S O L - 8 season II KUSIMAMISHWA KWA UPENDO, SIMULIZI ZA MAPENZI

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 54

  • @user-lq6kr2gl7n
    @user-lq6kr2gl7n หลายเดือนก่อน +6

    Ndan ya mjengo director nyuma ya 🎤 wadauuuuuuuuuuuuuuuuuuu njooon tujue hatma ya Herry na Candy mambo ni moto🔥

    • @SabrinaAlimas
      @SabrinaAlimas หลายเดือนก่อน

      Sister we skiliza tuu utakuja kunihadithiaa sawa😂

    • @user-lq6kr2gl7n
      @user-lq6kr2gl7n หลายเดือนก่อน

      Aaaaaa wapiiiiii😅 weee sikiliza

    • @SabrinaAlimas
      @SabrinaAlimas หลายเดือนก่อน

      Unataka niliee ety😌😁

    • @user-lq6kr2gl7n
      @user-lq6kr2gl7n หลายเดือนก่อน

      Takufuta machoz kipenz chang🥰

  • @zenaathumani8144
    @zenaathumani8144 หลายเดือนก่อน +3

    Wapili 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao

  • @masokamsafiri8664
    @masokamsafiri8664 หลายเดือนก่อน +1

    Natoa saluti 🫡🫡🫡🫡kwa mtaalamu wetu kaka yetu DESOUZER kwa kutukosha nafsi zetu kupitiya hii simulizi mungu akupe ulinzi,ujuzi na hekima kama ilivyo kuwa kweye hii simulizi kama tulivyo achiwa maneno na mababu zetu kila kizuri chajihuza na kila kibaya chajitembeza

  • @lonakirao5275
    @lonakirao5275 หลายเดือนก่อน +2

    Kiukweli hii simulizi imeisha nautamu wake na imeisha vizuri kweli kweli, hongera sana Herry kwa kitu hiki cha ❤ Na kaka D'oen kwa kusimulia vyema. Nawapenda nyote kwaajili ya Allah Subhan wa Taallah 🥰

  • @emmanuelmwatujobe8450
    @emmanuelmwatujobe8450 หลายเดือนก่อน +1

    Mh yani jana nimeisubiri kinyama Yani🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-tc8zn1sl6s
    @user-tc8zn1sl6s หลายเดือนก่อน +1

    ASANTE SANA TUNAZIDI KUSONGAMBELE 🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @user-be2nx5ks2l
    @user-be2nx5ks2l หลายเดือนก่อน +1

    Ninamkubaki sana mwandishi Herry maana ujuzi na matendo ni uhalisia wa maisha ya wanadamu tangu kuumbwa Kwa ulimwengu mpaka sasa Mungu aturehemu

  • @Neema-qr7lg
    @Neema-qr7lg หลายเดือนก่อน

    Duuu hii simulizi nimeipenda sana nakuona kitu nimejifunza dharau sio nzuri

  • @user-ct6vd7ld7s
    @user-ct6vd7ld7s หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana kwa simulizi nzur

  • @khadijasayeed3381
    @khadijasayeed3381 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekua wa kwanza leo🎉🎉🎉🎉❤

  • @user-sj8ti3nu9o
    @user-sj8ti3nu9o หลายเดือนก่อน +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @maryamsimai5395
    @maryamsimai5395 หลายเดือนก่อน

    Hakika hakuna rafiki wa kweli l,v u D,oen,pamoja sna mwamba 🎉

  • @user-lq6kr2gl7n
    @user-lq6kr2gl7n หลายเดือนก่อน +2

    😆😆😆😆😆😆😆😆hatimae herry kapewa tamuuuuuuuuu kapona kabisaaaaa ama kweli shikamoo mapenz marahaba hisia hapana chezea msambaaa

  • @sabrakhamis4585
    @sabrakhamis4585 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran saaanaaaa❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉ilove this story

  • @radhiaomary5591
    @radhiaomary5591 หลายเดือนก่อน

    Salute kwako engineer herry santoc desauza 👮🏾‍♀️🫡

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 หลายเดือนก่อน

    Oooh alhamdullah 🙏🏽 Mungu n mwema kwa kuitimisha simulizi yetu tamu na yenye mafunzo kem kem herry mwenye Moyo wa kipekee hakuna kamwe leo hii mwenye moyo Safi na wa huruma shukran za dhati kwa mtunzi silent killer na simulizi wote kwa ujumla big up my pple ❤u so much

  • @user-sj8ti3nu9o
    @user-sj8ti3nu9o หลายเดือนก่อน +1

    Hiii simulizi nitamu sana na mzuli aikutakiwa kuisha alaka ivyi ilitakiwa iendelee

  • @muhinanjowa7229
    @muhinanjowa7229 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢jamanieee msicheze na hisia za watu kwan moyo ukichoka hayo ndo madhara yake😭😭😭mapenzi yanauwa asikwambie mtu.Thanks soo much Mr.silent killer na director wetu pmoja na wadau 🫡🫡🫡🫡🫡🫡love u all🫰🫰🫰🫰🫰

