Waooooo aise nakukubali sana kaka kweli tusiache asili yetu hata kama tumeelimika kiasi Gani lazima kukimbuka nyuma ni wapi tulipotoka na sio kufanikiwa na kusahau nyuma .
Exactly napenda miziki mingi ya kisukuma japo Mimi sio msukuma nimeishi uko usukumani Sana Kuna raha Sana ya mziki wakati wa mavuno nakumbuka ulipo kuja kata ya talaga kijiji cha nhobola mwaka 2019 tuli enjoy Sana
Nimefulsh kuona huu wimbo una dk 6 tu punguzeni ma beat mnaweka nyimbo inakua ndefu sana inatakiwa muende na wakati ili mkimbizane na masoko mbali mbali kupitia platfom mbali mbali kwa 7bu mtu hawezi kustimu wimbo dk 13 uko m. b zinaenda sana hivi inakua lahis mtu ku view na kurudia wimbo ata mara nyingi ni mtazamo wangu tu lakini sorry kwa ataekwazika👍👍👍😊❤️
Naona ushauri huu ungewashauri na waimba taarab na muzik wa dance maana ndio pia moja wapo ya mizik yenye beat sana kuliko mashairi ila mimi kwa hapa sion neno binafsi kwa kuwa anapoacha kuimba na kuacha beat kuna ujumbe pia anauacha hapo nadhan ndio aina ya nyimbo zetu za kitamaduni Namala 🙏🙏
@@reginakamagi9337 hamna bwana taarabu ni tofauti na hii huu ni mziki uliochangamka achana na tss ila ni mawazo yangu tu sio lazma yafuatwe 🥴 nkoi ginehe shi 😁
@@sifatiiman usijali ni kubadilishana tu mawazo kila mmoja na mtazamo wake kazi ni kwa muhusika kuhakikisha anakata kila kiu ya shabiki wake na ndio maana ya maoni 🙏
Unaweza sana kaka kuna nyumba uku mwanza uje uifungue
Ni wimbo mzuri sana, sisi wa zamani unatukumbusha mbali sana kipindi cha Beni, uzuma na wagika. Now days hazipo tena hizo. Hongera sana mwimbaji
Respect sana Ntem Omambala tupe raha ❣️❣️❣️Leo wa kwanza
Leo mm wa pili lazima utamu niuone wa kwanza umejitaid sana mavazi ya asili
Hongela sana Kaka angu kwazi nzuli
Umetisha Tajir
Hongera sana kwa nyimbo nzur napenda kuisikiliza nikiwa South Africa libral kwangu
👏👏👏asili yetu ,kwakweli inapendeza
Nakupenda sana msukuma wangu wauweeeeeeh wenye roho za korosho weweweeeeeh 👌👌👌👌
Waooooo aise nakukubali sana kaka kweli tusiache asili yetu hata kama tumeelimika kiasi Gani lazima kukimbuka nyuma ni wapi tulipotoka na sio kufanikiwa na kusahau nyuma .
Echene ole ntemi omabala. Ahene twazunya bhabha nengi nabhiswe abhakurya
Nimeionaaaa
Naenjoy nikiwa Oman napenda sana asili yangu
Oman sehem gani dear
Yani ww wa kwetu tabora ndani nampenda ng'wakang'wa
Khan na Rahma tujuwane mi suweQ nyie wapi wapenzi
@@nasrahassan7346 mi pia nipo barka oman
Nakupata vzuri Sanaa kaka kutokea magomeni mapipa dar es salaam
Endelea hivi to hapa ndio unaweza sana❤
Ume uwa ngosha
Kwahiyo ushalobalo wako wote uliweka pemben kabisa ukavaa ganja😂😂😂🤣dah fundi Ni fundi
Nakukubali sana kaka karibu sana dar
Uwe unaweka no zako tunakulushia hata ya soda co kwa utamu huuu jamani
Tulaga mishinga Nkoi Welelo akubalade pye shiku
my favorite song💥💥
Thanks
Wimbo huu unanikumbusha milazetu za kisukuma
Omabala weee ni moto🇹🇿
Heshima zote kwako kaka,Tupo Pamoja sana.
Pa1 sana🙏
Nakupenda sana kaka ntemi napenda mwakani tufanyekazi naomba unipatiea namba yako
0753853523
Wimbo uko vizuri! Piga kazi. Nakupata kutoka Njombe.
Mbona sasa umevaa kimasai na wakati jadi zetu ni nguo nyeusi
Najivunia kabira langu kwenye hiii melodi mzeeee hatariiii hakuna wa kufata huuuu moto
Ngosha mwimbo mzuri 😢😮😢
❤❤❤❤❤,Linda Mila zetuu
🎉🎉🎉🎉🎉 nikisiliza ngoma za home. Na enjoy❤❤❤❤
Jamaa we n fundi...omba korabo na Saida kalori utaua saana..💪
Sio na saida tu hata na mimi tu inatosha uonee tutavyo fanya unyama
Vyema sanaa mkuu
Hongera kaka ake
King of lands😂😂
CLASS YA JUU SANA AISEE😊 MUCH LOVE BRO❤❤❤❤❤
Ubarikiwe sana
Tupo pamoja
Huyu mwamba anajua mziki💃🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺
Hongera Sana unabariki Sana ♥️♥️♥️🌹 barikiwa Sana
Lyenele lilelisebu sana, hangamanga ntemi omabala.
