Alichokisema Mzee wa Upako Baada ya ALI KIBA Kumchana
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025
- Alichokisema Mzee wa Upako Baada ya ALI KIBA Kumchana
Siku chache baada ya Mzee wa Upako, Mchungaji Antony Lusekelo, kusema kwamba mwanamuziki Ali Kiba ana maringo na anajisikia sana tofauti na msanii mwenziye Diamond Platnumz ambaye ni mtu mwenye upendo na watu wote, Kiba amemjibu mchungaji huyo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii.
GLOBAL TV imemtafuta Mchungaji Lusekelo na kuzungumza naye je ameichukuliaje hatua ya Kiba kumjibu na je anatoa ushauri gani kwa wasanii wa Bongo Fleva nchini.
lnstal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Mimi naona mzee yupo sahihi kabisa , hii ni sehemu ya kujifunza Kwa wasanii wetu, na wale wanaingia kwenye industry ya music na kazi zingine..... Tuondoe ushabiki na chuki Kwa mzee. Kama unaunga mkono gonga like hapo.
global tv mko kila mahali good work. kwa wanaopenda filamu za kibongo ingia kwenye ukurasa wangu uangalie bure kabisa
na Bado atazidi ku wazarau hivyo hivyo kulingana Na Upumbavu wenu we nyewe Team Kiba Gonga like ya nguvu kama upo sambamba Na Mimi.
#TEAM kiba oyoyoyoyo mikono juuuuuu mofayo 🍾🍾🍾🍾🍾🍾🥃🥃🥃
Oyoooooooooo👑👑👑👑👑👑👑
Alikiba wana mu challenge sana but mungu anazidi kumchania njia anazidi kubembea wakiona kuna wenye wanatamani atoeke duniani but hamutoweza ninyi wenyewe bro king mungu yuko pamoja nawwe pia tunakuombea kuna wachungaji wengine hawajielewi niwakina nan! duh!!!!!
Shelangwa Alex sadaka za watu hizo km unaweza kuwazaa kwa nn unamsema vibaya
Pole sana mzee mafuta yalisha kutoka mludie Mungu wako naee atakulidia inaonyesha wazi kabisa upako wa Mungu ulisha kutoka unachotumia kwa sasa niuzoefu tu umejaa hofu usoni Mungu ni mwingi wa huluma kumbuka niwapi ulipojikwaaa naeee atakulehemu
Mzee wa upako yupo sahii sana na hanachozungumza safi mzee wa upako hasiye kubali atakuja siku ataelewa nini unazungumza
mzee ni kweli umesema lakini hukutumiya hekma kama mzee umebezz sehemu moja na umebomowa sehemu nyengine.kwa Ushauri wa bure wewe ni mchungaji dill na kondoo wako kama Maadili yako yanavokuamrisha kama ni kweli Ali kiba ni kama mwanao Anahitaji heshma nayeye piya siyo kumropokeya kama uliyemzaa wewe heshma ni kitu cha bure.ilinde heshma yako kama watu wanavyokuheshimu Respect free for every one take cake Watakutowa nishai watoto hawo sasa wana pesa huwawezi.Adabu mfunze mwanao uliomzaa Ali kiba Ana wazee wake na Muelewa ungemwambiya kwa luha ya kiungwana Mngeelewana Heshma kwako mzee Bwana Asifiwe!!!
Yale majibu ya Alikiba sio kwamba Alijibiwa Mzee wa Upako.
Lile lilikua ni Jibu alilokuwa amewajibu Shilawadu.....
Hiyo mmewadanganya WATIZAMAJI.
OfficialBasaga hahaa kabisa pia niligundua alafu hizi media ndizo zinachochenga beef
Esta John_254
Media nyingi...hasa Online Tv wanalipwa na TH-cam kutokana na Viewers wao na Subscribers pia.
Kwahiyo wao kuna muda wanatunga stories ili kupata Attention kubwa ktk Account yao...
