LIST YA MASTAA WA BONGO WALIOHAMIA MAREKANI NA ULAYA,,MPWA WA DIAMOND PLATNUMZ yuko UK 🇬🇧 🇺🇸

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 154

  • @THETHIRDTV_
    @THETHIRDTV_  3 หลายเดือนก่อน +5

    LIST NYINGINE ZA MASTAA WALIOHAMIA MAREKANI NA ULAYA ZIKO HAPA!!
    th-cam.com/play/PLCnaRiyf2kgjRsprbJiB3lVsmN8DE132X.html&si=r2UqAfx1hX4LDyZO

    • @diddyexpert
      @diddyexpert 2 หลายเดือนก่อน

      Mbona mm ujanizungumzia

  • @NANGATV123
    @NANGATV123 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mzee magari jilani yangu nimtu safina niko nae tupo lagoz

  • @elizabethverael1709
    @elizabethverael1709 2 หลายเดือนก่อน +2

    Daaah Frank nilikua namuelewa, na mzee Magari much love ❤

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 3 หลายเดือนก่อน +22

    Jmn mzee magari nirimiss sana nirikuwa najiuriza yupo wap hai au amekufa jmn mungu ampe maisha malefu toka kanumba afe watu wote wamesepa na kuacha kuigiza

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 หลายเดือนก่อน +2

    Frenk jaman ludi tunakumis sana❤❤❤

  • @ellenkabeta7561
    @ellenkabeta7561 3 หลายเดือนก่อน +12

    Me naona sometimes wanataka kuishi normal life coz ustar unakuwa na mambo mengi sasa akitaka kuishi hapa normal life wabongo wataanza kusema amefulia na maneno mengine but wakienda nje wanakuwa huru coz wanakuwa hawajulikan

  • @CyprianBCTanzania
    @CyprianBCTanzania 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nabii kwao Haeshimiki,
    Safi sana ifikie mahali tuache mazoea, Hii Dunia yote ni yetu na tumeandaliwa kuishi bila shaka japo mazoea na kutowaza nje ya box, Safi sana tena ikiwezekana na wengine wachape mwendo tuwe wengi zaidi pia hata ndugu zetu wawe wanapata experience tofauti na safari za nje bila shaka maana ndugu zao tunakuwepo ughaibuni

  • @fatimamv2723
    @fatimamv2723 3 หลายเดือนก่อน +6

    I love frenk ❤❤❤japo nimkubwa kimri nipeni connection watanzania

  • @ramadhanijohoiddi2899
    @ramadhanijohoiddi2899 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kuishi bongo ni kukosa muelekeo tu lakini kikawaida bongo bahati mbaya 😊

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 3 หลายเดือนก่อน +2

    Frank baybe❤❤❤miss you so,so much Mohamed Mwikongi😢

  • @Editha-og5ei
    @Editha-og5ei 3 หลายเดือนก่อน +3

    Nimekumiss frank jaman enzi hizo ukiigiza nilikuwa naenjoy mno love you

  • @user-ji6cp1ng8g
    @user-ji6cp1ng8g 3 หลายเดือนก่อน +32

    Frenk enzi ya kaole kitambo sana ila hazeek kipindi iko bila kumuona yy hauckii rah anajua mpk anajua tena nakumbuka ule mchezo mke wake kipofu yule mdada nimemsahau jina ila alikuwa anafanana na tea

    • @steveanthon5523
      @steveanthon5523 3 หลายเดือนก่อน +2

      Huyo mdada anaitwa Kemy, saiv yupo juwa kali anaigiza kama bibi dorothy na frank huko kijijini

