      Hivi wewe unabana pua kama shoga.uislamu unakuhusu nini wewe kafiri mbwa koko wewe achana na uislamu

    • @yusuphanyimike9945
      @yusuphanyimike9945 6 หลายเดือนก่อน +1

      Is true

  • @marickmtz4861
    @marickmtz4861 6 หลายเดือนก่อน +4

    Mbn mchambuzi ni mnafiki yan anaegemea Hamas😂😂😂

    • @babuloliondo74
      @babuloliondo74 6 หลายเดือนก่อน

      Wewe auwoni anapiga raia na magorofa

    • @marickmtz4861
      @marickmtz4861 6 หลายเดือนก่อน +1

      @@babuloliondo74 wao kipindi wanapiga watu wa isrel na kuwaua na kuteka wengne na kuwabaka mbn hawakuongea chochote
      Tulieni wapigike hao hamas mpka maji wayaite umma na hakuna kuludi nyuma

    • @Ernestlaiza
      @Ernestlaiza 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@babuloliondo74ujajua kwann israel anabomoa maghorofa kwa sababu anapigana na magaidi ambayo hawajitokesi wapigane uso kwa uso wananyemelea ,

  • @bismarckjackson6705
    @bismarckjackson6705 6 หลายเดือนก่อน +2

    No vita ya Israel na Hamas kuwa mwelewa sio Palestine

    • @user-jp7ix6fc6y
      @user-jp7ix6fc6y 6 หลายเดือนก่อน

      Palestina wote wanauga mkono hamas

    • @bismarckjackson6705
      @bismarckjackson6705 6 หลายเดือนก่อน

      @@user-jp7ix6fc6y sio Palestine wote wanaunga mkono hamasi hapana,, na ushahid upo nakuopa mfano., Wakati wa makubaliano ya ceasefire kuna baadhi ya wapalestina waliuawa na kundi la Hamas wakidai walitoa taarifa za ki intelligence Kwa wanamgambo wa IDF,, pili kuna Mtoto WA mmoja wa waanzilishi wa kundi la Hamas no mpalestina lakin anaipinga vikal Hamas anadai iwe dismantled ikiwezekana na Baba take aliye jela auawe hiyo no baadh Tu ya mifano ASA utasemaje wanaunga mkono wore Hamas watu ambao ndugu zako wanakufa kwaajili ya ujinga uliofanywa na Hamas October 7,, watu wanateketea wao wanajificha nchi za ughaibuni mpaka majeshi Yao wanasarender Kwa IDF

  • @wadysaidy8840
    @wadysaidy8840 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mikkristo hata ikiwambia wajitekenye wenyew na israel wanaweza fanya ivyo sababu aijitambui

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 6 หลายเดือนก่อน

      Hao israile wenyewe wamepiga marufuku biblia

    • @charlesmakuri792
      @charlesmakuri792 6 หลายเดือนก่อน +1

      Kichwa kama hichi si kinawaza uislam tu kwanini kisiwe gaidi (nani alimpa muhamedin utume ,wakupewa na mkewake)

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 6 หลายเดือนก่อน

      @@charlesmakuri792we dini gani kwanza

    • @nestorysanga3938
      @nestorysanga3938 6 หลายเดือนก่อน

      Siyo kupewa na mke wake tuu aliyemfunika ghubighubi baada ya kubanwa na mapepo pangoni pia huyo mtume miaka 20 alipendwa na bi KHADIJA miaka 40 akiwa mfanyakazi wake wa nyumbani yeye akiwa na miaka 20. Huo utume ulipatikanaje kama siyo kujilipua?