Mfano ni ktk Habari hii ya Alikiba kumjibu LUSEKELO
Mungu aku rehem mzeee badala uwa ambieee wana mzk wa okokeee una waambiaaa wameee imbaaa vzr san dah mungu ana kuona mzwe
Huyu Mzee anatafuta kiki kupitia kiba jaman muacheni king wetu ss mashabiki wake ndivyo tunavyopenda life style yake msitake kumpangia kama ya kwenu yamewashinda mnaanza kumsumbua kipenz cha watu huyo Mzee nadhan atakuwa na ugonjwa wa uchiz
Nakukubali sana lusekelo
Ila nyinyi waandoshi niwachonganishi sana kiba namkubali ila ukisikuliza mahojiano anapenda kujibu mukatomkato hukosawa kabisa mchungaji
Safi sana mzee wa upako
uyu mzee namuelewaga sana. ❤
Latifa Abdalla
Unamuelewa chizi huyu
Latifa Abdalla
Unamuelewa chizi huyu
mzee wa upako yupo sahihi kabisa,alikiba ni kweli anajisikia sana
Huyu mzee ana mambo ya kiboya san, yann kufatlia maisha ya wasanii akat lenyew linamtumikia mungu wake tumbaku na malo kabsa
Mchungaji nimekuelewa sana wewe ndio mchungaji bora kwasasa duniani hakuna kama wewe naunaenda peponi tena fridaus kabisa 🙏
Kweli Ali anazarau sana
Fgjj Gbnko ukweli kabisa
Maringo ndio yamemfanya kiba ameachwa na Mond amekua mbinafsi sana anataka yeye mwenyewe tu tofauti na Mond
boya kama hyo mchungaji wako
Nasri Nassor 😂😂😂
yani we ndo nimekupenda mtangazaji wa global tv online wengine chenga tu well done keep it up
wallah nakuelewa sana mzee wa upako kuna wachungaji wengine wanajifanya km wanaishi mbinguni wakati wanajua kilakitu lkn awataki kusema lkn ww ndio mchungaji bna waukwel
Latifa Abdallah
Hii kali pastor na wasanii wa mziki wa kidunia wapi na wapi eeh Mungu tufungue macho tuone tunakoelekea!
Mzee anaongea ukweli tunayaona sana uyasemayo hakuna cha nini wala nini kama mchungaji asiseme ukweli kwake hawa kama watoto wake
mzee upo sahihi hauishi juu mbinguni...anaekubishia aweke interview ubishi uishe....
Hana kitu huyo mzee...
Mtumish wa mungu na hayo mambo wap na wap.
Mzee wa upako hujuagi kupindisha maneno safi kibakuli amepanic😂😂😂😂
Kiba kapanic kwan kamjibu nn maana huyu mzee kaongea anajijibu yeye tu kiba hajamjibu kitu
😂 😂 😂
Mzeee uliuliza swali kweli lkn ujibuj c Mzuri kusema kwamba Mtu flan ataishi pabaya kauli c Nzuri muhukumu ni mungu aujuae mwisho WA mtu
uko right mzee wa upako
Mbona unamfatilia sana kiba Fanya yako mzeee achana na mtoto wa wawatu
Nikweli kabisa mchungaji
Hatareeee
Tenaaaaaa wapo waimbaji wazuri tu nawanaimba vizuri sana kuliko uyo alikiba wacheni iyo kibaweeee king kiba hanaga magaga yapua namafua alikiba ali kiba ni bora aitwe kibaka tuuu ndio jina litamfaa mana hana afabu analeta jeuri na batara
Mzee upo sahihi sana na hapo wote waliokuina unatafuta kiki basi imewachoma
Ivi mze ata ayibu huna mtu mzima kama wewe ulivyo jiita tena mchungaji kutafuta #Kiki kwa watoto wadogo huna ayibu mze vipi wewe achana na ilo jina LA #KingKiba bhana #PambanaNaAliYako 🤔😏😏😗😗 +1
Kweli kabisa mzee baba
Hatupendi mazoea #TEAM KIBA🔥🔥🔥🔥
We mzee unatafta pepo bada yakuelimisha unapotoshaa kwan naww Mbaguz 😂😂😂😂😂mchungaji mungu anakuona
Acha uxhamba wewe pambana na Hali yako
Mchungaji ukosawakabisa nakuli sana
noma
conscious
Inawezekana mtu akawa si kiongozi wa imani wa mtu mwingine, lakini kijamii anapoona mapungufu kwa mtu anahaki ya kueleza au kuonya, tazito ni pale mtu anapoingilia mawozo ya mtu mwingine, hayo ni mawazo yake na msimamo wake aonavyo, matusi yanatoka wapi?
