SHILAWADU WAMEELEZEA KUHUSU KUPIGWA NA DANCER WA WCB MOSE IYOBO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
- Baada ya kusambaa kwa story kuhusu kupigwa kwa Watangazaji wa kipindi cha Shilawadu na Dancer wa WCB Mose Iyobo, Muandaaji wa kipindi cha Shilawadu ambaye alikuwepo kwemye tukio hilo ameelezea kila kitu kilivyokuwa..msikilize hapa
poleni xana shilawadu ndio changa moto katika kazi zaki binadamu B gap xana kwa kazi mnayo ifanya jamii ina watambuwa respect xana. 👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊
Binaadamu na yeye jamani huyo mose labda siku hiyo dishi lilicheza hatuwezi kujua
😀
😂
MOSSE MSHAMBA TU.. DANCER UNAKUWA UNAMAPOZI KAMA DEMU.. UMARUFU WENYWE WAKUPEWA NA MONDI..
Kweli aise aya mambo ya kupita tu wanatafuta ridhiki pia kama yeye 😦 aache tabia zakidada
Mshamba sana yule mkata viuno
Asha Ally hiyo ni kazi kama kazi zingine!ila kosa km amefanya ndio hilo tuliseme!inatosha lakini kazi ya mtu ni muhimu kuiheshimu.
+njoo Tuijenge inchi umemsikia lakini utamuombaje mtu kufanya naye interview huku umewasha camera yaani kwa ufupi watangazaji wengi wa clouds wanafanya kazi kwa mazoea...
+njoo Tuijenge inchi kweli anajisikia moze mkata mauno huyo hana lolote vpesa vya mondi
Duh.. mose hakufanyaga vzr kabisa
Mejumaa Athman Kwakweli
Mejumaa Athman sio vzr
aissee poleni sana ila pambaneni jipeni moyo akuna kaz isokosa matatizo mungu awape nguvu mmesaidia sana watanzania kunabaaz wame fanikiwa katika matatizo yao pamoja sana
poleni sana kaka zangu kwa changa moto ili owa toke a kiukweli mm naipenda kazi en u allah at a waafuinshaallah poleni sana zaidi ya sana plz musikatetamaa na wala isiwe mwanzo na mwisho wa kazienukwalililowatokea kazenikambabuti poleni sana sana nawapendasana jamani kwa kazi zenu kazi ni kazi tuu wala m sijali aliefanyahivohajielewihuyo ilikiwa poleni sana
Mwana Aisha pole sudy wangu
Doooh poleni sana shilawadu jamani daaaah poleni sana
Mambo ni 👉🔥🔥🔥🔥
Asante moses
Poleni sana shilawadu.
Asante iyoboooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Yan nilikuwa na wish mbutuliwe cku mana cpend kwel kipindi chenu
mshamba uyo mosse
Zubeda Hussein ,mosse Iyobo hapo amefanya makosa!
Dah,poleni sana
poleni sana shiwaladu na endeleeni na kazi zenu hizo ndio changamoto za kazi
Daah Polen Hakuna kazi rahisi bhn
😂😂Good job Moses
Poleni sana. Mose ni mpumbavu sana.
Mange muongo sana, oooh SHILAWADU wamepigwa na Iyobo, nilitaka kushangaa kwakweli.
