Mmmh mimi hoiiiiiii 😉kaz yangu ni kuweka bando tu maan Smix haijawah kunichosha ila inanipa rahaaaaaaaa kila kukicha director oen 🤝tuko pamoja nakukubali sana kwa saut yako na usimuliaji wako mungu akupe maisha marefu
Dada yangu alikuwa ni mwenyekupendeza sana machoni kwa wengi, alipofaulu aliwekwa kikao kabla ya kwenda shule ya bweni, mama akimsindikiza hadi shuleni,akaongea mwalimu. kumbe dada bila kujua mama aliwadanganya mwalimu Dada ana matatizo ya afya , hauna dawa, hivyo h
Wanikosha roho Director jamani❤❤siboeki kuzifanya kazi kwa sauti yako isiyo chosha 🫰🫰🫰🙏👌
Director 🔥Asante sana 👏
🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Mmmh mimi hoiiiiiii 😉kaz yangu ni kuweka bando tu maan Smix haijawah kunichosha ila inanipa rahaaaaaaaa kila kukicha director oen 🤝tuko pamoja nakukubali sana kwa saut yako na usimuliaji wako mungu akupe maisha marefu
Simulizi inamafunzo mazur sana Asante San D👏
Sana
Aswaaa
Hakika kukaandani ya yesu Kuna furaha na kuepukana na yaulimwengu huu ulio jaa mengi yadio simulika very sad 😭😭😭😭
Mm sikulaumu ni kwasababu ya walio kuumiza na chuki ukiiweka moyon lazima utakuwa na kisasi mungu atuongoze inshallah
Dada yangu alikuwa ni mwenyekupendeza sana machoni kwa wengi, alipofaulu aliwekwa kikao kabla ya kwenda shule ya bweni, mama akimsindikiza hadi shuleni,akaongea mwalimu. kumbe dada bila kujua mama aliwadanganya mwalimu Dada ana matatizo ya afya , hauna dawa, hivyo h