Naona sasa kazi juu ya kazi mzee safi sana pamoja
Niyoo yeee!!!
Safi Sana fundi 🇹🇿✔️
Nimekuelewa.fundi
MIHAYO MULYIMBO LYENILI NI UKWELI KABISAA BARIKIWA KIJANA
Endelea kudumisha tamaduni za kibantu lov u bro!!🇹🇿
Yaani ww unanifurahishaga sana
Na wish kufikia huko bro
Chapa kazi nyimbo nzur sana
Naupenda sana huu wimbo❤
Yani huu wimbo huwa nikuipiga hadi kichwa kinaanza kufunguka
Napenda huu wimbo ❤
Safi sana
Kazana kipenzi Mungu mkubwa akuinue akulinde na Igunga yetu
Amabala gakule.
Kaka mm nakukubali sana daima kulaga uhangame
Kulaga uhangame tulaga milemo nyanda ndododo
Nyimbo hii sichoki kuiskiliza na video yake ipo pouwa san
Mwanakamwa iz 💥
Exactly napenda miziki mingi ya kisukuma japo Mimi sio msukuma nimeishi uko usukumani Sana Kuna raha Sana ya mziki wakati wa mavuno nakumbuka ulipo kuja kata ya talaga kijiji cha nhobola mwaka 2019 tuli enjoy Sana
Nilisema Sito ondoka nhobola bila mwanakangwa kuja uku exactly ulikuja brother for the first time mwaka 2019
Safi sana nkoi
WEWE NI FUNDIIIIIIII HAPA NARUDIA KUANGALIA ZAIDI YA MARA 30 LKN HAUCHOKESHI
Hii nyimbo naipendaga sana piga kazi mtani nawagogo tunakufatilia
Unakosha vizuri mnooooo
Greatfully melody 💥💥
unyama
Uko vizuri kaka napenda sana nyimbo zako
Haapo sawa kakaa 💪💪💪
Wimbo wa ndagu naomba video yake
good sana bro mashabiki tunakubali sana kazi zako
Safi sana kaka yaani nipo nacheza hapa napenda asili yetu
Mungu akubariki
Nakubali juhudi Ngosha
Kaz nzur ntemi
Asantee sana
Safi sana SoMo
Nimefulsh kuona huu wimbo una dk 6 tu punguzeni ma beat mnaweka nyimbo inakua ndefu sana inatakiwa muende na wakati ili mkimbizane na masoko mbali mbali kupitia platfom mbali mbali kwa 7bu mtu hawezi kustimu wimbo dk 13 uko m. b zinaenda sana hivi inakua lahis mtu ku view na kurudia wimbo ata mara nyingi ni mtazamo wangu tu lakini sorry kwa ataekwazika👍👍👍😊❤️
Naona ushauri huu ungewashauri na waimba taarab na muzik wa dance maana ndio pia moja wapo ya mizik yenye beat sana kuliko mashairi ila mimi kwa hapa sion neno binafsi kwa kuwa anapoacha kuimba na kuacha beat kuna ujumbe pia anauacha hapo nadhan ndio aina ya nyimbo zetu za kitamaduni
Namala 🙏🙏
@@reginakamagi9337 hamna bwana taarabu ni tofauti na hii huu ni mziki uliochangamka achana na tss ila ni mawazo yangu tu sio lazma yafuatwe 🥴 nkoi ginehe shi 😁
@@sifatiiman usijali ni kubadilishana tu mawazo kila mmoja na mtazamo wake kazi ni kwa muhusika kuhakikisha anakata kila kiu ya shabiki wake na ndio maana ya maoni 🙏
@@reginakamagi9337 sawa lulu ndoho shida
@@sifatiiman Wabheja
Aluta continuer.....!
No retreat no Surrender 💣💣
Nakupata vizuri sana,, Ntemi omabala kutoka Oman 🇴🇲, nakupenda mnooo 🥰🥰
upo sehem gan mi nipo omani barka
@@sifatiiman nipo Sur.
@@neemaayubu1786 sawa unafanya kazi gan huko
pamoja Sana nami nikiwa Salalah asili haipotei wabeja ngaru
Good💪
Uko wapi mkuu nikutumie ya soda 👏👏
safi
Yero endasupai siee ipo na ndito
nice
Safi sana kijana nitumie namba yako
👍
Hatar san
Nakukubari sana
Ntemi
Wauweeee❤️❤️❤️❤️
Vizur. Sana👏👏❤️❤️
Ntemi omabala naomba unisaidie namba yako ujeuimbe kwenye harusi yangu
💯
Ongera kaka
Hongera kaka ake
Wimbo noma👍👍👍