Highlights | Tanzania (W) 3-0 Togo (W) WAFCON Qualifiers 30/11/2023

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 พ.ย. 2023
  • Magoli mawili kutoka kwa Opah Clement na moja la kujifunga kupitia kwa Yawa Konou yameipa timu ya taifa ya wanawake #TwigaStars ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Togo, katika mchezo wa mkondo wa kwanza kuwania kufuzu AFCON kwa wanawake #WAFCON2024 .
    Mechi imepigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 36

  • @aud548
    @aud548 6 หลายเดือนก่อน +3

    Tumepata bahati...madada wa Togo wanaupiga sana asee

  • @aleoforex6945
    @aleoforex6945 6 หลายเดือนก่อน +1

    Oppa anatulia anapokuwa Karibu na lango. Goal keeper wetu ni mtulivu anapokuwa langoni. Masaka kaliangusha Taifa, Maana kakosa goli la wazi kabisa, Mechi ijayo atulie anapokuwa mbele, asiwe mchoyo wa pasi anapoona kuna mwenzake ana nafasi kubwa ya kufunga. Mbinu ya mwalimu imefanikiwa Sana👏👏, ingawa wachezaji ndo hawakuwa na ushirikiano mzuri.

  • @komkpo-lw6qi
    @komkpo-lw6qi 6 หลายเดือนก่อน +1

    L'équipe togolaise a bien jouer mais il manque juste peux de concentration en défense et en attaque ; sinon on à plus de qualité de jeux que l'adversaire, je suis sur que nous les aurons en match retour; félicitations à mes sœurs togolaise.🇹🇬🇹🇬🇹🇬🇹🇬👏👏

  • @fidelisjabu9238
    @fidelisjabu9238 6 หลายเดือนก่อน +1

    Twiga wanatakiwa wajipange upya kwenye defense, wamefanya makosa mengi sana. They have to improve in that area

  • @elibarikilairumbe5462
    @elibarikilairumbe5462 6 หลายเดือนก่อน +1

    Masaka sahivi sio mkatili kwenye lango kama zamani ila safi sana dada zetu👏👏👏🤜🤛💪🇹🇿

    • @raybirry3816
      @raybirry3816 6 หลายเดือนก่อน

      Kiwango kimeshuka dhahiri

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 6 หลายเดือนก่อน

    ongera sana twiga star ushindi ndiyo cha kwanza show game peleka sokoni

  • @hottie3621
    @hottie3621 6 หลายเดือนก่อน

    Opah anajua mnoo...hii ni dhahabu❤

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 6 หลายเดือนก่อน +1

    Twiga stars hamchezi kama timu sijui formation gani mnacheza kila mtu anataka kufunga hampeani pass stamina hamna mnakimbia tu na mpira

  • @mhandomhina5503
    @mhandomhina5503 6 หลายเดือนก่อน +6

    Togo Walikuwa Kwenye ubora na utulivu kuliko sisi Tanzania. Kocha wetu anatakiwa kuwatahadharisha wachezaji wake katika mechi ijayo...

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 6 หลายเดือนก่อน +1

      True na tumekosa magoli mengi kweli watulie

    • @nassorosalehhazard2450
      @nassorosalehhazard2450 6 หลายเดือนก่อน

      Muda mwingine tusiwe tunapenda kulamu mechi kama izi aziitaji ubora zinaitaji matokeo ili upite kwaiyo kama mnasema togo alikuwa bora kwanini kapigwa tatu

    • @elickmaendeleo1141
      @elickmaendeleo1141 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@nassorosalehhazard2450😂😂😂 hujaona kama tebebwa wew 2kiwafuata hawa 2takula nyingi

  • @mgayan1222
    @mgayan1222 6 หลายเดือนก่อน +1

    Yaaaaaaaaaaani 🙌 hizi sifa za kutaka kutrend mitandaoni zimetukosesha MAGOAL kupitia huyu mchezaji wetu AISHA MASAKA😢 Alitaka afunge yeye tu 🙌 akawa mchoyo wa PASI KWA WENZIE😭

  • @raybirry3816
    @raybirry3816 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kama kiwango ndio hiki,kocha Bakari Shime ana kazi kubwa SANAAA kule Togo,kwa kweli walituzidi kila kitu,defense ya Tanzania HOVYO,basi ni mungu tu mipira IMEGONGA MWAMBA,WAMEPIGA MIPIRA NJE!

