Kama tu Umefanikiwa kuiyona episode hii ya 37 basi jua Mungu anakupenda sana usisahau kumshukuru na kufanya ibada kuwaombea wasiojiweza taabani na hata walioondokea na wapendwa wao waliowapenda sana Tambua Mungu anakupenda sana na yote aliyokupangia yatatimia kwa wakati sahihi All the best team SNAKE BOY 💪💪💪❤️🔥
Jaman nimefuraha sana leo kua mfaume kutokua nanguvu tena mana alikua ana linga sana mana kidogo tu ana geuka nyoka na kumeza wezie sasa leo kime mlamba jaman pia nimefurahi pia kua wana kipara kua bubu na mweziye pia nakupenda sana vira na bira kusaau tanu nakupenda sana umeupiga mungi sana mana una jua adi una Kela nakupenda sana 💋💕💕💕💕💕💕💕💕💕
Bwana yesu asifiwe ,napendelea kutoa pongezi zangu kwa team mzima ya Clam vevo ,hio nikazi ambayo tunatarajiya kuhona kutoka kwa Clam maana ndiye msanii mkubwa sasa Tanzania katika filam. ila Tanu Tanu Tanu wewe kiukweli umecheza huusika wako❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hii adhabu aliyopewa Kipara na mwenzake Sengo ni nzuri sana na walipaswa kuipata toka kitambo. Wanaume gan wanakuwa wambea kama watoto wakike mamae. Halafu Kipara akiulizwa eti anasema alishindwa kuvumilia.
Assalamualaikum ndugu zangu waslam wakristo bwana yesu asifiwe mbarikiwe mliofanikiwa kuwa wa kwanza ambao nao mmechelewa nawapenda saaana nikiwa team strong hoyeeeeeeeeee 🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️❣️❣️❣️❣️💫💫💫💫like please
Clam clam kazi nzuri hivi nisawa maana haukawizi tena Ila fanya sasa umalize hiii tunaitaji ingine mouvie after snack boy. Love you froom belgium❤❤❤❤❤❤
Kuanzia snake boy ianze hakuna siku niliyofurahia kama Leo kumuona mtanzi amebadilika nyoka na kmmeza malkia na chief wa nyoka kutobadilika nyoka tena 👏👏 8🎉🎉🎉❤
😢 mm ningependa tuu kumwambia clam kuwa afanye bidii nae aposti seasons zake Netflix pia tunaitaka BIG BOSS SEASON TWO hongera pia kakoso😂 ... Kama unakubaliana na mm basi bonyeza like😢😢
Toka niaze kuangalia snake boy sijawahi pata like but today japo 20 from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
th-cam.com/video/tDpa87eWHIs/w-d-xo.htmlsi=CSbCg9H2_HpFbGYV
Upo mueda au pemba ?
Like ww za nn
Nipo mueda
Kama tu Umefanikiwa kuiyona episode hii ya 37 basi jua Mungu anakupenda sana usisahau kumshukuru na kufanya ibada kuwaombea wasiojiweza taabani na hata walioondokea na wapendwa wao waliowapenda sana
Tambua Mungu anakupenda sana na yote aliyokupangia yatatimia kwa wakati sahihi
All the best team SNAKE BOY 💪💪💪❤️🔥
Ubarikiwe
Mimi hicho ki beat chao tu
Ameen
Ameen
Alhamdulillah
Ila kama Kuna Mtu namkubali Sana ni Tanu... Mzee Ana mipango 😂😂😂😂
Tanu nomaa
Kabisa yn❤🎉
mipango hatriii mia kwa mia
@@mabrukimwakaribu8942 Sanaa Uyu mwamba anajua
