Ni sehemu ya pili ya ushuhuda wa kijana aliyekuwa mganga wa kienyeji kabla ya baadae kuamua kuokoka.Ni ushuhuda ambao una mafundisho mengi sana ambayo naamini yatakubariki.Karibu tuendelee.
Mimi kilichosababusha niokoke ni hiz shuhuda sababu na mimi nimehangaika na waganga saaana tangu 2014 ad hii 19 lakin nimeamua nimpokee yesu kristu waganga, wachawi na shetani woooote ni walele company moja
💕JAMANI MUNGU ANAHURUMA 💕MUNGU AKUSAMEHE PIA 💕ASANTE MUNGU KILA SIKU KWA WATU KAMA NYIE YANI WEWE NI MAANA SANA 💕HASA KWENYE ULIUMWENGU WA ROHO 💕❤️❤️MUNGU AWE PAMOJA NAWE
Cha ajabu wanaosikiliza ni wachache ila angekuwa Diamond ungeona watazamaji na wanao like
Mimi kilichosababusha niokoke ni hiz shuhuda sababu na mimi nimehangaika na waganga saaana tangu 2014 ad hii 19 lakin nimeamua nimpokee yesu kristu waganga, wachawi na shetani woooote ni walele company moja
Wow!Mungu ni mwema,ubarikiwe sana
Amen
Kweli kabisa hujakosea
Lucas Gasper Amen 🙏🏿
Ushuhuda wako mzur
Yesu ni Bwana.
💕JAMANI MUNGU ANAHURUMA
💕MUNGU AKUSAMEHE PIA
💕ASANTE MUNGU KILA SIKU KWA WATU KAMA NYIE YANI WEWE NI MAANA SANA 💕HASA KWENYE ULIUMWENGU WA ROHO
💕❤️❤️MUNGU AWE PAMOJA NAWE
Jameni Shetani husumbua tena ni muongo, Sifa na Utukufu ni kwa Mwokozi Yesu tu 😭😭😭☝️🙏🏾🙏🏾
Ushuhuda mzuri ila hizo burudani zinaondoa ladha kusikiliza nyimbo ungeweka sehemu yake inayojitegemea
JESUS is the solution to all our problems,lets believe in Him all the time and all our problems will be solved,
Wimbo mzuri but umeptia changamoto nyingi sana hivyo usirudi nyuma endelea na safari ya kumfuata YESU
Hakika Mungu anaweza ana upendo wa ajabu yani sijui nimtumikie vip ajue namhitaji wapendwa tusirudi nyuma kabisa
Amen
Wimbo mzuri sana ila ungewekea sehemu yake,kwa kuwa kwa sasa tunasikiliza shuhuda tunataka kusikia shuhuda.na wimbo uweke separate .ila ni mzuri sana.
The blood of jesus krist
Doh kijana huyu amepitia makubwa kweli pole sana mmm
God is good
Pt3?
coming soon
Yesu ni Wa hatari
Plis nitapataje huu wimbo nimesamehewa dhambi imenibariki sana
Amen