    • @baeyanka5264
      @baeyanka5264 3 หลายเดือนก่อน +1

      Nampenda sana Frank saut yake

  • @user-fb5fs8ye5y
    @user-fb5fs8ye5y 3 หลายเดือนก่อน +9

    Frank jamni hazéeki jamni 🥰🥰🥰

  • @nyandwiniyera5535
    @nyandwiniyera5535 3 หลายเดือนก่อน +23

    Mzeemagari ni jirani yangu hapa Marekani nijirani mwema tu jamani 🥰

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 3 หลายเดือนก่อน +4

    Nampenda sana frenk jmn toka mdgo wanaegizaga me namuona japo nirikuwa wa makamo

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 3 หลายเดือนก่อน +11

    Mm binafsi nipo uingereza ni kweli mastaa wanakimbia nyumbani na kukimbilia huku ughaibuni kwasababu huku kuna fursa nyingi sana na mpunga wa kutosha lakini uko hatufocus sana na maendeleo ni kutakiana mabaya tu kila kukicha

    • @user-tt7cu2et1x
      @user-tt7cu2et1x 3 หลายเดือนก่อน

      Saw ebu tutafutie bas n sis tukujee

    • @user-mu7fl1gs8v
      @user-mu7fl1gs8v 3 หลายเดือนก่อน

      Ni fursa gani ziko huko niunganishe please 🙏 🙏 🙏 🙏

    • @user-tt7cu2et1x
      @user-tt7cu2et1x 3 หลายเดือนก่อน

      Fulsaa basi muwafulishe na vijana wengne wakujeee

    • @jumahilali2309
      @jumahilali2309 3 หลายเดือนก่อน

      Nipe connection mzee

    • @jumahilali2309
      @jumahilali2309 3 หลายเดือนก่อน

      Nipe connection mzee

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nice

  • @hamadramadhan8422
    @hamadramadhan8422 3 หลายเดือนก่อน +6

    Ata mim ni soon tu nitakuwa ugaibuni maana bongo mambo ayajawa mazuri ngoja tujaribu nje😂😂😂

    • @issahhussein1922
      @issahhussein1922 3 หลายเดือนก่อน

      Karibu hakikisha unajiandaa kisaikolojia zaidi kuliko kifedha

  • @masimakarume9715
    @masimakarume9715 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nachotamani kujua ni wanafanya kaz gn huko nje ya hz za kiburudani ambazo tulikuwa tunazijua huku

  • @KudrackAbubakar
    @KudrackAbubakar 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi mwenyewe sio star ila bongo napakimbia muda sio mrefu

  • @user-du4yg5cj3v
    @user-du4yg5cj3v 3 หลายเดือนก่อน +1

    Frenk❤

  • @benedictmhina4819
    @benedictmhina4819 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ngoja nikomae na kilimo yote Mipango ya sir God

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi823 3 หลายเดือนก่อน +3

    Europe/ US is and will never be a better place to live for a Blackman.
    Time will tell.
    I love Tz

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  2 หลายเดือนก่อน +1

      Better for making money and investing back home

    • @Youngchimodzi823
      @Youngchimodzi823 2 หลายเดือนก่อน

      Europeans and the Us made more money from Africa ,Asia and middle East than from their own countries.
      Political science and history tells us so!

  • @CHIEFJAY-il3fs
    @CHIEFJAY-il3fs 2 หลายเดือนก่อน

    hongera zao

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 3 หลายเดือนก่อน

    Frank Kanenepa Sanaa

  • @josephkahindi1713
    @josephkahindi1713 2 หลายเดือนก่อน +3

    Joseph kahìndi nae tuko nae japan

  • @salumsalum8866
    @salumsalum8866 3 หลายเดือนก่อน

    Snoop Lee yupe Germany.

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke695 3 หลายเดือนก่อน

    Bongo juwa kali bhana

  • @jescambilinyi
    @jescambilinyi 3 หลายเดือนก่อน +3

    Lucy komba pia

  • @EmJesho
    @EmJesho 3 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani frenk namkumbuka sn

  • @maryamalhajri722
    @maryamalhajri722 3 หลายเดือนก่อน +6

    sonia yupo france

  • @user-li8lm7it9j
    @user-li8lm7it9j 3 หลายเดือนก่อน

    Clouds

  • @user-rc6ww6rx7n
    @user-rc6ww6rx7n 3 หลายเดือนก่อน +2

    Bongo co nchi ya kuishi hy kilakitu ujanja ujanja tu vt havinyooki nsy maana waelewa tunasepa