Anapanga mpango anapohis unafeli kashaweka mpango mbadala
Jaman nimefuraha sana leo kua mfaume kutokua nanguvu tena mana alikua ana linga sana mana kidogo tu ana geuka nyoka na kumeza wezie sasa leo kime mlamba jaman pia nimefurahi pia kua wana kipara kua bubu na mweziye pia nakupenda sana vira na bira kusaau tanu nakupenda sana umeupiga mungi sana mana una jua adi una Kela nakupenda sana 💋💕💕💕💕💕💕💕💕💕
Daah yaani kipara amewacha kupeleka umbea kwa malkia ame enda makao makuu kwa chifu kupeleka umbea 😂
Hatimaye wambea leo wamekomeshwa team hamamu let's gather here watching from Iraq 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Naskia rahaa hatari😅😅😅😅😅
Naskia rahaa hatari😅😅😅😅😅
😂😂😂
@@ArafatAbdallah-f3b😂😂😂😂
😂😂😂😂Raha tupu
Sema huyu tanu ameupiga Mwingi Sana Maana kwa namna moja au nyingine naweza sema yeye ndo kamrudisha snakeboy, Likes zenu km na nyie mmeliona hili
Sanaaa
❤❤❤❤
Tanu anajua kupanga kazi
Tanu mzee wa mipango hajawai kufeli
Namkubali sana tanu anaweza❤🎉
Tusisahau kuswal na kutii maagizo ya mungu
Asante kwa kutukumbusha❤
Inshaallah. Shukran
Swadakta
Asante kwa ukumbusho
Ishaallah shukran🙏 Kwakutukumbusha
Bwana yesu asifiwe ,napendelea kutoa pongezi zangu kwa team mzima ya Clam vevo ,hio nikazi ambayo tunatarajiya kuhona kutoka kwa Clam maana ndiye msanii mkubwa sasa Tanzania katika filam. ila Tanu Tanu Tanu wewe kiukweli umecheza huusika wako❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉❤ congratulations team clam vevoo Leo part ya Leo ni moto 🔥🔥na inafurahisha sana
Hii adhabu aliyopewa Kipara na mwenzake Sengo ni nzuri sana na walipaswa kuipata toka kitambo. Wanaume gan wanakuwa wambea kama watoto wakike mamae. Halafu Kipara akiulizwa eti anasema alishindwa kuvumilia.
Kweli kabisa 😂😂
😂😂😂😂😂
Leo kime walamba na bado hawaja koma tu 😂😂😂😂😂
Mmbea hashindwi atasema kwa ishara 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂Alishindwa kuvumilia 😂😂😂😂😂
Waliofurahi kumuona bhailam akijiunga na team ya snake Boy wagonge like hapa
🔥🔥🔥
Mimi wakwaza kipala kuwabubu mana siubehu
🔥🔥🔥
Jaman naomben na Mimi like bs ata sku moja hamjawah kunipa from dubai 😢
Pokea tupo wote hapo hapo
Nani ambae amechekeshwa na kipande cha kubadilishwa bubu wambea wetu wa himaya ya nzoya😂🤣😂😅😆😃😃😂😂
Tanu ndo msaliti pekee aliyefanikiwa kucheza na akili za wengi
Yes ameweza kweli ni master plan kweli kweli
Kabisa yn
Hivi tanu ataupata uongozi anao upambania kweli..? Acha tungoje ep38 ❤ hongera clam vevo kwa movie nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Na iwe funzo kwa wambeya wote😂😂
Nimefrai mpaka bc akuna kupeleka umbea Kwa malikia Wala Kwa faume😂😂😂
😂😂😂😂😂
Kwakumufanya kipara kuwa bubu' apo napenda sana 😂😂😂,alikuwa nazinguwa sana naumbeya ❤❤😂😂🎉🎉
Aaaaweee...
