#EXCLUSIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 428

  • @richardmollely2933
    @richardmollely2933 2 ปีที่แล้ว +1

    hongera sana mzee wa upako hiyo ni sawa kabisa mtumishi wa Mungu pokea upako zaidi

  • @dorothmtenga5934
    @dorothmtenga5934 3 ปีที่แล้ว +11

    Unayoyasema ni ya kweli mtumishi wa mungu sasa baba naamini una imani kubwa mimi nnakuomba unipe basi hata kagari kamoja mimi ni mzee kaweze nipeleka kanisani na hospitali mungu akubariki sana

    • @mariaclaver7721
      @mariaclaver7721 3 ปีที่แล้ว

      Unatumia jina la yesu kupata utajiri na kuwadanganya wagonjwa na dhaifu kwa imani zao ole wao.

    • @rosendanshau2751
      @rosendanshau2751 3 ปีที่แล้ว

      Saidia watu wenye makanisa madogo sapoti mabati hata kiwanja.fanya hiyo uwe na taji.usisifire nagari tu. Saidia baba

    • @saleheinnocent7636
      @saleheinnocent7636 2 ปีที่แล้ว

      😁thubutu

    • @mwamakaassely2260
      @mwamakaassely2260 8 หลายเดือนก่อน

      Mvuta bangi huyu

  • @jonathanjocksonmushi9518
    @jonathanjocksonmushi9518 3 ปีที่แล้ว +5

    Amina napokea na pia tukutane mbinguni badaye Mungu n mwema

  • @JosephSimiyu
    @JosephSimiyu 2 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa mtumishi

  • @williamkitigwa-ex8rt
    @williamkitigwa-ex8rt ปีที่แล้ว +1

    Tuna mtaka mungu na SI magari Yako baba hayo hayatusaidii

  • @simpleboytz255
    @simpleboytz255 2 ปีที่แล้ว +2

    Gwajima anamiliki Hummer, helcopter na nyumba ghorofa apo unamzidi kweli

  • @user-ot2io4cy6w
    @user-ot2io4cy6w 3 ปีที่แล้ว +7

    Huyu Mchungaji bhana anaongeaga point sana af utani mwingi😀😀😀

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 3 ปีที่แล้ว +3

    Nayapenda maisha yako mzee wa upako

  • @agaaah6697
    @agaaah6697 3 ปีที่แล้ว +7

    Sasa dimond kanunua juzi Tanzania nzima wanajua wakat mzee wa upako anayo na tulikuwa hatujui 🔥🔥

    • @EREVUKATV
      @EREVUKATV 3 ปีที่แล้ว

      Watu wengine ndg yangu akil hawana ... We acha tu

  • @geofreyfelix86
    @geofreyfelix86 3 ปีที่แล้ว +7

    Mzee wa upako ni miongoni mwa wachungaji ambao nawakubali sana kinywa chako kinanena maneno yenye HEKIMA sana

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 3 ปีที่แล้ว +16

    Wewe ndio mchungaji wetu unatutia moyo sana unatufundisha namna ya kupambana na maisha💪

  • @saidmganga3597
    @saidmganga3597 3 ปีที่แล้ว +4

    Safi sana mzee wa upako kwa ujumbe mzuri

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi Mambo Mengi muda mchache 😂😂

  • @revocatuskakulu1854
    @revocatuskakulu1854 3 ปีที่แล้ว +1

    Pastor ,aiseee ubarikiwe kwa kauli ya kuitwa na Mungu imenigusa kweli,Kama hujaitwa utahangaika hangaika tu na kujipa vyeo ambavyo sio unakuwa tapeli

  • @cleartzboy
    @cleartzboy 2 ปีที่แล้ว +1

    Ela za wahumin daah ney aliona mbali

  • @elibarikichengula1546
    @elibarikichengula1546 3 ปีที่แล้ว +3

    Mzee wa upako umetisha! Tuombeane katika utumishi wa Mungu

  • @rukizaseba5741
    @rukizaseba5741 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akubariki