Saumu Hassan ulitaka ushangae nn
Nawapenda shilawadu endeleeni na kazi zenu
Wema Kalam
Wema Kalam ujinga huo
Mmezid na nyinyi Umbea tu mtakufa shauri yenu
Cjawahi kutoa comments kwenye social networks lkn hii Mose amenikosha sana angewavunja miguuu kabisa
poleni sana shilawadu wetu
Huo ni ulimbukeni tu alokuwa nao ushamba alokuwa nao mkata kiuno
Fatma Mhamed hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahhaahhaahah. safi
th-cam.com/video/NPGDmlNPEyE/w-d-xo.html
Yule mwenzenu ananengua ko nyege zikimbana ndo anavulugwa Ivo pumbavuu,,,linajiona súper star kumbe mavi2 Manina zake
Jessica Helbeth 😀😀😀😀😀😀 pambeeeenaaaa
Jaman my dea soud ugua pole
huyo mkimwacha nyiemafara jeee angeuwamtu jee
Poleni
Poleni shilawadu aisee
Poleni sana
Duuh poleni sana shilawadu, ila huyu mose alikuwa ana haja ya kufanya hayo yote, kama hili tukio lingefanyika kwenye nchi zinazozingatia haki na sheria bila kujali mvujaji wa sheria ana tittle gani angefunguliwa na shtaka la attempted murder with the deadly weapon ila kwa Tanzania it wil never happen kwa sababu tuu ni maarufu au wadhifa fulani hatari
punguzeni shobo shobo mnato izoooo
Tracy Justice pelekeno police
hatujui zetu haki na labda nini cha kufanya kwa wakati gani.,kama ile ya idadi kutojulikana kamili ya walio na magonjwa fulani kutokana na watu kutokuwa na tabia ya kwenda zahanati
Mnzava Chris kweli kabisa ndio maana tunabuluzwa tuu kama kondoo, kama unamsoma producer mkubwa sana marekani sugar nights alitafanya kama hivi alivyofanya mose iyopo mwaka jana au juzi akauwa mtu kwa kututumia gari yake kwa makusudi sasa yupo jera aliwekewa bond ya dollar milion 10 kashindwa lipa, elimu ni muhimu sana kwa mtanzania na ndio maana tuanazidi nyimwa elimu nzuri hili tuendelee kuwa mbumbu mbumbu, angalia matokeo yaliyotoka safari hii shule za serikali ndio utapata jibu
th-cam.com/video/aCmesyk4XAQ/w-d-xo.html
Huyo mose n chizi tu akauwa mtu mmoja anaweza kumlipa na nini ilhali ni ka ben ten
Rose Irungo hahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahhahahahahahah hilo nalo nenooooooooo
Rose Irungo Hahahaaaaa ndo hapo sasa
Rose Irungo
mackn polen aisee😢😢😢
poleni wambea wenzangu
simlaumu sana Moze Iyobo
Hapa kazi tu
atali sanaa
Khe huyo moses vip anawazim angemgonga mtu akasababisha umauti c angekataa tu au alikuwa hayuko sawa jmn
mshambaaaaa sanaaaaaa upuuuzii
Poleni jamani😊😊😊
Mshamba sana huyo mose hatuachie shilawadu wetu
Mxameheni jaman
Shilawadu shilawaduuuu nawaona nawaonaaaaa
duuh mange mbona anaumbukia uzeeni khaa!!!!😂😂😂😂
Fetry John 😁😀😂😂😂😂banar hapo kashaishiwa nguvu sasa nae asubirie kusutwa kwa habari za uongo.
Aiseee arafu shilawadu wastaarabu sana Mose tatizo ushamba umemzidi
pole xana sudy uyo atapata kiboko yake atafunzwa adabu
Pole sana Sudii
Poleni sanaa hila Baba kuki sikutegemea kama atafanya ayo
Bangi2
#shilawadu
👊👊👊
Poleni sana wana shilawadu, ila Nimechukizwa sana na huyu msenge mkata viuno Mozee iyobo kwa ujinga alioufanya, mshenzi kabisa kama alikua hataki kuhojiwa akiondoka zake au kukaa kimya au hata kuwaambia kua sipo tayari kuhijiwa, inakuwaje sasa kutaka kuwaumiza wenzako wakati wapo kwenye wajibu wao wa kazi zao, wewe mozee uyobo nimesenge wakiume mkataji viuno nyani dume wewe nakuchukia sanaaa.
kazi nyengine za hatarisha maisha san
nyinyi shilawadu mmezidi umbea sanaaa mengine msizindishe sanaaaa umbea tuuuu
aliwaweza Kabisa mumezidi umbea. hamuwezi force mtu kumhoji.
Aaaa si angesema kama mwanaume mimi leo sitaki hoja shilawadu wangeenda zao sasa mwenyewe maskini wataka gonga watu je ukiwauwa wajua haki ukiuwa ni lazima wewe uuliwe aache uzala yobo mkata mauno
alivuta bangi nn mose mbona anamambo ya kiboya hivyo
me naikubari wcb ila kwa hili la mose cjalipenda kaniboa sana aiseee
Hiyo ndiyo dawa, siku nyingine mukome habari za kuchokonoa watu Usiku.
Hili limose nalo kumbe lipumbavu sanaa hivi.Au hiyo laki ya Tunda bado inaivuruga familia yake.?