Mamaweeeee.....😂😂😂
Kama na ww umefurahishwa iyo fasi gonga like apa from 🇨🇩🇨🇩
Nimecheka sana leo na mfaume 😂😂😂😂
Wow! Ama kweli nimemkubali Tanu kwa usaliti wake big up broo.....fahume kwishaa hatimaye kijiji chafurahi....hongereni sana
faume aaah wee mama weee😀😀
Asslm alykum tokea nianz leo tu naomben like maan tokea nianz kuifatilia hii snake boy inshallah pia Namuomba allah atupe mwish mwema ameeeeeeeen
Amiin inshaallah ❤
Amin inshallah🙏
Tanu the master planner aki napenda kazi yako sana maana umempiga tatu bila Faume😂😂😂
Assalamualaikum ndugu zangu waslam wakristo bwana yesu asifiwe mbarikiwe mliofanikiwa kuwa wa kwanza ambao nao mmechelewa nawapenda saaana nikiwa team strong hoyeeeeeeeeee 🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️❣️❣️❣️❣️💫💫💫💫like please
Hoyeee❤❤
Waleykum msalam warahmatullah wabarakatuh shukurani
Walkum salam warahmatullah wabarakatuh
Awee! Mama weeer😂😂😂
th-cam.com/video/tDpa87eWHIs/w-d-xo.htmlsi=CSbCg9H2_HpFbGYV
Faumeee😂😂😂 eti awee mama weeee 😂😂😂😂😂
Walio furahia kumuona mfaume nguvu zimeisha piga makofi gonga 👍 ❤
I always say, you are the best movie in Tanzania (number 1) whoever doesn't accept it looks for his Tanzania
ni nani anaye penda kipala kuwa bubu nipeni like zake🎉🎉🎉
😂😂😂😂😊
Kwakeli Siri zetu zitatunzwa sasa😂😂😂😂
Mm nimefurah 😂😂 sana tena sanaaaa jamanii
😂😂😂😂Yani nmefurahi zaidi ya sana
😅😅😅😅 walahi nyinyi .
Mimi niwa tano kutokea swideni please naomba like ata mia kwangu inatosha maan toka nianze kuangalia hii movie sijapata ata liki ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Zinawasaidiaga nn hizo like
@@NyapambaSadokiSangome pia najiulizaga ayo ma swali 😅😅
@@Amidaqueen-p9l❤
Move tamu jamani siku zote si comment lkn leo imenibidi bwana ntanzi hongera Ila faume umeyakanyaga
Chifu leo umejaa na uzuni masikini sana hiyo part ya chifu leo ina umaa pia kulingana na alicho tendeah watu lazima na yeye pia aumieh 😂😂😂
😂oiii tanu we mwanet unaua balaaa 😂
aisee anaupiga mwing maua yake kwakwel
😂😂😂😂vila nakupenda saaana me naomba nguv zako zirud mala dufu kakoso pia Mungu akubariki sana
Leo nime wayi ki ukwili ila acha ni wa pongez kwa kazi kubwa munayo ifanya. Big up team clam vevo. Mungu mbele sisi nyuma
Tuliofurahi mfaume kupigwa tujuaneeeee😂😂😂😂
Ongera sana tanu tuna kukubali sana kwamipango yako kwawale ambao wanao mjuwa tanu wanajuwa nininamaanisha gonga like hapo kwaajili ya tanu.
Lakini tano (5) amefanya kazi kubwa sana kuludisha nguvu zantanzi me nmefulai sana 💪💪 am in ugandan
Anaitwa Tanu 😅Au Tanu yuda msalit 😂😂
Kaz nzur sana mpo vizur sana clam mungu akupe afya njema
th-cam.com/video/tDpa87eWHIs/w-d-xo.htmlsi=CSbCg9H2_HpFbGYV
Clam clam kazi nzuri hivi nisawa maana haukawizi tena
Ila fanya sasa umalize hiii tunaitaji ingine mouvie after snack boy. Love you froom belgium❤❤❤❤❤❤
*Faume’s Laugh Is Toxic!🇰🇪*
