Unayoyasema ni ya kweli mtumishi wa mungu sasa baba naamini una imani kubwa mimi nnakuomba unipe basi hata kagari kamoja mimi ni mzee kaweze nipeleka kanisani na hospitali mungu akubariki sana
si kila mtu anayetii maagizo ya Biblia anatajirishwa! kuna watu wengi waaminifu lkn maisha hao ni magumu! hvy hatutii neno la Mungu ili tufanikiwe ktk maisha! bali tunatii maagizo ya Mungu kwa sababu ndivyo Mungu anavyotusihi! ukifundisha watu hvy eti kila mtu anayetii Neno la Mungu atatajirishwa huyo mtu akiwa mwaminifu half asitajirishwe atamwona Mungu ni tapeli na mwongo! Maandiko Matakatifu yanatuambia "Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa" Mathayo 6:33
Daah! Hatari MUNGu atatuchoma mzee wa upako amenogewa na raha za dunia mpaka inafika mahali anasema wazungu wanataka ibadili dunia kuwa kama mbinguni huko ni kukufuru
Yaaani wewe, kote huko, katika yote hayo mazuri aliyoyaongea ya kifalme na ya maana sana ulikuwa unatafuta tu mahala utakapo hukumu tu... Umashida sana ndugu, Nadili mtazamo wako and stop being pessimist man.
Jamani cardilac hata kwa magari luxury haipo ila watz bhana ya marekanin yapo kila kona ni family car wala waru mashuhuru hawalinunui ... jamani shida kweli ... ila mbarikiwe jamani
Wewe ni mkundu (Benz,range,buggati, Lamborghini Cadillac Escalade CTS, Ferrari, McLaren, Hummer, Tesla na Aston Martin one ndio magari ya kifahari duniani (, Google bei ya Cadillac Escalade CTS toleo la 2021 uone bei yake)
Mzee kapotea mambo ya kujisifia magari na uchungaji wapi na wapi kweli kweli tunapigwa kwanza mchungaji renji la milioni 300 la nn wakati kuna washirika wanakosa hata 10000 ya matibabu hawana mi ndo makanisa haya siyaamini kabisa
Hivi watumishi wa Mungu kwa nini mnakosa Hekima? hivi kweli mtumishi wa mungu atajitokeza katika mitandoa na kuzumgumza mambo ya anasa tu " mtumishi unahojiwa na mada ya gari kweli!! "
Hata we we ni mzee sana wacha kuonea matinega wivu Diamond anaimba amepewa Talent na mwenyezi mungu,kwanza anajiita pastor wa upuzi ama acha na ndunia ,wamwisho ndio watakuwa wa kwanza na wakwanza ndio watakuwa wamwisho endelea kula pesa yako peke yako wachana na the boy Diamond its his tyme nie nenda retire watching from Germany Kenya🤬
Maisha ni imani.Ishi vile unavyo amini,ndipo utakapo fanikiwa.Mtu anaamini kupitia mchungaji nitakutana namatokeo mema ya maisha yake wacha aamini.Wapo wanaoamini bila kwenda kwa waganga hawawezi kufanikiwa.Naukiangalia mganga hata kiatu kizuri hana anakuambia utapata gorofa wakati yeye yupo nyumba ya nyasi.Maisha ni imani.
Sioni mtu wa Mungu hapa, ninachokiona hapa ni mtu mmoja anatumia jukwaa la dini kutajirika. Wapo wengi wa aina hii. Hata kwenye Uislaam sasa kidogo kidogo kumeanza mtindo wa masheikh kujitajirisha.
hongera sana mzee wa upako hiyo ni sawa kabisa mtumishi wa Mungu pokea upako zaidi
Unayoyasema ni ya kweli mtumishi wa mungu sasa baba naamini una imani kubwa mimi nnakuomba unipe basi hata kagari kamoja mimi ni mzee kaweze nipeleka kanisani na hospitali mungu akubariki sana
Unatumia jina la yesu kupata utajiri na kuwadanganya wagonjwa na dhaifu kwa imani zao ole wao.