  • @NaheelHamil
    @NaheelHamil หลายเดือนก่อน

    Asantee sn kwa kutupa vitu vzr

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu หลายเดือนก่อน +1

    Wawooooooooowadau munakuwa murara umu kwa Oen awo? Nintarudi badaye ninuucu wagusikieiza mwisho wa Herr

  • @masokamsafiri8664
    @masokamsafiri8664 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kaka OEN kwa kufikiya mwisho wa simulizi yetu ila nangoja movie yake Kama ulivyo tuhahidi mwanzoni mwasimulizi hii mimi mpaka sasa niko kama nahihota kupenda huku kutatupeleka kwa herry na candy ❤❤❤❤kuwa damu kwa damu.😂😂😂😂

  • @teddyvenance6284
    @teddyvenance6284 หลายเดือนก่อน +2

    Wakwanza Leo ngoja tuitimixhe

  • @user-sj8ti3nu9o
    @user-sj8ti3nu9o หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤

  • @SabrinaAlimas
    @SabrinaAlimas หลายเดือนก่อน +1

    😢m naogopa kuskiliza hii s.o.l bhn ntaliaaa😭

  • @samsonphilipo7153
    @samsonphilipo7153 หลายเดือนก่อน

    Nimependa inafundisha Sana

  • @rauhiyasuleiman4626
    @rauhiyasuleiman4626 หลายเดือนก่อน

    Sema mm simlaumu baisa yot ni sababu ya mapenz.

  • @nadhradude4895
    @nadhradude4895 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤ this is soul of love 😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @msimhassan
    @msimhassan หลายเดือนก่อน

    🔥🔥🔥

  • @rauhiyasuleiman4626
    @rauhiyasuleiman4626 หลายเดือนก่อน

    Dah! Machoz yamenitok, ni mbaya san kufanya maamuzi bila kuchunguza kiundan.

  • @user-ez6cy4pj8z
    @user-ez6cy4pj8z หลายเดือนก่อน

    Waaaah!! Kina balsa jamani wamemaliza na uchungu kweli ..ila usidharau mtu yeyote kwani hujui kesho yake ..congrats desauza..shukuran Director hii ilikua extremely awesome ..mafunzo kede kede..❤❤

  • @twinssauditwinssaudi7248
    @twinssauditwinssaudi7248 หลายเดือนก่อน

    Pamoja sn❤❤

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 หลายเดือนก่อน

    Eeeee kusimamishwaa kwaupendoo hadi mtu akazaliwaa anaitwa baisaa😁😁😁😁😁😁😁😁😁wale wamatawii yajuuu yotee wako chini mpka wanakuja kuoshe yule walimuiita mashamba nayy huyo huyoo ndoamempa mtajii siku zote usizarau usiemjua

  • @FutebolRei
    @FutebolRei หลายเดือนก่อน +2

    Fiz um short do espirro que só vem quando o Sol aparece

  • @user-ct6vd7ld7s
    @user-ct6vd7ld7s หลายเดือนก่อน +1

    Yani hapa adi nimetoa machozi imenikumbusha miaka kumi iliopita yalinitokea km heri 😢

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 หลายเดือนก่อน

    Nmelia hapa mtoto wa qher na cand quitwa jina baiser😭😭😭

  • @ROSEROBERTROBART
    @ROSEROBERTROBART หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤

  • @SabrinaAlimas
    @SabrinaAlimas หลายเดือนก่อน +1

    Yaan simulizi za heri haziniachagi salama jamanii lazma niliee 😭😭😔

  • @swabrinamwaka2437
    @swabrinamwaka2437 หลายเดือนก่อน

    Lugoko lugoko lugiko......nimekuita marangp😢

  • @AnnaMelikion
    @AnnaMelikion หลายเดือนก่อน +1

    Mapenzi yanauma nyie 😢😢 sikia tu hivi anasimulia D oen ila usiombe yakukute .hapo Ndio utajua kuwa bora usingkuwepo dunian .pia huwa nawaza hivi mapenzi ni kitu gn lakini mpaka Sasa sijapata jibu.Asante San kheri Disous kwa simulizi Nzuri Big up 🫡🫡

    • @swabrarashidi1082
      @swabrarashidi1082 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe tena yalikusibu yapi😂😂😂 mwaya

    • @AnnaMelikion
      @AnnaMelikion หลายเดือนก่อน +1

      @@swabrarashidi1082 umesahau ulivonichukulia mume Wang 😂😂😂😭😭😭😭

    • @swabrarashidi1082
      @swabrarashidi1082 หลายเดือนก่อน

      @@AnnaMelikion mume wa konyo utakufa we jitie unajua kupenda tu😅😅😅

    • @AnnaMelikion
      @AnnaMelikion หลายเดือนก่อน

      @@swabrarashidi1082 najua kupenda Sasa Ndio umuibe mume Wang Jmn 😂

    • @swabrarashidi1082
      @swabrarashidi1082 หลายเดือนก่อน

      @@AnnaMelikion toka apa kwanza mumeo mwenyewe siyo hensamu

  • @radhiaomary5591
    @radhiaomary5591 หลายเดือนก่อน

    Salute kwako engineer herry santoc desauza 👮🏾‍♀️🫡