  • @Vanelsing_
    @Vanelsing_ 2 หลายเดือนก่อน +1

    We dada hiki kimabeste kimsanii cha juzi utuambie kwamba watoto wa 2000 hatumjui dish lako limeyumba

  • @zahranassor7809
    @zahranassor7809 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sihamii bongo mpaka mwisho wa dunia maana nyumbani ni nyumbani tu na bongo ni raha sana na tupo huru sana maisha ya ughaibuni asiwadanganye mtu ni ya kawaida tu na hawana uhuru kabisa kama huku kwetu yaani ni masharti kwa kwenda mbele hata kucheka kwa kibali maalum 🤣🤣🤣🤣😂😂

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 3 หลายเดือนก่อน

    Mzee magari nilijiuliza sana kwanini hachezi mvi

  • @chire4574
    @chire4574 3 หลายเดือนก่อน +7

    Acha story nyingi nenda kwenye point

  • @user-sk3nh5uq2l
    @user-sk3nh5uq2l 3 หลายเดือนก่อน +2

    Miki j naepia sema yeye yuko canada

  • @doriceathumani8270
    @doriceathumani8270 หลายเดือนก่อน

    Dah tunammiss sana Frank arudi jamani 😢

  • @ikramuabdul2905
    @ikramuabdul2905 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wanaenda Luisa nje Coz wenzetu wapo na free mind kinoma kuliko hata unavofikiria nawala sio nyumbani

  • @allysaid4679
    @allysaid4679 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani Raha P yupo wapi kitambo sana

  • @jescambilinyi
    @jescambilinyi 3 หลายเดือนก่อน +2

    Diana kimaro pia

  • @diddyexpert
    @diddyexpert 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ata mm sipo bongo tena

  • @limymasele21
    @limymasele21 หลายเดือนก่อน

    Ameniuma sana mzee magari sikutegemea kama yupo huko ila poa haina noma kikubwa uhai

  • @user-yp1lm5fb1v
    @user-yp1lm5fb1v 3 หลายเดือนก่อน

    Solofing hujamutaja

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 3 หลายเดือนก่อน

    Izobisness

  • @GasperMwaisa-rb1lf
    @GasperMwaisa-rb1lf 3 หลายเดือนก่อน +1

    Bongo uwezi kutoboa kimaisha kwasababu ushikina mwingi sana

  • @user-es5me9jm3s
    @user-es5me9jm3s 3 หลายเดือนก่อน +2

    Njaaa 😂😂😂😂😂

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 3 หลายเดือนก่อน

    Vijana wanakimbia life gumu bongo

  • @Mutubure
    @Mutubure 2 หลายเดือนก่อน +1

    Njaaa ni nyingii bongo

  • @user-zr1iy1ss5y
    @user-zr1iy1ss5y 3 หลายเดือนก่อน +1

    Frank alitaka kufanana na mwijaku kdg

  • @ZakaZakazi-rd7wo
    @ZakaZakazi-rd7wo 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mm mwenyewe na mpango wa kwenda zangu Ng,ambo bongo michosho

    • @davicekombe4932
      @davicekombe4932 3 หลายเดือนก่อน +2

      🤣🤣🤣🤣🤣Hakika mkuuuu

    • @stellahmsigwa6493
      @stellahmsigwa6493 2 หลายเดือนก่อน

      Ila Mimi nikipata chansi bongo siludi kabisa tena kutoka moyoni

    • @stellahmsigwa6493
      @stellahmsigwa6493 2 หลายเดือนก่อน

      Duuuh nimekumis kaka franki🎉

  • @AllyYunus
    @AllyYunus 3 หลายเดือนก่อน +2

    Sio mastaar tuu wanaokimbia watanzania wengi tunakimbia uko nyumbani hali mbaya mi mwenyewe naandika apa sipo tz