Saidia watu wenye makanisa madogo sapoti mabati hata kiwanja.fanya hiyo uwe na taji.usisifire nagari tu. Saidia baba
😁thubutu
Mvuta bangi huyu
Amina napokea na pia tukutane mbinguni badaye Mungu n mwema
Barikiwa mtumishi
Tuna mtaka mungu na SI magari Yako baba hayo hayatusaidii
Gwajima anamiliki Hummer, helcopter na nyumba ghorofa apo unamzidi kweli
Huyu Mchungaji bhana anaongeaga point sana af utani mwingi😀😀😀
Nayapenda maisha yako mzee wa upako
Sasa dimond kanunua juzi Tanzania nzima wanajua wakat mzee wa upako anayo na tulikuwa hatujui 🔥🔥
Watu wengine ndg yangu akil hawana ... We acha tu
Mzee wa upako ni miongoni mwa wachungaji ambao nawakubali sana kinywa chako kinanena maneno yenye HEKIMA sana
Wewe ndio mchungaji wetu unatutia moyo sana unatufundisha namna ya kupambana na maisha💪
Pole
Tunakunywa naye konyagi sana huyu mwamba, siyo mchoyo wa pombe
Safi sana mzee wa upako kwa ujumbe mzuri
Mtumishi Mambo Mengi muda mchache 😂😂
Pastor ,aiseee ubarikiwe kwa kauli ya kuitwa na Mungu imenigusa kweli,Kama hujaitwa utahangaika hangaika tu na kujipa vyeo ambavyo sio unakuwa tapeli
Ela za wahumin daah ney aliona mbali
Mzee wa upako umetisha! Tuombeane katika utumishi wa Mungu
Mungu akubariki
Hongera yake
AMINA mi mwenyewa mzee was upako uliniombea nna michuma mpka mingine nimegawa na nahauna masharti yeyote na mzee wa upako hadai fidia ukifanikiwa
Nipe moja bac, hata baiskel yakwenda chuo
Wito...Uaminifu na unyenyekevu.
This very true
Uyu mchungaji aliwahi kusema anapenda konyagi
Sema watu wapone😄😄😄
Amen Mungu ni Mwema na mwaminifu
Sadaka za watu hizo hongera sana
Namkubali sana mtumishi
Wewe no mshamba Sana mzee
Hizo sote ni pesa za waumini,, sadaka 🙏🙏🙏🙏🙏
Sisi tunaotoa hatuumi mbona unateseka?
Wewe ukisema Mimi ni mchungaji wa kwanza kununua benzi na jery ngwamba atakuwa wa ngapi uongo huo
Si anipatie moja mimi
Alieskia chai jaba na nungaembee anipe like😂😂😂😂😂
Chanzo chako cha mapato ni nn?
Big up mzee wa Upako
Ujanja unamsaidia mzee wa upako
Hongera mzee wa upako
Mzee wa upako baba wa kiroho umenifundisha ki2 kizuri sana kwamba ukitaka kuongea na Mungu ingia sehemu 2livu chumbani na omba asante sana baba
Asante sana Baba
Ameen
Duh noma
Uko sawa mzee wa upako,uko vzr chifu wewe hela unazo siku nyingi
Hongela mzee upo sawa
Mungu ameahidi kumtajilisha mtu yeyote anayetii Biblia inasema mkitii mtakula mema ya nchi
Umenena dada
Si Kweli
si kila mtu anayetii maagizo ya Biblia anatajirishwa! kuna watu wengi waaminifu lkn maisha hao ni magumu! hvy hatutii neno la Mungu ili tufanikiwe ktk maisha! bali tunatii maagizo ya Mungu kwa sababu ndivyo Mungu anavyotusihi! ukifundisha watu hvy eti kila mtu anayetii Neno la Mungu atatajirishwa huyo mtu akiwa mwaminifu half asitajirishwe atamwona Mungu ni tapeli na mwongo! Maandiko Matakatifu yanatuambia "Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa" Mathayo 6:33
Daah! Hatari MUNGu atatuchoma mzee wa upako amenogewa na raha za dunia mpaka inafika mahali anasema wazungu wanataka ibadili dunia kuwa kama mbinguni huko ni kukufuru
Yaaani wewe, kote huko, katika yote hayo mazuri aliyoyaongea ya kifalme na ya maana sana ulikuwa unatafuta tu mahala utakapo hukumu tu...
