S na S, A na A, M na M na nyinginezo zikikutana kwenye ndoa nini kitakuwa.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 38

  • @MariamJames-tl2qc
    @MariamJames-tl2qc 2 หลายเดือนก่อน

    Asante kaka kwa elimu bora uishi maisha marefu unayo sema nisawa mimi m na mme m

  • @JumasalumRamadhan
    @JumasalumRamadhan 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu
    Akupe
    Maisha
    Mareff
    Uzd
    Kutufahamisha
    Zaid

  • @zamanjohn4612
    @zamanjohn4612 ปีที่แล้ว +1

    Kabisa unachambua vizuri

  • @SabinaKibena
    @SabinaKibena ปีที่แล้ว +1

    Mungu azidi kukupa maisha mlefu Sana kaka ally

  • @Happynesibarongo
    @Happynesibarongo 3 หลายเดือนก่อน

    Asante. ubarikiwe

  • @AmusedBubbleTea-ic2mf
    @AmusedBubbleTea-ic2mf 4 หลายเดือนก่อน

    Ubalikiue mwarimu lakin mimi M .C penzi wangu A.S.j kwahio tunaendana Asante

  • @EuniceKileo-qr6kv
    @EuniceKileo-qr6kv หลายเดือนก่อน

    Kama mmeshapendana je utawezaje kuachana

  • @GetrudeEpafras-vy4un
    @GetrudeEpafras-vy4un ปีที่แล้ว

    Mungu akubalik sana

  • @AMBROSIJOSEPH-qc7xo
    @AMBROSIJOSEPH-qc7xo 7 หลายเดือนก่อน

    Dah mzee unayoyasema yapo

  • @AnnaGeorge-p2i
    @AnnaGeorge-p2i 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤

  • @user-vq2hl4jp1j
    @user-vq2hl4jp1j ปีที่แล้ว

    Sawa kaka tumekuelewa🤍🙏

  • @Mosesy_Bright
    @Mosesy_Bright 4 หลายเดือนก่อน

  • @MwanakomboWaziri
    @MwanakomboWaziri 10 หลายเดือนก่อน

    Naitwa mwanakombo Omar nimezaliwa 15,5, nyota yangu niipi

  • @SalambaPetro
    @SalambaPetro ปีที่แล้ว

    Kaka salamba na aisha je zinaedana

  • @VailethEvarist-e7m
    @VailethEvarist-e7m 11 หลายเดือนก่อน

    Namba 1 kwa ndoa inamaana gani au namba 0

  • @bravoh1705
    @bravoh1705 ปีที่แล้ว

    Shukrani kaka

  • @thedepartment8391
    @thedepartment8391 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nicknames amabazo hutumika sana, kuna uwezekano mtu kuhama kutoka kwa nyota yake ya jina halisi la ID hadi kwa hii ya nickname?

  • @safiasuliman5136
    @safiasuliman5136 หลายเดือนก่อน

    A na Z vip hii inaendan kwenye ndoa

  • @bernardabedi9972
    @bernardabedi9972 ปีที่แล้ว +1

    Tunaitaji utafturiye erufi p na n b

  • @VailethEvarist-e7m
    @VailethEvarist-e7m 11 หลายเดือนก่อน +1

    Je majina yenu mkipega ikabaki 0

  • @mwanakomboomari1145
    @mwanakomboomari1145 11 หลายเดือนก่อน

    Mwanakombo

  • @SimonLazaro-mv5mk
    @SimonLazaro-mv5mk 8 หลายเดือนก่อน

    Mm Nina mke saidanti na mi ni simoni vp tutapata mali

  • @LovelyGeyser-zu4gy
    @LovelyGeyser-zu4gy 11 หลายเดือนก่อน

    je z na s zinaendana naomba unisaidie

  • @joeloileoile4786
    @joeloileoile4786 ปีที่แล้ว +1

    S na m ,h mbon hio ndoa inavunjika,?

  • @charlesjoseph2934
    @charlesjoseph2934 9 หลายเดือนก่อน

    Naitwa Charles na mke anaitwa Mariam jee tunaendana kinyota?

  • @Amina-dn1dr
    @Amina-dn1dr ปีที่แล้ว +1

    Mfano mie ni mwanamke nyota yangu ni punda .tatizo linakuja kila mwanaume anae kuja ni nyota ya mashuke.nishakataa saaana na umri unaenda sijawahi pata mwanaume tunae endana nae kinyota je nifanyaje niwakubali hao mashuke au nifanyaje naomba ushauri wako

    • @Janethnigeria
      @Janethnigeria 10 หลายเดือนก่อน +2

      Olewa tu hakuna kinachoshindikana Kwa MUNGU yeye ndio anaweza yote muombe MUNGU songa mbele olewa dada Ang nimekupenda bure swali nzur

  • @BakariChimako-gq6st
    @BakariChimako-gq6st 10 หลายเดือนก่อน

    Nataka kujua mwenye m anafaa kuoa mwanamke wa erufi gani

    • @samirasadasalum5974
      @samirasadasalum5974 9 หลายเดือนก่อน

      S,W,K,I,E,

    • @selemanyousuf
      @selemanyousuf 8 วันที่ผ่านมา

      M na S apana Dhuu​@@samirasadasalum5974

  • @joeloileoile4786
    @joeloileoile4786 ปีที่แล้ว

    Stephen na Sarah ndoa inanza vizuri inafika wakati invunjika shida ni iko wapi?

  • @CeciliaNdagala-ov8ty
    @CeciliaNdagala-ov8ty 10 หลายเดือนก่อน

    Kaka mim ni S na mume wanngu ni A je,tunafanan

  • @AminaSuleiman-s7y
    @AminaSuleiman-s7y ปีที่แล้ว

    A na s zinaendana?

  • @VailethIsack
    @VailethIsack ปีที่แล้ว

    Jina Said hiyo ni D au S?

  • @VailethEvarist-e7m
    @VailethEvarist-e7m 11 หลายเดือนก่อน

    Namba 1 kwa ndoa inamaana gani au namba 0