Rais Ruto ajitetea kuhusu kukodisha ndege ya kifahari yenye bei ghali keulekea Marekani
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- Ruto: KQ Ingekuwa Ghali Zaidi
Rais Ruto Ajitetea Kuhusu Kukodisha Ndege Ya Kifahari
Ruto Asema Ndege Ya Kq Ingekuwa Ghali Zaidi
Kauli Ya Rais Ruto Yavutia Shutuma Mitandaoni
Viongozi Wa Upinzani Wakashifu Gharama Ya Safari Hiyo
Rais Alikuwa Amesafiri Na Ujumbe Wake Marekani
Angetumia Kenya Airways at least hiyo pesa ingebaki hapa Kenya hata kama ingekuwa zaidi
Mimi nashangaa na hesabu ya rais kbsa.
Wewe ngojea ukuwe president utumie Kenya airways
Thinking outside the box. Tungeeza pata akili kama hii yako tungekuwa mbali sana😊
Mnataka kufanya nini na iyo pesa na hamuonangi Tena,,,shenzi nyinyi
@@nikkonicholas4541matusi nayo ndio umesomea
200 million ni transport tu, hatujaongelea accommodation, na PDM
So sad
What's PDM?
@@Jobonserio marupu rupu
So he doesn't want to use KQ to avoid the taxes he himself imposed ...
Kinyozi hajinyoi akijinyoa hujikata😊.
Even if Kenya airways is expensive, he should have used it.
izi story zake haziaminiki...I don't understand how Kenyans process information
Pesa zetu hizo ushuru kupanda kila uchao..Mungu tetea wajawako
Oparanyas pair of shoes is 1 million, and he has not less than five of these type.........
That is 10 million min ........., on just shoes.........
2.4milion per hour, must be chicken change for this Azimio people........... Wacheni Kelele ya upuzi.......
I million for a pair of shoes....................on whose bill was this luxury foot ware put ........
He never gad them as Mp, never had them as minister, but got them as Governor..........
Akili Kichawani...........🤔🤔
And Azimio is here talking wastage of public funds..........
Bure Kabisa.......... !!!! 😲😲😲
Ina itwa bottom up ponda Mali hustler..😂😂
Ruto si mjinga alijua munaweza set ndege yake iende ikaanguke aende hivyo 😅
Kifo ni lazima na ikifika only GOD can protect you so kama ni kufa atakufa tu and why does he think someone is behind him kama ni adui uhuru alikua na adui wengi till date wapo
Kwani ataishi
So maisha yake ni ya maana kuliko ya wengine
Eating our taxes with a big spoon ....... Telling Kenyans to tighten our belts while wasting money
Mwaura the foolish man👆
I always regret...for voting this man😢😊
😂😂😂😂😂
Utajua haujui
Hadi nini Edward kamau ha ha bottom up economy na mama mboga
Ruto 2027! Gachagua 2032! Tupatane Kwa debe!!!
600 million for tea farmers is gone.
Ata ageenda na Wheelbarrow Azimio wangeteta tu😆
mbwa wewe akili za wheelbarrow.
So Kenya airways is charging us more, why? Taxes
Kama the private jet was a symbol of status...i think it is ironic because we thought his symbol of status was a wheelbarrow...
Wakenya hudanganywa kama watoi 🤣
Ata hiyo pesa hangetumia bado zingeingia Kwa corruption...wakule kabisa wamalize waende
On top of that zitaingia so is double double
This man is a reincarnated Mobutu 😢.. He can lie without blinking... I wonder if we still have fools who still believe in this man...
Lakini huyu mtu aliona wakenya ni wajinga sana ati KQ ni expensive 200m for 4 days? Thief 4 days 200m hio ni taxing, fuel ground handling services.lakini watu hudhani watu hawajui hii maneno sisi sio wajinga
First rule of business. Be presentable enough to convince your investors or clients
Politicians wetu,Jesus!!! Are they annoying? They talk nonsense na shinda zetu ni nyingi. Hawataki kuzitatua.
Nikama leo ni fools day wadau
Msemaji wa serekali anaongea kama mzee mtaa..
😂
So yeye anaamini kutax watu bt hataki kutaxiwa
Huyo ndiye hustler wetu😊
Wakenya si vipii bana,,😂😂Aache kutubeba wana huyu jamaa
Kioni uko right.Uyu ndio mcha Mungu ndio anatesa watu wake.kama hii ndio kuwa mtu wa Mungu wacha ikae
Achen ushamba mlitaka akodi hedkopter
RUTO WEWE UKO SAWA BUDA KAA UNAEZA BEBA HII KENYA USAFIRI NAYO KILA MAHALI PLS FANYA HIVO BRO.