  • @amlikejames646
    @amlikejames646 3 หลายเดือนก่อน

    Hata me nikipata chance ya kuishi Unyamwezini sikai hapa Tz

  • @FurahaSebastian
    @FurahaSebastian 3 หลายเดือนก่อน

    Huko nikuzuri tatizo hapa umbeyà mwingi sana

  • @user-sg9kz1fc6s
    @user-sg9kz1fc6s 3 หลายเดือนก่อน

    Rey C 🎉

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  3 หลายเดือนก่อน

      th-cam.com/play/PLCnaRiyf2kgjRsprbJiB3lVsmN8DE132X.html&si=r2UqAfx1hX4LDyZO

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 3 หลายเดือนก่อน +1

    Bongo nyoso, nan anataka kuishi hapa

  • @ibrahbird9727
    @ibrahbird9727 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wapo Weng sana tena wasanii wa kitambo ndio usiseme
    Chiv hanson
    balozi
    jd yusuf
    solothang
    chindo man
    rah p
    machozi
    yani wengi sana sana tutaowajua na tusio wajua

  • @user-kn8mg2su7i
    @user-kn8mg2su7i 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ushirikina mwingi

  • @user-yq2zp2lc9c
    @user-yq2zp2lc9c 3 หลายเดือนก่อน

    Maskini frenk tunakumiss

  • @mohamedimkonde9532
    @mohamedimkonde9532 2 หลายเดือนก่อน

    Kuna balozi dola soul ,

  • @eliassoingei2046
    @eliassoingei2046 3 หลายเดือนก่อน +6

    Angel Benard naye yupo marekani texas

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  3 หลายเดือนก่อน

      Asante kwa ukumbusho ..list lazima iendelee....

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns 2 หลายเดือนก่อน

    Nikitoboa lazima nihame Bongo

  • @SuzyJonh
    @SuzyJonh หลายเดือนก่อน

    Frank wetu jaman ndy maana simuon

  • @user-jq8wx7zz6j
    @user-jq8wx7zz6j 22 วันที่ผ่านมา

    Wapi sofia kanumba na jamila?

  • @mwajumaroya7404
    @mwajumaroya7404 2 หลายเดือนก่อน

    Frenk l miss you my brother 😢😍🥰

  • @jasminshemsanga8727
    @jasminshemsanga8727 2 หลายเดือนก่อน

    Kumbe ma beste hayupo bongo

  • @KelvinKasalama-rd3qp
    @KelvinKasalama-rd3qp 2 หลายเดือนก่อน

    Ukweli maisha ni popote dunia ni yetu sote kikubwa uzima

  • @user-ke6ec9bi4e
    @user-ke6ec9bi4e 3 หลายเดือนก่อน

    Sawa lakini je wanafanya kazi gani uko au kula kulala

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 3 หลายเดือนก่อน

    Nchi yenyewe inaitwa Bongo, akili Sana, nguvu Sana, kipato kiduchu au hakuna kabisa

  • @AbdulGermany210
    @AbdulGermany210 3 หลายเดือนก่อน +1

    Frank yupo Ulaya sio Marekani,either Norway au sweden kati ya hiyo

  • @mwarabuofficial5241
    @mwarabuofficial5241 3 หลายเดือนก่อน

    Wabongo wapo busy kujua kazi za ulaya 😂😂 eti utasikia kwani huko ma-star wetu wanafanya kazi gani..

  • @bennie7239
    @bennie7239 3 หลายเดือนก่อน

    Lah P pia yuko State kitambo tu....ile vocal ya mdada kwenye ngoma ya MIKASI ya late Mangwair...