    • @abuushaymaatzkajoki7107
      @abuushaymaatzkajoki7107 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 hacha uongo na mbwembwe wewe, tumewazidi magoli, na points

  • @ackimibrahim2973
    @ackimibrahim2973 6 หลายเดือนก่อน +1

    wabinafsi sana wanapofika gorini inaboa wanasahau ushindi ni wa wote

  • @nasonchisota6241
    @nasonchisota6241 6 หลายเดือนก่อน +1

    Togo wameupiga mwingi, bahati tu haikuwa kwao Ila wangetufunga mengi 😂

  • @assionapedogan920
    @assionapedogan920 6 หลายเดือนก่อน

    VAINCRONS OU MOURONS MAIS DANS LA DIGNITE. ALLEZ LES CHAMPIONNES. VOUS POUVEZ MIEUX FAIRE A LOME

  • @danielelikana2615
    @danielelikana2615 6 หลายเดือนก่อน

    Defence ni mbovu sana!! Togo wangekuwa makini Twiga mlikuwa mnapigwa nyingi nyumbani....Huyo Masaka naye amejaa ubinafsi tu...

    • @elickmaendeleo1141
      @elickmaendeleo1141 6 หลายเดือนก่อน

      Timu Lina cheza kama Simba wa NBC😅

  • @listerkongola6872
    @listerkongola6872 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nadhani tunahitaji kocha mwingine,aliyepo hana jipya tena!! Defence hamna kitu kabisa!! Strikers wetu kiukweli,wamefunga goli moja tu,la tatu!
    Penalti tulishakosa,goli la pili wamejifunga wenyewe!!

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 6 หลายเดือนก่อน +1

      Kwa hiyo penalty na goli la kujifunga sio magoli?

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 6 หลายเดือนก่อน +1

    Penalty kweli?

  • @user-uq2mo7mw2l
    @user-uq2mo7mw2l 6 หลายเดือนก่อน

    Tz itakula nyingi togo

  • @benorddesideri
    @benorddesideri 6 หลายเดือนก่อน

    Hawa wanawake ipo siku TFF itakuwa yao

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 6 หลายเดือนก่อน

    Wanawake niwanawake tu😂😂😂😂 wazi wazi unashindwa kutoa pasi

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 6 หลายเดือนก่อน +1

      Nyie mngekuwa mnaweza si mngekuwa mmefika mbali ,Bora hata hao wanawake kuliko Ile timu yenu pendwa

  • @user-uq2mo7mw2l
    @user-uq2mo7mw2l 6 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂Yani mtu na kipa hafungi duuu

    • @user-zc4yn2gp9x
      @user-zc4yn2gp9x 6 หลายเดือนก่อน

      Amuoni mi wanawake aisee😂😂

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 6 หลายเดือนก่อน

    Asha masaka Hamna kitu

    • @aud548
      @aud548 6 หลายเดือนก่อน

      Asingecheza Ulaya kama ndio hivyo kaka ...kuchuja kwenye game ni jambo la kawaida

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 6 หลายเดือนก่อน

      Jana hakuwa vzr ,but ni mchezaji mzuri sema kocha kazingua kumuacha dkk zote 90

  • @tumainherbalclinicnadrjose1299
    @tumainherbalclinicnadrjose1299 6 หลายเดือนก่อน

    Jaman hizi mambo tuwaachie tu wanaume bhana,,Sasa hawa kila saa wanaanguka anguka halafu mishuti hakuna,,oooooiiiiiiiiiiii hawa wabaki kushabikia tu Simba na Yanga bhana