MZEE WA upako baba,shikamoooo,from team mond bin ladeniiiii
Mm nakumbuka diamond aliwai kukashifiwa na shehe kipozeo ,kwa hekima diamondi alinyamaza .lakini kiba mchungaji alieleza tu maoni yake kudhiirisha kiburi chake akatoa mapovu.alikiba anakiburi huwo ndiyo ukweli
Point mzeewangh nimekupata
nimeamini alikiba akifanya jambo mji wote unajua safi sana kingkiba #mo fayaaa
Noma
Kwenye ukweli umesema ukweli
Acheni uzinzi wasani😂😂😂😂 nimeipenda point
akiulizwa A anajibu BEE
😁😁😁😂😁
Mzee umeishiwa Fanya yako by team kiba
Kweli mzee kabsa
Kiba usimjibu nimegundua anataka kiki kwenye ndege achananaeeeeee vileo vingi kiba we unahekma zaid ya yy mwenye uwezo wa kuwazaa mwache abwabwaje biga kazi
Mhhhhh humpendi kiba humpendi tuuu chunga Kondoo wa Mungu tuuu mzeee
Angalia ya kainisani YA KING KIB TUACHIE WENYEWE...Fanya yanayokuhusu ..
mzee wa upako nakulewa mzee wangu😀😁
ki uhalisia ally kiba inamlazimu ajirekebishe lisemwalo lipo .na diamond yupo mbalisana kwa kilakitu ukilinganisha na ally kiba.munamuita king kwakua hamujielewi coz wimbo mmoja wa diamond ni sawa na nyimbo nne za allykiba .ninyi musimfananishe diamond na ally wapo tofaut sana ally aanze kufananishwa na hamonyz n.k hana lolote hata kama akilala makaburini musahau hato mkuta diamond yupo mbali na kesha jijengea misingi imara n.k
Chande Chande exactly
Chande Chande kila mtu na bahati yake si kwamba eti ukiringa hufanikiwi jmn mbn tunadanganyana ktk uhalisia hilo halipo ila kuna baadhi ya watu usipomzoea utasema anaringa
Chande Chande
ww chupi 2
Pole mzeee huma jipya Fanya utume wako hivi unaweza ukajibu swari km hilo? ungejuwa jinsi yakujibu pengine uliomba sadaka Jamaa akakutolea ukakasilika jikite sehem 1
Tatzo sio kila kitu unachoulizwa lazima hujibu vingne ni vya ndani waandish wenyewe hawajui kuuliza maswal sio kila kitu uweke public so kila mtu anamaisha yake kma yy hapend kuweka maisha yake public well n good kma ww unapenda kuweka yako kwenye public pia well n good
Interview ya alikiba ilianza kabla ya mzee wa upako, mbona mnachonganisha nyinyi??? Ali kamjibu WAP??? Interview ya Ali ni ya zamani sana
Mzee wa upako angeachana na kujibishana na watoto hao maana wanaweza kumdhalilisha, hayo ni maoni binafsi
Mzee wewe mbona unapenda kiki acha kupanda mazabahuni, Upige basi bongofleva maanake unapenda kiki kupitia wasani
toka zko mtu mzima ovyoooooooooo,ungejua ivo usingekua mnafiki mchungaji hua hasengenyiiiiiiii😁😁😁
Dah!we mzee nimekushusha dhamani sna ivi upite usome comment za wtu uku utaomba msamaha kwa kiba alafu nakushanga sna unaangaika na media kumwongelea kiba alafu yy akujibu yaani kweli we shoga baba
Sasa kati ya diamond na kiba nani mzinzi? mbona mzee anafeli mwenyewe hapa upako hamna nahisi sadaka yangu hiyoooo
ni kweli mzee.. alikiba ana jifanya ni expensive sana .dharau nyingi.
Huwezi kuzaa chibu Wala kiba utazaa kizazi chako chenye laana na maarifa yako...acha tenzi za kuwaogopesha na uhenga wako..kwanza we dogo tu wanaowalea hao madogo wana watu wazima zaidi yako wew.
u team unatusumbua sana, interviews zote nimeziangalia mzee kaongea vitu vya kawaida,..tatizo la kiba bado tu anaishi na ule ukariakoo mwingi..tukiacha u team basi tutaliona hilo..
mzee upo kweli na unayo yasema ya kweli kabisa
Mzee wa upako umevaa cheni .unatafuta kiki wewe kwa wasanii kwan we si mlokole okoka kivyako bana .naona unavaa adi cheni😀😀😀
Askof Wa dar kwan ajab kuvaa cheni, coment vtu vyaakili kidogo bc, mbn ww unae shanga kiunon
Dauson Nelson we choko nn status ya mke wang
Askof Wa dar Kwenye kweli weka kweli mambo ya cheni ni vazi tu haituhusu sisi na ulokole ni nafsi tu.