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  3 หลายเดือนก่อน

      ✌️✌️

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 3 หลายเดือนก่อน

    Sonia mwenzako paula anataka kuzaa

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  3 หลายเดือนก่อน

      😅😅

  • @vicentcornely4890
    @vicentcornely4890 หลายเดือนก่อน

    Hawafanyi kazi hizo kwasababu siyo wasanii ni waganga njaa tu.
    Huko msanii anaanzia shule za awali kabisa tofauti na sisi huku tunawapotezea muda kuanzia shule za awali hawajui wanasoma nini mpaka anafikia uzeeni huko ndio anaenda chuo cha sanaa mara moja tu .
    Inatakiwa turekebishe hili ni tatizo kubwa sana , tutengeneze shule za sanaa watu wasome kuanzia awali (utotoni) mpaka chuo kikuu awe amesomea sanaa tu popote atakapoenda anakuwa msanii n.k
    Tuondoe huu mfumo wa elimu wa kupoteza muda wa watoto wetu , mtoto unamsomesha masomo 20 alafu ukubwani ndio anakuja kusoma sanaa ,mwisho wake anakuwa haieleweki yeye ni nani na afanye nini

  • @yusuphkintu562
    @yusuphkintu562 3 หลายเดือนก่อน

    Solo thang,mr paul ,wote hao barozi dorosa wapi uyo

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  3 หลายเดือนก่อน

      Thank you

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi ata unipe hela nje ya nchi siendi upuuzi mtupu maisha kote magumu

    • @AbdulGermany210
      @AbdulGermany210 3 หลายเดือนก่อน

      Ujafika ukifika utaelewa maana ya mbele na Bongo,Ulaya unaumia wewe mzazi tu kufanya kazi ila huumii kuhusu watoto shule ni bure hakuna matabaka kama bongo ,kuna shule za kayumba na shule za wenye pesa huku hakuna hiyo,hakuna ada wala kuvaa uniform

  • @solangeramadhani4038
    @solangeramadhani4038 3 หลายเดือนก่อน

    Frank na mzee magari wapo ILLINOIS

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  3 หลายเดือนก่อน

      Thanks for the information 🙏🙏🙏

    • @DuniaKalenga-hr2lz
      @DuniaKalenga-hr2lz หลายเดือนก่อน

      Iowa

  • @masoudmohamed767
    @masoudmohamed767 3 หลายเดือนก่อน +5

    Umemsahau Shija Mzee wa kwenda ulaya kila movie yupo Canada

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  3 หลายเดือนก่อน

      Shukrani

    • @user-tt7cu2et1x
      @user-tt7cu2et1x 3 หลายเดือนก่อน

      H😂😂😂😂😂😂😂😂wallah ndto yake ilitimiaa mm ktka ndto yangu nataman kufka ital ama dubai ama canada nisikufe before cjakanyaga uko

    • @tunutamba3595
      @tunutamba3595 13 วันที่ผ่านมา

      @@masoudmohamed767 😀😀

  • @omarymsumi1865
    @omarymsumi1865 2 หลายเดือนก่อน

    Ww mabeste kavutwa na lakaaake yupo kule nasio mwanamke

    • @maulidjuma9203
      @maulidjuma9203 2 หลายเดือนก่อน

      Hakuna star hapo star awezi kwenda ulaya USA kutafuta kz yani akaanze zero mastar bongo tunawajuwa awezi kuafanya kz kwa 3000dola

  • @braggadachu1723
    @braggadachu1723 3 หลายเดือนก่อน +1

    Usenge tu😂watoto WA elfu mbili wamefanyaje

  • @OmariNkalami-nh6fl
    @OmariNkalami-nh6fl 3 หลายเดือนก่อน

    Mchongo mkumbwa😅

  • @EstherGodwin-ig6mt
    @EstherGodwin-ig6mt 2 หลายเดือนก่อน

    Slaves hameni wote mniache mm huku

  • @jaxmkada6797
    @jaxmkada6797 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ipo siku na mm nitakuwa ulaya jamaniiii

    • @user-kd5yi9jo1g
      @user-kd5yi9jo1g หลายเดือนก่อน

      Mimi mwenyewe baada ya miaka mitano uingereza mwananchi🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿👨‍👩‍👧

  • @kazimoto-eq2th
    @kazimoto-eq2th 2 หลายเดือนก่อน

    Aiseee kama hamjuagi ni kwamba Roma kavunjwa uume hawezi kufanya tendo la ndoa ndomaana hajamchukua mkewe kama uamini ipo ivo.

