Kwa maelezo hayo kumbe bora utumie picha ya s23 ultra kwasababu yenyewe hata ukiizoom itakuletea picha kali kuliko hata 14pro kwasababu yenyewe ukitaka kuizoom uisogeze itapotea Quality yake
Jamaaa anajila😂😂😂😂 eti pixel sio uzuri wa picha Bali quality ya picha😢😢. S23 utra ina matokeo mazuri overall kuliko iphone 14 Promax ni vile tu watu hawataki iphone ishindwe ila kwa picha tu android are the best phones. Iphone ni simu ya majigambo tu
Hapa umetupiga kaka camera ya samsung s23 ni nyoko kabisa aisee hiyo iphone 14 promax haigusi kabisa pale huu ni uongo mkubwa kabisa tena mpaka upande wa zoom zishafanyiwa testing sana samsung ni habari nyengine kabisa mzee
By comparison, 4K resolution is 2,160 pixels tall and 3,840 pixels wide (the term 4K is derived from the width there is alsoa professional 4K standard that is 4,096 pixels wide). Combined, this equals nearly 8.3 million individual pixels in total, or four times as many pixels as Full HD.
Shukrani Sana.
Umesomeka kaka
Endelea kutuelimisha mzeee baba
🎉🎉
Tujuane wa google pixel afu Hz vtu vngne tuwapishe na bland zao
Mapema sana
Kwa maelezo hayo kumbe bora utumie picha ya s23 ultra kwasababu yenyewe hata ukiizoom itakuletea picha kali kuliko hata 14pro kwasababu yenyewe ukitaka kuizoom uisogeze itapotea Quality yake
Naomba namba yako
Mimi sina neno hapo na samsung yangu note 9.
Haka kajamaa kaongo sanaaaaaa . Hahaha aty iphone 14 camera kali kuliko 23 ultra hahahahaha
Katudanganya 23ultra ni best kuliko iyo iphone 14 pro
Good sana
Most valuable presenter @snashtz
Jamaaa anajila😂😂😂😂 eti pixel sio uzuri wa picha Bali quality ya picha😢😢. S23 utra ina matokeo mazuri overall kuliko iphone 14 Promax ni vile tu watu hawataki iphone ishindwe ila kwa picha tu android are the best phones. Iphone ni simu ya majigambo tu
Kwahiyo wewe uzuri na quality unaona ni sawa yaan beauty na kiwango ni maneno yenye maneno sawa unavyoona?
Munazipenda tu izi iphone lakn wala hazina maajabu yyte
Nice
Bro smart helment. Tuna omba kuiona.
😂 safar hii Iphone tumewapiga bhn #GalaxyS23 Ultra
Camera ya Samsung s23 utr ni kaliii kulikooo iphone 14 pro max
Kweli brother
Hujatumia iphone ww
Halina ubishi mkuu
@@mucci_AI 👎👎
Jitahidi uzitumie zote kwanza kwa hapo 14 pro max 🙌🔥
We jamaa kaongo sanaaaaa tulikuwa hatujui kawaeleweshe wasoelewa et Leo S23 ultra na Iphone 14 pro max Kali camera iphone😀😀em acha uhuni hapa
Hapa umetupiga kaka camera ya samsung s23 ni nyoko kabisa aisee hiyo iphone 14 promax haigusi kabisa pale huu ni uongo mkubwa kabisa tena mpaka upande wa zoom zishafanyiwa testing sana samsung ni habari nyengine kabisa mzee
Kabisa kaka jamaa katiliza
We jamaa mwongooooo samsung ndo inacamera kaliii
Naomba utuletee samsung galaxy xcover 5
S23 ultra ni Kali bhna😂😂
Saf San lkn Kam itawezkan naomb fanya Taft ya sim zeny mp ndog ukiachan na iphone lkn muonekanowake nimzul kisha tuletee kak
Ila jmn Samsung n bonge l cm
Kongole kwa makala zako,hii content umeirudia tena,nielezee kuhusu Chat GPT,Genomics.
Watumiaji wa Samsung galaxy Tjuane please achana na makolo wa iPhone
Oya samsung s23 utr kalii balaa
🔥🔥
bro fanya na review ya gaming laptops
Kifupi Samsung always's the best1...
By comparison, 4K resolution is 2,160 pixels tall and 3,840 pixels wide (the term 4K is derived from the width there is alsoa professional 4K standard that is 4,096 pixels wide). Combined, this equals nearly 8.3 million individual pixels in total, or four times as many pixels as Full HD.
Oya S23 ultra ni noma
No ya simu tafadhari
Wewe Unatumia sim ya AINA GAN SNATSH😂
Kaka tunaomba Review ya ITEL maana naon Asaiv zio On trending kweny matangazo natka nijue ukwel kuus awo jamaa
Ayaaa nenden mkanunue mozoom watu ss tuache na mgpixel 50zetu
Adobe ndy nini??
Nice job bro 👌
Ungepiga na 30fps, 60fps na kuendelea kabisa tuelewe nazenyewe
unajua sana kuliko mtu mmoja anajiita dj nan huko hii kaz akuachie mwenye taaluma yako
Ila leo hapa huyu jamaa kawadanganya kwenye camera hapo
Apo kaka umetisha kuwa elewesha vizuri kwenye swala laku zoom picha ukisha ipiga bila kupoteza quality😎😎
Tumia Iphone uonekane tajiri au tumia Samsung upate mahitaji!!
samsung s23 ina camera kali kuliko iphone 14 promax labda useme ufananishe TECNO yenye megapixel kubwa na iphone sio samsung
Naona hajachunguza vizur note 10+ tu ni moto
@@afreyghp34 aaah hajaizid s10 plus , cmaera ya note walifel kdg
Hujatumia iphone ww
Mwamba ni xiaomi kwenye swapa la camera izo zingine nikama infinix🤣🤣
Ni hatari na nusu
Samsung is best but iPhone is sacuret
Umeeleweka Mwamba @snash
FANYA REVIEW YA GAMING PHONE #SNASH@SNASHTZ
Nice