  • @angelmwakalonge9564
    @angelmwakalonge9564 3 ปีที่แล้ว +3

    Hongera yake

  • @georgepalanjo1476
    @georgepalanjo1476 3 ปีที่แล้ว +6

    AMINA mi mwenyewa mzee was upako uliniombea nna michuma mpka mingine nimegawa na nahauna masharti yeyote na mzee wa upako hadai fidia ukifanikiwa

    • @dennislyatuu7259
      @dennislyatuu7259 3 ปีที่แล้ว

      Nipe moja bac, hata baiskel yakwenda chuo

  • @bevingtonjumaa7028
    @bevingtonjumaa7028 3 ปีที่แล้ว +14

    Wito...Uaminifu na unyenyekevu.
    This very true

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 10 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu mchungaji aliwahi kusema anapenda konyagi

  • @monicalaizer7596
    @monicalaizer7596 ปีที่แล้ว +2

    Sema watu wapone😄😄😄

  • @Dr.frankrichard
    @Dr.frankrichard 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen Mungu ni Mwema na mwaminifu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 ปีที่แล้ว +1

    Sadaka za watu hizo hongera sana

  • @angeljasson4376
    @angeljasson4376 3 ปีที่แล้ว +1

    Namkubali sana mtumishi

  • @kaskazpsjaphetwillfred4979
    @kaskazpsjaphetwillfred4979 3 ปีที่แล้ว

    Wewe no mshamba Sana mzee

  • @esthermoraa6648
    @esthermoraa6648 3 ปีที่แล้ว +8

    Hizo sote ni pesa za waumini,, sadaka 🙏🙏🙏🙏🙏

    • @tumainsawe6960
      @tumainsawe6960 3 ปีที่แล้ว

      Sisi tunaotoa hatuumi mbona unateseka?

  • @jaziherminiomorasmoras1715
    @jaziherminiomorasmoras1715 3 ปีที่แล้ว +1

    Wewe ukisema Mimi ni mchungaji wa kwanza kununua benzi na jery ngwamba atakuwa wa ngapi uongo huo

  • @oboteobote1696
    @oboteobote1696 2 ปีที่แล้ว +2

    Si anipatie moja mimi

  • @nataliakenny5029
    @nataliakenny5029 3 ปีที่แล้ว +2

    Alieskia chai jaba na nungaembee anipe like😂😂😂😂😂

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 3 ปีที่แล้ว +1

    Chanzo chako cha mapato ni nn?

  • @mussamabawa2973
    @mussamabawa2973 3 ปีที่แล้ว +1

    Big up mzee wa Upako

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 3 ปีที่แล้ว +12

    Ujanja unamsaidia mzee wa upako

  • @josephsira1584
    @josephsira1584 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera mzee wa upako

  • @Deonfnyoni
    @Deonfnyoni 3 ปีที่แล้ว +6

    Mzee wa upako baba wa kiroho umenifundisha ki2 kizuri sana kwamba ukitaka kuongea na Mungu ingia sehemu 2livu chumbani na omba asante sana baba

  • @bensoneleutely9506
    @bensoneleutely9506 3 ปีที่แล้ว

    Asante sana Baba

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily4262 3 ปีที่แล้ว +4

    Ameen

  • @dannyboytz6198
    @dannyboytz6198 3 ปีที่แล้ว +2

    Duh noma

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 3 ปีที่แล้ว +7

    Uko sawa mzee wa upako,uko vzr chifu wewe hela unazo siku nyingi

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 3 ปีที่แล้ว +14

    Mungu ameahidi kumtajilisha mtu yeyote anayetii Biblia inasema mkitii mtakula mema ya nchi

