Huyo mkongomani sio muzungu. Kwasababu Alizaliwa na mama mkongonani. Hiyo ni maisha tuu na nimustarabu kabibisa huyo mzee kwakusema ajijutii kutokwenda ufarasa kwasababu na maisha yahuko haijui. Big up mzee. Kunahata wazungu abao wanaangaika ulaya
Kwani mzungu gani huyo ama haujuwi mana ya mzungu? Naacha kuuliza mtu maswa yakiubaguzi. Congo is his nationality and knows no where else. Not France. Leave the poor guy alone and let him enjoy Africa .that's his place
Kuna kitu kinanishangaza sana ,angekuwa ni Munyamulenge ameza namubebembe hange ishi apa ,wange muua laki ni Damu ya Muzungu maskini muna mpokea munamueshimu sawsa munguwenu.. Tujifunze kueshimu Race yetu.
Kaka mahojiano yako mbona yanaelekea km kuwatukuza wazungu eti kuwauliza eti wanajisikiaje kuwa wao weupe kuishi na watu weusi. Si umasikia hata majibu yao ni kama wanakushangaa wewe. Mana Hata wangekuwa huko Ulaya maisha ni watu kuchanganyika. Ungetafuta ujanja wa kuuliza maswali sensitive kama hayo.
@@devothasimbi1055 Wala neno mzungu lisikuumize kichwa kwanza Jina lenyewe linamtukutukuza mtu kama Mungu mtu, maana ya mzungu ni Mungu kwahiyo kwanza si Jina zuri lakumuita mtu, Pia huyo si mtu mweusi kwani pia katika watu wenye weusi pia wapo watu wengine katikati yao wenye rangi tofauti tofauti ukiondoa watu weupe na wamanjano na wekundu sasa mtu mweusi ni identity katika africa sasa huyo mzee si mweusi kwani katika kundi la watu walio weusi huwezi kumuweka h mtu huyo
Jamaa unafanya kazi nzuri ,ila mambo mengi unakosea unatakiwa kufanya kipindi kwakujifunza mambo mengi kuhusu utangazaji. Halafu hao unao wahoji siyo wazungu ni warangi rangi yaani mixed wa Muzungu na mwafrika kwahiyo siyo mzungu tena
Huyu mzee haeleweki, kwanza alihojiwa na Tanganyika TV akasema baba yake alikuwa ni mfaransa halafu alipohojiwa Mara ya pili akadai baba ni mbelijiki na hakuwahi kumuona, sasa mbona anajigonga gonga mwenyewe kwa maneno. Sema moja lieleweke, sio kuchanganya maneno.
Jambo yenu ndugu zangu mimi jento niko natoa ushauri kuhusu maisha ya ulaya mimi hivi niko 🇺🇸 USA Sasa mzee asirogwe kwenda ulaya hata akipata babu au ndugu zake zake ulaya asiende
Ndio hapo umesema sawa asiye jua ulaya na marekani anafikiri hapa tupo paradis lakin sasa ni kujuta mim hata mtoto wangu sitaki akuje hapa england. Ardhi nzur sana. Huko calemie moba mwanza kindu likasi kivu nord na soud kivu ni kuzuri sana. Baada ya miaka kumi watu east kongo watafurahi sana. Wafanye muungano na east africa basi sisi tutakuja kulima huko
Kwani je hakuna watu weusi katika kundi lao walio weupe wewe mtangazaji ? Neno mzungu maana yake ni Mungu basi hilo neno si zuri kumuita binadamu kwamaana unamfanya binadamu kama Mungu mtu
Mtangazaji una maswali y’a kijinga unakazia huyo ni mzungu Wakati amechangancha rangi? Eti angeishi ulaya maisha yagekuwa mazuri unachekesha sana.ninaishi Ufaransa n’a wazungu ombaomba bila sehemu y’a kulala kazi yao kusubiri pesa y’a serikali na kunywa. ,
Kwahiyo basi watakakusema huyo mtu angalikuwa ulaya basi na yeye angekuwa kama hao uwasemao ? sasa je hapo congo watu wa jinsi hiyo uisemayo ulipwa fedha kama huko ulaya usemapo zaidi yakulipaka vumbi
Kwa nini mwandishi wewe unamuuliza kama anajutia kutokupelekwa ULAYA, huyo jamaa amezaliwa na mama mbembe, kwa nini asimpende mama yake? Wewe unachukia nini kwa yeye kubaki UBEMBENI?
Mtangazaji maswali yake ni ya kijinga sana. Mzungu gani si.chotara. Mahali pote ni nyumbani yeye anapenda Africa. Kwani Africa watu hawana maisha mazuri? Kutodhamini Uafrica wako. Nani kasema maisha Ulaya ni mazuri zaidi ya Africa. Ulishafika au kuishi huko? Nimempenda Babu anajielewa Mtangazaji hajielewi.