Umashida sana ndugu,
Nadili mtazamo wako and stop being pessimist man.
Mungu anakuona amina
Umeongea point sana mzee
I guess it is kind of randomly asking but do anybody know of a good website to watch new tv shows online ?
@Jaxx Wade Ehh I'd suggest Flixportal. you can find it thru google =) -pedro
@Pedro Emmett thank you, I went there and it seems like a nice service :D I really appreciate it!!
Ni kweli kabisa na uzidi kubarikiwa
Mungu akupe miaka mingie uko vizur
😅😅😅 Haleluya
Amen
Tapeli ww akunamtumishi apo usimchezee mungu
Subiria moto tu mtu wangu
Hela zakondoo hahha
Baba yangu wa imani aliniombea nipate nyumba na nikapata kweli mungu azidi kukuinua baba
Alikuombea ukapata nyumba bila juhudi zozote?🤣🤣🤣
Nimeichukua hiyo "ukitembea na waridi utanukia"
Kila mtu anaenda kwa Mchungaji anayemuamini yeye.
Wewe kama utaona unaibiwa acha kwenda huko hujalazimishwa na mtu.
Hahahhaahhaha fact
Akili kubwa sana wewe
Kabisa
Hatar Sana
Kazi njema ya Bwana Mungu
Anamzidi ngwajiboy kwa mbalii sana huyu hakuwahi kuwaza ubunge
LUKUSEKELO NAKUEKEWA SANA KAKA
Mmesahau akina joedev
Morning sasa mtumishi hujui gari lako
Kweli kabisa baba
Mzee msimuonee, mbona wengine hawatozi hizo sadaka wakanunuwa magari kama yake? Wivu tuu, wivu tuu. Mzee paaa tuu upo sahihi
Mchungaji ananunua gari waumini wanakula mrenda 😀😀😀😀😀😀😀😀
Safiii mzee
Safi sana baba yake na nabii shila mwanao nabii shila atasubiri hapa na mbagala
Mzee wa upako ww jembe kweli SASA umesomesha watoto wangapi yatima? Hio ndio sifa. Maendereo pia ni mema Sana. Bado ndege Mzee wetu.
Namashaka sana nahuyu mchungaji kwann anamchukia sana daimond🤔🤔🤔
Basi sawa
Maneno yako ya na baraka sana
Hapa kazi tu na kazi liendelee
Yani gari ina tv 4 jmn M ungu tuonee n sisi hawa Watu ulowaenuwa wapee ujasiri watusaidiyee na sis
Kwani mbona Ibrahimu alibarkiwa utajiri
Kwel ni neema kwa mungu hakuna kinacho shindikana
Ni kweli habari hiyo!!ya maandiko!!
Am xorry understand the word
Hubiri neno ,mwenye upako ni Yesu siyo maji
Nimecheka sana,ila good point.
Kujitapa si tabia ya kiungu , naona kila siku kujitapa na mali tu tutaziacha Dunian tengeneza njia ya mbinguni
Ngoja nikuhulize pasta kati y'a kuomba mungu wama babu nakuomba mungu wa isaka nayakobo kati yahawa wa 2 nani anahomba vizuri mbele yamacho y'a bwana
Ukitaka kujua na kumjua Mungu wa kweli nitafute nikupe ufaham bure utakusaida
@@chrismassawe326 0788327252 naomba unibp nkupgie unipe akili na maarifa
@@gosbertmuta5421 0718338222
Umenifurahisha saana kwa mamiss hapo
Wewe mwenyewe unawadanganya, nenda zako kuzimu huko
Zikuamini Mimi Niko kenya
Mchungaji wa kwanza,kupiga konyagi🤣🤣🤣
Hahaha
😂😂😂😂
Mungu akusamehe
hy muongo amna lolote😂
Mawazo ya zwazwa ayo
Mzeee wa upako umetisha mzee Ila Napendaga sana ukianza ku unguruma vyenye vipindi vyako
Japo sio muumini wake nimemwelewa ila wenye wivu hawatamsikiliza barikiwa
huyu jamaa ana siri moja na diamond
ndio zao hizo .