Uwiiiii naisubiri 38 kwa hamu Sana sio kwa utamu huu🎉🎉🎉🎉🎉 king vevo king snake na team yooote chukueni maua yenu
Wakwanza naombeni like
Itakusaidia nini😮
@@hamzanoor1466 ety
th-cam.com/video/tDpa87eWHIs/w-d-xo.htmlsi=CSbCg9H2_HpFbGYV
Faume bwana😅
Wambea waili wmepatana ktka safari yao ya ububuni sivyo wnafurahisha htr😂😂😂😂ntanzi alhamdhulillah kwa kurejea uwaokoe wna himaya ...ngoma nzr na mmependeza mnavyoicheza hongereni 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Huyo Tanu kaigiza vizuri sana
Sanaaaaaa 😂 apewe 🎉 yake walah
❤❤❤
Mungu akufungulie kila uliombalo we unaesoma comment hii sema amina japo kimoyo moyo
Direct kakoso auna kazi mbovu🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Asante mungu atimaaye kipala kawa bubu gonga laikkiiii kwa tulio fullai 😂😂😂❤❤
😂😂😂😂😂
@@مناكيني 😛😛
😂😂😂😂akome
@@mohammedkidody5618 wamezid yanii 😂😂😂
Bhailam nakutafta kila kona jamaa uko vzr sana najifunza mengi kwako
Nimechelewa sana ata liké moja vevo kutoka Congo RDC 🇨🇩
Kamituga ✍️
Asanteni,sana ndugu zangu ote mlio wahi na mliyo cherewa hongereni san.mungu awajalie ote tuzidi kuombeana mema
😂😂😂😂😂 chifu umejua kunichekesha awe mama we
Kuanzia snake boy ianze hakuna siku niliyofurahia kama Leo kumuona mtanzi amebadilika nyoka na kmmeza malkia na chief wa nyoka kutobadilika nyoka tena 👏👏 8🎉🎉🎉❤
Ntanzi
Tunapita nayo inshallah mungu akubaliki kaka clam na wenzio wote nasi mola awe nasi
th-cam.com/video/tDpa87eWHIs/w-d-xo.htmlsi=CSbCg9H2_HpFbGYV
Muvi nzuri sana hii kama unaikubali gonga like apa😂😂😂
Surprise vraiment avec Bailham nous sommes contents supers dans of Congo fola germain 🇨🇩
@merci
Nimefulahi sana kwa kwel kumuona ntanzi kuwa nyoka❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nipo wakwaza Kaka clam kazi zuri tangu APA 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Kolwezi
Wakwanza Leo team clam weka like hapa
Mambo n fire ❤️❤️🎉🎉🔥🔥🔥
Wakwanza toka Ugandaaaaa 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🎉🎉🎉🎉🎉 likes zangu jamaniiiiiii
Una weza kaka 🙏🙏 ongera sana
snakeboy inatufikia sote wakenya clam kwa kweli wanipa burudani. LIKES ZA WAKENYA ZIKO WAPI
Mashalla mungu akuzidishie clam vevo na akupanulie zaid
Nimefika WA Kwanza wapi likee kama unapenda clam vevo ngona likee🤣🤣🤣🤣
we mama wee chief amalizia
Awee mama weee😢😂
Nan kamuona Faume, et mama wee ,mama wee,
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂
Faume kama faume kimemramba bhana😹😹😹,,na huyo kipara na kikono afadhal maana wamezidi upekupeku😂😂
😢 mm ningependa tuu kumwambia clam kuwa afanye bidii nae aposti seasons zake Netflix pia tunaitaka BIG BOSS SEASON TWO hongera pia kakoso😂 ... Kama unakubaliana na mm basi bonyeza like😢😢
Kazi nzuri sn leo nimecheka kidogo wambea wetu wameezwa😂😂😂😂
😅😅😅😅😅 kdg nizimie aky nmecheka kwa saut
@@user-ew4bu1cx9f sengo na kipara wamenimaliza sisemi sn nime rudia hio part mara kadhaa😆😆😆😆😆😆