    • @matundumgweno4533
      @matundumgweno4533 3 ปีที่แล้ว +2

      Umenena dada

    • @gracekagoma3231
      @gracekagoma3231 3 ปีที่แล้ว

      Si Kweli

    • @witneskilinda5034
      @witneskilinda5034 3 ปีที่แล้ว +1

      si kila mtu anayetii maagizo ya Biblia anatajirishwa! kuna watu wengi waaminifu lkn maisha hao ni magumu! hvy hatutii neno la Mungu ili tufanikiwe ktk maisha! bali tunatii maagizo ya Mungu kwa sababu ndivyo Mungu anavyotusihi! ukifundisha watu hvy eti kila mtu anayetii Neno la Mungu atatajirishwa huyo mtu akiwa mwaminifu half asitajirishwe atamwona Mungu ni tapeli na mwongo! Maandiko Matakatifu yanatuambia "Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa" Mathayo 6:33

  • @emmanuelndembeka6751
    @emmanuelndembeka6751 3 ปีที่แล้ว +18

    Daah! Hatari MUNGu atatuchoma mzee wa upako amenogewa na raha za dunia mpaka inafika mahali anasema wazungu wanataka ibadili dunia kuwa kama mbinguni huko ni kukufuru

    • @amanimlengwa9202
      @amanimlengwa9202 3 ปีที่แล้ว

      Yaaani wewe, kote huko, katika yote hayo mazuri aliyoyaongea ya kifalme na ya maana sana ulikuwa unatafuta tu mahala utakapo hukumu tu...
      Umashida sana ndugu,
      Nadili mtazamo wako and stop being pessimist man.

  • @paulmwakilembe4573
    @paulmwakilembe4573 3 ปีที่แล้ว

    Mungu anakuona amina

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 3 ปีที่แล้ว +12

    Umeongea point sana mzee

    • @jaxxwade2873
      @jaxxwade2873 3 ปีที่แล้ว

      I guess it is kind of randomly asking but do anybody know of a good website to watch new tv shows online ?

    • @pedroemmett3509
      @pedroemmett3509 3 ปีที่แล้ว

      @Jaxx Wade Ehh I'd suggest Flixportal. you can find it thru google =) -pedro

    • @jaxxwade2873
      @jaxxwade2873 3 ปีที่แล้ว

      @Pedro Emmett thank you, I went there and it seems like a nice service :D I really appreciate it!!

  • @kennethngoleka517
    @kennethngoleka517 3 ปีที่แล้ว +5

    Ni kweli kabisa na uzidi kubarikiwa

  • @prophetmlokozi4633
    @prophetmlokozi4633 3 ปีที่แล้ว +2

    😅😅😅 Haleluya

  • @ebenezermachange1073
    @ebenezermachange1073 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @elinajamsuya948
    @elinajamsuya948 3 ปีที่แล้ว +1

    Tapeli ww akunamtumishi apo usimchezee mungu

  • @jaziherminiomorasmoras1715
    @jaziherminiomorasmoras1715 3 ปีที่แล้ว +1

    Subiria moto tu mtu wangu

  • @salehyussuf1157
    @salehyussuf1157 2 ปีที่แล้ว +1

    Hela zakondoo hahha

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 3 ปีที่แล้ว +5

    Baba yangu wa imani aliniombea nipate nyumba na nikapata kweli mungu azidi kukuinua baba

    • @andrewkazy3727
      @andrewkazy3727 3 ปีที่แล้ว

      Alikuombea ukapata nyumba bila juhudi zozote?🤣🤣🤣

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 3 ปีที่แล้ว +12

    Nimeichukua hiyo "ukitembea na waridi utanukia"

  • @user-ot2io4cy6w
    @user-ot2io4cy6w 3 ปีที่แล้ว +6

    Kila mtu anaenda kwa Mchungaji anayemuamini yeye.
    Wewe kama utaona unaibiwa acha kwenda huko hujalazimishwa na mtu.