Sio wakawaida minazifam pesa zamajin
inawezekana itakuaje mtumishi wamungu ashindane na msani wakidunia kisa kahuza gari labei kali
Ndo maana wanatunishiana misuri
@@michaelsamson9663 Asante
Jamani cardilac hata kwa magari luxury haipo ila watz bhana ya marekanin yapo kila kona ni family car wala waru mashuhuru hawalinunui ... jamani shida kweli ... ila mbarikiwe jamani
we unalo ?
Kwenu Tz ziko ngapi?
Kwani umeambiwa ni Marekani hapa?
Wewe ni mkundu (Benz,range,buggati, Lamborghini Cadillac Escalade CTS, Ferrari, McLaren, Hummer, Tesla na Aston Martin one ndio magari ya kifahari duniani (, Google bei ya Cadillac Escalade CTS toleo la 2021 uone bei yake)
haipo Cadillac...hauko serious ww
Nakupenda sana mzee wangu
Mzee anamambo ya muhimu asee
safi sana
Mzee kapotea mambo ya kujisifia magari na uchungaji wapi na wapi kweli kweli tunapigwa kwanza mchungaji renji la milioni 300 la nn wakati kuna washirika wanakosa hata 10000 ya matibabu hawana mi ndo makanisa haya siyaamini kabisa
Kila kitu kina sehemu yake, kama una pesa so mbaya kukaa vizuri. Vitu vizuri Ni vya kwako pia.
@@liberatusmassawe5601 unatetea wapigaji endelea kupeleka sadaka bwana atakubariki
@@liberatusmassawe5601 unatetea wapigaji endelea kupeleka sadaka bwana atakubariki
Fungu la Kumi na Sadaka za Siri.... Hela ya Wajinga huliwa na Welevu...
Antony Mungu anakuona.
Ulipe kodi.
Mnauliza diamond ni nn?
Hivi watumishi wa Mungu kwa nini mnakosa Hekima? hivi kweli mtumishi wa mungu atajitokeza katika mitandoa na kuzumgumza mambo ya anasa tu " mtumishi unahojiwa na mada ya gari kweli!! "
Hata we we ni mzee sana wacha kuonea matinega wivu Diamond anaimba amepewa Talent na mwenyezi mungu,kwanza anajiita pastor wa upuzi ama acha na ndunia ,wamwisho ndio watakuwa wa kwanza na wakwanza ndio watakuwa wamwisho endelea kula pesa yako peke yako wachana na the boy Diamond its his tyme nie nenda retire watching from Germany Kenya🤬
Huwa namuielewa sana Mzee wa upako, huwa anazungumza uhalisia wa mambo
Kwa mara ya kwanza hamjanidanganya nyie ptv waongo ongo.
Tulilieni ufalme wa mungu kuliko ufalme wa duniani
Kwa mjibu wa bibilia juu ya wachungaji 50 6 yeremia watuwangu wamekua kondoo walio potea wachungaji wao wamewapoteza
Piga ela za maboya then katambe.....hahahaa kwel kila mtu ana njia zake za kujipatia kipato
Mustapha sana usemavyo wajinga ndiyo waliwao
Hela za maboya kama wale maboya wa misikitiini waliopigwa hela na Dr.Sule
Maisha ni imani.Ishi vile unavyo amini,ndipo utakapo fanikiwa.Mtu anaamini kupitia mchungaji nitakutana namatokeo mema ya maisha yake wacha aamini.Wapo wanaoamini bila kwenda kwa waganga hawawezi kufanikiwa.Naukiangalia mganga hata kiatu kizuri hana anakuambia utapata gorofa wakati yeye yupo nyumba ya nyasi.Maisha ni imani.
@@highvoltages4169we umejuaje dokta sule au we muislamu ??
Sasa uyu anamzidi rwanjima?
Sioni mtu wa Mungu hapa, ninachokiona hapa ni mtu mmoja anatumia jukwaa la dini kutajirika. Wapo wengi wa aina hii. Hata kwenye Uislaam sasa kidogo kidogo kumeanza mtindo wa masheikh kujitajirisha.
Hi