😂😂😂😂 Marupurupu ya umbea hayo.. kila biashara in faida na hasara.. mnavyowaongelea watu Mambo yao wengine wanaumia..hivyo pokeeni to kwa upole..police mkienda na wengine wanaweza kuwashtaki mnavyotoa taarifa za watu hadharani bila ridhaa yao
Doricy Audax 😂😂😂😂😂😂😂😂😂umeona eeh
binti mohammed Rashid Rashid ndio hivyo..wenyewe wanaona wana haki ya Kutoa hadharani mambo yawatu..bila kujali wengine yanawaathiri vipi ..sasa hiyo hasara ya camera povu linawatoka.. Hahaaaaaaaa..
Doricy Audax wallahi mi nilijua tu siku moja watakuja fanyiwa kitu coz sometimes mwenyewe una mahasira yako afu mashilawadu pap ndo ivyo sasa😅😅😅😅😅
Hiyo ni kuwaonyesha tu!! Ipo siku watachapwa ngumi!!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ALIKIBA aliwatoa bari na mbwa
Doricy Audax 😂😂😂😂😂😂😂
Duh
Huyu mose anajickia sn pia poleni kamati ya umbea
Uyo chausiku nimweu sasa angewagonga namkekufa siangefia gerezani mmh bangi nazo mbaya jamani
alishawai kwenda jela
mkomeee,,umbeaa tu
In short, MUMEZINGUA. Kabla ya hapo mulikuwa munawafuatilia so jamaa ndio maana kapanic kiasi hiko. Cha pili, Haikuwa na ulazima wa kumhoji mtu ambae sio muliemkusudia na huo ndio UMBEA na UMBEA si kitu kizuri katika jamii, Kwa hayo na zaidi ya hayo yangetokea kutokana na makosa yenu wenyewe. Kuhusu Mose amekosea but nyinyi MMEKOSEA ZAIDI ila siku zote yule wa mwisho huonekana ni mkosaji because alikosa kustahimili.
Mshamba tu uyo mosse, umarufu wenyewe kaupata kwasababu ya aunt, yy ana lolote mkata viuno toka lini anapata umarufu mond anamadencer wangapi mbona atuwajui
Salama Mosha hapo sasa halafu aunty mwenyew hanaga majigambo
Umeona heee ndugu yangu afu yeye anajitia amnazo pumbavu kabisa
Ukisha ambiwa sitak haina haja ya kufosii lazima utembee
sio baya
jmn cio ubinadamu kabisaa uo
Mbona cjaona km kuna mtu kapigwa.shilawadu mmezidi hakuna alopigwa bana.ndo mkome
Muachage umbea 😂😂😂
Bado amja rizka
Sasa nyie utafanyaje kipindi bila taarifa?
Dahh usingefanya hivo
Uyo mose karogwa au??
Jamaa alifanya hivyo kwa kujua kuwa angepata sifa. Lakini ni hatari maana angeweza kuuwa au kujeruhi watu vibaya
Mosee iyobo falaaaaaaaaaaaaaa
Bangi tu huyo baba kukii
Leila Innocent 😂😂😂😂😂😃😃😃😃😃😃😃😃😃😂😃😃😃😃😃😃😂😂😂😂😂😂😂😂😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃.poleni sana
Alichokifanya sio kizuri tena amekusudia mwehu kweli anahatarisha maisha ya watu kweli kiburi duuu ana roho mbaya kama hataki kuhojiwa alikua aondoke tuu na kama hawataki umbea kwanini ishu yao yaliileta mitandaoni wasidaiane uko uko shilawadu walikua wanataka uhakika kama wanahabari wengine tuu kwanin lakini amewafanyia ivo cjafurahi kwa kweli
Mmezidi kufatilia maisha ya watu punguzeni kidogo usiku sio vizur kufuatilia maisha ya wakali
Pole sana ila alipe
kwanini hakuwakanyaga shenzi sana hawa jamaa
msenge iyobo
polen sana ndg zangu ndo changa moto ila mose hicho kitendo ulicho fanya so kizur kabisa ila nimzima kweli ww mose au usha aza kuugua
KWISAAAAA, SUDIIIIIIIIH MAMBO NI HIVIII 💡💡🔥🔥🔥
Yani uyo moze kanichefua balaaaaa m2 mzma ovyo
noma
Duuuuu jamani
Hana akili kna maisha baada ya WCB
Acheni kulazimisha mtu kama alienuka akaenda kilicho wafanya mumfate aliko ni nini.Mlikuwa mwataka hayo chungeni sasa ubuyu umefikia pa baya. Kwanza ongeeni na mtu akubali Ndio muende. Umbea Heri mbadili jina hili jina umbea halina heshima.