Vraiment kazi nzuri kabisa
Hongera sana kwa kuwa unatuonye mambo ya nyumbani
Aisee nimefurahi sana kusikia jina la babu yangu mzaa mama KIZAMBA kumbe babu alikuwa ni mkongoman asante Tanganyika tv
Du kweli fasi nzuri beautiful land munafanya Kazi nzuri Tanganyika TV
Kazi nzuri kaka, unaongea kiswahili kizuri umebahatika kukaa Tanzania
Naipenda sana hii interview
Hongereni sana Tanganyika Tv
Love from Burundi kazi nzuri sana kaka
Mtangazaji jipange kwenye maswali na confidence
Courage Journaliste kwakazi unayofaa. Mubarikiwe sana Naona Bubembe.
Aisee kazi nzuri sana Kaka 👍🏽👍🏽👍🏽
Huyo mkongomani sio muzungu. Kwasababu Alizaliwa na mama mkongonani.
Hiyo ni maisha tuu na nimustarabu kabibisa huyo mzee kwakusema ajijutii kutokwenda ufarasa kwasababu na maisha yahuko haijui. Big up mzee.
Kunahata wazungu abao wanaangaika ulaya
Anakula fegi uyo
Jambo Mzee Daniel Asukuma,ex.reparateur Radio na saa;tuliwayi kubakia pamoja pale Mwammbangu Bashele,kwetu Simbi.
Mzee amejibu kwa hekima
Asante Sana
Good job journalist
Nime penda sana kuona hiyo video imetujuza kuusu nyumbani kwetu
Woow tanganyika TV 📺 hongereni sana niliwahi kumuona mzee wa A15 kwa sasa namuona mzee wa A11 naye
Big up sn bro
Porojo nyingi Sana mtangazaji, ivi maana ya tv Nini?? Au inajishugulisha n'a Nini ??
My babu
🥰
Good
Namuona mzee tena duhhh miaka 18 hivi
*Baba yake mzazi na asukuma mchezaji wa Régie Des Eaux O1 Kambini Nyarugusu*
@@bilombelekilozodieudonne123 ni babu yake mzaa baba yake
Kwani mzungu gani huyo ama haujuwi mana ya mzungu? Naacha kuuliza mtu maswa yakiubaguzi. Congo is his nationality and knows no where else. Not France. Leave the poor guy alone and let him enjoy Africa .that's his place
Ni mwafrika wa kweli kbsa,mzee ameongea vizuri sana.
Kuna kitu kinanishangaza sana ,angekuwa ni Munyamulenge ameza namubebembe hange ishi apa ,wange muua laki ni Damu ya Muzungu maskini muna mpokea munamueshimu sawsa munguwenu..
Tujifunze kueshimu Race yetu.
Hapo do kwetu nemba kabisa nimepende sana 🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️
Aah brother Kwan nemba ipomkoa gani
@@Mrkope-un9idKivu kusini
Mtangazaji mjinga sana sio kila mtu anajuwa kiluga kiswahili ni muhimu sana ktk interview ili kila mtu aelewe
Ok
Kaka mahojiano yako mbona yanaelekea km kuwatukuza wazungu eti kuwauliza eti wanajisikiaje kuwa wao weupe kuishi na watu weusi. Si umasikia hata majibu yao ni kama wanakushangaa wewe. Mana Hata wangekuwa huko Ulaya maisha ni watu kuchanganyika. Ungetafuta ujanja wa kuuliza maswali sensitive kama hayo.
nemba kwetu
Niko Tanzania napenda kuangalia lakini jitahidi kutumia lugha ya kiswahili inapowezekana
Bro mzee siyo mzungu ni mweusi mwenzako yani black and white wakizaha mtoto anakuwa ni mweusi hata unachanga
UKo sawa hâta mimi huma inanishangaza sana mtu aliyechanganya rangi kumuita mzungu.
@@devothasimbi1055 Wala neno mzungu lisikuumize kichwa kwanza Jina lenyewe linamtukutukuza mtu kama Mungu mtu, maana ya mzungu ni Mungu kwahiyo kwanza si Jina zuri lakumuita mtu, Pia huyo si mtu mweusi kwani pia katika watu wenye weusi pia wapo watu wengine katikati yao wenye rangi tofauti tofauti ukiondoa watu weupe na wamanjano na wekundu sasa mtu mweusi ni identity katika africa sasa huyo mzee si mweusi kwani katika kundi la watu walio weusi huwezi kumuweka h mtu huyo
Wa journaliste washamba, unafanya mzee ajisikie kwamba hapo si nyumbani kwake.
