Tatizo letu wananchi tunakurupuka sana nafiri naona majibu ya my.Makonda yanajitosheleza haina haja ya kwenda kwa mkuu wa wilaya wala cha kumtafuta mchawi ni nani sisi ndo tunashida tujitafakari kwani mababu na baba zetu tuna walikuwa na umeliki au walihifadhi tu
Master plan ya nchi nzima haipo. Maana jeshi linatakiwa liwe na maeneo rasmi na mipaka iwekwe ili hata kama ni pori lakini alama zitaonyesha haya ni maeneo ya jeshi. Kuna mambo mengi yakufanya kuhusu wizara ya ardhi kwa kweli.
Jeshi siku zote huwa halina ugomvi na wananchi.Watu huleta siasa ktk masuala yoote. Nyerere aliliweja jeshi maporini siku nyingi tokea uhuru. Nao wanajeshi waweke alama mapema wananchi wasisogee.
Jeshi ndio kipenzi cha raia. Hawa jamaa wastaarabu sana. Hawa watu Mungu awabariki sana
Kiongozi mwenye Akili Kubwa Sana ni hazina ya Nchi hii Tanzania
Hv vikosi vya Jeshi vilikuwaga maporini sana wananchi tukavifata.sasa tukiachiwa kufanya shughuli zetu baadae tunaona ni maeneo yetu
Mgogoro huo ni wa muda ni ukimya wa Jeshi ndio wananchi kuvamia ni kwa kuuziwa na majeshi
Ubarikiwe sana MUNGU azidishie Hekima
Imefika mda sehemu za serikali au za mwekezaji ziwekwe bikoni kubwa ili wananchi wasiingizwe kwenye migogoro na matapeli.
Majibu ya Kiwango Cha PHD
Wananchi muda mwingine mmmh cjui tunafeli wapi
Safi sana makonda.huwezi kulisuta jeshi kwenye mikutano ya hadhara wakae maofisini huko wamalizane
Asante sana mkuu wa Mkoa
Mtu kama ameuziwa huwezi kusema wamevamia. Kosa limefanywa na maofisa wasio waaminifu ambao wameuza hivyo si sawa kusema wamevamia.
Wananch ndo wanafat wanajesh
Ila wewe Makonda, akili nyingine siyo yako ni ya Roho Mtakatifu!!!!!
Amina
Hao wavamiz muda mrefu
Wache kabisa Sias jesh liheshimiw hakun Askar jeshi alieko kwenye sias
kwahiyo hata kama wako kinyume waheshimiwe?
Mbona mnapenda kujipendekeza kwan jesh si chombo Cha wanainch unapo sema jesh haliko na siasa mh jakaya na kinana walikuwa akina nan?
WANAJESHI OYEE
Jeshi halihojiwi,SASA utamhoji Nani?😂😂😂😂
Tatizo letu wananchi tunakurupuka sana nafiri naona majibu ya my.Makonda yanajitosheleza haina haja ya kwenda kwa mkuu wa wilaya wala cha kumtafuta mchawi ni nani sisi ndo tunashida tujitafakari kwani mababu na baba zetu tuna walikuwa na umeliki au walihifadhi tu
Kabisa
Master plan ya nchi nzima haipo. Maana jeshi linatakiwa liwe na maeneo rasmi na mipaka iwekwe ili hata kama ni pori lakini alama zitaonyesha haya ni maeneo ya jeshi.
Kuna mambo mengi yakufanya kuhusu wizara ya ardhi kwa kweli.
Si tayari umeambiwa wana HATI tangu miaka ya hamsini?
Jeshi siku zote huwa halina ugomvi na wananchi.Watu huleta siasa ktk masuala yoote.
Nyerere aliliweja jeshi maporini siku nyingi tokea uhuru.
Nao wanajeshi waweke alama mapema wananchi wasisogee.
Alikacha jeshi sio mchezo
Jeshi halihojiwi,anayetakiwa kuuliza ni raisi peke yake ambaye ni amiri jeshi mkuu
@martinemaganga5253 Are u a lawyer and if you're then you're misinterpretting the law.
@@Ba63828 huku ni Africa
Hekima kubwa hiyo