MWANAHALIMA MWACHILI acha ujinga na ww kwaiyo alichofanya iyobo ww unaona vizuli? Yy akisha ondoka kilichomfanya aludi tena kwa spid na kutaka kuwagonga nn hile ni kazi yao sio kama anazalilisha watu yy kama alikuwa hataki akakataa tuu sio lazima
Gg Jghh Wewe pia acha ujinga na uache matusi you tube acha Millard atutukane but si wewe.Na huyu mbona akanusha hapa na wale wamefungwa mikono na shingo kuwa waliumia.Mmmh huu ni mtandao toa maoni kama wengine si uwanja wa matusi.
Gg Jghh Na mimi sio kuwa natetea hayo ni yao wajuana kwa vilemba sasa sioni haja ya kutukanana na watu.Kama Millard wanasoma comments na hana matusi wewe ni kama nani hapa.
na ndio maana mnapigwa Poleni hili la gongolamboto mumetisha. Jaman shemeji Kumbe aslay yalimkuta kweli ya shemeji ehhhh shemeji kishingo upande.
Media zinapowatangaza sana na Kwa muda mrefu hawa waitwao WASANII bx hujiona kuwa SPECIAL kuweza kudiriki kuvunja hata SHERIA NA UTU WA WENGINE....tahamaki hujikuta matatani na kumaizi kuwa HUO UITWAO UMAARUFU WALIONAO ni deception tu na si kitu chenye mashiko CHANYA YA KIMAISHA....
Kupanic huko..... Angeua ndio angeelewa Kala hela nn ile ya tunda au...
miladi plz em nakuomba umuletee dkt shika Wang sijuii umemupeka wap nimemumiss achana na hawa wambeee sema Kama sudy umepona asante mungu ningee upata wap umbeea wote wa town 😂😂😂
So far
Lilimbukeni sana hilo anataka kujionyesha limezoea kutingisha matako yake kwenye steji
Mtangazaji unamacho mazuri
dume zima ovyo mtu mwenyewe umefugwa na anti ungewagonga ungepata faida gani ovyoo si ungewaambia tu kwani kuna shida gani peleka polic huyo atie akili pumbavuuuu
Rahima Juma kabisa hata mm nasema hivyo kwani hakuweza kuwaambia tu, angalia jeuri yake imempa faida gani. Keshajitia hasara mbona diamond hatuoneshi kibri hivyo na ana magari makubwa makubwa wacha yy kawa na kigari ndio kaanzisha jeuri hivyo.
Rahima Juma
Hapo bado tu dancer angekua muimbaji ingekua je?? Fyuuu sifa za kijinga
Shilawadu wamezidi usenge jomon bora walivyopigwa
Fadhili Bakari wewe ndo unaona usenge lakni wenzako wengine wanaona inafaida kwao anyway unakumbuka wastara alisema kuwa shelawadu ndo waliomsaidia yy mpaka kufanikiwa jambo lake na rais magufuli alimuona wastara alilia kuomba msaada kwenye kipindi cha shelawadu kimjula hao ni waandishi wa habari kama waandishi wengine tu haikuwa na haja yy kufanya yote hayo angewaambia tu sihitaji kuongea na nyie basi
Umbea ndio umetutambulisha kwani Huna jina la kukutambulisha😃😃😃😃😃😃 najua mose anaeza afford soda lakini ningekua hapo ningembaiya.
Kavu sana
Alikuwa mwezini labda,au mitusi ya tunda imemchanganya 😢😢😢
Mose kakosea angesematu hataki wamwache. Kafanya kitu kibaya sana na nimebadilisha mawazo yangu kwake. Kaonekana kama mtu ambaye anaweza kuua na pia hawezi mambo ya u celebrity
Mmmh mose akufanya poa lakini pia kina soudy mumezidi sometimes ebu tafuteni ubuyu kwengne wapumzisheni hao wcb family jamani mbona msiende kwengne....+254 Mombasa
Mose ni msenge sana kuma tuuy uyo kama kuma nyingine hana akili bado mtoto analelewa
Jamaa Uyo kumpiga mwandishi Wa habari amefanya kitendo kibaya sana Na kitendo hicho kilaniwe cc watanzania ni wamoja kama hao mashila Wadu walimkosea alitakiwa kwenda kwenye sheria lkn siyo kujichukulia sheria mkononi.Na Uyo Jamaa ametia doa kundi letu la wasafi hafai.
Huyo jamaa alikusudia Kabisa kuuwa...Hebu sheria isiachie hilii lipite bila kujaliii.. Khaaaaa Madaraka ya kulevyaaas
Du pore sana shilawadu