  • @kataninyido401
    @kataninyido401 3 ปีที่แล้ว +1

    Hatar Sana

  • @danielmpole9508
    @danielmpole9508 3 ปีที่แล้ว +1

    Kazi njema ya Bwana Mungu

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 3 ปีที่แล้ว

    Anamzidi ngwajiboy kwa mbalii sana huyu hakuwahi kuwaza ubunge

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 3 ปีที่แล้ว +1

    LUKUSEKELO NAKUEKEWA SANA KAKA

  • @livingmunisi5963
    @livingmunisi5963 3 ปีที่แล้ว

    Mmesahau akina joedev

  • @christophersikaonga8714
    @christophersikaonga8714 3 ปีที่แล้ว

    Morning sasa mtumishi hujui gari lako

  • @cherishmlambo2813
    @cherishmlambo2813 3 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa baba

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 2 ปีที่แล้ว +1

    Mzee msimuonee, mbona wengine hawatozi hizo sadaka wakanunuwa magari kama yake? Wivu tuu, wivu tuu. Mzee paaa tuu upo sahihi

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 3 ปีที่แล้ว

    Mchungaji ananunua gari waumini wanakula mrenda 😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @khadijavassardanis3178
    @khadijavassardanis3178 3 ปีที่แล้ว +2

    Safiii mzee

  • @mrematvbabakoku8336
    @mrematvbabakoku8336 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana baba yake na nabii shila mwanao nabii shila atasubiri hapa na mbagala

  • @maximusfrancois5004
    @maximusfrancois5004 3 ปีที่แล้ว +5

    Mzee wa upako ww jembe kweli SASA umesomesha watoto wangapi yatima? Hio ndio sifa. Maendereo pia ni mema Sana. Bado ndege Mzee wetu.

  • @mwendelebenitho5008
    @mwendelebenitho5008 3 ปีที่แล้ว

    Namashaka sana nahuyu mchungaji kwann anamchukia sana daimond🤔🤔🤔

  • @amirikoshuma3039
    @amirikoshuma3039 3 ปีที่แล้ว +2

    Basi sawa

  • @blantonthecrazyart3124
    @blantonthecrazyart3124 3 ปีที่แล้ว +5

    Maneno yako ya na baraka sana

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 3 ปีที่แล้ว +1

    Hapa kazi tu na kazi liendelee

  • @muniradaudi440
    @muniradaudi440 3 ปีที่แล้ว +10

    Yani gari ina tv 4 jmn M ungu tuonee n sisi hawa Watu ulowaenuwa wapee ujasiri watusaidiyee na sis

    • @vicentthomas5279
      @vicentthomas5279 3 ปีที่แล้ว +1

      Kwani mbona Ibrahimu alibarkiwa utajiri

  • @Zaikadena
    @Zaikadena 3 ปีที่แล้ว

    Kwel ni neema kwa mungu hakuna kinacho shindikana

  • @festuschunya7067
    @festuschunya7067 3 ปีที่แล้ว +1

    Ni kweli habari hiyo!!ya maandiko!!

  • @festuschunya7067
    @festuschunya7067 3 ปีที่แล้ว

    Am xorry understand the word

  • @reginaosward6170
    @reginaosward6170 3 ปีที่แล้ว

    Hubiri neno ,mwenye upako ni Yesu siyo maji

  • @martinbruno9071
    @martinbruno9071 3 ปีที่แล้ว +4

    Nimecheka sana,ila good point.

  • @yonathanimachinga3435
    @yonathanimachinga3435 ปีที่แล้ว +1

    Kujitapa si tabia ya kiungu , naona kila siku kujitapa na mali tu tutaziacha Dunian tengeneza njia ya mbinguni

  • @alainebengasaligo7447
    @alainebengasaligo7447 3 ปีที่แล้ว +5

    Ngoja nikuhulize pasta kati y'a kuomba mungu wama babu nakuomba mungu wa isaka nayakobo kati yahawa wa 2 nani anahomba vizuri mbele yamacho y'a bwana

