Mfano mie ni mwanamke nyota yangu ni punda .tatizo linakuja kila mwanaume anae kuja ni nyota ya mashuke.nishakataa saaana na umri unaenda sijawahi pata mwanaume tunae endana nae kinyota je nifanyaje niwakubali hao mashuke au nifanyaje naomba ushauri wako
Asante kaka kwa elimu bora uishi maisha marefu unayo sema nisawa mimi m na mme m
Mungu
Akupe
Maisha
Mareff
Uzd
Kutufahamisha
Zaid
Kabisa unachambua vizuri
Mungu azidi kukupa maisha mlefu Sana kaka ally
Na wewe pia
Asante. ubarikiwe
Ubalikiue mwarimu lakin mimi M .C penzi wangu A.S.j kwahio tunaendana Asante
Kama mmeshapendana je utawezaje kuachana
Mungu akubalik sana
Dah mzee unayoyasema yapo
❤❤❤❤
Sawa kaka tumekuelewa🤍🙏
❤
Naitwa mwanakombo Omar nimezaliwa 15,5, nyota yangu niipi
Kaka salamba na aisha je zinaedana
Namba 1 kwa ndoa inamaana gani au namba 0
Shukrani kaka
Nicknames amabazo hutumika sana, kuna uwezekano mtu kuhama kutoka kwa nyota yake ya jina halisi la ID hadi kwa hii ya nickname?
A na Z vip hii inaendan kwenye ndoa
Tunaitaji utafturiye erufi p na n b
Je majina yenu mkipega ikabaki 0
Mwanakombo
Mm Nina mke saidanti na mi ni simoni vp tutapata mali
je z na s zinaendana naomba unisaidie
Hapana
S na m ,h mbon hio ndoa inavunjika,?
Naitwa Charles na mke anaitwa Mariam jee tunaendana kinyota?
Mfano mie ni mwanamke nyota yangu ni punda .tatizo linakuja kila mwanaume anae kuja ni nyota ya mashuke.nishakataa saaana na umri unaenda sijawahi pata mwanaume tunae endana nae kinyota je nifanyaje niwakubali hao mashuke au nifanyaje naomba ushauri wako
Olewa tu hakuna kinachoshindikana Kwa MUNGU yeye ndio anaweza yote muombe MUNGU songa mbele olewa dada Ang nimekupenda bure swali nzur
Nataka kujua mwenye m anafaa kuoa mwanamke wa erufi gani
S,W,K,I,E,
M na S apana Dhuu@@samirasadasalum5974
Stephen na Sarah ndoa inanza vizuri inafika wakati invunjika shida ni iko wapi?
Kaka mim ni S na mume wanngu ni A je,tunafanan
A na s zinaendana?
Jina Said hiyo ni D au S?
Ushasema said jamani
Namba 1 kwa ndoa inamaana gani au namba 0