    • @racheljob6601
      @racheljob6601 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 daaah ila wabongo una ushahidi

    • @kazimoto-eq2th
      @kazimoto-eq2th 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@racheljob6601 kama hamuamini angalia roma hadi anakufa haji kukaa na mke na huko marekani hana demu na akiwa nae skendo tu ila ukweli.utakuja kuamini fatilia

  • @memoryeliass9558
    @memoryeliass9558 3 หลายเดือนก่อน

    stori zimezidi sana ndio maana unasahau watu. punguza mastori hayo.

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  3 หลายเดือนก่อน

      Sawa Elias

  • @faridaltamimi7454
    @faridaltamimi7454 3 หลายเดือนก่อน

    HUKU KUNAITWA MAMTONI HUWEZI KWENDA KUTAMBA NCHI ZA WATU

  • @husseinshamte7129
    @husseinshamte7129 3 หลายเดือนก่อน

    Sollo thang

  • @CatherineAlly-lx3fp
    @CatherineAlly-lx3fp 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huseni machozi

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  3 หลายเดือนก่อน

      Yupo kwenye previous video

  • @Official83640
    @Official83640 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kwahy Sonia na Tahiya washakuwa mastar eeh hd wanawekwa km wanaishi nje jaman wakati wanasoma tu basi muwekeni na Mtoto wa Manara na mie mniweke maana np nje mwaka wa 6 huu😂😂😂
    Solo Thang umemsahau au

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  3 หลายเดือนก่อน

      Si unawajua lakini!!! They are famous"

    • @Just_a_gal.
      @Just_a_gal. 3 หลายเดือนก่อน

      Ushaambiwa list ni ya Marekani na Ulaya tu,,sasa huyo mtoto wa Manara huko Asia anaingiaje humu

    • @Official83640
      @Official83640 3 หลายเดือนก่อน

      @@Just_a_gal.
      Sasa Sonia yupo Marekani umeambiwa 🤣🤣

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 3 หลายเดือนก่อน +2

    Gonja murusi atoe mamuzi mangumu wanze kuomba msanda

  • @GodenBMDaniel
    @GodenBMDaniel 3 หลายเดือนก่อน

    Mzee magari tukonaye hapa Illinois US, tunafanyanaye kazi pamoja.

  • @boubabizo246
    @boubabizo246 3 หลายเดือนก่อน

    Eti wanakimbia nini apa bongo? Kweli hilo swali? Wewe nikubebe dubai tu, utasepa bongo

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  2 หลายเดือนก่อน

      😄😄😄🤣🤣

  • @dorislema2465
    @dorislema2465 3 หลายเดือนก่อน +1

    Reyc yuko wapi?

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  3 หลายเดือนก่อน

      Previous video

  • @publicrelations4600
    @publicrelations4600 3 หลายเดือนก่อน

    Yaani unamuacha Hussein machozi unamuweka sonia sasa huyo demu usanii kaanza lini?

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  3 หลายเดือนก่อน

      Husein yupo kwenye previous video

  • @uriotv9989
    @uriotv9989 3 หลายเดือนก่อน

    Roma mkatoliki

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  3 หลายเดือนก่อน

      Yupo kwenye previous video

  • @user-yq2zp2lc9c
    @user-yq2zp2lc9c 3 หลายเดือนก่อน

    Tunamiss filam zako wewe namze magali

  • @vumbakingvumbaking9571
    @vumbakingvumbaking9571 3 หลายเดือนก่อน +1

    Izzo business na Abella

  • @johnny.j.nyondo
    @johnny.j.nyondo 3 หลายเดือนก่อน +1

    King GK. yuko wapi.

  • @user-sd8jz7zj2l
    @user-sd8jz7zj2l 3 หลายเดือนก่อน

    Mbn tunasikia Mzee magar kafa

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  3 หลายเดือนก่อน

      Yuko hai