Welcome back mr tax man,public hospitals still services paralysed 😠
Hata mimi bana sahi niwe prezoo lazima nipande ndege expensive ju sina time ingine , this is the only opportunity 😂😮
Wanjinga waliisha kenya mr puppet
Watu walijua afrika tumepata magufuri kumbe kenya mmepata raisi mbumbumbu kabisa kuleta NATO
Bana watu si wajinga banaa😂😂😂😂 io doh ni mob sana angetumia tu KQ yeye naye ni kutueka kwa madeni
How many chicken 🐔 did he sale to get 200million crazy guy 😢😢
Bona mkiitwa interview bona wengi wenu mnaombanga suti na bado mnafail hio interview wajinga nyinyi
Mko na wivu mpaka kwa president 😂😂😂😂
Uhuru went to Russia in 2018 with a private jet....but dogs didn't cry😂😂😂but now they are crying 😭😭😂😂😂.cry more
Ruto aliwaonea eighteen , kwani maadui wake ni wengi wasioamini yeye ni rais,,, mbona ni wanaolalamika ni Azimio vibaraka wa uhuru. We know what they are planning
Kenya iko na ndege gani ambayo iko gali koliko ile ametumia ikiwa kiwanja cha kenya airways kimeshindikani kukarabatiwa utakua ndege awachi uwongo
Ni vizuri enda na 200m urudi na kikapu full ya madeni tulipe.
Azimio mkaskilie vibaya nauko😂😂
Kenya kweli tuko matatani 2milion wakati wakenya waliadhiriwa na mafuriko masomo yanadidimia pia yani hatuna kitu kenye tumefanya cha maana kenya nikufinyiliwa tunafinyiliwa na huyo mwaura anasema eti ametumia pesa kwenda kufata pesa mingi alete kenya kwani kenya uliweka pesa zake huko kwali kwanza analetea nani na hatutaziona bado kenya mnachukuwa pesa zingine huko mkidhani mnapendwa nikurushiwa mahindi polepole tu mkifika nikunyongwa tu ruto atakuwa hayoko tena kwa kiti
Aaaa anapiga show tu huku na huku mzee zakayo wa safari aliiba kura na sasa kazi imemshinda ni kutesa tu na kibet chake
I dont think KQ will be expensive than pivate jet, no way. Maybe the stupid ones will agree.
Also zakayo u could be the front line supporting KQ. So sad
No amount of excuses can make us understand why Tanzania Presdent Sammia Suluhu Hassan travels on air Tanzania in all her foreign trips and Presdent Ruto prefers gold plated, Royal Emirates, costing Kenyans 2million dollars per hour...??
No way, KQ is way cheaper and why carry all those spectators doing nothing during the trip? Flying with KQ could be promoting our own brand and be proud of our national heritage and companies. Let KQ publish it's normal costs versus the luxury UAE company charges. This Zakayo wastes and loots public coffers but wewe ukiuliza honor a CBA he tells you live within your means! What an irony
Nkt..we know people who have gone to yues bwana..they didn't pay 1.5m per hour...not even close😢
So Kenya airways is more expensive than a private jet??? 😂😂😂 Help me understand....I believe all Presidents have come with goodies such as Google/Oracle setting up offices in Kenya. So I don't see anything special than a normal trip for any president.
Lastly, I am afraid fewer people will want to travel KQ since our own politicians don't have faith in its quality of services. KQ might be a step further downwards to collapsing..
SORRY FRIENDS CITIZENS OF KENYA YOU LOOSE YOU DON'T HAVE PRESIDENT 😂😂😂😂😂 THIS IS ZERENSKIY OF AFRICA 😂😂😂
Wewe ukiitwa state house saa hii utaenda na boda boda ndio usave ???
Good question
Uber Iko.
Ruto is a master of sweet words to charm Kenyans and he knows that most of us are idiots....So apparently a private jet is cheaper than KQ...If so, what message is he sending about KQ; most people are likely to avoid the airline because if it is expensive. Besides, a steward of public resources wants to have more CASs. What happened to living within our means? Unfortunately, tribalism and party affiliation cannot allow most Kenyans to see the truth.
dynasty kids are best as leaders but sasa maskini akipata cheo lazima aenjoy sile raha alikosa as a kid
Kenya airways 34x850,000 for business class tickets is much less than 200 million. Wach kutudanganya
Pes alizopewa ni zawadi kwa kukubali kondoo kwenda haiti kuchinjwa.Upinzani wamelambishwa.