  • @user-jk7sm1dl7p
    @user-jk7sm1dl7p 6 หลายเดือนก่อน

    Marekani na umoja wa mataifa ndio wanampa nguvu israel kuuwa watu palestina

  • @jamessiame5169
    @jamessiame5169 6 หลายเดือนก่อน +3

    Walijitakiya wenyewe watakipata hamas

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 6 หลายเดือนก่อน

      kufuru itakupoza

    • @Awatee
      @Awatee 6 หลายเดือนก่อน

      Kwani raiya ndio walio wapiga wazayun

  • @nuhhungaso8091
    @nuhhungaso8091 6 หลายเดือนก่อน

    Asipige raia

    • @shodristvtv6121
      @shodristvtv6121 6 หลายเดือนก่อน

      Kwani amas walipiga nani

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hamasi wameenda kujificha huko tena lazimawatafutwe at any cost na popote walipo

    • @user-rt1wf6se5f
      @user-rt1wf6se5f 6 หลายเดือนก่อน

      Hamas hawawezekan na wanajeshi wa Israel wanaharisha yaan Bado waache kuua watu wasio kua na hatia

  • @wadysaidy8840
    @wadysaidy8840 6 หลายเดือนก่อน

    Mikiristo yani ni mishoga aijitambui

    • @user-tg4hj4bs4u
      @user-tg4hj4bs4u 6 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe na waislam wenye akiri kama yako ndiyo mapumbavu, mnaanzisha vita wakati hamna uwezo wa kupambana, acheni upumbavu wenu la sivyo mtaendelea kupokea kichapo

    • @godfreydavid6847
      @godfreydavid6847 6 หลายเดือนก่อน

      Hahahahaha waislamu hujamba msikitini...

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 6 หลายเดือนก่อน +3

    Hamas ndio walioanza uchokozi ,ngoja watiwe adabu

  • @user-ou8dt7yr7m
    @user-ou8dt7yr7m 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hamas waliua raia na wengine waliwateka.uhalali wa Hamas kuua raia wameupata wapi?.Msipowakemea Hamas Kwa like walilo lifanya hatuoni mnachokitetea.

    • @suleim505
      @suleim505 4 หลายเดือนก่อน

      MIAKA YOTE ILIYOPITA WAPALESTINA WANADHULUMIWA NA KUULIWA PASI NA SABABU NA WENYE MAMLAKA NA KUTETEA DHULMA WAMEFUNGWA MIDOMO, WAMECHOSHWA HALI HIYO,, NA HIYO NDIYO SABABU YA WALE KUFANYA TUKIO LILE.

    • @suleim505
      @suleim505 4 หลายเดือนก่อน

      MIAKA YOTE ILIYOPITA WAPALESTINA WANADHULUMIWA NA KUULIWA PASI NA SABABU NA WENYE MAMLAKA NA KUTETEA DHULMA WAMEFUNGWA MIDOMO, WAMECHOSHWA HALI HIYO,, NA HIYO NDIYO SABABU YA WALE KUFANYA TUKIO LILE.

  • @AbelsonGidion-vo1uj
    @AbelsonGidion-vo1uj 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hamas wameyatimba

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 6 หลายเดือนก่อน

      Huna Unacho kijua Wewe jamaa zako waoga tu wanapiga juu wakishuka chini hakuna anae bakia hata mmoja wao wanaua watoto na wanawake shame

  • @byesigwafabian9255
    @byesigwafabian9255 6 หลายเดือนก่อน

    Huyo anaongea tu haijui lolote, kwanza aelewe nini maana ya neno Israel lilitokana na nini!

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 6 หลายเดือนก่อน +7

    Nani alianza uvamizi? Nani alivunja makubaliano ya kusitisha mapigano kwa muda? Msiwe wanafiki kwa itikadi za kiimani. Kuweni watu wa kusema ukweli kia tatizo lielezeni katika uhalisia wake! Huu si muda wa propaganda, wanaohojiwa ni Mohamed Abdallahman na Nasir, bila shaka unaweza kutabiri hata mrengo na msimamo wao.

    • @tashone7884
      @tashone7884 6 หลายเดือนก่อน +1

      Lazima ujue wapalestina wako vitani toka 1948 kuikomboa nchi yao walikuwa wakijipanga hivi wewe ni nchi gani iliyokubali kudhulumiwa ardhi yake nawe uwe mkweli wewe unaweza kuridhia kupoteza ardhi na heshima yenu na utu wenu?Tanganyika tulipigana na wajerumani na waingereza miaka mpaka tukawa huru. Hata Tanzania ilitambua taifa la palestina haikulitambua taifa la Israel msimamo wa Raisi Nyerere mtakatifu

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 6 หลายเดือนก่อน

      @@tashone7884 Nchi ya wapalestina sawa na ya waisraeli ni ipi?