Mmmh! Ata mapasta wengi walipanda kisha wakashuka kwa uzinzi!
Acheni matusi kumtukana mzee wa watu kuaeni na adabu aliulizwa swali akajibu kutokana na mtazamo wake na wandishi waabari wanamfata wala sio kiki ....na aliwambia wote waache uzinzi ...si shangai cos hapo zimechangamana na roho za kimapepo
Watangazaji muache maswali ya uchochezi. Watu wote hatuwezi kufanana tabia na matendo. Mungu katuumba mwa njia tofauti. Na wewe mzee wa upako siyo mtakatifu. Hivi wewe unafikiliya matendo yako /tabia yako anafanana na Muchungaji Kakobe, Muchungaji Gwajima, Pastor Tb Joshua? Ma presidents Magufuli, Kikwete, Mukapa, hawawezi kufanana tabia na matendo. Why judging people if you are a real man of God?
Ukweli utabaki kuwa palepale kiba akubali udhaifu wake, usipokubali udhaifu wako huwezi badilika ktk maisha.
Ila kweli alikiba anamajivuno sana
Mzee unaweza kumzaa Ally wew kweli
asa mlitaka ajibuje mlivomliza ilo swali tim kiba wote mnawazim mnapenda misifa sana
Umezeeka kwa ajili ya kilaji mzee
kwel kabisaaa kiba anajisikia sana ndo maana simba anamkimbiza
Diamond acha uzinz alikiba acha dharau message sent
aisee media achen uchanganishi mbna kuna issue nying za kuongea hamuoni ka tumechoka sasa kurudia kila siku comparison ya haawa watu
ww mze unalana yani ata aibu auna unabishana na watoto jeshimu sasa ww mziki wapi na wapi alikiba usijibu sadaka za watu zime mzulu alikiba anatafuta kwa njasho lake
Idaya Key safi sn
ahahahahahahaaaaaaaaaaa eti benpol ka mtu ka Dodoma
Majid Frolian ahahahahahah
Haaaahaaaaa
Wewe unachungaji wewe muuni tu uwezi kumwambia mtu anaishi k/koo maisha upangi wewe anapanga mungu mbona wewe unajiona kama umemaliza fala wewe ujitambui
uyu kweli chapombe
Afanye kazi ya Mungu asee huku anakojileta siyo kwake
Uko vzr mzee wa upako
huyu nae anabishana vipi na msanii wa mziki?
Mzee wa upako huna adabu
Mzee wewe jiheshim sana mbona unajitoa ufaham sana fanya yako yanayo kuhusu wewe mzee wa upaku au mzee wa umbea
wandishi wa habari munachangia huchonganishi kwa nini munauliza maswali yasiyo ya msingi
Waandishi wa habari nao wanatafuta kiki aisee
Garena Ali kweli sana wanachangia matatizo mengi kwa jamii
Uyu mbaba maisha yanamchanganya Kiba kama vipi mpe mtaji mzee guy awe distributors wa Mo-moto
sidani kama ni mutumishi wa mungu
Nakuunga mkono mzee,
Huyu mzee ni pastor ama ni msanii wa bongo fleva?he has to speak the word of God not fighting with ali kiba......
Hajielew
Bangi mbaya sana laana za pesa za watu unao wadhurumu izo chapombe 😀😀
Genius
hiyu mzee vip
Uyu mzee kaanza kuchanganyikiwa
Unaacha kuliombea Taifa lisiingie kwenye mgawanyiko, ndo kwanza unakuwa wa kwanza kugawa raia...
yani huyu mzee jina Alikiba kama vile amelinywa kwenye chai kalitaja mara 60. kwenye interview yake.
Usipende kumzungumzia kiba.
Itakughalim... Maana kiba anaweza asikujibu.. Ila sisi mashabiki Wa kiba.... Tutakutoa nyongo... Ona unavyo tukanwa sasa
Josep Lihiru sasa ata mkimtukana amekuzidi kila kitu hahaha
M binafsi siwez kumtukana.. Ila namuonea huruma maana niliaza kusoma comments kabla cja comment...
Mzee anajielewa sana, ukweli upo wazi
Huyu mzee mandazi tuu sjui mmekosa wa kufanya nao interview ktumalzia Mb zetu bure postin vitu vya maana kliko huyo mzee ama kwel nyan haon kundule mcheki mwenyew anavo ongea kwanza halaf mtapata jibu acha tu kukuza mamb