Na mashoga kuhalalishwa
Ati the president came with goodies 😅.Goodies my foot, he is overtaxing us, then he flies to USA to increase public debt.
Asked those living in US how much taxes they pay,even buying kendi,"beremente"gum" tax must be paid
Kwa usalama wa Ruto sioni shida kwani bado kenya 🇰🇪 Airways kuna vibaraka wa Uhuru na Azimio wasiomtakia uhai. Wangefanya lolote.
Kama Uhuru angetaka kumuua kama unavyo sema alipokua uogozini basi angemumaliza so koma uhuru
A man should always promote his home business than giving money to other countries. I'll also stop using KQ nkt
Ruto nimbwia mukubwa shetani yeye anapepa paka watoto wake shetani you ruto Mafi wewe😂😂😂😂😂
ndio sababu nikajua hakuwa anasema bwana asifiwe bali alisema bona asubuhi sana
Butita has come back to play a character for where feces come out, driving peoples of Kenya to get into it, pole sana our churches????
Bure kabisa...good for nothing president😢
He doesn't care what type of answers he gives people can dare.Kalonzo too much verbal diarrhea has no value. Kenyans are suffering in hands kenyan leaders. Dead opposition leadership.
kumbe mwaura ni mlemavu wa akili bali na kuwa wa ngozi.
Umeleta nn kutoka marekani?
Wananchi ndo wajinga ama nanii ndo mjinga?
UJINGA YA WAKENYA IKO KWA DNA....WAKULE KABISA HADI KIFUNGUO YA TREASURY !!!
Aki huyu zakayo atamaliza hii kenya
Uhuru anaumia kweli😂
Zakayo anawanyonya damu😅😅😅
Watermelon nyamaza.
Ulishindwa na maisha kitamboooo!
Skia io albino na ni form tukipeana tz
Mlitaka atembee hadi marekani ama?
COMPLAINING EVEN WHEN GOOD PERFUME WAS PUT ON JESUS THATS WHEN OPPOSERS REMEMBERED THE POOR WHICH WAS NOT EVEN IN THEIR MINDS HOPE IS NOT THAT WAY WATU WA KULALAMIKA😢
Hii ndio upuzi ya kina Mugabe!
Zakayo,leta chart ya cost kati ya hiyo ndege yako na ya KQ
hio sio uchawi ni mahombi 😂😂
Mtu Bure Kabisa.
Watu sio wajinga buana
Aki enyewe these people know that Kenyans in wajinga na husahau haraka....Look at what Mwaura is saying; anything that pleases the master is better than the pain of Kenyans
Hii serikali inaongozwa na shetani
Funded by mama mboga
Why is Ruto showing off with our money, na kwa ground Kenya is a poor country, no wonder Americans wanatudharau
Hawatudharau, wanatuheshimu.lam married to an American.They adore Kenya for sure.
@@lucymwale7928 what is there to respect, we are a corrupt society, backward, dirty and very little to show 60 years after independence
Rutoooooo mand meru😢
RAISI MJINGA AFRIKA.
Stop wasting our tax money! Useless 😂
Mkopo hatutaki
Hawa kwa uongo ni kama kusomea wako na PhD ya uongo..
Indeed ,,kama vyenye matiangi alithibitisha 😂😅
Tujiangalie
From fake tears in churches to a idi Amin. Kenya in auction 😢
Ruto sikuhizi ni mfalme sio hustler meru na embu sasa wanajua hawajui akuna muguka mombasa he he he.
Achana rais bna
Mtajua hamjui
Mr Ruto Na Mr gachagua mpendane mtusaidie mmwage pombe, mpigane na bandits mtutengenezee sisi vijana wadogo kazi ....
.....Na mwakanye wale wanampiganisha wakome kabisa
private jet is always expensive. how cheap is cheap
Raisi msafiri
Wacheni pang'ang'a,,mnafikiria mtamtega na ndege zenu,,,
Nani amutege na yeye NI commander
That last guy which status and you are going to beg for money
ATI atarudi na nini na ndeni Africa nkaa tulirogwa
What an expensive and irresponsible government. 1 billion state House refurbishment, expensive cars budget, 200million jet.. absolutely despicable!
Maskini akipata ......hulia mbwata!
Bure
Wa