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@tashone7884wa Israel nchi yao ni ipi maana hata quran ina sema tuliwatoa wana wa Israel misri tukawapa makazi mazuri.sasa nchi yao ni ipi

    • @anwarally7611
      @anwarally7611 6 หลายเดือนก่อน

      Sio Abdallahman ni Abdul rahman kama hujui kuandika kaa kimya

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 6 หลายเดือนก่อน

      @@anwarally7611 Ahsante sana, nakushukuru, Ila punguza makasiriko

  • @Mnengatv
    @Mnengatv 6 หลายเดือนก่อน +5

    Israel imelaaniwa...na uyo leta nyau lao😢

  • @nsubiraphael8514
    @nsubiraphael8514 6 หลายเดือนก่อน

    Msiwe wajinga hamas wanatumia human shield,na hawo watu wenyewe wanawakaribisha kwa hiyo lzm uue raia wale watapigana baadaye mshind ,huwezi ingia nyumba ya mtu mwenye nguvu bila kumshinda na kumfunga kamba ndipo utawale yeye pmj na maluzake hure pregozini, this is revolution up down side Putin is time Russia super power

  • @hadjihadji197
    @hadjihadji197 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa nyie we're mrengo wa kupenda Mayahudi nyie ni Mayahudi au Dini yenu ni ya Kiyahudi? Ikiwa si hivyo mnaunyaunya nini? Mayahudi hawatambui Ukristo nyie mnapenda kitu msichokijua. Wapalestina wanapigania Ardhi zao zilizo chukuliwa 1948 na Waingereza na kuwapa Walowezi wa Kiyahudi kutoka Ulaya.

    • @mwigarleysaid5406
      @mwigarleysaid5406 6 หลายเดือนก่อน +1

      Wayahudi hawatoki ulaya Ni waafrica Kutoka Misri uskurupuke

    • @godfreydavid6847
      @godfreydavid6847 6 หลายเดือนก่อน

      Hahahaha mzee usipaniki

    • @user-xj1bp2mb5o
      @user-xj1bp2mb5o 6 หลายเดือนก่อน

      Mwaka huo ulikwepo. Kama wanapigania ardh wachukuee

  • @fredquinbi2389
    @fredquinbi2389 6 หลายเดือนก่อน +1

    Edogan huna lolote maneno meeengi unaweza kushambuliwa na usifanye lolote

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 6 หลายเดือนก่อน

    NEtanyau ni kafiri Israeli ni makafiri toka enzi ya Nabii Musa walikua wanaabudu masanam

    • @charlesmakuri792
      @charlesmakuri792 6 หลายเดือนก่อน

      Kwenye ulisha enda kuhiji maka

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 6 หลายเดือนก่อน

      @@charlesmakuri792 Ntaenda inshaalah for the power of Allah, na kuhiji mecca co lazima mpaka uwe na uwezo ,ww ushaenda kuhiji Palestine? Maana ile co ardhi ya waisrael

    • @dennisezakiel3380
      @dennisezakiel3380 6 หลายเดือนก่อน

      Wew huna ufahamu,nani aliyeanza uchokozi??

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 6 หลายเดือนก่อน

      @@dennisezakiel3380 usilo lijua uliza Waisrael walivamia masjid al aqsa ck ya idd Hamas wamelipiza nao wamevamia ck takatifu ya Waisrael, alio anza uchokozi Waisrael makafiri

    • @charlesmakuri792
      @charlesmakuri792 6 หลายเดือนก่อน

      @@dennisezakiel3380 huo mgogoro panya we unaujulia wapi zaidi ya kusimuliwa na shehetan msikitini na unajifanya kujua panya tu ,hatutaki terrorism duniani mbona kila siku mnachokoza na kama mngekuwa na technology mngewamaliza watu jinga na majini yako

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze 6 หลายเดือนก่อน

    Izraili inajidai kwa sababu inapata sapoti lakini isojidanganye hawaiwezi hamasi

    • @charlesmakuri792
      @charlesmakuri792 6 หลายเดือนก่อน

      Kawasaidie wanajificha mahospitalin,shule ,vioga mbwa koko