HUU HAPA UKWELI WA MAJENGO HAYA MAKUBWA YANAYOJENGWA ZANZIBAR
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Tunu Salum
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Labda sijaelewa, miradi inajengwa na PESA ya chama au na PESA ya kodi ya wananchi???
It's good to see more it done on investing towards education and infrastructure! It's a good time also to focus towards health and waste management as well.👍👍
Hongereni sana Kwa kuwajali wananchi wenu viongozi nyote Allah atujaalie mafanikio mazuri kwa uwezo wake Allah
Ipakeni japo chokaa majumba ya michenzani😚
Shukran Ktv tz online hakika hii ni fahari yetu
Safi sana 👍🏽! Ndiyo inavyo takiwa 🙏🏾✌🏾
hongera ccm.tufungulien mirad saiv
Uchaguzi umekaribia ila Inshaaallah mara hiii mnaondoka madarakani
Wataondoka inshalaha tuko hoi daah
TUPO TUNASUBIRI USHAHIDI KAMILI KUONDOKA MADARAKANI Inshaallah
Hiyo yako ni ndoto tu
@@ankallypandu7648 kama ilivokus yako
@@ankallypandu7648 sio ndoto ni kuombeana dua tu Allah akatujaalia tukaishi kwa Amani na utulivu maana kila uchao hali ya maisha na uchumi inazidi kuwa ngumu hayo maendeleo kwao wao tu wakubwa wa kazi sio kwa wananchi
Kwani lazima mvae nguo za ccm hamutofautishi mambo ya kijamii na chama wacheni upumbavu huo hayo majengo ni pesa za walipa kodi
Miradi inajengwa na chama cha CCM au inajengwa na kodi za wananchi??
😞hujarudi kusema Ccm oyeee kama nahuku utanikimbia kibia Ccm oyeeeeeee😲😂😂😂😂👍
@@zayyatiyussuf9566 ngoja nikufanyie mazoezi maana naona unanitafta🏋
@@josej9888 👍
Barabara mbovu kila chochoro.... ndio ilan ya ccm isemavyo itakuwa
Mim namkubali sana ayubu daa
Mashaallah hongera na mm nakuja kupiga kura nipate maji Ccm ndio naichagua Ccm oyeeeeee
😏
@@josej9888 🙄kwema? Sema oyeeeeee😲bas
@@zayyatiyussuf9566 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
@@josej9888 🙄kuja hapa unakimbilia wapi?
Hahahahahhahahaha hahaha miaka zaidi ya 50 watu hawana maji
Nyie wanga yale majumba ya michenzani yabomoweni mana hamuna haja nayo .yasije kuuwa watu.
We ayoub mda mwngne unakua unazungumza vitu au kufanya vitu vya kupigiwa mfano ila mda mwngne dah nakutoa Saman kbc sijui unafeli wapi mkuu
Nice
Mkuu wa mkoa wa kusini Ayoub nakukubali sana kidumu chama cha mapinduzi
Safi
Kiziwi ndie atakae kusikilizeni. Shenzi tijp
Je vyama vingine vinaweza kwenda kukagua??maana hiyo in kodi ya wananchi na wala sio ya ccm
Kila kitu Ilani ya chama
Hahahahahhahahaha haha miaka zaidi ya 50 watu bado wanalia na maji
Yani wapinzani munaumia nn mm nitabaki kuipenda ccm daima hapa nikazi tu