Kachangwa na mzungu ila ni mtoto wetu wakibembe cause baba yake akuowa mama yake mtoto akizaliwa inje ya ndoa uwa ni mtoto wamwanamke
Mzee wangu tuliishi pamoja kambini lugufu tanzania duh namkumbuka🙏🙏🙏🇨🇩🇺🇸🎧🛌
Jamaa unafanya kazi nzuri ,ila mambo mengi unakosea unatakiwa kufanya kipindi kwakujifunza mambo mengi kuhusu utangazaji. Halafu hao unao wahoji siyo wazungu ni warangi rangi yaani mixed wa Muzungu na mwafrika kwahiyo siyo mzungu tena
Maskin mzungu alie choka
Huyu mzee ana akili sana, damu ya kibembe ni baraka tosha
Anaongea kiswahili kizuri tu
Tuma numero yako hapita
Hawa wazee wako wawili? Mmoja nadhani amezaliwa peke yake.
Huyu mzee haeleweki, kwanza alihojiwa na Tanganyika TV akasema baba yake alikuwa ni mfaransa halafu alipohojiwa Mara ya pili akadai baba ni mbelijiki na hakuwahi kumuona, sasa mbona anajigonga gonga mwenyewe kwa maneno. Sema moja lieleweke, sio kuchanganya maneno.
Sio uyu aliesema baba yake mbeleji ni mwingine.
Jambo yenu ndugu zangu mimi jento niko natoa ushauri kuhusu maisha ya ulaya mimi hivi niko 🇺🇸 USA Sasa mzee asirogwe kwenda ulaya hata akipata babu au ndugu zake zake ulaya asiende
Ndio hapo umesema sawa asiye jua ulaya na marekani anafikiri hapa tupo paradis lakin sasa ni kujuta mim hata mtoto wangu sitaki akuje hapa england. Ardhi nzur sana. Huko calemie moba mwanza kindu likasi kivu nord na soud kivu ni kuzuri sana. Baada ya miaka kumi watu east kongo watafurahi sana. Wafanye muungano na east africa basi sisi tutakuja kulima huko
@@seifseifmohamed7118 Aah jamani watu wote wanakimbilia huko ulaya unasema sio paradise ?
Mbona wewe ahujarudi africa
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Kwani je hakuna watu weusi katika kundi lao walio weupe wewe mtangazaji ? Neno mzungu maana yake ni Mungu basi hilo neno si zuri kumuita binadamu kwamaana unamfanya binadamu kama Mungu mtu
Hiyo tafsir ya mzungu ni MunguMungu, tunaomba ushahidi!!!!!
Waego ole mwafrika 😂, haukoako mupolitike ya kuuwa wakongo
Journaliste Kuwa na Adabu wewe.. maswali gani sasa ayoo
Tv zenu za congo hazina watangazaji wenye weledi sema tunapata habari
Mtangazaji una maswali y’a kijinga unakazia huyo ni mzungu Wakati amechangancha rangi? Eti angeishi ulaya maisha yagekuwa mazuri unachekesha sana.ninaishi Ufaransa n’a wazungu ombaomba bila sehemu y’a kulala kazi yao kusubiri pesa y’a serikali na kunywa.
,
Husikii kamwambia ya huko yeye hayajui 😆
Kwahiyo basi watakakusema huyo mtu angalikuwa ulaya basi na yeye angekuwa kama hao uwasemao ? sasa je hapo congo watu wa jinsi hiyo uisemayo ulipwa fedha kama huko ulaya usemapo zaidi yakulipaka vumbi
Kwa nini mwandishi wewe unamuuliza kama anajutia kutokupelekwa ULAYA, huyo jamaa amezaliwa na mama mbembe, kwa nini asimpende mama yake? Wewe unachukia nini kwa yeye kubaki UBEMBENI?
Kwasababu anaona anapatatabu vumbi linamchakaza Africa mchezo mtu mzee anajitunza mwenyewe ukikosa ela ya panado unakufa mchana kweupe🤣
Huyo kapita mdogo ndo mwibéléca ao? tuliachana tukiwa watoto wadogo sana kama umri wa miaka 7 hivi.... Nimiaka 30 sasa imepita.
Ndio ni Mwibe fils K
Uyu jamaa ajifunze vizur
Hii kazi bado sana
Maana ajuwi step za
Maojiano
Nimefata toka kwa yule dada chotara aniemuoji punde
Mtangazaji maswali yake ni ya kijinga sana. Mzungu gani si.chotara. Mahali pote ni nyumbani yeye anapenda Africa. Kwani Africa watu hawana maisha mazuri? Kutodhamini Uafrica wako. Nani kasema maisha Ulaya ni mazuri zaidi ya Africa. Ulishafika au kuishi huko? Nimempenda Babu anajielewa
Mtangazaji hajielewi.
Mzungu kweli uyo?
Kwa il hukumsikiliza vizuri?
Mzungu maskini
Kwani mzungu maana yake nn???
@@msowamhokole7714kwani maskini sio mtu?mxuuhhhh