Nimefurah sana kuona ntanzi kurudi kua mkombozi😂😂😂
Ata mie❤
@@user-hd4es4hb6n nilikusudia Ivo ila type wrong😂😂🙌
Nimefurai pia
Ule wakatii tulokw tukiisubiri hatimae umefika
Kazi nzuri sana Kila nikiiangalia hii movie Kuna kitu najifunza kimaisha big up San kaka clam🎉🎉
Faume umejua kunichekesha Sanaa leo
Napenda kipara nibubu mbye aliesomea
Hongera yenu waingizaji wote mnajuwana sanaaa ❤ Nyinyi wangese acheni kuomba like toeni maoni wangese Nyinyi 😂
Snake boy 🐍 inazidi kupamba moto 🔥🔥🔥👍
Imepamba Moto ila ndo yaelekea mwisho ivo
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team vevo
😂😂😂😂😂Ila kipara mmbea jamani 😂😂😂😂khaaaaaa skuhz anafanya route himaya kwa himaya 😂😂😂😂😂amekua mbea wa kimataifa 😂😂😂😂
Ndiooo😂😂😂😂😂😂😂😂
Mungu ni mkubwa naww pia umefanikiwa kuiona leo shukur sana maana wapo wengi walioshindwa kuiona leo
Mbona kama iyo kali san makoko 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Team Gen Z tupo pamoja na Clam vevo...Kenya tunasema....Tunaanguka na SNAKE BOY vile inafaa
Tushaskia😂🇰🇪🇰🇪
Epsd hii nmecheka Sana jmn emu nipem like zangu😂😂😂😂😂
Bububu tena umbea tutapata wapi.😂😂😂😂
Movie ya kumalizia mwaka hii ❤❤❤😂😂
Nimetia nanga na mimi, nami naomba like zangu natoka Mozambique 🇲🇿
Sikupenda huyo kijana kuuliwa n villa heri angejielezea
Tangu nianze kufatilia snake boy xjawahi kupata like😢😢
Nahautopata
Kwann
Mnaomba like kwani mnalipwa
Nîmes kuwa wamwisho nipe liké ata 100🎉🎉🎉🎉
Timu bailamu temefurahi kumwona kwenye hii 🐍 shake boy naomben like tano2
Mimi wakwanza Ku tokeya Congo 🇨🇩🙏
13:04 Leo wamepatkan 😂😂
𝙽𝚊𝚏𝚞𝚛𝚊𝚑𝚒 𝚊𝚍𝚒 𝚞𝚔𝚒𝚗𝚒𝚔𝚊𝚝𝚊 𝚜𝚒𝚝𝚘𝚒 𝚍𝚊𝚖𝚞 😂😂😂
😂😂😂😂wamekipata
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Nafurahia iyi sana😂😂😂
Daaah kitu kinachoniuma moyo na kunipa presha nikwamba 2080 wote tunaoandika sms saiv tutakuwa tumekufa😢😢😢😢 naogopa mm jmn
Nakiona iyo profile naogopa zaidi nachoka nachoka mimi😂😂
Tumrudie mungu wetu😢
Utaanzaa wew kufaaa
@@LilianCosmas2025😂😂😂😂😂😂
@@NadzuaMrema😂😂😂
Aweeee mama wee😅 jamn kazi nzurii sanaa
😂😂😂😂😂
Virangaaa vimewaishaaa😂😂😂 kiparaa na kikonoo ni mwendoo waa aaaah aaah 😂😂😂
Narudia kusema kipara apawe mume aolewe😅😅 amezidi umbea kubadili nguo aah
Kheee 😂😂😂😂😂😂
@@TausRaj 😄
Kakoso anahitaji pongezi kaipambania sana himaya ya nzita
Ndiyo himaya gani hiyo??
Ni nzoya😂
@@SteveneJoshua-eh7kv nimemkosea kuandika na sikuhakiki kabla ya kutuma
@@SteveneJoshua-eh7kv 😂😂😂😂😂
Hongera snaaa kwa KAZI nzuri
Aliyecheka Kam Mimi kuona mfaume anaposikia kuwa mtanzia kammeza malkia daah 😂😂😂
Hapo sawa ngoja nifwate 🇨🇩
Husan ndani ya nyumba
Clam vevo my favourite actor ❤ Allah akujalie kwa kipaji chako inshaallah ❤
Asante sana clam vevo Yani ni kazi juu ya kazi
Nmefurahi san kipara kua bubu n shoga yke 😂😂 clam umejua kunifurahisha san nawapnda snke boy tim nzma😂❤
Leo ndio nimefurahia kabisa , kumuona mtanzi wetu karundisha nguvu zake❤much love from Kenya