Masha'Allah . Nashukuru sana na simulizi nzuri yenye mafunzo makubwa kwenye Jamii yetu wanao wadharau wanawake ama mabinti wakike hawana maana na hawafai kusomeshwa Asante sana natumai tumenufaika .
Asante simulizi mix kwa simulizi nzuri na yenye mafunzo Amakweli mchumia jangwa hula nawakwao namwiba wakujindunga hauna pole James alijichagulia maisha yake mwenyew
KiLa nikisikiliza simulizi zako, uwa ninapata mafunzo mengi sana , usi ache kutuelimisha na kuiyelimisha jamii pia ,ninajuwa watu wengi sana ,Katika jamii WaPo waliyopotea na kukata tamaa ya Maisha hiLa wakiisikiliza simulizi hii, ninaimani itawatia nguvu na kunyanyuka Tena. Asante sana mwenyezi mungu awabariki Katika Maisha yenu,Kazi zenu, family zenu,pia mwenyezi mungu awafanyiye wepesi Kwa kiLa jambo 🤲
Hao wazee wenyekiti walifikirii kila siku ni jumatatu mke wahuyo baba alikuwa naakili naaliwafundishaa adabuu walifikiri huyoo mama Ashaa😄atabeba talaka kwenyelesho 😄😄😄inahusuu😄😄😄 kikao kilifungwaaa gafulaa na umasikini umewaingia kijiji lixima kwa mtuuuu mmoja tuuu asie nafaidaaa
Wapi ulisikia umepeana talaka tena mbele ya wazee pili ww baba ukatuma ukatuma kigodoro kuendaa kutukana mkeo halafu Leo hii etii nikurudie nani kasema kilamtu apambane na hali yake
Masha'Allah . Nashukuru sana na simulizi nzuri yenye mafunzo makubwa kwenye Jamii yetu wanao wadharau wanawake ama mabinti wakike hawana maana na hawafai kusomeshwa Asante sana natumai tumenufaika .
Simulizi itaishi miaka mingi sana na ujumbe wenye tija kwenye jamii
Asante sana Kwa simulizi nzuri na yenye mafuzo mwenyezi mungu awabariki
Asante simulizi mix kwa simulizi nzuri na yenye mafunzo
Amakweli mchumia jangwa hula nawakwao namwiba wakujindunga hauna pole
James alijichagulia maisha yake mwenyew
Mashaalla Allah
Saluti kwake jogoo poll simulizi zake zinakuwaga za 🗣🔥🔥🔥🔥
Nakupenda kwa mafundisho yako asante kwa simulizi
Thanks so much d oen and all family ya simulizi mix yoote
VERY EDUCATIVE THANKS MR D OEN👏👏🔥🔥
Asate sana smix media d oen Mbalikiwe sana
🔥🔥🔥🔥👌
KiLa nikisikiliza simulizi zako, uwa ninapata mafunzo mengi sana , usi ache kutuelimisha na kuiyelimisha jamii pia ,ninajuwa watu wengi sana ,Katika jamii WaPo waliyopotea na kukata tamaa ya Maisha hiLa wakiisikiliza simulizi hii, ninaimani itawatia nguvu na kunyanyuka Tena. Asante sana mwenyezi mungu awabariki Katika Maisha yenu,Kazi zenu, family zenu,pia mwenyezi mungu awafanyiye wepesi Kwa kiLa jambo 🤲
Alfu 1 na mie 2 zingemwagwa hadharani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Director D .O. N salute kwako 🙋♂️
🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️Elf mojaMia mbilii kweli hazarani
💓💓💓😊😊😊sana tena simulizi za huyu mkaka ni nzur mno
Asate sana smix media d oen
Shukrani saner 🙏 kwa kuelimisha jamii
Huku mumezima kibatari au basi .asante D kwa simulizi ya leo
Data napenda kusikiliza simumulizi
Asanta sana kwa mafunzo mengi ubarikiwe pia na mtungaji kweli ni kisa chenye elimu sana👏
Q
Hao wazee wenyekiti walifikirii kila siku ni jumatatu mke wahuyo baba alikuwa naakili naaliwafundishaa adabuu walifikiri huyoo mama Ashaa😄atabeba talaka kwenyelesho 😄😄😄inahusuu😄😄😄 kikao kilifungwaaa gafulaa na umasikini umewaingia kijiji lixima kwa mtuuuu mmoja tuuu asie nafaidaaa
💝💝💝💝
❤️❤️❤️
Sarut jogoo por
Sio kwa alfu na miambili hiyo
Wapi ulisikia umepeana talaka tena mbele ya wazee pili ww baba ukatuma ukatuma kigodoro kuendaa kutukana mkeo halafu Leo hii etii nikurudie nani kasema kilamtu apambane na hali yake
Kusema ukwli hawa wengine hawajui kusimulia wanaboa felix mwenda pekee ndo anaweza kusimulia hizi simulizi