    • @chrismassawe326
      @chrismassawe326 3 ปีที่แล้ว

      Ukitaka kujua na kumjua Mungu wa kweli nitafute nikupe ufaham bure utakusaida

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 ปีที่แล้ว

      @@chrismassawe326 0788327252 naomba unibp nkupgie unipe akili na maarifa

    • @chrismassawe326
      @chrismassawe326 3 ปีที่แล้ว

      @@gosbertmuta5421 0718338222

  • @shayopaterini8678
    @shayopaterini8678 3 ปีที่แล้ว +1

    Umenifurahisha saana kwa mamiss hapo

  • @nyamangaking6608
    @nyamangaking6608 3 ปีที่แล้ว

    Wewe mwenyewe unawadanganya, nenda zako kuzimu huko

  • @denniskirimi9697
    @denniskirimi9697 3 ปีที่แล้ว +1

    Zikuamini Mimi Niko kenya

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 3 ปีที่แล้ว +18

    Mchungaji wa kwanza,kupiga konyagi🤣🤣🤣

  • @mpetafrank7195
    @mpetafrank7195 3 ปีที่แล้ว +2

    Mzeee wa upako umetisha mzee Ila Napendaga sana ukianza ku unguruma vyenye vipindi vyako

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 3 ปีที่แล้ว +4

    Japo sio muumini wake nimemwelewa ila wenye wivu hawatamsikiliza barikiwa

  • @emma96tv55
    @emma96tv55 3 ปีที่แล้ว +17

    huyu jamaa ana siri moja na diamond

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 ปีที่แล้ว

      ndio zao hizo .

    • @michaelsamson9663
      @michaelsamson9663 3 ปีที่แล้ว +1

      Sio wakawaida minazifam pesa zamajin

    • @alainebengasaligo7447
      @alainebengasaligo7447 3 ปีที่แล้ว

      inawezekana itakuaje mtumishi wamungu ashindane na msani wakidunia kisa kahuza gari labei kali

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 ปีที่แล้ว

      Ndo maana wanatunishiana misuri

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 ปีที่แล้ว

      @@michaelsamson9663 Asante

  • @shanisshow1864
    @shanisshow1864 3 ปีที่แล้ว +4

    Jamani cardilac hata kwa magari luxury haipo ila watz bhana ya marekanin yapo kila kona ni family car wala waru mashuhuru hawalinunui ... jamani shida kweli ... ila mbarikiwe jamani

    • @musasalim7042
      @musasalim7042 3 ปีที่แล้ว +1

      we unalo ?

    • @zedymoris8576
      @zedymoris8576 3 ปีที่แล้ว

      Kwenu Tz ziko ngapi?

    • @thehunter5920
      @thehunter5920 3 ปีที่แล้ว

      Kwani umeambiwa ni Marekani hapa?

    • @emariusrush3285
      @emariusrush3285 3 ปีที่แล้ว

      Wewe ni mkundu (Benz,range,buggati, Lamborghini Cadillac Escalade CTS, Ferrari, McLaren, Hummer, Tesla na Aston Martin one ndio magari ya kifahari duniani (, Google bei ya Cadillac Escalade CTS toleo la 2021 uone bei yake)

    • @iamstivin.
      @iamstivin. 3 ปีที่แล้ว

      haipo Cadillac...hauko serious ww

  • @EREVUKATV
    @EREVUKATV 3 ปีที่แล้ว

    Nakupenda sana mzee wangu

  • @joshymalinyo6057
    @joshymalinyo6057 3 ปีที่แล้ว +5

    Mzee anamambo ya muhimu asee

  • @MrCLove-tt2qd
    @MrCLove-tt2qd 3 ปีที่แล้ว

    safi sana

  • @alfredibrahim756
    @alfredibrahim756 3 ปีที่แล้ว +7

    Mzee kapotea mambo ya kujisifia magari na uchungaji wapi na wapi kweli kweli tunapigwa kwanza mchungaji renji la milioni 300 la nn wakati kuna washirika wanakosa hata 10000 ya matibabu hawana mi ndo makanisa haya siyaamini kabisa

    • @liberatusmassawe5601
      @liberatusmassawe5601 3 ปีที่แล้ว

      Kila kitu kina sehemu yake, kama una pesa so mbaya kukaa vizuri. Vitu vizuri Ni vya kwako pia.

