Hongera sana boss, umesema ukweli ila bahati mbaya unapita sikio hili na kutokea lingine, safi sana! Taasisi nyingi kwa sasa zinajikita kwenye kupata hela, kama basi moja tu kodi ni mil 102, na kila siku tunaona mabus mapya duh hii nchi inahitaji reform
Hapo uko vizuri sana sana na Mungu akubariki kuwatetea wanyonge mm nashauri ifikie mama awe mkali siyo kulea hawa chawa wanamharibia sana yaani huku mitaani ni majana
Mh, mbunge umeongea vizuri lakini hao bodaboda waache wanyooke maana wakiambiwa linchi hili limejaa upigaji unyonyaji na utesaji hawaelewi tena wakishapewa rita ya mafuta ndowanachanganyikiwa " BADO HAWAJASEMA
Haya kasema mwenzenu. Ingekuwa CHADEMA kayasema hayo makamu rais wa CCM angeunguruma ....ATC haitaweza kufanikiwa kutokana na mwelekeo mpya ktk uwekezaji wa biashara ya ndege. Ni mataifa matajiri sana hususan ya kiarabu na bara Asia pekee yawezayo kuwa na mashirika ya ndege ya nchi yenye tija. Afrika hakuna hata moja iliyosimama
Hongera Sana Shabiby umeongea vizuri sana, naamin ujumbe umefika
Mh nduguyangu kaka uko vizuri sana 🙏🙏 mngu akutanguliye akusimamiye
SHABIBY LINE PRO MAX NEXT LEVEL
Leo Latra Kwa Bajaj na boda zipo aina 2, Kwa ajili ya Bolt na ya kawaida, huu ni wizi mkuu, watu wanaungana kuibia wananchi hasa vijana
Hongera mbunge wetu kwa hoja zenye mashiko
Hongera sana boss, umesema ukweli ila bahati mbaya unapita sikio hili na kutokea lingine, safi sana! Taasisi nyingi kwa sasa zinajikita kwenye kupata hela, kama basi moja tu kodi ni mil 102, na kila siku tunaona mabus mapya duh hii nchi inahitaji reform
Hapo uko vizuri sana sana na Mungu akubariki kuwatetea wanyonge mm nashauri ifikie mama awe mkali siyo kulea hawa chawa wanamharibia sana yaani huku mitaani ni majana
Ongera sana boss wetu
Safi sana
Hongera sana shahabby....wape ukweli...wapi ga mama wako uko uko bungeni...sisi wananchi tupo na mama.
Uko sawa mh shabiby
Ni kweli vyote vimerudi usiku kucha wako barabarani na natra na tra na uwara wote wako barabarani/maduka /mikahawa ????
True
Kabla ya kupewa nafasi usaili ufanyike kama nchi nyingine tatizo ni kuwekana tu kwenye mamlaka za serikali..
Watu wanatwanga Hela huko sio mchezo na huo ndo ukweli😂😂😂😂😂😂😂
Nimeipenda SANA hii ya Dereva kufuga RASTA 🤣🤣🤣🤣
Ni kweri kwa mfano kuingiza vitenge nchini kotena ushuru hauripiki wafanya bisha ra wamenda Zambia kufungua maduka
Huyu shabibi ni mzalendo safi sana
Wabunge wazarendo wako wachache sana Tanganyika
Umenipa elimu ya nini maana ya engine mbele
Huyu mbunge uwa anaongea facts bila kumumunya maneno,amewapa ukweli na inabidi nyie wabunge wengine changieni kama hivyo points zenye mantiki
Hawa latra ni shida kwanini wasiondolewe Tu ni usumbufu tupu .
Kupata Sumatra ya lorry ni rushwa na usumbufu tupu hii ni mamlaka ya hovyo sana
Hii nchi wanapenda tozo
Ndio maaana ajari ni nyingi sana ni kwanini boda boda hawana reseni kweli .
Mh, mbunge umeongea vizuri lakini hao bodaboda waache wanyooke maana wakiambiwa linchi hili limejaa upigaji unyonyaji na utesaji hawaelewi tena wakishapewa rita ya mafuta ndowanachanganyikiwa " BADO HAWAJASEMA
Mi silielewi hili bunge kaxi yake ni kusaport serikali au kisimamia ila hii nchi kaxi kwrli spika alikuwa mzee sita peke yake
SHABIBY 😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾 UNA KITU USIKILIZWE
Uko poa sana
Bila professional wa uchumi kukaa pembeni hali haitakaa itulie.
Mabasi ya shule tulia arson ongea tu fasta ..watoto wanauma sana ujue
Mh. Mbunge nikuulize nani katunga hizo sheria?
Kanuni ndio mzigo ,
Kitengo Cha usafilishaji hakina mtetezi.
mbunge wa gailo akili nyingi sana jamani wanagailo msije mkampoteza huyu Mzee michango yake huwa naipenda kutoka moyoni akili nyingi sana
Tena hawajui sheria wanagonga raia barabarani wanaua raia. Hao bodaboda.
ukovizuli shabibi hata polisi hasamaveko wanakulu luswa tuu hawakagui mabasi
Makeme mbarawa jafari makamba Samia sluu Hasan Hawa watu sura zao tuu zinaonekana
Kodi zikusanywe pamoja TRA, digital igawe huko. Tusibuguzi raia
Haya kasema mwenzenu. Ingekuwa CHADEMA kayasema hayo makamu rais wa CCM angeunguruma ....ATC haitaweza kufanikiwa kutokana na mwelekeo mpya ktk uwekezaji wa biashara ya ndege. Ni mataifa matajiri sana hususan ya kiarabu na bara Asia pekee yawezayo kuwa na mashirika ya ndege ya nchi yenye tija. Afrika hakuna hata moja iliyosimama
Ethiopia