    • @alfredibrahim756
      @alfredibrahim756 3 ปีที่แล้ว

      @@liberatusmassawe5601 unatetea wapigaji endelea kupeleka sadaka bwana atakubariki

    • @alfredibrahim756
      @alfredibrahim756 3 ปีที่แล้ว

      @@liberatusmassawe5601 unatetea wapigaji endelea kupeleka sadaka bwana atakubariki

    • @siyabongakzn9864
      @siyabongakzn9864 3 ปีที่แล้ว

      Fungu la Kumi na Sadaka za Siri.... Hela ya Wajinga huliwa na Welevu...

    • @siyabongakzn9864
      @siyabongakzn9864 3 ปีที่แล้ว

      Antony Mungu anakuona.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 ปีที่แล้ว

    Ulipe kodi.

  • @simonkibandi7553
    @simonkibandi7553 3 ปีที่แล้ว +1

    Mnauliza diamond ni nn?

  • @mussaameir5230
    @mussaameir5230 3 ปีที่แล้ว +2

    Hivi watumishi wa Mungu kwa nini mnakosa Hekima? hivi kweli mtumishi wa mungu atajitokeza katika mitandoa na kuzumgumza mambo ya anasa tu " mtumishi unahojiwa na mada ya gari kweli!! "

  • @patriciaschmidt2618
    @patriciaschmidt2618 3 ปีที่แล้ว +1

    Hata we we ni mzee sana wacha kuonea matinega wivu Diamond anaimba amepewa Talent na mwenyezi mungu,kwanza anajiita pastor wa upuzi ama acha na ndunia ,wamwisho ndio watakuwa wa kwanza na wakwanza ndio watakuwa wamwisho endelea kula pesa yako peke yako wachana na the boy Diamond its his tyme nie nenda retire watching from Germany Kenya🤬

  • @leganmichael6148
    @leganmichael6148 3 ปีที่แล้ว +1

    Huwa namuielewa sana Mzee wa upako, huwa anazungumza uhalisia wa mambo

  • @bernardmasangula9358
    @bernardmasangula9358 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwa mara ya kwanza hamjanidanganya nyie ptv waongo ongo.

  • @winnysyombuandambuki5475
    @winnysyombuandambuki5475 3 ปีที่แล้ว +1

    Tulilieni ufalme wa mungu kuliko ufalme wa duniani

  • @yasinamiri7649
    @yasinamiri7649 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwa mjibu wa bibilia juu ya wachungaji 50 6 yeremia watuwangu wamekua kondoo walio potea wachungaji wao wamewapoteza

  • @mustaphamkawa5052
    @mustaphamkawa5052 3 ปีที่แล้ว +11

    Piga ela za maboya then katambe.....hahahaa kwel kila mtu ana njia zake za kujipatia kipato

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 ปีที่แล้ว +3

      Mustapha sana usemavyo wajinga ndiyo waliwao

    • @highvoltages4169
      @highvoltages4169 3 ปีที่แล้ว +3

      Hela za maboya kama wale maboya wa misikitiini waliopigwa hela na Dr.Sule

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 3 ปีที่แล้ว

      Maisha ni imani.Ishi vile unavyo amini,ndipo utakapo fanikiwa.Mtu anaamini kupitia mchungaji nitakutana namatokeo mema ya maisha yake wacha aamini.Wapo wanaoamini bila kwenda kwa waganga hawawezi kufanikiwa.Naukiangalia mganga hata kiatu kizuri hana anakuambia utapata gorofa wakati yeye yupo nyumba ya nyasi.Maisha ni imani.

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@highvoltages4169we umejuaje dokta sule au we muislamu ??

  • @ntakirutimanapierre2345
    @ntakirutimanapierre2345 3 ปีที่แล้ว +6

    Sasa uyu anamzidi rwanjima?

  • @calimahad9274
    @calimahad9274 3 ปีที่แล้ว

    Sioni mtu wa Mungu hapa, ninachokiona hapa ni mtu mmoja anatumia jukwaa la dini kutajirika. Wapo wengi wa aina hii. Hata kwenye Uislaam sasa kidogo kidogo kumeanza mtindo wa masheikh kujitajirisha.

  • @yusufubashiriyusufubashiri2849
    @yusufubashiriyusufubashiri2849 3 ปีที่แล้ว

    Hi